MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2022
- MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear
As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie
Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu
Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako
Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa
Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka
Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,
Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu
I just love Dida wallah.😅😅
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
Yaan ni hatari sana
🤣🤣🤣🤣
Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako
🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣
sanaaaa amevurugwa
Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my
Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu
Swadakta
Lovely 🌹 Da dida
Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada
Nice
Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁
alisema miaka saba
Alisema miaka saba😂
@@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@heyumi2340 😂😂😂😂
@@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii
Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣
Dida kacharuka huyooo😁😁😁
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio
HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya
ruclips.net/video/iPYLzGpU5pE/видео.html
Hahahaha
😅😅
🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure
Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.
Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo
akili za Dida nazipendaaaaa😂
Saaana
Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki
@@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini
Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂
Sanaa hidari wa kusema ya wenzake
Juma mungu anakuona walah 😄😄
Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu
Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa
Partner😄😄😄
Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali
Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃
Nakupenda sna my sista
Dada dii💓
Ndoa yako ipo kwangu
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
🤔👀
😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine
Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM
Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima
Yamemfika leo Dida🤣🤣
Dida pole dada ake ndio kazi
Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶
Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!
Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!
Mtihan
Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜
Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika
Leo wakwanza ❤️🤣
ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂
Suruali ya Juma tu mie hoi
Dida ❤️
Dida Mimi nakupenda sana
Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣
Duuuuuh mitambo hiiiiiii
Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.
Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha
Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno
Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu
Did katulia kama.maji ya mvua
WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE
Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww
Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke
Naili uwachike lazima uwe nataraka
Dida leo😂😂😂
WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI
Juma mnafiki
Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅
Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣
Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp
Dida bado wewe ni fiwi. Subir talaka ukae eda
Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao
Dida kama makaka umepata SEMA lingine
ahsante dida shaibu😁😁😁
Mbona mkali km ndimu kaliiii
Juma jamamiii
Dida bana
😂😀😁😀 wallai hawa
Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu
Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣
Kumbe dida aliolewa mke wa4
😂😂😂😂😂naceka miye pole dida
mikucha 😅😅😅😅😅😅😅
Dida weee
Wasafi tupopamoja
Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie
Taraka sio lazima swala ni kuachana tu kama mmeshindwana
Jeni uelewi uislam,taraka razima nandowa aifungwi nyengine bira yataraka,yeye iyo ndoa aliyo ifungwa yapili lazima awenataraka kwaivyo ndowa yake yapili ilikuwa patiri
Kama kitu ujuwi bora yake kimya tu wewe wajuwa nini kuhusu swala la talaka 😏
@@lailaoman3856 talaka hata akisema kwa mdomo bila kuandika inaswihi
Talaka lazima bila talaka hata aende wapi haolewi
@@sikukuuchuo3093 talaka sio lazima iandikwe hata akisema kws mdomo nimekuachs instosha iwe mwanamke au mwanaume akitamka ty umeachika au umemuacha
Dida
Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣
Dadaangu usibabaishwe muambie akiachwa achike
Yuuu tubuuuu hahahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ukichelewa kufa utaona mengi
Haswaa
Una shepu gani dida bhana!!
Dada leo zamu yakooo
Ndoa ni kher
Yn dada libaya xn ili sjuw huko chini kupoje mana ilo domo nahuko chini ndo kupo pwaaaaa km ilo domo mfyuu
Kwani una kipi mpaka usiolewe mke wa tatu