MAMA MTOTO wa STEVE NYERERE AFUNGUKA ''Ndoa sio lazima"AKUNA ANAEJUA SABABU YA SISI KUACHANA.
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Nakupenda sana wewe dada na move zako nzuri
I like the way she talks, they way she express her self, she is the woman with dignity, nampenda Sana'a
She is the best actress, number one in Tanzania, I admire her acts,she is amazing, wallah, huyu ndio actress mzur in Tanzania nampa 100% number one in Tanzania
She is so cute and she deserves better than Steve . Am praying for her for the best.
Huyu dada ni mzuri you deserve better my dear a
So cute nakupenda sana kweli mapenzi ni upofu kwan chongo huona kengeza.
yaan huyu mwanamke nampenda sana toka enzi za movie yake ya matirida
She is beautfful achana nae Mw/Mungu atakupa mwingine ucjal
Nakupenda sana Mungu akutie nguvu mwanamke mwezangu...
Nakupenda sana welu unajua sana Mungu akusimamie
Matilda mzuri Sana kbs napenda dass❤️❤️❤️❤️
Pole sn achana nae bhnaa riziki anagawa maanani
Actor mzuri sana wa bongo movie huyu Dem
Nakupendaaaa bureeeeee welu I♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nakupenda Sana wellu Mungu atakutia nguvu achana nae Kwanza Ana roho mbaya
so cute
Dada mrembo mwenye utulivu wake yaani Nina list yangu ya wasanii nao waelewa na wewe umo
Ninyi wote mnaojadili hapo kwani hamjajua kuwa yote hayo yanatokana na nn? Lazima mjue huo ni wivu wa mapenzi jamani Steve anampenda Sana lkn Welu Hana mpango na Steve hiyo ndio shida wanatunishiana misuli mm ningeshauri mazungumzo ya hivyo myafanye kwa kubalance msiongeze chuki ninyi Akina Dida mtavuna ajali wasanii wengi wanawake wa kibongo hawana heshima kwa waume zao kabisa kwa hiyo msichochee moto wa mabox.
Hongera
Nakupenda dada
Mzuriiiii
Mzuri Mashaallah! 😔😢❤️❤️
Hii tabia ya kusemana kwwnye mitandao mambo binafs haina afya muyaseme na kwenu hapo
Mzuri mashallah❤️❤️
Nice
Huyu Dada nampenda jmn the way anavyo act
Rebeca
Sipendi bongo movie wala wasanii siwafatiliagi lkn huyu Dada nampenda sana sana She's smart inside and outside yan yupo vzuri balaa. MUNGU akutunze na akutunzie mwanao mwaya #lots of ❤
Huyu dada ni mzr jmn nampenda kweli.
Sanaa
Hata mimi nampenda sana
Ata mi nampenda sanaaaaaa 😍
Zyai juma wa gamba ww
Tena ni mzuri kwel mali🔥🔥
Pole saana Dada hiyo Hali ilishanikta nilivyoacha namzazi mwenzangu alikua anazani hata nitoweke duniani pasipo kjali tumezaa kwakweli kna baadhi ya wanaume nimashetani kwenye hii dunia.
Mungu akutie nguvu pamoja na washiriki wako wanaokisapot achana na huyo asiyejua maana ya mapambano. Mtitu na jb na wote wanaokushika mkono mungu awaongezee Mara dufu maana hawakusaidii wewe Bali wanampa maisha Bora mtoto
Steve Ana roho kubwa Sanaa. Ana roho Masikini Sanaa. Mtu ukizaa Nae sio umwekee bifu. Badirika Steve. Ana roho ya kichwawi. Badirika Steve unatia aibu. Unasali kweli Steve? Wala huna ofu ya mungu.
Daaah welu sengo nampenda Sana anaigiza vizur Sana
Kumb uyu dda kazaa nastvu 😘😘
Huyu dada ana upendo sana yani alivyo mzr hivyo bado kazaa
She's beautiful and intelligent woman 💝 but why this men's ware so wicked surely...
💖💖💖
Dada aliebarikiwa utu na utulivu nakupenda sana unauzuri wa asili na haujishaui ata kdg Allah aibariki kaz yako
Mmmmm
Sia Anamke Zawadi Mrangu Mashala
Welluuuu
wallah dada umeongea points
Mary I love u so much
I love her
Ila welu she's pretty walah❤
Hii kali imenigusa saana maana ilishanitokea kna mijanaume ina roho zakishetani kasoro mapembe yaani mpaka nashindwa kuelezea ila mungu ck zote nimwaminifu atutee saana wanawake haswa wale single mother tusimame imara maisha yaendelee kwawatoto wetu.
mmmmh
Nampenda sana uyu mdada sijui nifanyaje
Mtafute Mbona Yupo kajaa Tele Wewe tu
Uyudada namupendag dida nakuag nakukubal😘😘
Juma mmbea jmn mpaka kiti kaona kibayaa mweee
😄🤣🤣🤣😅😅😅😅😅
ani anaona akikaa atoskiaa vizuriii
Hahahahahaha chezea Juma weweeee
Ila wanawake kwakweli mmebarikiwa mioyo.
Yaani kweli kabisa huyu dada aliamua kulala na Steve,kama haitoshi akaruhusu kutotumia kinga kiasi cha mbegu za Steve kuingia ndani yake? KWELI JAMANI?
Mungu nisamehe, lakini ukweli ni kwamba Mama zetu,Binti zetu na Dada zetu kichwani wana mapungufu makubwa sana.
😁😁😁😁😁
Kuweni kama chuchu hapendi kuongelea mambo yake nampenda sana chuchu
Do!
Huku juma huku dida eewh buanaa,,nakupenda bure wellu sengo
Love u more c* welu sengo😍
Matildaaaa
Halafu mlivyo wamb ea Sasa kutaka kuju a siri za watu na ma mbo ya watu Sasa mrihani
Ndyo mana bible inasemaga be careful to not marry your enemy pole Dada ndyo sehemu ya maish mola akusimamie
Huy dada nampend mnoo, wanaume wa hv wapo weng sanaa 😭
Huyu dada ni mzuri jomn
Dah!! Mapenzi kweli ni kipofu yaani Steve nyerere kazaa na mrembo kama huyu?
Ata ww utapata kuliko uyo broo 😂
Dada mzuri hivi unazaa na steve kweli
Huwezi jua kampendea nini
Imagine😊
Hivi Steve SI mume wa mtu?
Wanafiki na wambea hujionaga wao ni wasafi sana,,hii studio ya kipuuzi
😆😆😆
@@nasrahassanabioll6559 wanafiki sana hawa,wasafi studio
Dada welu Hakuna kumsujudia mtu hata kama unakwama VP unayo pitia nikama yangu maisha nimejipambania nikafungua kajiduka ka nguo bwana kazuia mpaka ndugu zake kunisabahi na mtoto Wang wanaume wengin nishida tupu
Wengi wao wako ivyo Ila tuendelee kupiga kazi,na kumwomba mungu, 🙏🙏
Mbn dada mstaarabu,mzuri,mpole
Dah mapenzi bana yani dem mkal hv ety steve kala doh mcheleee😴😴😴
😆😆😆
Akili ana uyo
I love you my sis wellu you deserve congratulations ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🙏🙏
Rebeca wang
dah kuna watu Wana Bahat Yakula vizuri
Nimekuelewa vizuri *WELU* Ila kiukweli mimi sijawah kumkubali steve nyerere.
Aitwa nan uyo manz?
Niseme ukweli midia sasahivi hazina balans ilimradi mtu yupo kwenye maic
Mwanamke aliyefundwa akafundika huwezi Seema public mapungufu ya mzazi mwenzio hata kama unabifu nae, hiyo sio hekima ukiona hivo WW ndo mwenye shida,
Ww kuweza kuwa na lijitu kama steve
Lakni hajataja mapungufu bali Steve n kiziba rizk lakini kwa Mungu atamjalia
Huyu anatumiwa na wenye tofauti na steve. Nimeona Steve ana uvumilivu sana
@@veronicasambagi9479 🤣🤣🤣🤣🤣ya Nini mie ya Nini mie ( in tivu ake voice)
Mimi nampenda Sana huyu dada nataka Kaka yangu akupe.acha na stive ni mnafiki Hana lolote
😂😂😂😂😂
Lidada lizr bn
Wapo weng sana wao wanaume wenye tabia hizo
Wapo wengi sana ila malipo dunian
Dada wapi wengi hata kwetu wapo
Nyoka Mdimuni,huyo..
Namapozi yote hayo kweli steve kakuweza .wanaume shkamon
Anajickiag uy dada kujifanya mzngu Mara ajui English.afu piya hvi inawezekana je mtu n mume wke kuongelea masuala yenu kwenye midia??? Wakat mlipokuwa na furaha na rahaaa mlkuwa mnatunziana Siri zenu mm cpendi haya mambo jmn
Stv alivyo mfupi sipati picha alivyokuwa anapambana na huu mwili.
🤣🤣🤣😜🤣sana
@@mhonokihita8203 🤣🤣🤣🤣
@@mhonokihita8203 😂😂😂
Napenda unavyo jibu maswali
Wanaume wafupi hawana akili pole mwaya hata hamuendani ndy kawaida ya hao wanaume wakihurumiwa
Welu sengo msanii wg ninaempenda, usijali mdogo wg jipange upya , kuteleza sio kuanguka, Cha muhimu afya hasa afya ya akili na we uko sawa, mfanye historia tu !
Ajipende na aendelee na busara zake Kuna mengi Mungu atamfungulia tu
Huyu mdada sijui alifuata nn Kwa tivu hawajaendan hata kama n pesa mmmhhh..she is very cute
Ili kubalance story inatakiwa mmuhoji na Steve
Ukisikiliza upande mmoja tu huwezi kujua vya uvunguni zaidi,
Nashauri muwakutanishe wote wawili kama mlivyofanya kwa Mkojani na Samofi
Kupenda jamani khaa
Kwani Steve Ana nini jamani.mapenzi tuyaache tu jamani
Hahaha Juma sasa khaaa
Ayo macho huuzi
Dada onge toa sauti watu awawezi kukupenda kama unautulivu kwenye kuonge
Subirin majibu sasa haloooooooo
Cyo vizur wadada kuwasema waume zenu mitandaon cyo powa kbsaa at kma mmeachna? Aijalish kumbuka mmella kitanda kimoja mmesher mengi leo hi unamuona afai aisee wanawake wengi mbingun watapasikia
Pisi ya kwenda
Halafu hao wanaoho ji hapo ni waongo ka ma nini na wao wan ayao kibao wayase me yao kwanza
Cjui nimm pekeyangu huyu dada werusengo huwa namfananisha Christina shusho.
Mimi nasimama na msemo unaosema "HAKUNA MTU ALIEWAHI KUSHINDWA KWENYE KESI YA UPANDE MMOJA"
Kweli
kumbe huyu kazaa na Steve mdada nampenda huyu
Maskn pole
Lkn kawaida ya wanaumee
Ukiwaacha tu shida unaipata
Mungu akusaidie
We juma lokole unasema nini wewe we ndo mnafiki unaharibu mahusiano ya watu wengi yacht mahusiano ya steve
Mdada uyu nampenda kuliko maelezo bola angezaa namimi
Steven kumbe mshamba 2 mtoto kama huyo nilikuwg namkubari sn rakini Steven kumbe hmm k2
elimu unajua ukisoma kidogo hata lasaba b ushamba ushamba unakuwa huna
Tivu mshamba sana
Welu sengo very young this one went one school with my youngest sister quit school and decided to pursue her career I love her❤️ beautiful girl
Exactly kasema Lord Baden na aliacha shule akiwa form two kwasababu ya matatizo ya familia yao
@@user-pe9uo4ec6y yes my sister told me so
@@user-pe9uo4ec6y so she might be young km wa 1995?