"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июл 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    LUVVIE
    Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii.
    Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri.
    Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa.
    Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako.
    Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake.
    Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana.
    Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi.
    Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza.
    Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao.
    Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii?
    Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 424

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula 21 день назад +2

    Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Год назад +51

    Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 Год назад +11

    Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘

  • @halimajumanne9778
    @halimajumanne9778 Год назад +3

    Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana

  • @user-wo8dz3tu5b
    @user-wo8dz3tu5b Год назад +4

    Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako

  • @_fizzle
    @_fizzle Год назад +28

    Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍

  • @Fatmafo6gojh
    @Fatmafo6gojh Год назад +4

    Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.

  • @luckyshija6649
    @luckyshija6649 Год назад +19

    Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa

  • @neemashao5328
    @neemashao5328 11 месяцев назад +2

    Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +2

    Nakupenda God live

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula 21 день назад

    Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 Год назад +7

    Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @WahidYahya-bf4lq
    @WahidYahya-bf4lq Год назад +3

    mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Год назад +2

    Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako

  • @alphredinaalphonce7043
    @alphredinaalphonce7043 Год назад +3

    Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 24 дня назад

    Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!

  • @deborahkabwe6057
    @deborahkabwe6057 Год назад +2

    Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana

  • @choggysly3541
    @choggysly3541 Год назад +3

    Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela859 Год назад +16

    Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone

  • @mwanahamishassan8017
    @mwanahamishassan8017 Год назад +1

    unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 5 месяцев назад +1

    Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi

  • @ahiakkessy5949
    @ahiakkessy5949 Год назад +1

    Nampenda salama

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Год назад +2

    Mzur

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 Год назад

    God bless u sanaaa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +3

    💙Yeah nakupend sana 😘

  • @yassintaibrahim3541
    @yassintaibrahim3541 Год назад +7

    Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘

  • @pendondossy4181
    @pendondossy4181 Год назад +3

    Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋

  • @isacksaimon4532
    @isacksaimon4532 Год назад +2

    Huyu salama ana jua kuuliza sana

  • @amazing_grace5392
    @amazing_grace5392 Год назад +4

    She is very humble

  • @alonto8159
    @alonto8159 Год назад +2

    I love this gal

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 Год назад +5

    Godliver my favourite and the best actress

  • @jacquelinekahamba7872
    @jacquelinekahamba7872 11 месяцев назад +1

    yote maisha cha muhimu kumjua Mungu

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 Год назад +1

    Nampenda huyu dada sana

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 Год назад +13

    She is story teller, she is good and smart.

  • @lucydelina1749
    @lucydelina1749 Год назад +1

    Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba Год назад +1

    Woooh ubarikiwe sana anna

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 Год назад +3

    Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...

  • @ramadhaninkondeja2018
    @ramadhaninkondeja2018 Год назад +11

    Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 Год назад +4

      Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea

    • @rizoibrahimovich605
      @rizoibrahimovich605 Год назад

      Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi

    • @winfridahaule4364
      @winfridahaule4364 11 месяцев назад +2

      ​@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee

    • @lilianmoyo9369
      @lilianmoyo9369 23 дня назад

      Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo

  • @gracejasson8690
    @gracejasson8690 Год назад +17

    Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani

  • @ilhamrachel8474
    @ilhamrachel8474 Год назад

    nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht 22 дня назад

    Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza

  • @user-lm2rc7qm5d
    @user-lm2rc7qm5d Год назад

    Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 5 месяцев назад +1

    Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu

  • @rukiaussi2764
    @rukiaussi2764 Год назад

    Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤

  • @jacklinenestory9945
    @jacklinenestory9945 Год назад +1

    Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna

  • @pendozakariya2601
    @pendozakariya2601 Год назад

    Nakupenda maira

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Год назад +2

    Nampenda sana huyu dada jamani

  • @tynercolin5060
    @tynercolin5060 Год назад +2

    Wooow

  • @omarkhamis4220
    @omarkhamis4220 Год назад +1

    Takbir

  • @user-xw6ml2uy9v
    @user-xw6ml2uy9v Год назад +1

    Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe

  • @catherinemathew5742
    @catherinemathew5742 Год назад +1

    I love u Anna wa jua kal.....

  • @neemaandera5514
    @neemaandera5514 Год назад

    Penda sana❤❤

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 Год назад +1

    Ubungo kisiwani my best school,,

  • @abdul-razaksheha7793
    @abdul-razaksheha7793 Год назад

    Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Год назад +16

    Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚

  • @saidimtera6665
    @saidimtera6665 Год назад +2

    Nice show

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l Год назад

    Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht 22 дня назад

    Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Год назад

    Hawa waganga Mtihani sana

  • @fatmasaidi5965
    @fatmasaidi5965 Год назад +1

    Big up

  • @ashahajji6876
    @ashahajji6876 Год назад

    Nampenda huyo dada htr

  • @gaspamgasa2366
    @gaspamgasa2366 Год назад +7

    Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 Год назад +1

      Sasa hata kama angekuwa muislam tena why umchukie?

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Год назад +1

      @@brigithadidas5128 chizi huyo!

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper Год назад +2

      Chuki haitakiwi

    • @agnessjohn1222
      @agnessjohn1222 Год назад +2

      Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote

    • @annahulilo6719
      @annahulilo6719 Год назад

      @@brigithadidas5128 Yes! Chuki sio mbele za Mungu.

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +2

    Wakwanzaaa

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Год назад +7

    Nice interview

  • @cailesatieno4998
    @cailesatieno4998 Год назад +2

    LOVE HER SO MUCH❤❤❤

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 3 месяца назад

    Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa

  • @bustani-inn7328
    @bustani-inn7328 Год назад +4

    Great interview ila part 2 siioni

  • @christermademla5802
    @christermademla5802 Год назад

    Jaman nampenda uyu dada...

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 Год назад

    Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa

  • @michaelchuwa1879
    @michaelchuwa1879 Год назад +12

    It's marvelous interview waited along time .

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Год назад +2

    It's true. Getrude she is the best

  • @florakomba2867
    @florakomba2867 Год назад +1

    Salama umenenepa dada

  • @dullydullahsenior756
    @dullydullahsenior756 Год назад +2

    Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆

  • @melinaferuzi7842
    @melinaferuzi7842 11 месяцев назад

    Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Год назад +3

    Wewe umeongea UKWELI

  • @janemwakapala3542
    @janemwakapala3542 Год назад

    Woow

  • @moses_2555
    @moses_2555 Год назад

    Safi

  • @ceyengineeringcontractors9364
    @ceyengineeringcontractors9364 Год назад

    Kipenzi changu Godliver

  • @jelistinajoel5888
    @jelistinajoel5888 Год назад +6

    Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓

  • @jacksonkendavis8689
    @jacksonkendavis8689 Год назад +15

    I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!!
    🔥🔥❤❤❤💥💥

  • @samsoniadamu2727
    @samsoniadamu2727 Год назад +1

    Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno

  • @lovelyliliy5822
    @lovelyliliy5822 3 месяца назад

    Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Год назад +2

    Mwendelezo

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +1

    Warembo wawili wenyewe nawapenda sana

  • @laurenciam2i459
    @laurenciam2i459 Год назад +5

    Thank you for coming back to Christian 🙏

  • @mariambakari7796
    @mariambakari7796 Год назад +3

    Salama umenenepa Mashaallah

  • @nasekilebwaya8925
    @nasekilebwaya8925 Год назад

    Wooh 😍🥰G

  • @Nadia-fg8yr
    @Nadia-fg8yr Год назад +3

    Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤

  • @josephernest4500
    @josephernest4500 Год назад

    I love you my Ana wa jua kali

  • @arjunelly540
    @arjunelly540 11 месяцев назад +1

    Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂

  • @brendagabriel2052
    @brendagabriel2052 Год назад +1

    My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother

  • @jamespilimo8986
    @jamespilimo8986 Год назад

    Asante yesu aliyekurudisha mikononi mwake

  • @Annie-tt8fi
    @Annie-tt8fi Год назад +2

    Salama tuwekee part 2 jmn

  • @hawasapi5480
    @hawasapi5480 Год назад +9

    I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 Год назад

      But English belong to white people

  • @aishasalehe9710
    @aishasalehe9710 Год назад

    Mwaaaa ana love you so much

  • @kennedybernard564
    @kennedybernard564 Год назад +6

    aww i love her jamn 🥰🥰

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Год назад +10

    She knows what she is doing 🔥🔥

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 Год назад +4

    Wasanii Wana tabu Sana na wanatia huruma ,

  • @rebecapeter8694
    @rebecapeter8694 Год назад +1

    Nice..Waoo

  • @annamerykamala4152
    @annamerykamala4152 Год назад

    Godliver 🥰🥰❤