MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2022
  • MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 204

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa4221 2 года назад +7

    Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear

  • @tallyfa05saeed67
    @tallyfa05saeed67 2 года назад +8

    As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa

  • @cecyliamhando7156
    @cecyliamhando7156 2 года назад +3

    Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie

  • @user-fd2so2tz5o
    @user-fd2so2tz5o Месяц назад

    Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 2 года назад +6

    Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako

  • @rukyiakimolo4564
    @rukyiakimolo4564 2 года назад +3

    Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto

  • @hanifalyembela2716
    @hanifalyembela2716 2 года назад +3

    Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa

    • @zainaabdallah809
      @zainaabdallah809 2 года назад +1

      Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 2 года назад

    Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад +3

    Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka

  • @rosediana6327
    @rosediana6327 2 года назад +7

    Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад +13

    Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад +4

    Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu

  • @btylove1870
    @btylove1870 2 года назад +1

    I just love Dida wallah.😅😅

  • @leylaiddy5815
    @leylaiddy5815 2 года назад +2

    Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +1

    Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako

  • @abelmipwa9854
    @abelmipwa9854 2 года назад +6

    🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 года назад +1

    Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my

  • @africano98.
    @africano98. 2 года назад +2

    Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu

  • @zeyananasser625
    @zeyananasser625 2 года назад +2

    Lovely 🌹 Da dida

  • @merianhalibunyoha2629
    @merianhalibunyoha2629 2 года назад +8

    Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 года назад

    Nice

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +4

    Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +2

      alisema miaka saba

    • @Assam8885
      @Assam8885 2 года назад +1

      Alisema miaka saba😂

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +1

      @@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salmahabdallah7203
      @salmahabdallah7203 2 года назад

      @@heyumi2340 😂😂😂😂

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 2 года назад +4

    Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣

  • @sophiamohamed3116
    @sophiamohamed3116 2 года назад +2

    Dida kacharuka huyooo😁😁😁

  • @fatmaabdi8813
    @fatmaabdi8813 2 года назад

    Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂

  • @dellynevermlanga2772
    @dellynevermlanga2772 4 месяца назад

    Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako

  • @janebihagala5848
    @janebihagala5848 2 года назад +9

    dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio

    • @njokake6775
      @njokake6775 2 года назад

      HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya
      ruclips.net/video/iPYLzGpU5pE/видео.html

    • @jenipherkavusha1661
      @jenipherkavusha1661 2 года назад

      Hahahaha

    • @maryjkiosa3380
      @maryjkiosa3380 2 года назад

      😅😅

    • @saumuimeda5181
      @saumuimeda5181 2 года назад

      🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure

    • @salimabakari8617
      @salimabakari8617 2 года назад +3

      Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад +1

    Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 2 года назад +7

    akili za Dida nazipendaaaaa😂

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад +2

    Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      @@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 2 года назад +2

    Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂

  • @princesszai9925
    @princesszai9925 2 года назад

    Juma mungu anakuona walah 😄😄

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 2 года назад +1

    Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu

  • @dorismwakabenga4392
    @dorismwakabenga4392 Год назад

    Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 2 года назад +2

    Partner😄😄😄

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 4 месяца назад

    Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад

    Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃

  • @AminaAthuman-ub6zd
    @AminaAthuman-ub6zd 4 месяца назад

    Nakupenda sna my sista

  • @omanmuscat1459
    @omanmuscat1459 2 года назад

    Dada dii💓

  • @ahmadjuma5229
    @ahmadjuma5229 2 года назад +2

    Ndoa yako ipo kwangu

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 2 года назад +2

    Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад +3

    Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM

  • @mariamuharubu6577
    @mariamuharubu6577 2 года назад +1

    Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 2 года назад

    Yamemfika leo Dida🤣🤣

  • @michealnige8871
    @michealnige8871 2 года назад +1

    Dida pole dada ake ndio kazi

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад

    Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶

  • @omanwoman6713
    @omanwoman6713 2 года назад +1

    Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 2 года назад

      Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!

  • @user-cy1eb2lh6l
    @user-cy1eb2lh6l 5 месяцев назад

    Mtihan

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 2 года назад +1

    Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜

  • @mariamuharubu6577
    @mariamuharubu6577 2 года назад

    Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika

  • @prochecyprotacy9847
    @prochecyprotacy9847 2 года назад

    Leo wakwanza ❤️🤣

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 2 года назад +1

    ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂

  • @saudamayowela7636
    @saudamayowela7636 2 года назад

    Suruali ya Juma tu mie hoi

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Год назад

    Dida ❤️

  • @user-yp7lh7pm3o
    @user-yp7lh7pm3o 5 месяцев назад

    Dida Mimi nakupenda sana

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +1

    Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣

  • @pendondossy4181
    @pendondossy4181 2 года назад

    Duuuuuh mitambo hiiiiiii

  • @alsam4881
    @alsam4881 2 года назад +1

    Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.

  • @nishuuuameee8695
    @nishuuuameee8695 2 года назад

    Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 2 года назад

    Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno

  • @zawadimasula6253
    @zawadimasula6253 2 года назад

    Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 2 года назад +1

    Did katulia kama.maji ya mvua

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Год назад

    WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 2 года назад +1

    Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 2 года назад

    Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke

  • @lailaoman3856
    @lailaoman3856 2 года назад +2

    Naili uwachike lazima uwe nataraka

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s 4 месяца назад

    Dida leo😂😂😂

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 2 года назад

    WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 2 года назад

    Juma mnafiki

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 года назад

    Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅

  • @merrycharles2972
    @merrycharles2972 2 года назад

    Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣

  • @catheplatnumz7833
    @catheplatnumz7833 2 года назад

    Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp

  • @dellynevermlanga2772
    @dellynevermlanga2772 4 месяца назад

    Dida bado wewe ni fiwi. Subir talaka ukae eda

  • @dorismwakabenga4392
    @dorismwakabenga4392 Год назад

    Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao

  • @user-yp7lh7pm3o
    @user-yp7lh7pm3o 5 месяцев назад

    Dida kama makaka umepata SEMA lingine

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 года назад

    ahsante dida shaibu😁😁😁

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation 2 года назад

    Mbona mkali km ndimu kaliiii

  • @luciamaduga4208
    @luciamaduga4208 2 года назад

    Juma jamamiii

  • @mpembaally3889
    @mpembaally3889 2 года назад

    Dida bana

  • @mishimwarabu1824
    @mishimwarabu1824 2 года назад

    😂😀😁😀 wallai hawa

  • @rukyiakimolo4564
    @rukyiakimolo4564 2 года назад

    Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад

    Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 2 года назад

    Kumbe dida aliolewa mke wa4

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂naceka miye pole dida

  • @gadafinazarigadafinazariga2939
    @gadafinazarigadafinazariga2939 2 года назад

    mikucha 😅😅😅😅😅😅😅

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 Год назад

    Dida weee

  • @user-wf3dm9vj7s
    @user-wf3dm9vj7s 2 месяца назад

    Wasafi tupopamoja

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 года назад

    Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @alicekatondo5940
    @alicekatondo5940 2 года назад

    Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 года назад +1

    Taraka sio lazima swala ni kuachana tu kama mmeshindwana

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 2 года назад +3

      Jeni uelewi uislam,taraka razima nandowa aifungwi nyengine bira yataraka,yeye iyo ndoa aliyo ifungwa yapili lazima awenataraka kwaivyo ndowa yake yapili ilikuwa patiri

    • @aminasaid4174
      @aminasaid4174 2 года назад +1

      Kama kitu ujuwi bora yake kimya tu wewe wajuwa nini kuhusu swala la talaka 😏

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +1

      @@lailaoman3856 talaka hata akisema kwa mdomo bila kuandika inaswihi

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 2 года назад

      Talaka lazima bila talaka hata aende wapi haolewi

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@sikukuuchuo3093 talaka sio lazima iandikwe hata akisema kws mdomo nimekuachs instosha iwe mwanamke au mwanaume akitamka ty umeachika au umemuacha

  • @nervnerv470
    @nervnerv470 2 года назад +1

    Dida

  • @mwanaishaali5338
    @mwanaishaali5338 2 года назад +2

    Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣

  • @salmaayubunyoka5417
    @salmaayubunyoka5417 2 года назад

    Dadaangu usibabaishwe muambie akiachwa achike

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Yuuu tubuuuu hahahaaa

  • @jokhamote9993
    @jokhamote9993 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ukichelewa kufa utaona mengi

  • @mamalandynangy52
    @mamalandynangy52 2 года назад +1

    Una shepu gani dida bhana!!

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад

    Dada leo zamu yakooo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Ndoa ni kher

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 2 года назад

    Yn dada libaya xn ili sjuw huko chini kupoje mana ilo domo nahuko chini ndo kupo pwaaaaa km ilo domo mfyuu

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 2 года назад +1

    Kwani una kipi mpaka usiolewe mke wa tatu