Wanasheria Wajitosa Sakata la Ngorongoro, Mwabukusi Aelezea Hatua Zinazofuata.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Rais wa Chama cha Mwakili Boniface Mwabukusi ameeleza leo Agosti 20,2024, kuwa chama hicho kimeunda kamati maalum ya kufuatilia suala la kuhamishwa wamasai wa Ngorongoro.
    Mwabukusi ameongea haya katika ofisi zao za Wakili House.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 165

  • @almasisalehe8164
    @almasisalehe8164 22 дня назад +19

    TLS kimbilio la wanyonge. Hongereni sana. Mungu aendelee kuwaangazia

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 22 дня назад +10

    Mungu amekuchagua tutetee wanyonge wa Tanganyika. Tunakuombea afya njema, maisha marefu na amani. Shujaa wa kisheria, Sheria onaokoa pia roho za watu zisipotee motoni. Mungu alulinde na akubariki sana mh. Mwambukisi.

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 22 дня назад +12

    Hongera na Uhogozi Mpya wenye kishindo chapa kazi

  • @YAHAYA-xr8pu
    @YAHAYA-xr8pu 22 дня назад +11

    Huyu huwa hatishiki istoshe ni mwanasheria msomi na anatembelea kwenye haki kuzingatia katiba, sera na Sheria

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o 22 дня назад +9

    Big up mzee wa section 4.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 22 дня назад +7

    Mungu akulinde mh mwambukusi watanzania tupo pamoja na wewe

  • @Mussa-w4p
    @Mussa-w4p 22 дня назад +6

    Mzee mwenyezi mungu akupe umri akuepushe namabaya yote mimi nakuombea sana nanimenuia kukutolea sadaka kwaajili yauhai wako

    • @faza4023
      @faza4023 22 дня назад +1

      Mungu akuzidishie

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi 22 дня назад +9

    Mwabukusi the coming president of republic of Tanganyika.Viva Mwabukusi , I watching from Chirorwe emajita Tanzania

    • @elizabethmwamdanga7377
      @elizabethmwamdanga7377 22 дня назад

      🎉🎉🎉🎉🎉

    • @josephlango5591
      @josephlango5591 22 дня назад

      Kutiki mkaruka

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 22 дня назад +7

    Hongera sana Mr president Mwabukusi kwa kusimama na watanzania.Mungu akubariki na akulinde.

  • @thomaslali705
    @thomaslali705 22 дня назад +7

    Well. A nice beginning

  • @GodfreyErene
    @GodfreyErene 22 дня назад +7

    Mungu akuzidishie uhai, hekima na busara

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 22 дня назад +15

    Mnafutaje ngorongo kwenye Ramani ya Tanzania na mnapeleka kwenye Ramani ya mwarabu

  • @NeyesuMarko
    @NeyesuMarko 22 дня назад +4

    Barikiwa sana baba mungu aongeze miaka yako kama ya ezekia

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 22 дня назад +3

    Mungu akubariki sana kama utawatendea haki Hili chimbuko letu la wamasai wanaonyanyaswa kinyume na utaratibu,,

  • @stevenmanzi8
    @stevenmanzi8 22 дня назад +6

    Hongera rais wa wanasheria

  • @andrewdenismabala8712
    @andrewdenismabala8712 22 дня назад +7

    TLS imepata kiongozi. Hongereni mawakili wasomi kwa kufanya maamuzi yaliyopelekea kupatikana kwa Rai Mpya.

  • @noeltabejo3043
    @noeltabejo3043 20 дней назад +1

    Jitahidini sana kutetea haki za watu Mungu awabariki

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 22 дня назад +3

    Hongera sana mungu akulinde❤

  • @JoyceKisenga-mq8tt
    @JoyceKisenga-mq8tt 20 дней назад +2

    Mungu amekuinua kwa ajili ya wanyonge fanya kazi ya MUNGU na Mungu akubariki mtumishi

  • @DanielSilanga
    @DanielSilanga 22 дня назад +2

    Tls mungu awabariki tunanyanyazwa sana wanangorongiro

  • @rizikmrema7243
    @rizikmrema7243 22 дня назад +4

    Mimi nalikubali sana Tls

  • @jeremiaholesingooi3940
    @jeremiaholesingooi3940 22 дня назад +5

    Mfano wa kuingwa kwa Tanzania na kimataifa kwa kuwatetea watanzania wanyonge

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 17 дней назад

    Mungu akubariki sana kwakuteteya watu wangorongoro

  • @user-uf8uv7sb7j
    @user-uf8uv7sb7j 22 дня назад +8

    Mungu akubariki sana Mr President, uishi sana ututete baba.
    Tunaumizwa sana

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 20 дней назад +1

    Wakati sahihi wa Mungu umefika Mungu tulinde wote na rasilimali zetu

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 17 дней назад

    Uyu Bwana nimetokea kumpenda sana.Mzalendo wa kweli kweli

  • @Stephano-sy4ou
    @Stephano-sy4ou 22 дня назад +2

    Piga kazi baba ndio maana mungu amekupa kiti hiyo bless you more papaaaaaaa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 22 дня назад +4

    Nchi imekuwa ya kuteka watu tu kha! Hatari sana

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @LUKASMREFU
    @LUKASMREFU 22 дня назад +1

    Hongera baba kwa kusema ukweli kuhusu swala la ngorongoro.

  • @SamweliLMbukiLaizerLaizer
    @SamweliLMbukiLaizerLaizer 21 день назад +1

    TLS Kimbilio letu Wanyonge, Hongeni Xana Kwa Tamko leni Mungu Awaongezee juhudi ya kutupigani Xisi Walala hoi😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤

  • @NaomiSamson-wc9cl
    @NaomiSamson-wc9cl 22 дня назад +6

    Mwabukusi anafaa kuongoza taifa la Tanzania, ni mtetezi wa raia

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 22 дня назад +2

      Huyu na wengine wa Aina yake ndio wangefaa kuwa viongozi wa nchi na sio hawa wachumia matumbo tulio nao

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 22 дня назад

      Nani aongozwe na Mgonjwa wa Akili huyu! LAbda akaongoze Ukoo wenu

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 22 дня назад

      @@tanzanite9944 Afadhali yeye maana ulivyoandika inaelekea ukoo wenu nyote ni mbulala wasioelewa lolote linaloendelea duniani

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 22 дня назад

      @@tanzanite9944 wewe mwendawazimu tupishe

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 22 дня назад

      @@tanzanite9944 Afadhali ukoo wake maana wenu una mbulala tu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 22 дня назад +4

    Hii ndio TLS , yenye meno, yenye kucha, na yenye kichwa ambayo tuliihitaji .
    Tumepata panya wa kulivika kengele "paka jike" hili!!

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 22 дня назад +1

    Unakabia kwa juu sana

  • @alfredmtundu9558
    @alfredmtundu9558 22 дня назад +4

    Naona TLS ipo kazini, pongezi kwenu wote

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 22 дня назад +4

    Kwenye hiki wanachofanyiwa Watanzania wenzetu hata kama sio mwanasheria haiwezekani Jamani wanateswa kisaiklojia wakiwa ndani ya nchi yao.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @PereKawaga
    @PereKawaga 17 дней назад

    Mungu azdi kuwa mwema kwako mwabukusi

  • @danieloltwati
    @danieloltwati 22 дня назад +3

    ss wamasai sio kwa tunaomb msaad ni kwamb ni lazim tupew hak yet

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 22 дня назад +3

    Asante Mwabukusi

  • @MafonyeMakhanje
    @MafonyeMakhanje 16 дней назад

    Naomba kuuliza Mimi mtazania nitaipataje katiba, au kopi ya katiba,niweze kuisoma,na kuielewa,

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete 17 дней назад

    Mwabukusi unamwabudu mungu ktk roho wewe mtumishi wa mungu

  • @asmaraentertainment668
    @asmaraentertainment668 19 дней назад

    Safi sana kamanda chapa kazi mkuu haki itendeke

  • @gastonmodestkaziri2566
    @gastonmodestkaziri2566 22 дня назад +1

    Hongera sana Mhe. Kiongozi wa TLS katika hili unalozungumzia la Wananchi wa Ngorongoro! Naomba nikuulize kwa nia njema kabisa: Hivi nani au ni Mamlaka ipi yenye Mamlaka juu ya Ardhi ya Tanzania? Au niulize hivi, Serikali iliyopo Madarakani haina Mamlaka ya kusimamia masuala ya Ardhi na makazi ya watu?

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 22 дня назад +1

    MUNGU akujalie afya njema na uhai,, maadui wafe wao🙏🙏

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 18 дней назад

    Amina

  • @YAHAYA-xr8pu
    @YAHAYA-xr8pu 22 дня назад +3

    Huyu mwamba alipandia ngazi au cheo kupitia bandari alipinga uwekezaji na kushughulikiwa na akashinda mahakamani na akabakia na msimamo wake na Dunia ikajua rasmi

  • @cosmasjohn3086
    @cosmasjohn3086 22 дня назад +2

    hongelen

  • @KlugarNguvila
    @KlugarNguvila 22 дня назад +1

    Nakubr br

  • @KamiliusMsilu
    @KamiliusMsilu 22 дня назад +1

    Tunashuru sana nimekuewa.

  • @Stephenmangera
    @Stephenmangera 6 дней назад

    Huyu ndo kasimamia haki hadi kurundishwa huduma muhimu kwa wanangorongoro

  • @juliasmusangamusanga
    @juliasmusangamusanga 22 дня назад

    Mungu hawabariki sana kibilio la wanyonge hongereni sana 🙏🦁

  • @user-oq1zv2nv8n
    @user-oq1zv2nv8n 20 дней назад

    Brooo.chakula.unachokula.na.ulinzi.wako.ujilinde.mdogo.wangu.maisha.haya.sio

  • @johnkona496
    @johnkona496 22 дня назад

    Safi sana na hongereni sana mnatimiza kusudi la Mungu

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 21 день назад

    Mungu ukupe nguvu kiongoz wetu mpenda haki ❤

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 21 день назад +1

    Yaani raisi wa TLS Ana matamko kama rais wa nchi. Raisi wetu ni chura kiziwi

  • @user-ik1jq9gx6j
    @user-ik1jq9gx6j 20 дней назад

    Hongera sana TLS mungu wabariki san

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 19 дней назад

    Mwabukus sijui tukufiche wapi ili wabaya wanaokwamishwa shughuli zao za kinn wasikutende mabaya nakukabidhi mikononi mwa Mungu ktk mbawa zake

  • @gwejonoah1900
    @gwejonoah1900 21 день назад

    unafaa kuwa raisi wa tz❤

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 19 дней назад

    Achukuliwe na yy hatua kwa sbabu amevunja sheria sasa God stand be fore Us

  • @abednego3876
    @abednego3876 22 дня назад +2

    HAKI za binadamu mbn hawaongei kumbe ni wasenge tu.😊

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      Wanatetea MALAYA WANAOZALISHWA NA KURUDI MASHULENI

  • @mwajumaShabani-u3i
    @mwajumaShabani-u3i 21 день назад

    Mungu akulinde sana kaka

  • @hubertrevelian8488
    @hubertrevelian8488 20 дней назад

    Hongera sana TLS mtatusaidia sana Kwani uonevu umeidi

  • @NaomiSamson-wc9cl
    @NaomiSamson-wc9cl 22 дня назад +1

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 22 дня назад +1

    Wilaya ya Handeni kata ya kwamatuku nayo kumeoza kama mtaona ujumbe huu naomba myafanyie kazi watu wanachomewa manyumba zao kwa mda huu unaongea wewe ebu jamani mtuzaidieni

  • @RenatusMatungwa-o7c
    @RenatusMatungwa-o7c 21 день назад +2

    Huyu ndo rais wa Tanzania ajaye kamateni maneno yangu

  • @davidsaul67
    @davidsaul67 19 дней назад

    MUNGU awajua watu wake Mr President Mwabukusi Simamia haki na elimu kwa Umma,Mungu ndo mwamuzi tunakupomgeza TANGANYIKA inawezekana TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @PeterKisiongo
    @PeterKisiongo 22 дня назад +2

    Ya Nini munatuteza Sana sisi Wana ngorongoro jamani tumekosea Nini hi serekali ya Samia

    • @shedrackclever7423
      @shedrackclever7423 21 день назад

      Polen lkn muarobaini wa ngorongoro ni mwabukusi tuu c vinginevyo

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 18 дней назад

    Huyu ndo mtetezi wa kweli siyo hao akina bashite

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 20 дней назад

    Hakika Kipele kimepata mkunaji

  • @DaudiSanga-m5o
    @DaudiSanga-m5o 22 дня назад +1

    Nakuamini mweshimiwa mwabukusi chapa kazi hiyo serkali yetu inahitaji mtu kama wewe

  • @user-pl6et5uu6w
    @user-pl6et5uu6w 22 дня назад

    Very good ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 22 дня назад +1

    Unawahamishe watu kwenye eneo lao la asili kisa mwekezaji wa kiarabu.

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 22 дня назад

    Tunashukuru mwabukusi rais wa TLS MUNGU azidi kuwa nanyi katka harakat za kulipigania taifa letu😅

  • @Zaikadena
    @Zaikadena 22 дня назад

    Kwel mungu anajibu kwa wakati

  • @PeternKone
    @PeternKone 21 день назад

    Kweli kabisa

  • @55goodmen
    @55goodmen 22 дня назад +1

    TUNAHITAJI HAWA VIONGOZI WEE ACHA TU MWAKABUSI IS A BRAVE AND A HERO FOR HIS PEOPLE FUTURE PRESIDENT ?? WHY NOT

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @MnmTv255
    @MnmTv255 22 дня назад

    Asante

  • @godiusmghase8146
    @godiusmghase8146 20 дней назад

    Leo ffu je

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 22 дня назад

    Hv tls ilikuaga haina kiongozi zamani

  • @JonhMosikoi
    @JonhMosikoi 22 дня назад

    ❤❤❤

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo 20 дней назад

    HIVI ILA INAKERA AU BASI 😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j 22 дня назад +1

    TLS toeni namba za simu pale watanzania wanapo kutana na kadhia za police na selikali yake hili raia tupate msahada wenu wakishelia

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 22 дня назад

    Njee ya mashariki mwa Tz kuna viongozi wazuri sana. hongera sana Mwana wa kyala

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      Kandahar ya Ziwa Victoria inaongoza….Nyerere, Magufuli, Jenerali Mabeyo

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      JAJI Warioba,

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 22 дня назад +2

    Kwani amasai Simba,nyumbu,chui,twiga n.k Nani alianza kukaa ngorongoro? MAANA Mimi naona Mungu aliwaweka pamoja,tangu enzi. Sasa kwa Nini mwanadanu atolewe ,wabaki wanyama..? Kwa Nini wanyama wapendelewe? Hii sio haji kabisaaaa

    • @OleSumaay
      @OleSumaay 22 дня назад

      Waarabu wamenunua ardhi yetu

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @isackmichael-pd2is
    @isackmichael-pd2is 20 дней назад

    Mwabukusi oyeeeeee 100&

  • @barakaArmunai-mz4jb
    @barakaArmunai-mz4jb 20 дней назад

    Jaman tendeni haki kama sheria inavyosema

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 22 дня назад +2

    Ngorongo wanataka kufanyia nini na je hili pato la Ngorongo huwa linaenda kwa mamlaka gani?au ni mfuko wa Rais?

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 22 дня назад +3

      Mfuko wa mama abdullahaman

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 22 дня назад +1

      @@helencyprian8745MAPAROKO WACHENI CHUKI NA NJAA NDIO MNAKUFA MAPEMA😢😢

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 22 дня назад +1

    Tangu niijuwe TLS sijawahi kuona Rais wake akiwa kama Rais huyu, je? Wengine mliopita hamkuyaona haya? Haya tuzidi kumuomba Allah. Tutasikia na kuona mengi.

  • @user-jd1xk8pf7g
    @user-jd1xk8pf7g 20 дней назад

    Tuko pamoja kuatetea wa masai

  • @raphaelmadiya3462
    @raphaelmadiya3462 22 дня назад

    Sheria inatumika vibaya ndani ya Taifa hili, ikumbukwe tangu Kabla ya uhuru, Wamasai walikuwa maeneo Yale.

  • @CremenceKavishe-rv1xg
    @CremenceKavishe-rv1xg 21 день назад

    Hawa mawaziri wanao vunja sheria tuwaburuze mahakaman kama wananchi wengine nafurahi kumpata rais wa Tls ambae anaielewa vizuri nchi yetu Mungu akulinde bonfasi mwabukusi.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @MaikomasettoMaseetomasai
    @MaikomasettoMaseetomasai 22 дня назад

    Kweli baba kuusu ngorongoro

  • @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl
    @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl 22 дня назад +1

    Wamasai Wana HAKI wasikilizwe TLS SIMAMIENI HILO KUFA NA KUPONA MSIRUHUSU RUSHWA ITAWALE NCHI

  • @MhojaJohn
    @MhojaJohn 22 дня назад +1

    Tusikubari tisaidieni tls

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 22 дня назад

    Kaza Uzi Vizuri Msomi Mwabukusi. Nchi inahitaji watu kama wewe, na sio wachumia matumbo

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 22 дня назад

    Wao wanaona raha kuwaondoa watu kwalazima. Wanaonaje na wao wakaondoka kule maeneo ya MBWENI,MASAKI, MIKOCHENI na UNUNIO walikojenga majumba yakifahari maana maeneo hayo pia ni Hifadhi ya Bahari au kwakuwa niwakubwa

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 20 дней назад

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @MungayaLaitayok-mr1gs
    @MungayaLaitayok-mr1gs 22 дня назад

    Uongozi wote Samia haija waikufanya chochote Ngorongoro hata kurepea

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 22 дня назад +1

    Mwabukusi na makonda wanafaa kua raisi wa tz

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p 22 дня назад +1

    Mkomboz wa wa tanganyika kaanza kazi

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 22 дня назад

    Hakika kwa kauli hii tuimbe mungu bado kitambo kidogo tutafika mwabukusi ni mwamba mwendo wa troure

  • @HansChuma
    @HansChuma 22 дня назад

    Mkiwa na wanasiasa wa roho bas hamtoweza fika mm nasemaga kilasiku hatutoweza songa mbele kama huyu mdudu mtu aitwae ccm bado yupo madarakan nasemaga tena wananch sisi tunayoyataka nimendeleo kulinda haki zawananchi na uzarendo nakupigania nchi yetu kwakuiilinda ila viongozi wetu asilimia90 niwadhaifu waroho na wasiokua na uzarendo na nchi yetu ya tanzania dah noma sana