WEMA SEPETU NUSU ADONDOSHE MACHOZI AKIFUNGUKA KUHUSU KUMPENDA MTOTO WA TUNDA NA ANAVYOMLEA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии •

  • @asiaasia1069
    @asiaasia1069 Год назад +23

    Mungu mjaalie wema nae apate mtoto😢 kwa uwezo wa Allah atakupa nawewe ipo siku tu muombe Mungu sana ❤❤❤❤

  • @ashleynatalie3872
    @ashleynatalie3872 Год назад +49

    Wema kipenzi cha watoto.❤❤ Nakuombea Allah akupe wakwako inshallah

  • @shejamy06
    @shejamy06 Год назад +11

    Mungu wa Mbinguni akakupe hitaji la moyo wako kwa hakika. This is a remark kwa Mungu and someday around this earth u will receive a miracle u ever endured 💕💕💕💕💕💕

  • @LoveAron
    @LoveAron Год назад +24

    Inshallah ❤ Mungu akufanyie wepesi Upate mtoto wako kipenz changu Wema Sepetu 🔥🔥🔥😍💞💯

  • @DorisCharles-w4o
    @DorisCharles-w4o Год назад +15

    Wema mungu atazidi kukubariki akupe pia haja ya moyo wako. Nakupenda wema.ubarikiwe wewe na familia yako.

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Год назад +42

    Unaupendo sana mungu akupe hitaji la moyo wako

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 Год назад +26

    Wema unapenda wazoto sana mungu akujalie na ww upate mtoto ❤❤❤❤❤

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 4 месяца назад

      Shida ni mdomo wa mondi aliongea vibaya na adi leo akashindwa kupata mtoto aende tu kwa mondi amteemee mate amfunguwe wenzie😢 kisa n kutoa mimba ya mondi tu yni kuna watu wakiogea kama wachawi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +17

    MashaAllah mwenyezi Mungu amfanyie wepesi huyu dada..ambariki na mtoto apate amani ya moyo

  • @basumaadam2686
    @basumaadam2686 Год назад +15

    We dada me nakupendaga sana huna baya una roho ya pekee sana , hakika Mwenyezi Mungu atakupa hitaji la moyo wako , una wema kama jina lako 🥰

  • @HarimahtheAnny
    @HarimahtheAnny Год назад +132

    leo Niko wakwanza jaman naomben like nyingi kwawale wanao mpenda wema sepetu🥰🤗

    • @emmaboka959
      @emmaboka959 Год назад +2

      We ww ndo Sara wa leo, na mm ndo ibrahim wa leo

    • @sarahkimaro75
      @sarahkimaro75 Год назад

      ​@@emmaboka959😂😂😂

    • @HarimahtheAnny
      @HarimahtheAnny Год назад +1

      @@emmaboka959 ha ha ha 🤣🤣🤣

  • @neitherherenorthere8367
    @neitherherenorthere8367 Год назад +27

    Wema you are one of a kind. I commend you and Tunda for showing so much maturity for sharing baby Lola and you for loving that cutie!! It's beautiful! You will all shut up the big mouthers who expected nonsensical cat fightt over loving a child. May God continue to give you much love to shower that blessed cutiie!

  • @msalice4451
    @msalice4451 Год назад +17

    Wema NAKUPENDA SANA una roho nzuri sana❤❤❤❤❤

  • @azizamohamed5438
    @azizamohamed5438 Год назад +5

    Mungu ham tupi mja wake ipo siku wema uta pata tuu mtoto usi choke kuomba mungu ❤❤❤❤

  • @AgnesJohn-vn7gk
    @AgnesJohn-vn7gk Год назад +31

    Chimama nimekupenda buree,,sasa utakuta jitu limekuta mume ana mtoto halafu lnakunja roho kama Jini vile ww mfano wa kuigwa ❤️❤️

  • @MaryP2015
    @MaryP2015 Год назад +2

    Yaani mpaka nikatamani nibebe mtoto nikuzawadi dadangu,GOD WILL MAKE IT A BLESSING🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @Juliana-vn6so
    @Juliana-vn6so Год назад +6

    Wema namuomba mungu akupe nawewe mtoto wko❤❤

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و Год назад +7

    Mansha allah wema mungu bariki wema apate mtoto na yeye aitwe mama ❤❤❤

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад +8

    Jamani mi natamani siku moja nikutane na uyu Dada wema sepetu iloveyou 🌹 forever

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi Год назад +18

    Nakuombea siku zote upate mtoto 😢😢😢😢

  • @davidlyimo8079
    @davidlyimo8079 Год назад +22

    Real yu've done something very greant,May God keep on bless yuh in advance Wema.....One day yu Gonna have yours babeee

  • @jeannettenyabitanga9999
    @jeannettenyabitanga9999 Год назад +8

    Wema wangu mungu akupewako❤

  • @NeemaGrace123
    @NeemaGrace123 Год назад +14

    Mungu amjalie mtoto kweli ❤😢

  • @Zuuh107
    @Zuuh107 Год назад +11

    Chimama hongeraa sanaaa Mungu akuoe nawe wako 🥰🥰🥰❤❤❤❤

  • @mercykamau4360
    @mercykamau4360 Год назад +64

    Mungu atakupa mtoto Wema.May God remember you for having such a kind heart ❤❤❤

  • @KahomboOmande
    @KahomboOmande 12 дней назад

    Dada wema sepetu ushauri wangu kwako wende kituo qawa toto yawa toma uchukuwe mtoto umoja umulee kama mtoto wako Mimi ni mucongo mani❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ByukusengeChantal-gv7ln
    @ByukusengeChantal-gv7ln Месяц назад

    Nakupenda San Wem Sept Una na Penda San watoo Vizuri Mungu Yupo atakupa usinjare 👏 na Mii Niko Kama wee Usinjyare Tuwungane Kwa Mawonbe Mungu atadip Mii ni Munyarwanda 🙌

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Год назад +3

    Roho nzuri haifichikiiiiiiii.Hongera Wema

  • @SalimaAli-py7qw
    @SalimaAli-py7qw Год назад

    Nampenda sana wema anavomlea mtoto mungu akupe kila lakher❤❤❤❤❤

  • @IreneNevele
    @IreneNevele 24 дня назад

    Nakuombea mungu dada yang na ww mungu akubariki mtoto ndani ya mwaka huu 2025 ❤❤

  • @ElizabethKashomwa
    @ElizabethKashomwa 7 месяцев назад

    ❤ mungu mwema atakupa nawewe usichoke kuomba naamini mungu anajibu kwa wakati🥰🙏

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Год назад +5

    That is very powerfull you still have Lola mwaya

  • @GaudeNguvumali
    @GaudeNguvumali Год назад +8

    Mungu amjalie upate

  • @mohamedikilua1582
    @mohamedikilua1582 Год назад +8

    Kwa hii roho nzuri natabiri wema kupata mtoto kabla ya mwaka 2025.. Note my words

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Год назад +2

    Hongera Sana Kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Tena Sana hakika shalom shalom

  • @judynaro8312
    @judynaro8312 Год назад +5

    Mungu akupe wa kwako dada Wema usife moyo

  • @DoriceStanslaus
    @DoriceStanslaus 11 дней назад

    Umenoga Kimwana kasura kamenoga mashallah ❤

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Год назад +11

    Allah Akupe Nawewe Mwanao Wema Wetu InshaaAllah

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge Год назад +1

    Jidai na kizungu INAMAANA lugha yako haifai. Unaposema ongea kwa uzuri unazungumza kama kinyonga. Tena usijivunie lugha ya kuiga wanakujua KUA nimtanzani.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Год назад +6

    Wema muombe Allah akujaalie ndoa kisha mtoto,nadhani hadi hapo umenielewa

  • @joshuakaaya6865
    @joshuakaaya6865 6 месяцев назад

    Hongera sana dada wema sepetu,, Mungu akujaalie pia

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 3 месяца назад

    Lazima Mungu akukumbuke kwa hiyo sadaka Yako kumleta mtt wa mwenzako kama wako. Mungu akukumbuke

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Год назад +4

    Ya Allah nakuomba umjalie wema na mapacha shukran Amin tuseme Amin❤

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад +6

    Wema maombi yngu kwko n Mungu akupee Mtoto kabla huu mwka hujaisha 🙏🙏

    • @catherinebufikiri3964
      @catherinebufikiri3964 Год назад

      Mwaka huu haujaisha vipi wakat imebaki miez mitano t au Kuna mimba ya miezi mitano ????🙄🙄

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Год назад

      Na ww ni mmoja wao manabi wa kibongo??

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete Год назад +1

    Wema you are really a blessed person for us TZ we need to learn from you YANI SIJUI NISEME NINI Ila mungu atakulipa we love youuu wemaaaa😘

    • @EddaPeter-yn3nk
      @EddaPeter-yn3nk Год назад

      Apewe mauwa yake uyu dada kiukweli nimdada mwenye moyo wake nampenda mpka nampenda tena

  • @HalimaUwamahoro
    @HalimaUwamahoro 4 месяца назад

    Allah akujaliy Watoto

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Hongera sana sana kwa moyo wa upendo ipo siku Mungu atakupa haja ya moyo wako

  • @هلالعليالعبري
    @هلالعليالعبري Год назад +4

    Hongera sana wema..wew ni mdada mwenye upendo na watoto pia mwenye roho nzuri,mim nakuombea kwa Allah akujaalie ndoa na pia mtoto..ama kweli yule diamond aliacha mwanamke mwenye akili na upendo na hatawahi kupata mwanamke wa kumfikia wema😂

  • @OthmanBakari-vv4pf
    @OthmanBakari-vv4pf Год назад

    Nakupendag wew dad I love you I guy❤❤❤❤

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx Год назад +7

    Inshallah mwenyzi mungu afungue uzao wako wema

  • @dianamsuya4854
    @dianamsuya4854 Год назад +1

    Hongera wema mrembo wa nje mpk ndan safi

  • @reginakirway3626
    @reginakirway3626 Год назад +1

    Wema mama mtarajiwa Mungu kama aishivyo ,, yupo mtoto ambaye mungu amekuandalia soon it's my preys

    • @AddyQueen-og8yc
      @AddyQueen-og8yc Год назад

      Allah mjahalie wema jamani mtto hata mmoja tuuu msamehee makosa yake yote mpe jamani

  • @LinaMsiska
    @LinaMsiska 2 месяца назад

    We sepetu mwili umeupereka wapi dada yangu just pray God will see you through darling

  • @tumainimorinaombamuguhawap329
    @tumainimorinaombamuguhawap329 Год назад

    ❤❤ nampenda sana wema nataman mungu hamgali mtoto wake

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад

    WEMA AMINI WAKATI WA MUNGU NDIO WAKATI SAHIHI USIOGOPE WALA USIOFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE USIJALI YOYOTE UNAYO PITIA AMINI MUNGU YUPO KWA AJILI YETU AMINI TU

  • @missclementsemizigimisscle7458
    @missclementsemizigimisscle7458 Год назад +8

    😭😭😭😭😭😭Mungu akupe wako wema❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ankovictor1564
    @ankovictor1564 Год назад +4

    Mungu amjalie wema apate wake

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад +7

    I wish mwanangu angepata mama wa kambo wa ivi budget ya nguo na matoy ningeitoa kabisa ktk list yangu kwa raha zangu

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 21 день назад

    Mnamuombea Wema apate mtoto wakati wadada wakitanzania mukiwa katika ubora wenu mnalinga sana ikiwemo kupata mimba munatoa mungu nae ana azabu kali

  • @RosemaryMarube
    @RosemaryMarube 7 месяцев назад

    Yaani dada mungu ameshakupa mtoto mpokee naumtunze huyo nizawadi yako kutoka kwamungu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Год назад +2

    Mungu akubariki Wema💋🙏

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Год назад

    MUNGU pekee Ana makusudi be happy ni kitu special wanawake wengi tunayo congratulations 🎊 dear....love yenu izidi sn

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Год назад +5

    wanaohisi anafake wamuulize Antie Ezekiel na akina Zamaradi.she has been like this since way back at K/NYAMA with her sisters and friends kids""may GOD bless her with her own.

  • @AzizaFesal
    @AzizaFesal 9 месяцев назад

    Allh akujaalie na weww mtot kwa allha hamna gumu kikubwa dua

  • @balezinadege8598
    @balezinadege8598 Год назад

    Nina Imani mungu ata kubariki mutoto amen

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 Год назад

    Umekuwa mamy, na maneno mazuri, inapendeza. May God bless you

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 7 месяцев назад

    Mungu nimwema saana mnomnooo ipo siku utapakata wakwako

  • @nasreeniteu8877
    @nasreeniteu8877 Год назад

    ❤❤me nampenda sana wema lkn aliniudhi walah vile tu alivokuwa rafik wa tunda halafu akamzunguka for sure niliumia kama mwanamke anyway 😂bado tupo tutaona finally 😊

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 Год назад

    Jmn mashaallah wallhi

  • @bintyswaleh9318
    @bintyswaleh9318 Год назад

    Good ..mungu amzidishie wema😂

  • @happinessjohansen5707
    @happinessjohansen5707 Год назад

    Iwe for show ila wema ana Moyo wa upendo sana Mungu akubariki sana❤

  • @bihiire3333
    @bihiire3333 Год назад

    Oke sikusema kwamba watanzania ndio wanapenda wema na Uganda tunamupenda sanaaaaa kamamimi

  • @NatacollectionMushi-ux2xm
    @NatacollectionMushi-ux2xm Год назад

    Eee Mungu wambinguni nakuomba umjalie wema sepetu apate mtoto Mungu Siku atakayopata mtoto wake nitakutolea sadaka yashukrani hii niahadi yangu

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад +2

    Ila wema jaman😢 yule wema wa 2015 amepotelea wap jamn wema wangu yule jmn kwel uchawi upo uchawi upo jaman wema alirogwa jmn

  • @justicegevula9921
    @justicegevula9921 Год назад

    Nice madame ric pekt wema

  • @sabri1913
    @sabri1913 Год назад

    Lakini thank you so much 😮

  • @uwasekanimba4115
    @uwasekanimba4115 Год назад

    Nakuombeye Mungu akupe wapili 💕💕💕💕

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Год назад +2

    Natamani Mungu akujalie wema upate watoto mwee

  • @NIYONIZEYEPatrick-d3b
    @NIYONIZEYEPatrick-d3b 10 месяцев назад

    Naomba mungu akupe wakwako

  • @mwanaishafikiri3684
    @mwanaishafikiri3684 Год назад

    Kaka Norman Na Dada Cookie 🥰🥰

  • @HalimaFadhili-qy7mp
    @HalimaFadhili-qy7mp 2 месяца назад

    Mungu akujaalie nawew jaman unamoyo wapekee

  • @mwajumarahim3255
    @mwajumarahim3255 Год назад

    Jaman da wema nakupenda bure,unapenda sana watoto mungu akufanyie wepesi dada

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa Год назад

    Wewe ni mwema kama kina lako Mungu akufanyie wepesi kwenye kila hitaji la moyo wako

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Waoooo mashaallah ❤❤

  • @HappyMhango-tw5kg
    @HappyMhango-tw5kg 11 месяцев назад

    Mnaosema wema vibaya nyinyi sio mungu ni wanadamu

  • @zuhurasekiko9028
    @zuhurasekiko9028 Год назад +1

    hongera mwanangu mwenyezi mungu wa mbinguni yu pamoja nawe

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Год назад +6

    Wema.funga ndoa maombi yanagoma tukiombea mtoto kwa mzinzi please wema funga ndoa

  • @LilianIsack-r2h
    @LilianIsack-r2h Год назад +1

    Saf San dada hvg ndy unatamiw uwe atakam sy mtt wk

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +3

    Tatizo unaonesha upendo lkn uwa awajal kbs babe mama wa mtoto

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Год назад

      My dear comment ukweli basi Acha kumchafua

  • @zoab2699
    @zoab2699 Год назад

    Inshallah kunaseku allah akisema kun fa yakun utapata wako biidhn llah taallah

  • @prettylovness6481
    @prettylovness6481 Год назад

    😭😭😭uyu dada kwl mungu amubariki san

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Год назад

    Naomba mungu akupe itaji ra moyo wako

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Год назад

    Katoto kefanana babaake masha allah

  • @SarahMkota-xm6ij
    @SarahMkota-xm6ij Год назад

    Me nampenda sàn

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Год назад +1

    Maashaallah vizuri wema

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад +1

    Mungu akukumbuke wema upate mtoto

  • @JoyLoyce-s5b
    @JoyLoyce-s5b Год назад

    Mungu akupe haja moyo wako.

  • @OdetNkulu-jy4yl
    @OdetNkulu-jy4yl Год назад

    Mungu akubariki mm nakuachia mtoto wako sita kuja kuniona

  • @susankahindi244
    @susankahindi244 Год назад

    Utapata dear one inshallah

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад +2

    Brava mamma mdogo 🎉

  • @SheryhaaMussa-pg6ih
    @SheryhaaMussa-pg6ih Год назад

    Love u madam wema