MAMA MTOTO wa STEVE NYERERE AFUNGUKA ''Ndoa sio lazima"AKUNA ANAEJUA SABABU YA SISI KUACHANA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 апр 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 321

  • @EdokiaCostantine
    @EdokiaCostantine 7 дней назад +1

    Nakupenda sana wewe dada na move zako nzuri

  • @raniathebosslady7073
    @raniathebosslady7073 2 года назад +19

    I like the way she talks, they way she express her self, she is the woman with dignity, nampenda Sana'a

  • @raniathebosslady7073
    @raniathebosslady7073 2 года назад +23

    She is the best actress, number one in Tanzania, I admire her acts,she is amazing, wallah, huyu ndio actress mzur in Tanzania nampa 100% number one in Tanzania

  • @roseneema4020
    @roseneema4020 2 года назад +39

    She is so cute and she deserves better than Steve . Am praying for her for the best.

  • @neemakilango7445
    @neemakilango7445 2 года назад +36

    Huyu dada ni mzuri you deserve better my dear a

  • @salamaali4726
    @salamaali4726 2 года назад +8

    So cute nakupenda sana kweli mapenzi ni upofu kwan chongo huona kengeza.

  • @juliasitibenda7160
    @juliasitibenda7160 2 года назад +14

    yaan huyu mwanamke nampenda sana toka enzi za movie yake ya matirida

  • @jacklinalberto3338
    @jacklinalberto3338 2 года назад +5

    She is beautfful achana nae Mw/Mungu atakupa mwingine ucjal

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 2 года назад +10

    Nakupenda sana Mungu akutie nguvu mwanamke mwezangu...

  • @deborabrown2114
    @deborabrown2114 2 года назад +1

    Nakupenda sana welu unajua sana Mungu akusimamie

  • @nduwimanadidjaaimee5964
    @nduwimanadidjaaimee5964 2 года назад +14

    Matilda mzuri Sana kbs napenda dass❤️❤️❤️❤️

    • @lovecutetz9668
      @lovecutetz9668 2 года назад

      Pole sn achana nae bhnaa riziki anagawa maanani

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi5383 2 года назад +3

    Actor mzuri sana wa bongo movie huyu Dem

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 года назад +5

    Nakupendaaaa bureeeeee welu I♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @mantentonja1210
    @mantentonja1210 2 года назад +2

    Nakupenda Sana wellu Mungu atakutia nguvu achana nae Kwanza Ana roho mbaya

  • @barakakagere5479
    @barakakagere5479 2 года назад +3

    so cute

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 2 года назад +17

    Dada mrembo mwenye utulivu wake yaani Nina list yangu ya wasanii nao waelewa na wewe umo

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Год назад +3

    Ninyi wote mnaojadili hapo kwani hamjajua kuwa yote hayo yanatokana na nn? Lazima mjue huo ni wivu wa mapenzi jamani Steve anampenda Sana lkn Welu Hana mpango na Steve hiyo ndio shida wanatunishiana misuli mm ningeshauri mazungumzo ya hivyo myafanye kwa kubalance msiongeze chuki ninyi Akina Dida mtavuna ajali wasanii wengi wanawake wa kibongo hawana heshima kwa waume zao kabisa kwa hiyo msichochee moto wa mabox.

  • @RoseMbise-rw9sz
    @RoseMbise-rw9sz 8 месяцев назад

    Hongera

  • @zohrazohra1051
    @zohrazohra1051 2 года назад

    Nakupenda dada

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 2 года назад +2

    Mzuriiiii

  • @cathykan7572
    @cathykan7572 11 месяцев назад

    Mzuri Mashaallah! 😔😢❤️❤️

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 2 года назад +6

    Hii tabia ya kusemana kwwnye mitandao mambo binafs haina afya muyaseme na kwenu hapo

  • @user-hx2cu2id8p
    @user-hx2cu2id8p Месяц назад

    Mzuri mashallah❤️❤️

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 года назад

    Nice

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 2 года назад +6

    Huyu Dada nampenda jmn the way anavyo act

  • @chriacuschanga8730
    @chriacuschanga8730 2 года назад +1

    Sipendi bongo movie wala wasanii siwafatiliagi lkn huyu Dada nampenda sana sana She's smart inside and outside yan yupo vzuri balaa. MUNGU akutunze na akutunzie mwanao mwaya #lots of ❤

  • @zainabujuma4278
    @zainabujuma4278 2 года назад +22

    Huyu dada ni mzr jmn nampenda kweli.

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 года назад

    Pole saana Dada hiyo Hali ilishanikta nilivyoacha namzazi mwenzangu alikua anazani hata nitoweke duniani pasipo kjali tumezaa kwakweli kna baadhi ya wanaume nimashetani kwenye hii dunia.

  • @restbeshy3817
    @restbeshy3817 2 года назад

    Mungu akutie nguvu pamoja na washiriki wako wanaokisapot achana na huyo asiyejua maana ya mapambano. Mtitu na jb na wote wanaokushika mkono mungu awaongezee Mara dufu maana hawakusaidii wewe Bali wanampa maisha Bora mtoto

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 2 года назад +14

    Steve Ana roho kubwa Sanaa. Ana roho Masikini Sanaa. Mtu ukizaa Nae sio umwekee bifu. Badirika Steve. Ana roho ya kichwawi. Badirika Steve unatia aibu. Unasali kweli Steve? Wala huna ofu ya mungu.

  • @ashamwalabu2998
    @ashamwalabu2998 2 года назад

    Kumb uyu dda kazaa nastvu 😘😘

  • @upepobeka6877
    @upepobeka6877 День назад

    Huyu dada ana upendo sana yani alivyo mzr hivyo bado kazaa

  • @nicoletanjau9875
    @nicoletanjau9875 2 года назад +3

    She's beautiful and intelligent woman 💝 but why this men's ware so wicked surely...

  • @khadijamasoudmikidady1726
    @khadijamasoudmikidady1726 2 года назад +1

    💖💖💖

  • @naakabwe1595
    @naakabwe1595 2 года назад +3

    Dada aliebarikiwa utu na utulivu nakupenda sana unauzuri wa asili na haujishaui ata kdg Allah aibariki kaz yako

  • @edwardmalila5230
    @edwardmalila5230 2 года назад

    Mmmmm

  • @dorislionel8223
    @dorislionel8223 2 года назад

    Sia Anamke Zawadi Mrangu Mashala

  • @MariethaMpwizu-cl7qs
    @MariethaMpwizu-cl7qs Год назад

    Welluuuu

  • @sheilajuma8963
    @sheilajuma8963 2 года назад +1

    wallah dada umeongea points

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 года назад

    Mary I love u so much

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 2 года назад +4

    I love her

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 2 года назад

    Ila welu she's pretty walah❤

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 года назад

    Hii kali imenigusa saana maana ilishanitokea kna mijanaume ina roho zakishetani kasoro mapembe yaani mpaka nashindwa kuelezea ila mungu ck zote nimwaminifu atutee saana wanawake haswa wale single mother tusimame imara maisha yaendelee kwawatoto wetu.

  • @maryammarjan4015
    @maryammarjan4015 2 года назад

    mmmmh

  • @josephmaguza6413
    @josephmaguza6413 2 года назад +4

    Nampenda sana uyu mdada sijui nifanyaje

    • @ommarysaid7391
      @ommarysaid7391 2 года назад

      Mtafute Mbona Yupo kajaa Tele Wewe tu

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 2 года назад

    Uyudada namupendag dida nakuag nakukubal😘😘

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 2 года назад +11

    Juma mmbea jmn mpaka kiti kaona kibayaa mweee

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 2 года назад +2

    Ila wanawake kwakweli mmebarikiwa mioyo.
    Yaani kweli kabisa huyu dada aliamua kulala na Steve,kama haitoshi akaruhusu kutotumia kinga kiasi cha mbegu za Steve kuingia ndani yake? KWELI JAMANI?
    Mungu nisamehe, lakini ukweli ni kwamba Mama zetu,Binti zetu na Dada zetu kichwani wana mapungufu makubwa sana.

  • @user-dq9bx1qf9e
    @user-dq9bx1qf9e 2 года назад

    Kuweni kama chuchu hapendi kuongelea mambo yake nampenda sana chuchu

  • @pigapesa1627
    @pigapesa1627 2 года назад

    Do!

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 Год назад

    Huku juma huku dida eewh buanaa,,nakupenda bure wellu sengo

  • @nurdinmasoud9953
    @nurdinmasoud9953 2 года назад

    Love u more c* welu sengo😍

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 года назад +1

    Matildaaaa

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 27 дней назад

    Halafu mlivyo wamb ea Sasa kutaka kuju a siri za watu na ma mbo ya watu Sasa mrihani

  • @laxmikhairah1503
    @laxmikhairah1503 2 года назад +2

    Ndyo mana bible inasemaga be careful to not marry your enemy pole Dada ndyo sehemu ya maish mola akusimamie

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 года назад +1

    Huy dada nampend mnoo, wanaume wa hv wapo weng sanaa 😭

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 2 года назад

    Huyu dada ni mzuri jomn

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 года назад +5

    Dah!! Mapenzi kweli ni kipofu yaani Steve nyerere kazaa na mrembo kama huyu?

  • @zulfaomar8185
    @zulfaomar8185 2 года назад +4

    Dada mzuri hivi unazaa na steve kweli

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 2 года назад +2

    Wanafiki na wambea hujionaga wao ni wasafi sana,,hii studio ya kipuuzi

  • @Resudahexiaomianbao
    @Resudahexiaomianbao 2 года назад +3

    Dada welu Hakuna kumsujudia mtu hata kama unakwama VP unayo pitia nikama yangu maisha nimejipambania nikafungua kajiduka ka nguo bwana kazuia mpaka ndugu zake kunisabahi na mtoto Wang wanaume wengin nishida tupu

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 года назад

      Wengi wao wako ivyo Ila tuendelee kupiga kazi,na kumwomba mungu, 🙏🙏

  • @renoxnmpinga576
    @renoxnmpinga576 2 года назад +3

    Mbn dada mstaarabu,mzuri,mpole

  • @slywish4098
    @slywish4098 2 года назад +3

    Dah mapenzi bana yani dem mkal hv ety steve kala doh mcheleee😴😴😴

  • @stivenjohn7746
    @stivenjohn7746 2 года назад

    Akili ana uyo

  • @alfashine3643
    @alfashine3643 2 года назад +2

    I love you my sis wellu you deserve congratulations ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🙏🙏

  • @zenakihondo5195
    @zenakihondo5195 2 года назад

    Rebeca wang

  • @khalfanikassimu7380
    @khalfanikassimu7380 Год назад

    dah kuna watu Wana Bahat Yakula vizuri

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +3

    Nimekuelewa vizuri *WELU* Ila kiukweli mimi sijawah kumkubali steve nyerere.

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 2 года назад

    Aitwa nan uyo manz?

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 года назад +3

    Niseme ukweli midia sasahivi hazina balans ilimradi mtu yupo kwenye maic

  • @thawabuunique8054
    @thawabuunique8054 2 года назад +6

    Mwanamke aliyefundwa akafundika huwezi Seema public mapungufu ya mzazi mwenzio hata kama unabifu nae, hiyo sio hekima ukiona hivo WW ndo mwenye shida,

    • @veronicasambagi9479
      @veronicasambagi9479 2 года назад

      Ww kuweza kuwa na lijitu kama steve

    • @mwakwelisaid3152
      @mwakwelisaid3152 2 года назад +1

      Lakni hajataja mapungufu bali Steve n kiziba rizk lakini kwa Mungu atamjalia

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 года назад

      Huyu anatumiwa na wenye tofauti na steve. Nimeona Steve ana uvumilivu sana

    • @bellogregory7175
      @bellogregory7175 2 года назад

      @@veronicasambagi9479 🤣🤣🤣🤣🤣ya Nini mie ya Nini mie ( in tivu ake voice)

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 года назад +4

    Mimi nampenda Sana huyu dada nataka Kaka yangu akupe.acha na stive ni mnafiki Hana lolote

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 года назад

    Lidada lizr bn

  • @nashfatyjuma2495
    @nashfatyjuma2495 2 года назад

    Wapo weng sana wao wanaume wenye tabia hizo

  • @jannatissa5315
    @jannatissa5315 2 года назад

    Wapo wengi sana ila malipo dunian

  • @florahosea3934
    @florahosea3934 2 года назад

    Dada wapi wengi hata kwetu wapo

  • @chumayaoinvestment1647
    @chumayaoinvestment1647 2 года назад

    Nyoka Mdimuni,huyo..

  • @neemamzava5891
    @neemamzava5891 2 года назад +6

    Namapozi yote hayo kweli steve kakuweza .wanaume shkamon

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 года назад +1

      Anajickiag uy dada kujifanya mzngu Mara ajui English.afu piya hvi inawezekana je mtu n mume wke kuongelea masuala yenu kwenye midia??? Wakat mlipokuwa na furaha na rahaaa mlkuwa mnatunziana Siri zenu mm cpendi haya mambo jmn

    • @mhonokihita8203
      @mhonokihita8203 2 года назад +1

      Stv alivyo mfupi sipati picha alivyokuwa anapambana na huu mwili.

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 года назад

      🤣🤣🤣😜🤣sana

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 года назад

      @@mhonokihita8203 🤣🤣🤣🤣

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад

      ​@@mhonokihita8203 😂😂😂

  • @roseashula1660
    @roseashula1660 2 года назад

    Napenda unavyo jibu maswali

  • @user-xo4pw2pw1o
    @user-xo4pw2pw1o 24 дня назад +1

    Wanaume wafupi hawana akili pole mwaya hata hamuendani ndy kawaida ya hao wanaume wakihurumiwa

  • @ashuragonga5244
    @ashuragonga5244 2 года назад +2

    Welu sengo msanii wg ninaempenda, usijali mdogo wg jipange upya , kuteleza sio kuanguka, Cha muhimu afya hasa afya ya akili na we uko sawa, mfanye historia tu !

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 2 года назад

    Huyu mdada sijui alifuata nn Kwa tivu hawajaendan hata kama n pesa mmmhhh..she is very cute

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Год назад

    Ili kubalance story inatakiwa mmuhoji na Steve
    Ukisikiliza upande mmoja tu huwezi kujua vya uvunguni zaidi,
    Nashauri muwakutanishe wote wawili kama mlivyofanya kwa Mkojani na Samofi

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Kupenda jamani khaa

    • @AishaKhamisy
      @AishaKhamisy Год назад

      Kwani Steve Ana nini jamani.mapenzi tuyaache tu jamani

  • @berthamwakalebela7604
    @berthamwakalebela7604 2 года назад

    Hahaha Juma sasa khaaa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Ayo macho huuzi

  • @fadhilimlingi7367
    @fadhilimlingi7367 2 года назад +1

    Dada onge toa sauti watu awawezi kukupenda kama unautulivu kwenye kuonge

  • @zaynabmwanjovu8277
    @zaynabmwanjovu8277 2 года назад

    Subirin majibu sasa haloooooooo

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 года назад

    Cyo vizur wadada kuwasema waume zenu mitandaon cyo powa kbsaa at kma mmeachna? Aijalish kumbuka mmella kitanda kimoja mmesher mengi leo hi unamuona afai aisee wanawake wengi mbingun watapasikia

  • @magrethmkongwee8512
    @magrethmkongwee8512 2 года назад

    Pisi ya kwenda

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 29 дней назад

    Halafu hao wanaoho ji hapo ni waongo ka ma nini na wao wan ayao kibao wayase me yao kwanza

  • @pascalcharles9807
    @pascalcharles9807 Год назад

    Cjui nimm pekeyangu huyu dada werusengo huwa namfananisha Christina shusho.

  • @mohammedalikhan5766
    @mohammedalikhan5766 2 года назад +1

    Mimi nasimama na msemo unaosema "HAKUNA MTU ALIEWAHI KUSHINDWA KWENYE KESI YA UPANDE MMOJA"

  • @neemadevis883
    @neemadevis883 2 года назад +1

    kumbe huyu kazaa na Steve mdada nampenda huyu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +1

    Maskn pole
    Lkn kawaida ya wanaumee
    Ukiwaacha tu shida unaipata
    Mungu akusaidie

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    We juma lokole unasema nini wewe we ndo mnafiki unaharibu mahusiano ya watu wengi yacht mahusiano ya steve

  • @josephmaguza6413
    @josephmaguza6413 2 года назад +1

    Mdada uyu nampenda kuliko maelezo bola angezaa namimi

  • @peterdani9740
    @peterdani9740 2 года назад +4

    Steven kumbe mshamba 2 mtoto kama huyo nilikuwg namkubari sn rakini Steven kumbe hmm k2

    • @modysultan6170
      @modysultan6170 2 года назад

      elimu unajua ukisoma kidogo hata lasaba b ushamba ushamba unakuwa huna

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад

    Tivu mshamba sana

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 2 года назад +1

    Welu sengo very young this one went one school with my youngest sister quit school and decided to pursue her career I love her❤️ beautiful girl

    • @user-pe9uo4ec6y
      @user-pe9uo4ec6y 2 года назад +1

      Exactly kasema Lord Baden na aliacha shule akiwa form two kwasababu ya matatizo ya familia yao

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 2 года назад

      @@user-pe9uo4ec6y yes my sister told me so

    • @sekelamwangomo5458
      @sekelamwangomo5458 2 года назад

      @@user-pe9uo4ec6y so she might be young km wa 1995?