Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Nikuibie tu siri ya kabatini kuhusu haya mazungumzo yangu na Aunty Ezekiel, kwanza ilikua ngumu sana mpaka alipofika hapa kwenye kiti maana mazungumzo haya yalighairishwa zaidi ya mara tatu mpaka ilipofika siku hii. Kwa imani yangu nisema Mungu ana mipango yake, yaani kila kitu kwa wakati wake na bila ya shaka wakati wa hii ulikua haijafika bado ndo maana haikutokea na kwa kutokea siku hii, huu ndo ulikua wakati sahihi kabisa.
    Mimi na yeye tunafahamia ki vyetu, si watu ambao tunakutana kila siku ila ni watu ambao tukikutana tuna click tu vizuri na mambo yanaenda. Marafiki zetu wengi pia wanafahamiana kwahiyo tunaenda tu vizuri. Na nia na madhumuni ya sisi kumtaka kwenye kiti chetu ni kwasababu wote tunajua amepitia mengi na kwa yeye kutusimulia kuhusu makuzi yake na mahangaiko yake yanafaa nafasi kwenye kiti chetu.
    Toka mara ya kwanza kusikia jina la Aunty Ezekiel naamini miaka mingi tu ishapita, kama wewe ni wale wa zamani kama mimi basi utakua unamjua toka miaka ya katikati ya 2000 baada ya kuwa mmoja ya kundi la wasichana wazuri ambao walishawahi kushiriki Miss Tanzania. Kwenye mwaka ambao Aunty alishiriki kulikua na warembo kama Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Irene Uwoya kuwataja tu wachache. Aunty yeye naye alikua kati ya wale waliongia Top 10. Mwaka huo ulikua mwaka wa ushindani sana lakini wengi ambao walimaliza vizuri ndio hawa mpaka leo wanaendelea kufanya vizuri katika nyanja mbali mbali ambazo wao wamezishagua.
    Aunty sasa ni Mama wa watoto wawili ambao ameniambia ni kila kitu kwake, wanampa sababu ya kutaka kuendelea kuishi na kuwa bora kwao kila wakati, nilimuuliza siku ya kwanza alipompata mtoto wake wa kwanza, na hisia yake ilikuaje, na anakumbuka jinsi ambavyo aligundua ana ujauzito na mara ya kwanza anamshika Cookie mikononi mwake.
    Aunty pia anakumbuka ‘ujana’ wake na mengi aloyapitia mpaka akawa hivi alivyo leo.
    Kuna suala la yeye kuwa na mahusiano na wanaume ambao ni wadogo kuliko yeye, au wale ambao alikua nao zamani ambao walikua wakubwa kuliko yeye, Aunty amenielezea maoni yake juu ya hili. Mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, Mama yake.. Alivyolelewa na machaguzi ambayo aliwahi kuyafanya wakati anakua na pengine maamuzi mabaya au kama ana majuto katika maisha yake.
    Kama binadamu kuna baadhi ya mambo yanakua magumu kuwa nayo wazi au kuyaelezea kinaga ubaga, Ila hata kwa haya ambayo tuliongea nae natumai utapata ya kujifunza kupitia yeye.
    Tafadhali Enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 177

  • @BGHaule
    @BGHaule Год назад +5

    Aunt ezekiel is very matured kuliko nilivyokuwa namfikiria

  • @aishamunezero6840
    @aishamunezero6840 Год назад +15

    Aunty yani nakupenda mbaka basi tunafanana wousi waku ngaa unashingo nzuru kama yangu MashaAllah ❤️❤️❤️

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 Год назад +20

    She is so real and Kusah looks good on her. Salama hebu mlete Diamond na muulize hivi hivi mbona anacheza na wanawake

  • @terrychaupole9473
    @terrychaupole9473 Год назад +21

    Ant nimekupendaaa unajibu vizur mapenz na umri wapi na wap Bora upate furaha ya moyo wako

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 Год назад +25

    Nampenda aunt, napenda perceptions zake, anaridhika na maisha

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 Год назад +21

    I love her, she's proud of herself 💋

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +11

    Haswaaaa kabisa mungu atusaidie wanaoishi na wazee wanachangamoto yanikupelekana mahakamani kisa mali.

  • @jamesmugala8944
    @jamesmugala8944 Год назад +15

    I love the way she is straight up 😍👌 I gatch u aunt

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 Год назад +20

    I wish this interview could be longer than it is, Salama you’re professional I like your show, Aunt also is so kind, I didn’t expect her to answer those questions deeply also politely.I LOVE YOU Aunt❤️❤️❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @Interracialcouple.
    @Interracialcouple. Год назад +6

    Mimi ni Nicky kutoka Rwanda, nawapenda sana

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +9

    Huwa nampenda sana ant Coz mkwel sanaa

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Год назад +11

    Aunt mineno hyooo👌👌👌wazee wanachosha jamanii 😆😆😆😆🤣vijana wana radha zao mzee ana koroma huyoo kama injin ilyokosa majiii🙄🙄

    • @annamsuluja228
      @annamsuluja228 Год назад +1

      Akhiiiii nimecheka kwa nn lakini Cathy🤣🤣🤣🤣🤣

    • @asia9930
      @asia9930 Год назад

      🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 Год назад +4

    Mdada unty anaakil kubwa na busara zaid ,na salama ana busara zaidi kupindukia

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 11 месяцев назад +1

    Mashaallah km mzuri utafatwa na wtt ht uwe umri mkubwa kasbbu analipa ant zeki mzuri hajachuja

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Год назад +23

    Nampenda sana aunt, kwanza n muwazi an interview zake na enjoy 🥰🥰

  • @TheMastertz
    @TheMastertz Год назад +3

    Auntie, Mungu akuzidishie. Nimependa SANA uwazi wako. Hii nitaicopy nimtumie mtu wangu. Nitamwelekeza asikilize hapo ulipoongelea kuwa namba 1. Na unavyoridhika na hapo ulipo. Akisikiliza na kuelewa sawa. Akiona mchosho poa pia. Mimi na wewe tumeshavuka mengi. 😉Leo umenipa sababu ya kuishi zaidi niwe MIMI. Ahsante.

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 Год назад +9

    Ni kweli ukiwa na marafiki wa kiume wanakua na msada kuliko wanawake.
    Wanawake wengi ni wanafiki... wambea... waongo sana.. wezi wa mab....na wengi wachawi 🤐🤐🤐🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @alvinmbugua9830
    @alvinmbugua9830 Год назад +5

    Salama I love your project...aunty is too matured. Your very passionate about everything. Nairobi tuko rock

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Год назад

    Nampenda 🤗🌻 Aunt since with marehem kanumba.. young bilionea

  • @eddobiz9452
    @eddobiz9452 Год назад +12

    Natamani siku moja dada na me nije kwenye hiyo interview #@swahili vibes tz

  • @christinenzobambona456
    @christinenzobambona456 Год назад +10

    Yani Aunt ww ni 🔥🔥🔥

  • @rafikiyangu34
    @rafikiyangu34 Год назад +5

    Salama nuff respect ✊
    Interesting interview it’s love all the way 🇰🇪

  • @nasrashami5853
    @nasrashami5853 Год назад +14

    Salama mtafute tea....ndumbangwe misayo plz...

  • @njeringugi7939
    @njeringugi7939 Год назад +2

    Aki my favorite venye nilikua namuandika kwenye Kila vitabu vyangu nikiwa shule 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @asmajuma618
    @asmajuma618 Год назад

    Salama allah mungu akuweke salama km jina lako Mrs kusah ni mwanamke bora nampenda allah amrinde na kila dhira la dunia ampe kila hitaji la moyo wake lililokuwa la kheri

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Год назад +5

    She is thankful ❤️❤️❤️

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 Год назад +2

    Noma sana

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +1

    Nice salama kutuletea mpenzi wetu

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 Год назад +3

    Nakupenda sana twin wng #Anty

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Год назад +2

    Penda kile kinachokupa amani,,,🥰☺️👌

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 Год назад +3

    Salama maswar yako tu ukwer unafunguka wenyewee nakukubar sanaa

  • @fatumaomary9635
    @fatumaomary9635 Год назад +6

    Nakupenda sana mama kuki 🥰🥰

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Год назад

    Nampenda Aunty intvr nzuri kabisa

  • @esthermasolwa1340
    @esthermasolwa1340 Год назад +3

    Nakupenda ant ezekiel upo muwazi sana ktk maongez yako nahisi pia hata kwenye mahusiano migogolo inapotokea nahc hao jamaa ndo wanaokukosea

  • @tigerclassic7340
    @tigerclassic7340 Год назад

    Nampenda sana auntie Ako poa naomba kufanya kazi na yy

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 Год назад +3

    Maman kuki nakupend bure❤❤❤❤

  • @desirenathan3734
    @desirenathan3734 Год назад

    Aunt ume nifilahisha. Nakupenda. Sana😂😂😂❤❤❤

  • @eshasozy69
    @eshasozy69 Год назад

    Asante sana anty uko vzr nakupenda tuu jmn

  • @Tigressnjoki.
    @Tigressnjoki. Год назад +6

    I love Aunty she is so real😍😍💕💕

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Год назад +1

    Nakupenda bule 😍😍😍😍😍😍❤❤❤

  • @joycemollel7698
    @joycemollel7698 Год назад

    Safi sana antie ake .

  • @victoriakhatibu2288
    @victoriakhatibu2288 Год назад +1

    Nakupenda shoga

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Год назад +2

    Sallam iknw you from long time kunasikuu nita uliza shwahil ngumu

  • @tausijarufu
    @tausijarufu Год назад

    Wow majibu hayana mbamba 🤗🙌

  • @noru9028
    @noru9028 Год назад +6

    🇴🇲🇴🇲❤️show number one

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 Год назад

    Kipindi kizuri...big fan from kenya

  • @macbethcharlesmadrisha3304
    @macbethcharlesmadrisha3304 Год назад

    nakupenda sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Aunty Nakupenda sana😍😍😍

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +2

    Aunt love you 💗

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku1554 Год назад +4

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakupenda bure

  • @chimezd5502
    @chimezd5502 Год назад +1

    Bien parlins😍

  • @marytemba883
    @marytemba883 Год назад

    Salama big up unajua sana 😘😘😘

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +10

    Aunt ulipoacha kugandana na wema ndio ukaacha ku fake 😅

  • @hidayachanga4774
    @hidayachanga4774 Год назад

    Aunt nakupenda Sana

  • @janetlasoi4918
    @janetlasoi4918 Год назад

    I love her so much please bring wolper

  • @namsifumihungo8504
    @namsifumihungo8504 3 месяца назад

    Wewe ni Mimi kabisaa😂😂😂Rehema Luwanja anajua😂😂😂

  • @ndayiragijehassan6086
    @ndayiragijehassan6086 10 месяцев назад

    muwa journaliste wa tzn salama anajuwa kuhoji ongera sana

  • @anthonymathias6442
    @anthonymathias6442 Год назад +8

    Salama aisee you are very smart

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +1

    Jamani nampenda anti anajielewa

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 Год назад +2

    mwalike Mrisho Mpoto na Odama.

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 Год назад +1

    Gud vibes

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW Год назад

    So humble

  • @macbethcharlesmadrisha3304
    @macbethcharlesmadrisha3304 Год назад

    ant nakupenda sana jaman napenda nikuone anakwaana jaman

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Год назад

    Injoy nawatoto ndo maisha dada yngu

  • @imgiven7584
    @imgiven7584 Год назад +4

    This is good I request for navykenzo

  • @bonphacesaha864
    @bonphacesaha864 Год назад +1

    I love u auntie😘😘😘

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Год назад

    Nice.interview...

  • @sharifasalum532
    @sharifasalum532 Год назад

    Anti safi sana

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 Год назад +2

    Wow

  • @jacklinemhina8337
    @jacklinemhina8337 Год назад +1

    Mbavu zangu hoi

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Год назад +4

    Aunt you are very clever 👍👍👍👍🙏

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 6 месяцев назад

    Ilove you so much mama anty❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @asmamimy8096
    @asmamimy8096 Год назад +2

    Nimempenda Anty bure kujiamini raha sana

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 Год назад +1

    Wema,,,,,,,,, je nnnnnn shoga

  • @mshello4231
    @mshello4231 Год назад

    Love u aunty💋

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Tutukane tu unty wazee tuko hivo kweli

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +3

    Ant napenda rangi yake

  • @airashpopa2960
    @airashpopa2960 Год назад +1

    I love you aunty

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 11 месяцев назад

    Safi cna upo sahihi majibu yko ht dini inaruhusu mwanamke mkubwa kuolewa na mwanaume ht km umemzidi umri hakuna kitu tofauti au mabadiliko ni sawa

  • @magrethjorvin5698
    @magrethjorvin5698 Год назад +2

    ❤❤❤

  • @jaquilinekivunge331
    @jaquilinekivunge331 4 месяца назад

    Smart

  • @Gregoiresidehustle
    @Gregoiresidehustle Год назад +8

    I would love to see a sit down between you na harmonize

  • @happinessshayo2483
    @happinessshayo2483 Год назад +2

    Salama... Unajua sikuzote... Aunt Ezekiel weuwe ni mdada pouwa Sana...trust me haujazeekaaa... Nimeipenda ulivyoongea... U speak vizur munooo hahahahahah umri it's a number... We ishiiituuu maishayako bhana...

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    🌟

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Год назад +10

    Nikiwa mkubwa nataman kuwa kama Aunt 🤣🤣🤣🤣

  • @yemgaboytz7113
    @yemgaboytz7113 Год назад

    Nic

  • @mariamkadio8402
    @mariamkadio8402 Год назад +2

    Mm nampenda sana huyu anti na shemsa ford.

  • @esthermasolwa1340
    @esthermasolwa1340 Год назад

    Aaah salama ulivyo nakupendaga tu nahicho kisauti ulichokiigiza apo nimependa

  • @meky9404
    @meky9404 Год назад +3

    tuletee na watu wa football .. kina haji ..feisal .. mkude ... kasejaaa

  • @salmatanz948
    @salmatanz948 Год назад +9

    Mimi nimekwama hapo kwa mzee usiku ukifika ati utampeleka wap😂😂😂

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @ibba8082
    @ibba8082 Год назад +2

    Vitanda vya Mwimbili Sasa

  • @hanifamallya1589
    @hanifamallya1589 Год назад +1

    Napendaga anavyoongea sana yaan hapa nafeeel guuud

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 Год назад +1

    Aunt umezeeka siyamii kama macho yangu, nikitizama pics zako na iyo interview naona niwatu wa 2 tafauti,umezeeka nashingo limeisha jikunja Ila nakupendaga sana,,🇧🇮

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz6458 Год назад +2

    Tulete Harmonize but nice interview

  • @trizhkk7081
    @trizhkk7081 Год назад +1

    Fanya na maza house..Jina limepotea ila mwanadada muigizaji

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 Год назад +1

    Hapo uliposema uhitaji makubwa nimegundua wewe ni mtu mwenye upeo sana!

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Год назад +6

    Jack Pemba 😂🤣

  • @mimmyjijimmy5235
    @mimmyjijimmy5235 Год назад +5

    Muite Halima Mdee

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi2036 Год назад +1

    Mbona ya zuchu ujaiweka RUclips mpaka now