MWIJAKU AFUNGUKA SABABU YA KUONDOKA CLOUDS NA KUAMIA CROWN FM/ALIKIBA ALINIFUATA MPAKA NYUMBANI
HTML-код
- Опубликовано: 30 май 2024
- MWIJAKU AFUNGUKA SABABU YA KUONDOKA CLOUS NA KUAMIA CROWN FM/ALIKIBA ALINIFATA HADI NYUMBANI #MWIJAKU #CROWNFM #
Развлечения
Mwikaju akili nyingi, this is a time to make money. Big up👍
Umetisha familia crown
Hapa sasa mfanye kitu na baba Levo iwe Timu crown Media Vs Wasafi media
Asante DC
Anachokiongea Mwijaku ni kitu Cha ukweli, money talks
Nakukubali xan mwijaku
Uhakika maisha ya sasa ni kuzingatia maokoto
King Kiba ni umoja tu
Mungu awatangulie crown nawapenda
🙏🙏🙏🙏King Kiba👑👑
Mwijaku yupo sahihi.maisha ni kazi.naanafanya kazi.imala bora.nenda kapige kazi brother pambana Maisha kutafuta😅
Kigoma say yeeeeeah!
Huyu jamaa mshenz kwel yeye mwenyewe anatangaza wasaf betting kamal
Ni sahihi kubeti ni kamari ila na ww unatangaza betting na ww umooo.
Ila Mwijaku bhanaaa😂😂😂🙌🙌🙌
Zingatia maokoto baba Marichui
😂
Sijui lkn clouds ilimfaa san mwinja
🔥🙌
Niatari sana
Kelele mingi katoto kamoja kwendraaa😊
Fact
Gari haina no itakuaje kadi isome jila lako mbona haiposaw hii😅😅😅
Carry nyieeee, Kuamia maana yake nini?? Tumieni hata kamusi kama mambo yamewachanganya. Mmejishusha sana
Unamuabudu mungu Gani wewe kumuita mja wa mungu takataka😅
Good news King
Sasa wasaf bet ilikua nini 😂
Mmmh
Jamaniii kumbeeeeee ndo maana simsikiik
Acheni kuponda ili kukuza Brand ya kitu kinachoanza ni muhimu uwe na super stars ili kupata wale wafuasi wengi na ndio akili inayotumika.
Sema huyu takataka wa bongo 5, ana maswali ya kiduwanzi sana, ..ali aliwakomesha , wanaumia nae mpaka leo😂
Umemuonaee huyu jamaa choko tumu wachafu
Siku si nyingi mwijaku ataanguka subirini kiama chake kimekaribia tamaa mbaya.
Huchezi kamari kwakisingizio kua ni kharam ila unaitangaza-+ ?___
Ila ukweli uliousema elim nibora kuliko ujinga
Yani afukuze ndgu zake ili uende ww duuuh ili jmaaa anarohombya xna
Mawe mawili kwa jiwe moja
Zingatia Maokoto!
Kubeti ni kamari n'a unatangaza kampuni zakubeti
Anakutangazia yeye hachez 😂😂
@@elvira9325ukiamasisha ngono wakafanya nawe dhambi unapata
@@elvira9325ukihamasisha ngono na watu wakafanya unapata dhambi
Noma sana mwijaku
😊
😊
Tena jinga Sana anajificha kivuli mnafki Sana
Afadhali umeondoka clouds ulikuwa unaharibu brand yetu. Kwanza wewe ni muongo Kama demu unapenda uchawa tu
Card inatoka kabla ya Card mzee
Ndio mAan nakukubali
Acha tamaa clouds imekulea alikua anakujua nani?
Unavojikuta kama mtu vile
Wewe ndiyo ulikuwa una mwambia jose nenda jahazi wewe ubak nahusina Atakula maisha kweli
Nimekukubali unaangalia masilahi yako na sio uzoefu wa kazi au wa kigu fulani.mujaku kmaa mie walai nisubili sehem haina manufaa aa sifanyi kazi iyo
Nivizur2 pig kz hpo harmonize nayy akifungua radio pia pig kz huk na huk sf kabs
Azungumzia kuhusu laana ya mcheza kamari na yeye ni balozi wa wasafi bet
Ww mnafki we mwenyewe unalaana
Can where are you🙄
Andika kiswahili au tumiya Google translate maana hujaeleweka.....
hahahahah media ya mzungu jesca hahahahhhhah
Ila kumbuka ulipotoka
sasa mwambie Ali kiba kile kigorofa akipge rangi halafu zile air condition mbovu azitoe sio mnakaa apo majasho kibao
Mwijaku ana impact gani kwenye radio mara elfu Baba levo,,mwijaku kwenye kipindi Cha ya Leo tena hajawahi kuwa na point,, mwijaku anaweza kumuongelea diamond negative Hana content ya maana redioni
Umemjua lini mwijaku? Mwijaku ana zaidi ya miaka 10 n mtangazji
Diamond mchawi atakuroga usionekani mwijaku
😂😂
KIBA AKILI NUSU ANAFIKILI KUJAZA MASTER WENGI UWANJAN ND KUSHINDA MCHEZO CMG N MTAKUJA TU.
Ayo mawazo yako juwa ivi usipo jiandaa vizur juwa umejiandaa kushindwa
Haha tumia akir ndo uongee ujaambiwa cmg aito kuwepo na ukitaka kusema hivy virabu vya mpira visinge kuwa na sehemu ya kusajisi wachezaji kwanini wasikuchukuwe wewe wakamchukuwa mwijaku wew si binadamu na mwijaku binadamu
Game ya media ni ya watu hao hao tuu wachache (mabosi). Wanaamua tuu kwenye vikao wanapeleka nguvu huku wakiona kumewaka wanaibuka na uhamisho mwingine.. yani ni hivyo. Wamesha calculate kila kitu, wataishi vipi, ndio mana bongo media inaanza hata haijaruka hewani,hata tathmini ya inawafikia jamii kiasi gani haijafanyika lakini tayari wana dili la bonge la kampuni (benki/bia).. mipango
(1)real Madrid
(2)man city
😂😅
Umelogwa ww tafuta kaz ya kufanya uwache kulalamika😅😅😅😅😅😅
Elimu ya kisheria kwanza sio hiyo
Elimu ya KISHERIA ni IPI ?.
UISLAMU haubagui ILMU, ndio maana maswahaba kama ABDURAHMAN BIN AUFY walikua mabingwa wa fani ya BIASHARA
Kinachotizamwa hapo, ni HALALI and HARAAM
Mbio za sakafu huishia ukingoni, nko pale
WATANZANIA WASIOJUA MNACHOTWA TU AKILI NA NDUGU JOSEPH KUKOBOA 🤣🤣
Aise wewe kweli umesomea CUBA. Hii ni content tu wanayo jaribu kuitengeneza hawa watu KUKOBOA NA SAM KIKEKE ili kuibust Crown tu.
Pumbav huna lolote
Milioni ishirini uongo usituletee drama mwemba weweee
Sasa mcheza kamari baba levo na mwinjaku ambae ni balozi wa wasafi bet si wote njia moja tu nae pia anakula haramu au vile huchezi wakati wew muhamasishaji
Hahha clouds wasafi is best izi zingine kelele.wakianza kulipa kodi mdo wote wanarudi waliko.toka
Broo utakufa maskini ukiwa na chuki😂😂😂
Bro acha roho mbaya pambana kutafuta zako