MWIJAKU AFUNGUKA SABABU YA KUONDOKA CLOUDS NA KUAMIA CROWN FM/ALIKIBA ALINIFUATA MPAKA NYUMBANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 май 2024
  • MWIJAKU AFUNGUKA SABABU YA KUONDOKA CLOUS NA KUAMIA CROWN FM/ALIKIBA ALINIFATA HADI NYUMBANI #MWIJAKU #CROWNFM #
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 144

  • @patriciovicente2891
    @patriciovicente2891 23 дня назад +6

    Mwikaju akili nyingi, this is a time to make money. Big up👍

  • @RahmaRaa-vz5jn
    @RahmaRaa-vz5jn 25 дней назад +12

    Umetisha familia crown

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 25 дней назад +11

    Hapa sasa mfanye kitu na baba Levo iwe Timu crown Media Vs Wasafi media

  • @swahili2worldtv
    @swahili2worldtv 22 дня назад +5

    Asante DC

  • @allenonesmomwebembezi6248
    @allenonesmomwebembezi6248 25 дней назад +15

    Anachokiongea Mwijaku ni kitu Cha ukweli, money talks

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 23 дня назад +6

    Mungu awatangulie crown nawapenda

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jz 25 дней назад +9

    🙏🙏🙏🙏King Kiba👑👑

  • @NasibuHaji
    @NasibuHaji 25 дней назад +6

    Mwijaku yupo sahihi.maisha ni kazi.naanafanya kazi.imala bora.nenda kapige kazi brother pambana Maisha kutafuta😅

  • @louxonmedia
    @louxonmedia 7 дней назад

    Kigoma say yeeeeeah!

  • @WaziriAbdallah-vr4xg
    @WaziriAbdallah-vr4xg 18 дней назад +2

    Huyu jamaa mshenz kwel yeye mwenyewe anatangaza wasaf betting kamal

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 24 дня назад +3

    Ni sahihi kubeti ni kamari ila na ww unatangaza betting na ww umooo.

  • @allenonesmomwebembezi6248
    @allenonesmomwebembezi6248 25 дней назад +2

    Ila Mwijaku bhanaaa😂😂😂🙌🙌🙌

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 25 дней назад +7

    Zingatia maokoto baba Marichui

  • @SwalehMgumia-zz4pe
    @SwalehMgumia-zz4pe 21 день назад +1

    Sijui lkn clouds ilimfaa san mwinja

  • @bonfacebonafide7220
    @bonfacebonafide7220 25 дней назад +1

    🔥🙌

  • @user-dw3ue5bu2h
    @user-dw3ue5bu2h 25 дней назад +1

    Niatari sana

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 7 дней назад

    Kelele mingi katoto kamoja kwendraaa😊

  • @elvira9325
    @elvira9325 25 дней назад

    Fact

  • @user-ei4xs3kn5q
    @user-ei4xs3kn5q 24 дня назад +1

    Gari haina no itakuaje kadi isome jila lako mbona haiposaw hii😅😅😅

  • @zephrinekanga4554
    @zephrinekanga4554 10 дней назад

    Carry nyieeee, Kuamia maana yake nini?? Tumieni hata kamusi kama mambo yamewachanganya. Mmejishusha sana

  • @AbdulSindano
    @AbdulSindano 21 день назад +1

    Unamuabudu mungu Gani wewe kumuita mja wa mungu takataka😅

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane2706 25 дней назад +3

    Good news King

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 24 дня назад +1

    Sasa wasaf bet ilikua nini 😂

  • @YusuphAbdul-rm7nx
    @YusuphAbdul-rm7nx 25 дней назад +1

    Mmmh

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 17 дней назад

    Jamaniii kumbeeeeee ndo maana simsikiik

  • @lestantbbar6981
    @lestantbbar6981 22 дня назад

    Acheni kuponda ili kukuza Brand ya kitu kinachoanza ni muhimu uwe na super stars ili kupata wale wafuasi wengi na ndio akili inayotumika.

  • @dadyjunior7367
    @dadyjunior7367 24 дня назад +2

    Sema huyu takataka wa bongo 5, ana maswali ya kiduwanzi sana, ..ali aliwakomesha , wanaumia nae mpaka leo😂

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 24 дня назад

      Umemuonaee huyu jamaa choko tumu wachafu

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd 22 дня назад

    Siku si nyingi mwijaku ataanguka subirini kiama chake kimekaribia tamaa mbaya.

  • @JumaMaulidi
    @JumaMaulidi 21 день назад

    Huchezi kamari kwakisingizio kua ni kharam ila unaitangaza-+ ?___
    Ila ukweli uliousema elim nibora kuliko ujinga

  • @KassimuIsmail
    @KassimuIsmail 10 дней назад

    Yani afukuze ndgu zake ili uende ww duuuh ili jmaaa anarohombya xna

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 9 дней назад

    Mawe mawili kwa jiwe moja

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 22 дня назад

    Zingatia Maokoto!

  • @kouswayisaidahamada9979
    @kouswayisaidahamada9979 25 дней назад +5

    Kubeti ni kamari n'a unatangaza kampuni zakubeti

    • @elvira9325
      @elvira9325 25 дней назад

      Anakutangazia yeye hachez 😂😂

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 24 дня назад

      ​@@elvira9325ukiamasisha ngono wakafanya nawe dhambi unapata

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 24 дня назад

      ​@@elvira9325ukihamasisha ngono na watu wakafanya unapata dhambi

  • @user-by2gj2bw9f
    @user-by2gj2bw9f 25 дней назад +4

    Noma sana mwijaku

  • @KassimuIsmail
    @KassimuIsmail 10 дней назад

    Tena jinga Sana anajificha kivuli mnafki Sana

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 21 день назад

    Afadhali umeondoka clouds ulikuwa unaharibu brand yetu. Kwanza wewe ni muongo Kama demu unapenda uchawa tu

  • @HamidAhmed-id9wy
    @HamidAhmed-id9wy 24 дня назад

    Card inatoka kabla ya Card mzee

  • @MustaphaRashidi-tw7zs
    @MustaphaRashidi-tw7zs 22 дня назад

    Ndio mAan nakukubali

  • @SaleheKatoto
    @SaleheKatoto 14 дней назад

    Acha tamaa clouds imekulea alikua anakujua nani?

  • @IbrahimMohamed-rk7zx
    @IbrahimMohamed-rk7zx 9 дней назад

    Unavojikuta kama mtu vile

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 25 дней назад

    Wewe ndiyo ulikuwa una mwambia jose nenda jahazi wewe ubak nahusina Atakula maisha kweli

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 25 дней назад +1

    Nimekukubali unaangalia masilahi yako na sio uzoefu wa kazi au wa kigu fulani.mujaku kmaa mie walai nisubili sehem haina manufaa aa sifanyi kazi iyo

  • @SululuZungu
    @SululuZungu 21 день назад +1

    Nivizur2 pig kz hpo harmonize nayy akifungua radio pia pig kz huk na huk sf kabs

  • @oyay2821
    @oyay2821 21 день назад

    Azungumzia kuhusu laana ya mcheza kamari na yeye ni balozi wa wasafi bet

  • @KassimuIsmail
    @KassimuIsmail 10 дней назад

    Ww mnafki we mwenyewe unalaana

  • @jonasnyanga8167
    @jonasnyanga8167 24 дня назад

    Can where are you🙄

    • @allyjama3552
      @allyjama3552 23 дня назад

      Andika kiswahili au tumiya Google translate maana hujaeleweka.....

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 19 дней назад

    hahahahah media ya mzungu jesca hahahahhhhah

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 25 дней назад +1

    Ila kumbuka ulipotoka

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 24 дня назад +1

    sasa mwambie Ali kiba kile kigorofa akipge rangi halafu zile air condition mbovu azitoe sio mnakaa apo majasho kibao

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 25 дней назад +6

    Mwijaku ana impact gani kwenye radio mara elfu Baba levo,,mwijaku kwenye kipindi Cha ya Leo tena hajawahi kuwa na point,, mwijaku anaweza kumuongelea diamond negative Hana content ya maana redioni

    • @tonnybrighton7528
      @tonnybrighton7528 25 дней назад

      Umemjua lini mwijaku? Mwijaku ana zaidi ya miaka 10 n mtangazji

  • @alexshabani2012
    @alexshabani2012 25 дней назад +1

    Diamond mchawi atakuroga usionekani mwijaku

  • @muniraoman9551
    @muniraoman9551 25 дней назад

    😂😂

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 25 дней назад +33

    KIBA AKILI NUSU ANAFIKILI KUJAZA MASTER WENGI UWANJAN ND KUSHINDA MCHEZO CMG N MTAKUJA TU.

    • @mrcaro4141
      @mrcaro4141 25 дней назад +2

      Ayo mawazo yako juwa ivi usipo jiandaa vizur juwa umejiandaa kushindwa

    • @shaibukhamis863
      @shaibukhamis863 25 дней назад +2

      Haha tumia akir ndo uongee ujaambiwa cmg aito kuwepo na ukitaka kusema hivy virabu vya mpira visinge kuwa na sehemu ya kusajisi wachezaji kwanini wasikuchukuwe wewe wakamchukuwa mwijaku wew si binadamu na mwijaku binadamu

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 25 дней назад

      Game ya media ni ya watu hao hao tuu wachache (mabosi). Wanaamua tuu kwenye vikao wanapeleka nguvu huku wakiona kumewaka wanaibuka na uhamisho mwingine.. yani ni hivyo. Wamesha calculate kila kitu, wataishi vipi, ndio mana bongo media inaanza hata haijaruka hewani,hata tathmini ya inawafikia jamii kiasi gani haijafanyika lakini tayari wana dili la bonge la kampuni (benki/bia).. mipango

    • @salimhassan3369
      @salimhassan3369 25 дней назад

      (1)real Madrid
      (2)man city
      😂😅

    • @erickhussein5960
      @erickhussein5960 25 дней назад +2

      Umelogwa ww tafuta kaz ya kufanya uwache kulalamika😅😅😅😅😅😅

  • @user-ej5ir5pu7r
    @user-ej5ir5pu7r 22 дня назад

    Elimu ya kisheria kwanza sio hiyo

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY 19 дней назад

      Elimu ya KISHERIA ni IPI ?.
      UISLAMU haubagui ILMU, ndio maana maswahaba kama ABDURAHMAN BIN AUFY walikua mabingwa wa fani ya BIASHARA

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY 19 дней назад

      Kinachotizamwa hapo, ni HALALI and HARAAM

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 24 дня назад +1

    Mbio za sakafu huishia ukingoni, nko pale

  • @getajo1153
    @getajo1153 22 дня назад

    WATANZANIA WASIOJUA MNACHOTWA TU AKILI NA NDUGU JOSEPH KUKOBOA 🤣🤣

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 21 день назад

      Aise wewe kweli umesomea CUBA. Hii ni content tu wanayo jaribu kuitengeneza hawa watu KUKOBOA NA SAM KIKEKE ili kuibust Crown tu.

  • @ElizabethAtanasi
    @ElizabethAtanasi 19 дней назад

    Pumbav huna lolote

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 21 день назад

    Milioni ishirini uongo usituletee drama mwemba weweee

  • @HappyBurrito-bm5me
    @HappyBurrito-bm5me 25 дней назад

    Sasa mcheza kamari baba levo na mwinjaku ambae ni balozi wa wasafi bet si wote njia moja tu nae pia anakula haramu au vile huchezi wakati wew muhamasishaji

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz 25 дней назад +1

    Hahha clouds wasafi is best izi zingine kelele.wakianza kulipa kodi mdo wote wanarudi waliko.toka

    • @user-ht4yh3bz8r
      @user-ht4yh3bz8r 23 дня назад

      Broo utakufa maskini ukiwa na chuki😂😂😂

    • @enockbange77
      @enockbange77 23 дня назад

      Bro acha roho mbaya pambana kutafuta zako