Nimeenjoy kuangalia hii movie hemed nakupenda sana naninapenda kaz zako nataman namm ningepewa kipaji kama chako 2fanye kaz pa1 jamon😢ila love you sana❤
M2 kipaji kisicho onekana kaza kaka umenenepa ila uwezo wako mkubwa sanaaaaaaa akuna kuma yoyote bongo moivie uko real😊😊😊😊😊😊😊😊😊 umeuaaa sana we siyo bishoooooo kumamake
Hemedy m nakkbl sn kaka ila umezngua k2 kmj uyo mke wk apn bn an yupo km mjeda at anavyoongea daaah n mciba owa chande sie tunamtaka Yule WA kwny first love owa weeee Yule ana balaa❤❤❤
Mimi sio director wala sio producer wa movie but hii movie ina story kali sanaa🔥🔥nimeangalia full movie ni kali sana but kuna baadh ya mapungufu ambayo sisi watazamaji tumeyaona 1. Mdogo ake na yule dada wa Uji hatujamuona na hatujajua dada wa uji kapotelea wap? 2. Hamjatupa funzo kuhusu hawa maplay boys ( tony na mwanae) ilibid mtupe fundisho kwamba uplay boy hautakiw kwenye jamii ingekuwa poa kama wangepata ukimwi ili tujifunze kama watazamaji 3. Kuhusu mke wa Hemed (ameonesha udhaifu sana amekubali kuliwa na rafiki ake tonny kirahisi sana mmetudanganya apo. 4. Kazi nzuri Tonny kaua sanaa ,hemed kaua sana , sabra kaua sanaa, finni kaua sana ,na yule msela wake Tonny ndo man of the match kaua sanaa🙌🙌🙌🔥🔥
Mnao msema hemedy mwanamke ajui ata hemedy anamkwepa kama ajamkubali ajiachii nae ndomana pia uyo dada kama sio mbongo ila ana ndonya ya kigogo 🙄 jocks 😂😂 kazi nzurii
Napenda sana kuigiza jamani simuniite nije😂😂😂😂
Njoo
Karibu tutafute
@@classicswahiliimage7496 kweli.munapatikan wap
Watakudinyaaaa
@@jacksonseleman3160 ndio unacho waza icho 😏😏
Nimeenjoy kuangalia hii movie hemed nakupenda sana naninapenda kaz zako nataman namm ningepewa kipaji kama chako 2fanye kaz pa1 jamon😢ila love you sana❤
Dah Hemed na timu yako mko vizuri sana tunainjoy Sana na move zenu big up endeleeni kutupa maajabu hasa movie za lomantic
Daah bro hemmed🎉namkuli sana huyu jamaa ila sm ilizingua kidogo so naombeni like ata 5 tu jamani😅😅😅
One of the my favorite movie ever 👏🏽👏🏽
Mimi mukongomani wa kwanza 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likes jameni
❤❤❤❤❤❤congo
😊@@deborahmidiburo3541
Tonny respect Sanaa bro appreciate upo gud bro ududu nimwingi sanaaa wew mnyamwezi Sanaa kiufupi salute bro nakubar sanaaa ududu amazing
Ah wanawake sisi😢😢😢😢
Mungu tuonyeshe njia sahihi😢😢
😂
Jamani mapenzi kweli hayatabiliki unayependa kwa dhati huthaminiwi , inaumiza sana . CHANDE na timu yako hongereni sana .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉..
Tony Tony Tony Acha kunichekesha Ety Muuza Uji Hawajasahau Sukar Salute Brooo
Hahahaja😂😂😂
ooyaaaa,na mimi natafta lishangazi lenye midolars
Daaaaah uwaga nakubali san wanang uwaga muna n feeling kinomaaaah yan daaaaaah adii na wish kuja Tz kuwahon ❤
M2 kipaji kisicho onekana kaza kaka umenenepa ila uwezo wako mkubwa sanaaaaaaa akuna kuma yoyote bongo moivie uko real😊😊😊😊😊😊😊😊😊 umeuaaa sana we siyo bishoooooo kumamake
Asante sanaaa
😂😂😂mwanamke mjinga km hawezi ku2lia n mpenzi mmoja atachezwa 2 big team I love it 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿mashem
😂😂😂 usitutukane hivyo
@@reymathomas1562 ume2kanwa n nmesema hlo n funzo kwa wengine
mungu naomba unilinde na tamaa zakimwili nilizike na mume wangu tu nampenda sana mume wangu ❤❤❤❤❤
Amina kipenzi ❤️
❤❤❤hongera mpendwa ktk BWANA... endelea kuwa na Hofu ya Mungu
Uko Salam lakini Maneno Yako Ni Maatamu🎉
Amen Amen 🙏🏻 I’m so proud of you 👏
Uwezi
Kelele ya kwanza kwa mshangazi😂😂😂
Tonny akiri una et umalaya tu kuoga aaah😂😂😂😂❤❤❤
Hatari sana hii kazi imekaa pouw comedy moja isiyo umiza wala kuchosha
Kazi imekaa pouw 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
😂😂😂😂😂ila uyu rafiki wa Tony 🎉🎉🎉daah
Mapenzi yanauma sana isipokuwa tamaa zawabaume tu
M.2 Ww kiboko kazi nzuri Sana hongera Sana
Hemed chande unafanya kazi mzur mno Allah awabarik san na awape kila lenye kher amiin
Vijana wahovyo sana hawa😂😂😂
Nahomba likes zangu mimi wa pili kutoka Congo 🇨🇩
Nice movie hemedy im your big fan since day one big up
Nampenda saana hemedy jman kila mov zake huw ziko pouw❤❤❤
Naomba kufanya kazi na wewe please classic film
This is movie inachekesha xan 😂😂😂 eeeeh wakali san play boys ❤❤❤
🇧🇮🇧🇮
Daaaaaaaa hiviii vijamaaaaa n visengeeee kweliiii 😂😂😂😂😂😂 tonny
Hemed uyu kibong tunaomba awem kweny movie zako nying man nikomedia mzur anachangamsha san
Me mwenyewe nampenda huyo kaka bonge
I really like your movies. God bless your work 🙏 Kenya is watching
😂😂😂😂😂😂😂😂dozi ya gono na UTI😂😂Ila tonny
Nakupenda sn we mkaka hemed yan napenda sn kutizam movie zk❤❤
Hiyooo ndooo.maaan halisi ya play boy😅😅😅😅
Nimependa hiyo style yaku x change number ❤ 😂😂😂
Mm ndio nmeipenda sanaa😂😂
Seeing m2 acts as a playboy feels weird asf nimemzowea kweny scenes za upole akijidogosha kumbe uhuni pia yuaweza damn😅❤
Kitu kikali Sana unajua kutufunza chande wetu wadada tuwe naakiri jamn uwiiii 😢😢
Napenda sauti ya sabra❤ pia n mrembo
Daaaah hemed nakukubali kinoumar xan axeeeeh. ❤❤❤❤ aaaaaaaiiiiih
Duuuh me nimecheka Sana Kwa muuza ujii unyama sana 😂😂😂🙌🙌
Ubaya ubwela muuza uji
Hemedy m nakkbl sn kaka ila umezngua k2 kmj uyo mke wk apn bn an yupo km mjeda at anavyoongea daaah n mciba owa chande sie tunamtaka Yule WA kwny first love owa weeee Yule ana balaa❤❤❤
😂😂😂 yule ni chumaa
Big up sana kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaa safi sanaaa abdul kazidiii
chukua hiyooooo🎉 Hemedy ,mwanamke mjinga hubomoa nyumba yake mwenyewe
Waoooo jmn movie zenu tamu sana
🇲🇿🇲🇿mozambique moja naombeni like zangu wadau
Tonny Wewe Apana kabisa kama ndivo kwenye really life😂anyway much love ❤from Congo 🇨🇩🇨🇩
Kuna watu wapo wanayo maisha ya hivi yan😂😢😢
Hii kaz nime ielewa sana mmetishaaa
Uyu demu wa chandee hamnaa kituuu kabisaaa !!
Nzuri sana kaka Chande naomba Mungu watie nguvu na awabariki sana❤❤❤🎉🎉🎉
Hii ninzili sana kabisa😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hahaha hahaha ujinga mtamm,🔥🔥🤫
Watanzania bna mbona demu anajua kuingia tu vizuri yani MTU mmoja akikosoa bhasi watu wote wanakosoa sio kweli deku anajua Sana kuigiza Tena mno
Mungu anajib mambo yetu hakika amekuckia na atakulinda 🙏 🙏
Yaani wamezidi kwa umalaya😂😂😂😂
Much 💚 from 🇰🇪 alafu wewe tony tattoo you look like tizian pale TikTok from 🇰🇪.. much 💚
Uyo dad umefel chande kuigiza hajui kabisa
Kumbe naww umemuona yaan yupo yupo mmh
Kweli tena wanawake wote wapo vzr ila huyu bado sana ajitahid tu
Muacheni jamani taratibu hakuna alieanza anajuwa kabisa
Acheni kumkejeli😢😢😢uwenda ndo mwanzoo yuwafunzwa...hakuna alozaliwa akajua jmani
Mmmh hii move tamu sana oy tamu balaa
Mimi sio director wala sio producer wa movie but hii movie ina story kali sanaa🔥🔥nimeangalia full movie ni kali sana but kuna baadh ya mapungufu ambayo sisi watazamaji tumeyaona
1. Mdogo ake na yule dada wa Uji hatujamuona na hatujajua dada wa uji kapotelea wap?
2. Hamjatupa funzo kuhusu hawa maplay boys ( tony na mwanae) ilibid mtupe fundisho kwamba uplay boy hautakiw kwenye jamii ingekuwa poa kama wangepata ukimwi ili tujifunze kama watazamaji
3. Kuhusu mke wa Hemed (ameonesha udhaifu sana amekubali kuliwa na rafiki ake tonny kirahisi sana mmetudanganya apo.
4. Kazi nzuri Tonny kaua sanaa ,hemed kaua sana , sabra kaua sanaa, finni kaua sana ,na yule msela wake Tonny ndo man of the match kaua sanaa🙌🙌🙌🔥🔥
Uko sahihi watuletee part 2 tuelewe ndipo
Shida yako unatak stor ilo2ngwa iendane na mawazo yako ucpende kukariri maisha
Asante sanaaaaaaaaaa part 2 inakuja soon
Kazi nizuri sana 🎉🎉😢😢
Bro keep it up unafanya job poa manze, nakufatilia sana na movie zako mzee wangu
Mnaosema huyu dada hajui mna yenu mxeew😏
Nabapeda san❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Safii mmejitahid.....
I'm a talented actor from Kenya, can I join you guys🙏
Watu wanasema ngo uyo mke wa chande ngo hajuwi kuigiza mbona yupo vizur❤
Daah aisee Sisi wanawake kwakweli tunambo
Kweli chande mkeo hajui kabisa kuinginza hana romantic 😅
Jamani leo nmecheka kweli ❤❤
Mm mkongomani🇨🇩🇨🇩 wa kwnza naombeni ata Like moja
Mwanamke wa hemed atqpata shida sanaaa 😂😂 ataliaaa maana kila demu anakiss
Thanks kazi nzuri kaka mkubwa
Kazi safi sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Sema hiiii movie nikal kuliko zoteeeeeee hemed chande ww kiboko yaaan kuna ka kakomedi flan hv😂😂😂😂😂😂😂
Mimi hapa wa milioni nipeni like zang 😂😂
Huyo dada aliye igiza kwenyee play boy's,ambaye mke wako hajui kbc kuigiza.muwekeni mtu mwingine😢 please begging you hemed
Half mbaya havutii hata😂
ᵈᵃᵃ ⁱˡᵃ ʷᵃᵗᵘ ⁿʸⁱᵉ 😂😂😂
😂😂@@salmatuleteesehem71jmnmahm59
Mwambie ni 😂😂
Mtu hufunzwa hakuna alie zaliwa kama anajua🤔🤔🙄🙄🙄
M2 kauwaaa sanaaaa humuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti uji kwani upo siumeisha😂😂😂😂😂
Jamani hizi movie zenu mtanifanya hoi tuko single na tuko mbali na country zetu jamani deep kiss hizo
Sema wewe 😂😂😂😂 maana umenifurahisha kweliii
😂😂😂
Hahaha kunywa labani utakua swa
Hhhhhhh kumbe sio pekeyangu hhhh nilokua mbal na kuangalia movi kam izi wanatumiza kwakwel hhhh duuu miat sijapenda mar navunja sm naingia kwasm hhhhh
@@AmenaMm-r5t 😂 😂 😂 miye nikiona wana kiss nafumba macho 😂 😂 😂
kazi nzur 🎉hemd move zako nzur sana zinafundisha sana
Hemed huy dada hajui kuigiza bor ungenichukua hata mim maana yupo na mumewake lakn mda wote busy na sim
Manenotu kuoga hapana
Manenotu kuoga hapana
Umalaya tu umeona mwenzio ana faidi kushikwa shikwa sio
ki2 moto sana chande
Ndyo mna spend kuangalia movie za bongo amjuii kumalizia mnazingua
Inaendelea kama seris iii
Ila huyu Tony ❤
M2🎉🎉🎉🎉apo umecheza part yako broo unamwambia dem wako act na rafiki yako
😅😅
😂😂😂😂😂 kwa kweli leo nlikuwa na bad mood ila nimecheka sana 😂😂😂
Movien zenu kalii chande🥰🥰🥰
Chande huyo mkeo ajui kabisa kuigiza hapana kwa kweli
Acha zako ako sawa sana huyo dem
Amna bhana huyo dada kama cyo mtanzania au hajazoea kiswahili
Ko wenye myaka 12 ndo wakuogopa😂😂😂😂
Uyu mdada ajui bhna Ila hemed unapenda sana kukiss kiss kaah😅😂😂
Iyo kipande cha umalaya tu kuoga aaah😂🙌🏽 apo nyuma iyo video mmeplay au sijaona vzuri
Da! Aiseeee yuo very very naic👏👏👏👏
💛💚💛💚💛💚💛💚💛🫶🙏🤲💚💛💚💛💚💛 hongereni sana kwa kazi 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🤲🙏🫶🤝
Zwx
Hemedi kwama busu heee😂😂😂mm hapo ndo anaponiacha hoii😂😂😂
Tony ni mnyamwezi ase natamani kuja dar es salam vyombo naona vipo alafu unyama mwingi nimeipenda sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mnao msema hemedy mwanamke ajui ata hemedy anamkwepa kama ajamkubali ajiachii nae ndomana pia uyo dada kama sio mbongo ila ana ndonya ya kigogo 🙄 jocks 😂😂 kazi nzurii
Hemed wewe ni mzur bila tattoo plz usichore
Ni kwel yup vzr hemedy
Tonny's friends❤❤❤❤ nampenda bureeeee🎉🎉🎉
Huyo mke wa chande hajui kuigiZa bwana
Jamooon tony hee umenichekesha alipopiga chabo nakuanguka chini😂😂