PLAY BOYS ( TATTOO ) HEMEDY CHANDE / TONNY TATTOO / M2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 659

  • @Kimwana255
    @Kimwana255 3 месяца назад +24

    Napenda sana kuigiza jamani simuniite nije😂😂😂😂

  • @IreneRio-k2f
    @IreneRio-k2f 2 месяца назад +10

    Nimeenjoy kuangalia hii movie hemed nakupenda sana naninapenda kaz zako nataman namm ningepewa kipaji kama chako 2fanye kaz pa1 jamon😢ila love you sana❤

  • @joycemhina8293
    @joycemhina8293 3 месяца назад +31

    Dah Hemed na timu yako mko vizuri sana tunainjoy Sana na move zenu big up endeleeni kutupa maajabu hasa movie za lomantic

  • @MakonoJr
    @MakonoJr 2 месяца назад +18

    Daah bro hemmed🎉namkuli sana huyu jamaa ila sm ilizingua kidogo so naombeni like ata 5 tu jamani😅😅😅

  • @tariqdasulley
    @tariqdasulley 2 месяца назад +7

    One of the my favorite movie ever 👏🏽👏🏽

  • @KizengaRhandavanaMonusb
    @KizengaRhandavanaMonusb 3 месяца назад +103

    Mimi mukongomani wa kwanza 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likes jameni

  • @cliffordluanda
    @cliffordluanda 3 месяца назад +7

    Tonny respect Sanaa bro appreciate upo gud bro ududu nimwingi sanaaa wew mnyamwezi Sanaa kiufupi salute bro nakubar sanaaa ududu amazing

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh 3 месяца назад +28

    Ah wanawake sisi😢😢😢😢
    Mungu tuonyeshe njia sahihi😢😢

  • @mezadawa5306
    @mezadawa5306 3 месяца назад +7

    Jamani mapenzi kweli hayatabiliki unayependa kwa dhati huthaminiwi , inaumiza sana . CHANDE na timu yako hongereni sana .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉..

  • @DuduBoysSilvester
    @DuduBoysSilvester 3 месяца назад +16

    Tony Tony Tony Acha kunichekesha Ety Muuza Uji Hawajasahau Sukar Salute Brooo

    • @SaidaKimea
      @SaidaKimea 20 дней назад

      Hahahaja😂😂😂

  • @re_up_gang
    @re_up_gang 2 месяца назад +8

    ooyaaaa,na mimi natafta lishangazi lenye midolars

  • @CREEDKIDD
    @CREEDKIDD 3 месяца назад +9

    Daaaaah uwaga nakubali san wanang uwaga muna n feeling kinomaaaah yan daaaaaah adii na wish kuja Tz kuwahon ❤

  • @ibrahimkisonga8487
    @ibrahimkisonga8487 3 месяца назад +7

    M2 kipaji kisicho onekana kaza kaka umenenepa ila uwezo wako mkubwa sanaaaaaaa akuna kuma yoyote bongo moivie uko real😊😊😊😊😊😊😊😊😊 umeuaaa sana we siyo bishoooooo kumamake

  • @LylahMrombo
    @LylahMrombo 3 месяца назад +8

    😂😂😂mwanamke mjinga km hawezi ku2lia n mpenzi mmoja atachezwa 2 big team I love it 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿mashem

    • @reymathomas1562
      @reymathomas1562 3 месяца назад +1

      😂😂😂 usitutukane hivyo

    • @LylahMrombo
      @LylahMrombo 3 месяца назад

      @@reymathomas1562 ume2kanwa n nmesema hlo n funzo kwa wengine

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 3 месяца назад +59

    mungu naomba unilinde na tamaa zakimwili nilizike na mume wangu tu nampenda sana mume wangu ❤❤❤❤❤

  • @irenehebuka3218
    @irenehebuka3218 3 месяца назад +11

    Kelele ya kwanza kwa mshangazi😂😂😂

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 3 месяца назад +9

    Tonny akiri una et umalaya tu kuoga aaah😂😂😂😂❤❤❤

  • @directormarsha
    @directormarsha 3 месяца назад +14

    Hatari sana hii kazi imekaa pouw comedy moja isiyo umiza wala kuchosha
    Kazi imekaa pouw 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @Neemahashim12
    @Neemahashim12 3 месяца назад +10

    😂😂😂😂😂ila uyu rafiki wa Tony 🎉🎉🎉daah

    • @SallyWarange
      @SallyWarange 2 месяца назад

      Mapenzi yanauma sana isipokuwa tamaa zawabaume tu

  • @HanifahJuma-pk5yj
    @HanifahJuma-pk5yj 3 месяца назад +13

    M.2 Ww kiboko kazi nzuri Sana hongera Sana

  • @Issa22680
    @Issa22680 3 месяца назад +4

    Hemed chande unafanya kazi mzur mno Allah awabarik san na awape kila lenye kher amiin

  • @ChausikuMichael-qw2gu
    @ChausikuMichael-qw2gu 3 месяца назад +10

    Vijana wahovyo sana hawa😂😂😂

  • @DanielwabahambaBarondashabani
    @DanielwabahambaBarondashabani 3 месяца назад +32

    Nahomba likes zangu mimi wa pili kutoka Congo 🇨🇩

  • @JescaMshana
    @JescaMshana 3 месяца назад +4

    Nice movie hemedy im your big fan since day one big up

  • @DeboraTege
    @DeboraTege 3 месяца назад +3

    Nampenda saana hemedy jman kila mov zake huw ziko pouw❤❤❤

  • @sishamusic
    @sishamusic 3 месяца назад +9

    Naomba kufanya kazi na wewe please classic film

  • @David-yw7id
    @David-yw7id 2 месяца назад +4

    This is movie inachekesha xan 😂😂😂 eeeeh wakali san play boys ❤❤❤
    🇧🇮🇧🇮

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 3 месяца назад +4

    Daaaaaaaa hiviii vijamaaaaa n visengeeee kweliiii 😂😂😂😂😂😂 tonny

  • @Massoud-x5u
    @Massoud-x5u 25 дней назад +2

    Hemed uyu kibong tunaomba awem kweny movie zako nying man nikomedia mzur anachangamsha san

    • @Makei-c6y
      @Makei-c6y 25 дней назад +1

      Me mwenyewe nampenda huyo kaka bonge

  • @Oness_254
    @Oness_254 3 месяца назад +3

    I really like your movies. God bless your work 🙏 Kenya is watching

  • @MinnahRaj
    @MinnahRaj 3 месяца назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂dozi ya gono na UTI😂😂Ila tonny

  • @JosephinaKimbe
    @JosephinaKimbe 3 месяца назад +4

    Nakupenda sn we mkaka hemed yan napenda sn kutizam movie zk❤❤

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад +5

    Hiyooo ndooo.maaan halisi ya play boy😅😅😅😅

  • @MarishAbdallah
    @MarishAbdallah 3 месяца назад +9

    Nimependa hiyo style yaku x change number ❤ 😂😂😂

  • @officialsaadah6435
    @officialsaadah6435 2 месяца назад +2

    Seeing m2 acts as a playboy feels weird asf nimemzowea kweny scenes za upole akijidogosha kumbe uhuni pia yuaweza damn😅❤

  • @DeboraConstantine-op1nt
    @DeboraConstantine-op1nt 3 месяца назад +9

    Kitu kikali Sana unajua kutufunza chande wetu wadada tuwe naakiri jamn uwiiii 😢😢

  • @fey-ge9pm
    @fey-ge9pm 3 месяца назад +9

    Napenda sauti ya sabra❤ pia n mrembo

  • @SuzanDithenya
    @SuzanDithenya 3 месяца назад +4

    Daaaah hemed nakukubali kinoumar xan axeeeeh. ❤❤❤❤ aaaaaaaiiiiih

  • @SaidHijja
    @SaidHijja 3 месяца назад +10

    Duuuh me nimecheka Sana Kwa muuza ujii unyama sana 😂😂😂🙌🙌

    • @SaidaKimea
      @SaidaKimea 20 дней назад

      Ubaya ubwela muuza uji

  • @RajabuRojah
    @RajabuRojah 3 месяца назад +4

    Hemedy m nakkbl sn kaka ila umezngua k2 kmj uyo mke wk apn bn an yupo km mjeda at anavyoongea daaah n mciba owa chande sie tunamtaka Yule WA kwny first love owa weeee Yule ana balaa❤❤❤

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 3 месяца назад +3

    Big up sana kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @Nurahsaleh
    @Nurahsaleh 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaa safi sanaaa abdul kazidiii

  • @EbindaWelubi-p4s
    @EbindaWelubi-p4s 17 часов назад

    chukua hiyooooo🎉 Hemedy ,mwanamke mjinga hubomoa nyumba yake mwenyewe

  • @leonardsimoni804
    @leonardsimoni804 3 месяца назад +13

    Waoooo jmn movie zenu tamu sana

  • @AbdulahiChatir
    @AbdulahiChatir 3 месяца назад +17

    🇲🇿🇲🇿mozambique moja naombeni like zangu wadau

  • @KabughoGisele
    @KabughoGisele 3 месяца назад

    Tonny Wewe Apana kabisa kama ndivo kwenye really life😂anyway much love ❤from Congo 🇨🇩🇨🇩

  • @mirandahsteves641
    @mirandahsteves641 3 месяца назад +8

    Kuna watu wapo wanayo maisha ya hivi yan😂😢😢

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 3 месяца назад +7

    Hii kaz nime ielewa sana mmetishaaa

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 3 месяца назад +2

    Uyu demu wa chandee hamnaa kituuu kabisaaa !!

  • @BrightKanumba
    @BrightKanumba 2 месяца назад

    Nzuri sana kaka Chande naomba Mungu watie nguvu na awabariki sana❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 3 месяца назад +6

    Hii ninzili sana kabisa😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbdulyIbrahim-z3b
    @AbdulyIbrahim-z3b 3 месяца назад +5

    hahaha hahaha ujinga mtamm,🔥🔥🤫

  • @rasharashacomedy3733
    @rasharashacomedy3733 3 месяца назад +5

    Watanzania bna mbona demu anajua kuingia tu vizuri yani MTU mmoja akikosoa bhasi watu wote wanakosoa sio kweli deku anajua Sana kuigiza Tena mno

  • @HagaiKavano
    @HagaiKavano 2 месяца назад +4

    Mungu anajib mambo yetu hakika amekuckia na atakulinda 🙏 🙏

  • @TharcisseMinani-sn2ui
    @TharcisseMinani-sn2ui 3 месяца назад +5

    Yaani wamezidi kwa umalaya😂😂😂😂

  • @PoleenNjeru
    @PoleenNjeru 3 месяца назад +1

    Much 💚 from 🇰🇪 alafu wewe tony tattoo you look like tizian pale TikTok from 🇰🇪.. much 💚

  • @TithoYesse
    @TithoYesse 3 месяца назад +8

    Uyo dad umefel chande kuigiza hajui kabisa

    • @agnessezekiel
      @agnessezekiel 3 месяца назад +3

      Kumbe naww umemuona yaan yupo yupo mmh

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 3 месяца назад +3

      Kweli tena wanawake wote wapo vzr ila huyu bado sana ajitahid tu

    • @salomerobert5241
      @salomerobert5241 3 месяца назад

      Muacheni jamani taratibu hakuna alieanza anajuwa kabisa

    • @BintHassan-o1y
      @BintHassan-o1y 3 месяца назад

      Acheni kumkejeli😢😢😢uwenda ndo mwanzoo yuwafunzwa...hakuna alozaliwa akajua jmani

  • @KamselaOg
    @KamselaOg 3 месяца назад +4

    Mmmh hii move tamu sana oy tamu balaa

  • @jaduhims3lf
    @jaduhims3lf 3 месяца назад +2

    Mimi sio director wala sio producer wa movie but hii movie ina story kali sanaa🔥🔥nimeangalia full movie ni kali sana but kuna baadh ya mapungufu ambayo sisi watazamaji tumeyaona
    1. Mdogo ake na yule dada wa Uji hatujamuona na hatujajua dada wa uji kapotelea wap?
    2. Hamjatupa funzo kuhusu hawa maplay boys ( tony na mwanae) ilibid mtupe fundisho kwamba uplay boy hautakiw kwenye jamii ingekuwa poa kama wangepata ukimwi ili tujifunze kama watazamaji
    3. Kuhusu mke wa Hemed (ameonesha udhaifu sana amekubali kuliwa na rafiki ake tonny kirahisi sana mmetudanganya apo.
    4. Kazi nzuri Tonny kaua sanaa ,hemed kaua sana , sabra kaua sanaa, finni kaua sana ,na yule msela wake Tonny ndo man of the match kaua sanaa🙌🙌🙌🔥🔥

    • @MwanamisiMuna
      @MwanamisiMuna 3 месяца назад +1

      Uko sahihi watuletee part 2 tuelewe ndipo

    • @Gmama264
      @Gmama264 3 месяца назад +1

      Shida yako unatak stor ilo2ngwa iendane na mawazo yako ucpende kukariri maisha

    • @mohammedmussa4474
      @mohammedmussa4474 3 месяца назад +1

      Asante sanaaaaaaaaaa part 2 inakuja soon

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 3 месяца назад +10

    Kazi nizuri sana 🎉🎉😢😢

  • @SilasSilas-w2o
    @SilasSilas-w2o Месяц назад

    Bro keep it up unafanya job poa manze, nakufatilia sana na movie zako mzee wangu

  • @fey-ge9pm
    @fey-ge9pm 3 месяца назад +6

    Mnaosema huyu dada hajui mna yenu mxeew😏

  • @Jus-bw2rn
    @Jus-bw2rn 3 месяца назад +10

    Nabapeda san❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 День назад +1

    Safii mmejitahid.....

  • @Oness_254
    @Oness_254 3 месяца назад +5

    I'm a talented actor from Kenya, can I join you guys🙏

  • @alimanana7564
    @alimanana7564 3 месяца назад +1

    Watu wanasema ngo uyo mke wa chande ngo hajuwi kuigiza mbona yupo vizur❤

  • @Bintabubakar-id2so
    @Bintabubakar-id2so 3 месяца назад +4

    Daah aisee Sisi wanawake kwakweli tunambo

  • @BritneyLwongola
    @BritneyLwongola 3 месяца назад +3

    Kweli chande mkeo hajui kabisa kuinginza hana romantic 😅

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 3 месяца назад +6

    Jamani leo nmecheka kweli ❤❤

  • @JumaMzongi
    @JumaMzongi 3 месяца назад +5

    Mm mkongomani🇨🇩🇨🇩 wa kwnza naombeni ata Like moja

  • @Nurahsaleh
    @Nurahsaleh 3 месяца назад +1

    Mwanamke wa hemed atqpata shida sanaaa 😂😂 ataliaaa maana kila demu anakiss

  • @ShebeB-c5l
    @ShebeB-c5l 3 месяца назад +2

    Thanks kazi nzuri kaka mkubwa

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 3 месяца назад +4

    Kazi safi sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SimoniThomasi
    @SimoniThomasi 16 дней назад

    Sema hiiii movie nikal kuliko zoteeeeeee hemed chande ww kiboko yaaan kuna ka kakomedi flan hv😂😂😂😂😂😂😂

  • @Wamapozofficial
    @Wamapozofficial 3 месяца назад +6

    Mimi hapa wa milioni nipeni like zang 😂😂

  • @esthernyenza9319
    @esthernyenza9319 3 месяца назад +11

    Huyo dada aliye igiza kwenyee play boy's,ambaye mke wako hajui kbc kuigiza.muwekeni mtu mwingine😢 please begging you hemed

    • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
      @salmatuleteesehem71jmnmahm59 3 месяца назад +2

      Half mbaya havutii hata😂

    • @Qayler232
      @Qayler232 3 месяца назад +1

      ᵈᵃᵃ ⁱˡᵃ ʷᵃᵗᵘ ⁿʸⁱᵉ 😂😂😂

    • @Beatrice-ro6gi
      @Beatrice-ro6gi 3 месяца назад

      😂😂​@@salmatuleteesehem71jmnmahm59

    • @Beatrice-ro6gi
      @Beatrice-ro6gi 3 месяца назад

      Mwambie ni 😂😂

    • @irinepamphil7966
      @irinepamphil7966 3 месяца назад

      Mtu hufunzwa hakuna alie zaliwa kama anajua🤔🤔🙄🙄🙄

  • @RAMADHANIBAKARI-rq7lc
    @RAMADHANIBAKARI-rq7lc Месяц назад

    M2 kauwaaa sanaaaa humuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti uji kwani upo siumeisha😂😂😂😂😂

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 3 месяца назад +9

    Jamani hizi movie zenu mtanifanya hoi tuko single na tuko mbali na country zetu jamani deep kiss hizo

    • @MwasitiLota
      @MwasitiLota 3 месяца назад +1

      Sema wewe 😂😂😂😂 maana umenifurahisha kweliii

    • @RizikiAbdallah-nw6uv
      @RizikiAbdallah-nw6uv 3 месяца назад +1

      😂😂😂

    • @SweetBulushi
      @SweetBulushi 3 месяца назад +1

      Hahaha kunywa labani utakua swa

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 3 месяца назад +1

      Hhhhhhh kumbe sio pekeyangu hhhh nilokua mbal na kuangalia movi kam izi wanatumiza kwakwel hhhh duuu miat sijapenda mar navunja sm naingia kwasm hhhhh

    • @MwasitiLota
      @MwasitiLota 3 месяца назад +1

      @@AmenaMm-r5t 😂 😂 😂 miye nikiona wana kiss nafumba macho 😂 😂 😂

  • @HopeBaby-hm8xq
    @HopeBaby-hm8xq 3 месяца назад

    kazi nzur 🎉hemd move zako nzur sana zinafundisha sana

  • @ZawiyaAdamu
    @ZawiyaAdamu 3 месяца назад +6

    Hemed huy dada hajui kuigiza bor ungenichukua hata mim maana yupo na mumewake lakn mda wote busy na sim

    • @rjmoirati7242
      @rjmoirati7242 2 месяца назад

      Manenotu kuoga hapana

    • @rjmoirati7242
      @rjmoirati7242 2 месяца назад

      Manenotu kuoga hapana

    • @Tobias_mhina
      @Tobias_mhina 19 дней назад

      Umalaya tu umeona mwenzio ana faidi kushikwa shikwa sio

  • @RajabuShija
    @RajabuShija 3 месяца назад +5

    ki2 moto sana chande

  • @HappySammys
    @HappySammys 3 месяца назад +5

    Ndyo mna spend kuangalia movie za bongo amjuii kumalizia mnazingua

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph 2 месяца назад +2

    Ila huyu Tony ❤

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 3 месяца назад +1

    M2🎉🎉🎉🎉apo umecheza part yako broo unamwambia dem wako act na rafiki yako

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 kwa kweli leo nlikuwa na bad mood ila nimecheka sana 😂😂😂

  • @Sumaiaingabire
    @Sumaiaingabire 3 месяца назад +3

    Movien zenu kalii chande🥰🥰🥰

  • @faudhiasalehe8521
    @faudhiasalehe8521 3 месяца назад +10

    Chande huyo mkeo ajui kabisa kuigiza hapana kwa kweli

    • @BazusimboSimbokhan
      @BazusimboSimbokhan 3 месяца назад

      Acha zako ako sawa sana huyo dem

    • @fey-ge9pm
      @fey-ge9pm 3 месяца назад

      Amna bhana huyo dada kama cyo mtanzania au hajazoea kiswahili

  • @HarerimanaFeza
    @HarerimanaFeza 3 месяца назад +6

    Ko wenye myaka 12 ndo wakuogopa😂😂😂😂

  • @KasambekoMaria-bv3px
    @KasambekoMaria-bv3px 3 месяца назад +2

    Uyu mdada ajui bhna Ila hemed unapenda sana kukiss kiss kaah😅😂😂

  • @menejahimself9855
    @menejahimself9855 3 дня назад

    Iyo kipande cha umalaya tu kuoga aaah😂🙌🏽 apo nyuma iyo video mmeplay au sijaona vzuri

  • @JumaShukuru
    @JumaShukuru 3 месяца назад +1

    Da! Aiseeee yuo very very naic👏👏👏👏

  • @NeliaDaniel-h9s
    @NeliaDaniel-h9s 3 месяца назад +2

    💛💚💛💚💛💚💛💚💛🫶🙏🤲💚💛💚💛💚💛 hongereni sana kwa kazi 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🤲🙏🫶🤝

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 3 месяца назад +1

    Hemedi kwama busu heee😂😂😂mm hapo ndo anaponiacha hoii😂😂😂

  • @OmarSulaiman-y7o
    @OmarSulaiman-y7o 2 месяца назад

    Tony ni mnyamwezi ase natamani kuja dar es salam vyombo naona vipo alafu unyama mwingi nimeipenda sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HellenaKakolanya
    @HellenaKakolanya Месяц назад

    Mnao msema hemedy mwanamke ajui ata hemedy anamkwepa kama ajamkubali ajiachii nae ndomana pia uyo dada kama sio mbongo ila ana ndonya ya kigogo 🙄 jocks 😂😂 kazi nzurii

  • @NuruMwamure-w6d
    @NuruMwamure-w6d 18 дней назад +1

    Hemed wewe ni mzur bila tattoo plz usichore

  • @RuqaiyahIssa
    @RuqaiyahIssa 26 дней назад

    Ni kwel yup vzr hemedy

  • @minaelsamson5352
    @minaelsamson5352 3 месяца назад

    Tonny's friends❤❤❤❤ nampenda bureeeee🎉🎉🎉

  • @SoniaAndrew-ts8ie
    @SoniaAndrew-ts8ie Месяц назад

    Huyo mke wa chande hajui kuigiZa bwana

  • @AminanassorHassan
    @AminanassorHassan 3 месяца назад +5

    Jamooon tony hee umenichekesha alipopiga chabo nakuanguka chini😂😂