Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1
HTML-код
- Опубликовано: 28 авг 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Nikuibie tu siri ya kabatini kuhusu haya mazungumzo yangu na Aunty Ezekiel, kwanza ilikua ngumu sana mpaka alipofika hapa kwenye kiti maana mazungumzo haya yalighairishwa zaidi ya mara tatu mpaka ilipofika siku hii. Kwa imani yangu nisema Mungu ana mipango yake, yaani kila kitu kwa wakati wake na bila ya shaka wakati wa hii ulikua haijafika bado ndo maana haikutokea na kwa kutokea siku hii, huu ndo ulikua wakati sahihi kabisa.
Mimi na yeye tunafahamia ki vyetu, si watu ambao tunakutana kila siku ila ni watu ambao tukikutana tuna click tu vizuri na mambo yanaenda. Marafiki zetu wengi pia wanafahamiana kwahiyo tunaenda tu vizuri. Na nia na madhumuni ya sisi kumtaka kwenye kiti chetu ni kwasababu wote tunajua amepitia mengi na kwa yeye kutusimulia kuhusu makuzi yake na mahangaiko yake yanafaa nafasi kwenye kiti chetu.
Toka mara ya kwanza kusikia jina la Aunty Ezekiel naamini miaka mingi tu ishapita, kama wewe ni wale wa zamani kama mimi basi utakua unamjua toka miaka ya katikati ya 2000 baada ya kuwa mmoja ya kundi la wasichana wazuri ambao walishawahi kushiriki Miss Tanzania. Kwenye mwaka ambao Aunty alishiriki kulikua na warembo kama Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Irene Uwoya kuwataja tu wachache. Aunty yeye naye alikua kati ya wale waliongia Top 10. Mwaka huo ulikua mwaka wa ushindani sana lakini wengi ambao walimaliza vizuri ndio hawa mpaka leo wanaendelea kufanya vizuri katika nyanja mbali mbali ambazo wao wamezishagua.
Aunty sasa ni Mama wa watoto wawili ambao ameniambia ni kila kitu kwake, wanampa sababu ya kutaka kuendelea kuishi na kuwa bora kwao kila wakati, nilimuuliza siku ya kwanza alipompata mtoto wake wa kwanza, na hisia yake ilikuaje, na anakumbuka jinsi ambavyo aligundua ana ujauzito na mara ya kwanza anamshika Cookie mikononi mwake.
Aunty pia anakumbuka ‘ujana’ wake na mengi aloyapitia mpaka akawa hivi alivyo leo.
Kuna suala la yeye kuwa na mahusiano na wanaume ambao ni wadogo kuliko yeye, au wale ambao alikua nao zamani ambao walikua wakubwa kuliko yeye, Aunty amenielezea maoni yake juu ya hili. Mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, Mama yake.. Alivyolelewa na machaguzi ambayo aliwahi kuyafanya wakati anakua na pengine maamuzi mabaya au kama ana majuto katika maisha yake.
Kama binadamu kuna baadhi ya mambo yanakua magumu kuwa nayo wazi au kuyaelezea kinaga ubaga, Ila hata kwa haya ambayo tuliongea nae natumai utapata ya kujifunza kupitia yeye.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz Развлечения
Aunt ezekiel is very matured kuliko nilivyokuwa namfikiria
Aunty yani nakupenda mbaka basi tunafanana wousi waku ngaa unashingo nzuru kama yangu MashaAllah ❤️❤️❤️
She is so real and Kusah looks good on her. Salama hebu mlete Diamond na muulize hivi hivi mbona anacheza na wanawake
Ant nimekupendaaa unajibu vizur mapenz na umri wapi na wap Bora upate furaha ya moyo wako
Nampenda aunt, napenda perceptions zake, anaridhika na maisha
I love her, she's proud of herself 💋
Haswaaaa kabisa mungu atusaidie wanaoishi na wazee wanachangamoto yanikupelekana mahakamani kisa mali.
I love the way she is straight up 😍👌 I gatch u aunt
I wish this interview could be longer than it is, Salama you’re professional I like your show, Aunt also is so kind, I didn’t expect her to answer those questions deeply also politely.I LOVE YOU Aunt❤️❤️❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Yeah
Mimi ni Nicky kutoka Rwanda, nawapenda sana
Huwa nampenda sana ant Coz mkwel sanaa
Aunt mineno hyooo👌👌👌wazee wanachosha jamanii 😆😆😆😆🤣vijana wana radha zao mzee ana koroma huyoo kama injin ilyokosa majiii🙄🙄
Akhiiiii nimecheka kwa nn lakini Cathy🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Mdada unty anaakil kubwa na busara zaid ,na salama ana busara zaidi kupindukia
Mashaallah km mzuri utafatwa na wtt ht uwe umri mkubwa kasbbu analipa ant zeki mzuri hajachuja
Nampenda sana aunt, kwanza n muwazi an interview zake na enjoy 🥰🥰
Auntie, Mungu akuzidishie. Nimependa SANA uwazi wako. Hii nitaicopy nimtumie mtu wangu. Nitamwelekeza asikilize hapo ulipoongelea kuwa namba 1. Na unavyoridhika na hapo ulipo. Akisikiliza na kuelewa sawa. Akiona mchosho poa pia. Mimi na wewe tumeshavuka mengi. 😉Leo umenipa sababu ya kuishi zaidi niwe MIMI. Ahsante.
Ni kweli ukiwa na marafiki wa kiume wanakua na msada kuliko wanawake.
Wanawake wengi ni wanafiki... wambea... waongo sana.. wezi wa mab....na wengi wachawi 🤐🤐🤐🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye uchawi
Salama I love your project...aunty is too matured. Your very passionate about everything. Nairobi tuko rock
Nampenda 🤗🌻 Aunt since with marehem kanumba.. young bilionea
Natamani siku moja dada na me nije kwenye hiyo interview #@swahili vibes tz
Yani Aunt ww ni 🔥🔥🔥
Salama nuff respect ✊
Interesting interview it’s love all the way 🇰🇪
Salama mtafute tea....ndumbangwe misayo plz...
Aki my favorite venye nilikua namuandika kwenye Kila vitabu vyangu nikiwa shule 🤣🤣🤣🤣🤣
Salama allah mungu akuweke salama km jina lako Mrs kusah ni mwanamke bora nampenda allah amrinde na kila dhira la dunia ampe kila hitaji la moyo wake lililokuwa la kheri
She is thankful ❤️❤️❤️
Noma sana
Nice salama kutuletea mpenzi wetu
Nakupenda sana twin wng #Anty
Penda kile kinachokupa amani,,,🥰☺️👌
Salama maswar yako tu ukwer unafunguka wenyewee nakukubar sanaa
Nakupenda sana mama kuki 🥰🥰
Nampenda Aunty intvr nzuri kabisa
Nakupenda ant ezekiel upo muwazi sana ktk maongez yako nahisi pia hata kwenye mahusiano migogolo inapotokea nahc hao jamaa ndo wanaokukosea
Nampenda sana auntie Ako poa naomba kufanya kazi na yy
Maman kuki nakupend bure❤❤❤❤
Aunt ume nifilahisha. Nakupenda. Sana😂😂😂❤❤❤
Asante sana anty uko vzr nakupenda tuu jmn
I love Aunty she is so real😍😍💕💕
Nakupenda bule 😍😍😍😍😍😍❤❤❤
Safi sana antie ake .
Nakupenda shoga
Sallam iknw you from long time kunasikuu nita uliza shwahil ngumu
Wow majibu hayana mbamba 🤗🙌
🇴🇲🇴🇲❤️show number one
Kipindi kizuri...big fan from kenya
nakupenda sana
Aunty Nakupenda sana😍😍😍
Aunt love you 💗
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakupenda bure
Bien parlins😍
Salama big up unajua sana 😘😘😘
Aunt ulipoacha kugandana na wema ndio ukaacha ku fake 😅
Aunt nakupenda Sana
I love her so much please bring wolper
Wewe ni Mimi kabisaa😂😂😂Rehema Luwanja anajua😂😂😂
muwa journaliste wa tzn salama anajuwa kuhoji ongera sana
Salama aisee you are very smart
💯
Jamani nampenda anti anajielewa
mwalike Mrisho Mpoto na Odama.
👌
Gud vibes
So humble
ant nakupenda sana jaman napenda nikuone anakwaana jaman
Injoy nawatoto ndo maisha dada yngu
This is good I request for navykenzo
Nakupenda sana Anti😊
I love u auntie😘😘😘
Nice.interview...
Anti safi sana
Wow
Mbavu zangu hoi
Aunt you are very clever 👍👍👍👍🙏
Ilove you so much mama anty❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Nimempenda Anty bure kujiamini raha sana
Wema,,,,,,,,, je nnnnnn shoga
Love u aunty💋
Tutukane tu unty wazee tuko hivo kweli
Ant napenda rangi yake
I love you aunty
Safi cna upo sahihi majibu yko ht dini inaruhusu mwanamke mkubwa kuolewa na mwanaume ht km umemzidi umri hakuna kitu tofauti au mabadiliko ni sawa
❤❤❤
Smart
I would love to see a sit down between you na harmonize
Salama... Unajua sikuzote... Aunt Ezekiel weuwe ni mdada pouwa Sana...trust me haujazeekaaa... Nimeipenda ulivyoongea... U speak vizur munooo hahahahahah umri it's a number... We ishiiituuu maishayako bhana...
🌟
Nikiwa mkubwa nataman kuwa kama Aunt 🤣🤣🤣🤣
Nic
Mm nampenda sana huyu anti na shemsa ford.
Aaah salama ulivyo nakupendaga tu nahicho kisauti ulichokiigiza apo nimependa
tuletee na watu wa football .. kina haji ..feisal .. mkude ... kasejaaa
Mimi nimekwama hapo kwa mzee usiku ukifika ati utampeleka wap😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤
Vitanda vya Mwimbili Sasa
Napendaga anavyoongea sana yaan hapa nafeeel guuud
Aunt umezeeka siyamii kama macho yangu, nikitizama pics zako na iyo interview naona niwatu wa 2 tafauti,umezeeka nashingo limeisha jikunja Ila nakupendaga sana,,🇧🇮
Amezeeka miaka 30 naa!?
Sio mzee Ila kila mtu atapitia huko.
Tulete Harmonize but nice interview
Fanya na maza house..Jina limepotea ila mwanadada muigizaji
Hapo uliposema uhitaji makubwa nimegundua wewe ni mtu mwenye upeo sana!
Jack Pemba 😂🤣
Muite Halima Mdee
😂😂
Mbona ya zuchu ujaiweka RUclips mpaka now