Mungu wa Mbinguni akakupe hitaji la moyo wako kwa hakika. This is a remark kwa Mungu and someday around this earth u will receive a miracle u ever endured 💕💕💕💕💕💕
Shida ni mdomo wa mondi aliongea vibaya na adi leo akashindwa kupata mtoto aende tu kwa mondi amteemee mate amfunguwe wenzie😢 kisa n kutoa mimba ya mondi tu yni kuna watu wakiogea kama wachawi
Wema you are one of a kind. I commend you and Tunda for showing so much maturity for sharing baby Lola and you for loving that cutie!! It's beautiful! You will all shut up the big mouthers who expected nonsensical cat fightt over loving a child. May God continue to give you much love to shower that blessed cutiie!
Nakupenda San Wem Sept Una na Penda San watoo Vizuri Mungu Yupo atakupa usinjare 👏 na Mii Niko Kama wee Usinjyare Tuwungane Kwa Mawonbe Mungu atadip Mii ni Munyarwanda 🙌
Jidai na kizungu INAMAANA lugha yako haifai. Unaposema ongea kwa uzuri unazungumza kama kinyonga. Tena usijivunie lugha ya kuiga wanakujua KUA nimtanzani.
Hongera sana wema..wew ni mdada mwenye upendo na watoto pia mwenye roho nzuri,mim nakuombea kwa Allah akujaalie ndoa na pia mtoto..ama kweli yule diamond aliacha mwanamke mwenye akili na upendo na hatawahi kupata mwanamke wa kumfikia wema😂
WEMA AMINI WAKATI WA MUNGU NDIO WAKATI SAHIHI USIOGOPE WALA USIOFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE USIJALI YOYOTE UNAYO PITIA AMINI MUNGU YUPO KWA AJILI YETU AMINI TU
wanaohisi anafake wamuulize Antie Ezekiel na akina Zamaradi.she has been like this since way back at K/NYAMA with her sisters and friends kids""may GOD bless her with her own.
❤❤me nampenda sana wema lkn aliniudhi walah vile tu alivokuwa rafik wa tunda halafu akamzunguka for sure niliumia kama mwanamke anyway 😂bado tupo tutaona finally 😊
Mungu mjaalie wema nae apate mtoto😢 kwa uwezo wa Allah atakupa nawewe ipo siku tu muombe Mungu sana ❤❤❤❤
Amiin😊😊😊
Wema kipenzi cha watoto.❤❤ Nakuombea Allah akupe wakwako inshallah
Mungu wa Mbinguni akakupe hitaji la moyo wako kwa hakika. This is a remark kwa Mungu and someday around this earth u will receive a miracle u ever endured 💕💕💕💕💕💕
Inshallah ❤ Mungu akufanyie wepesi Upate mtoto wako kipenz changu Wema Sepetu 🔥🔥🔥😍💞💯
Wema mungu atazidi kukubariki akupe pia haja ya moyo wako. Nakupenda wema.ubarikiwe wewe na familia yako.
Unaupendo sana mungu akupe hitaji la moyo wako
Amen
Wema unapenda wazoto sana mungu akujalie na ww upate mtoto ❤❤❤❤❤
Shida ni mdomo wa mondi aliongea vibaya na adi leo akashindwa kupata mtoto aende tu kwa mondi amteemee mate amfunguwe wenzie😢 kisa n kutoa mimba ya mondi tu yni kuna watu wakiogea kama wachawi
MashaAllah mwenyezi Mungu amfanyie wepesi huyu dada..ambariki na mtoto apate amani ya moyo
We dada me nakupendaga sana huna baya una roho ya pekee sana , hakika Mwenyezi Mungu atakupa hitaji la moyo wako , una wema kama jina lako 🥰
leo Niko wakwanza jaman naomben like nyingi kwawale wanao mpenda wema sepetu🥰🤗
We ww ndo Sara wa leo, na mm ndo ibrahim wa leo
@@emmaboka959😂😂😂
@@emmaboka959 ha ha ha 🤣🤣🤣
Wema you are one of a kind. I commend you and Tunda for showing so much maturity for sharing baby Lola and you for loving that cutie!! It's beautiful! You will all shut up the big mouthers who expected nonsensical cat fightt over loving a child. May God continue to give you much love to shower that blessed cutiie!
Wema NAKUPENDA SANA una roho nzuri sana❤❤❤❤❤
Mungu ham tupi mja wake ipo siku wema uta pata tuu mtoto usi choke kuomba mungu ❤❤❤❤
Chimama nimekupenda buree,,sasa utakuta jitu limekuta mume ana mtoto halafu lnakunja roho kama Jini vile ww mfano wa kuigwa ❤️❤️
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Yaani mpaka nikatamani nibebe mtoto nikuzawadi dadangu,GOD WILL MAKE IT A BLESSING🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Wema namuomba mungu akupe nawewe mtoto wko❤❤
Mansha allah wema mungu bariki wema apate mtoto na yeye aitwe mama ❤❤❤
Jamani mi natamani siku moja nikutane na uyu Dada wema sepetu iloveyou 🌹 forever
Nakuombea siku zote upate mtoto 😢😢😢😢
Real yu've done something very greant,May God keep on bless yuh in advance Wema.....One day yu Gonna have yours babeee
Mungu anauonq moyo wake jamaniii
Wema wangu mungu akupewako❤
Mungu amjalie mtoto kweli ❤😢
Chimama hongeraa sanaaa Mungu akuoe nawe wako 🥰🥰🥰❤❤❤❤
Mungu atakupa mtoto Wema.May God remember you for having such a kind heart ❤❤❤
l love 😍 wema ❤❤
Amen 🙏
Amen
Amina
Amina
Dada wema sepetu ushauri wangu kwako wende kituo qawa toto yawa toma uchukuwe mtoto umoja umulee kama mtoto wako Mimi ni mucongo mani❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nakupenda San Wem Sept Una na Penda San watoo Vizuri Mungu Yupo atakupa usinjare 👏 na Mii Niko Kama wee Usinjyare Tuwungane Kwa Mawonbe Mungu atadip Mii ni Munyarwanda 🙌
Roho nzuri haifichikiiiiiiii.Hongera Wema
Nampenda sana wema anavomlea mtoto mungu akupe kila lakher❤❤❤❤❤
Nakuombea mungu dada yang na ww mungu akubariki mtoto ndani ya mwaka huu 2025 ❤❤
❤ mungu mwema atakupa nawewe usichoke kuomba naamini mungu anajibu kwa wakati🥰🙏
That is very powerfull you still have Lola mwaya
Mungu amjalie upate
Kwa hii roho nzuri natabiri wema kupata mtoto kabla ya mwaka 2025.. Note my words
Hongera Sana Kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Tena Sana hakika shalom shalom
Mungu akupe wa kwako dada Wema usife moyo
Umenoga Kimwana kasura kamenoga mashallah ❤
Allah Akupe Nawewe Mwanao Wema Wetu InshaaAllah
Amina
Amen
INSHAAALLAH
Inshallah
Amen
Jidai na kizungu INAMAANA lugha yako haifai. Unaposema ongea kwa uzuri unazungumza kama kinyonga. Tena usijivunie lugha ya kuiga wanakujua KUA nimtanzani.
Wema muombe Allah akujaalie ndoa kisha mtoto,nadhani hadi hapo umenielewa
Hongera sana dada wema sepetu,, Mungu akujaalie pia
Lazima Mungu akukumbuke kwa hiyo sadaka Yako kumleta mtt wa mwenzako kama wako. Mungu akukumbuke
Ya Allah nakuomba umjalie wema na mapacha shukran Amin tuseme Amin❤
Wema maombi yngu kwko n Mungu akupee Mtoto kabla huu mwka hujaisha 🙏🙏
Mwaka huu haujaisha vipi wakat imebaki miez mitano t au Kuna mimba ya miezi mitano ????🙄🙄
Na ww ni mmoja wao manabi wa kibongo??
Wema you are really a blessed person for us TZ we need to learn from you YANI SIJUI NISEME NINI Ila mungu atakulipa we love youuu wemaaaa😘
Apewe mauwa yake uyu dada kiukweli nimdada mwenye moyo wake nampenda mpka nampenda tena
Allah akujaliy Watoto
Hongera sana sana kwa moyo wa upendo ipo siku Mungu atakupa haja ya moyo wako
Hongera sana wema..wew ni mdada mwenye upendo na watoto pia mwenye roho nzuri,mim nakuombea kwa Allah akujaalie ndoa na pia mtoto..ama kweli yule diamond aliacha mwanamke mwenye akili na upendo na hatawahi kupata mwanamke wa kumfikia wema😂
Nakupendag wew dad I love you I guy❤❤❤❤
Inshallah mwenyzi mungu afungue uzao wako wema
Hongera wema mrembo wa nje mpk ndan safi
Wema mama mtarajiwa Mungu kama aishivyo ,, yupo mtoto ambaye mungu amekuandalia soon it's my preys
Allah mjahalie wema jamani mtto hata mmoja tuuu msamehee makosa yake yote mpe jamani
We sepetu mwili umeupereka wapi dada yangu just pray God will see you through darling
❤❤ nampenda sana wema nataman mungu hamgali mtoto wake
WEMA AMINI WAKATI WA MUNGU NDIO WAKATI SAHIHI USIOGOPE WALA USIOFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE USIJALI YOYOTE UNAYO PITIA AMINI MUNGU YUPO KWA AJILI YETU AMINI TU
😭😭😭😭😭😭Mungu akupe wako wema❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu amjalie wema apate wake
I wish mwanangu angepata mama wa kambo wa ivi budget ya nguo na matoy ningeitoa kabisa ktk list yangu kwa raha zangu
😅😅😅
Mnamuombea Wema apate mtoto wakati wadada wakitanzania mukiwa katika ubora wenu mnalinga sana ikiwemo kupata mimba munatoa mungu nae ana azabu kali
Yaani dada mungu ameshakupa mtoto mpokee naumtunze huyo nizawadi yako kutoka kwamungu
Mungu akubariki Wema💋🙏
MUNGU pekee Ana makusudi be happy ni kitu special wanawake wengi tunayo congratulations 🎊 dear....love yenu izidi sn
wanaohisi anafake wamuulize Antie Ezekiel na akina Zamaradi.she has been like this since way back at K/NYAMA with her sisters and friends kids""may GOD bless her with her own.
Allh akujaalie na weww mtot kwa allha hamna gumu kikubwa dua
Nina Imani mungu ata kubariki mutoto amen
Umekuwa mamy, na maneno mazuri, inapendeza. May God bless you
Mungu nimwema saana mnomnooo ipo siku utapakata wakwako
❤❤me nampenda sana wema lkn aliniudhi walah vile tu alivokuwa rafik wa tunda halafu akamzunguka for sure niliumia kama mwanamke anyway 😂bado tupo tutaona finally 😊
Jmn mashaallah wallhi
Good ..mungu amzidishie wema😂
Iwe for show ila wema ana Moyo wa upendo sana Mungu akubariki sana❤
Oke sikusema kwamba watanzania ndio wanapenda wema na Uganda tunamupenda sanaaaaa kamamimi
Eee Mungu wambinguni nakuomba umjalie wema sepetu apate mtoto Mungu Siku atakayopata mtoto wake nitakutolea sadaka yashukrani hii niahadi yangu
Ila wema jaman😢 yule wema wa 2015 amepotelea wap jamn wema wangu yule jmn kwel uchawi upo uchawi upo jaman wema alirogwa jmn
Nice madame ric pekt wema
Lakini thank you so much 😮
Nakuombeye Mungu akupe wapili 💕💕💕💕
Natamani Mungu akujalie wema upate watoto mwee
Naomba mungu akupe wakwako
Kaka Norman Na Dada Cookie 🥰🥰
Mungu akujaalie nawew jaman unamoyo wapekee
Jaman da wema nakupenda bure,unapenda sana watoto mungu akufanyie wepesi dada
Wewe ni mwema kama kina lako Mungu akufanyie wepesi kwenye kila hitaji la moyo wako
Waoooo mashaallah ❤❤
Mnaosema wema vibaya nyinyi sio mungu ni wanadamu
hongera mwanangu mwenyezi mungu wa mbinguni yu pamoja nawe
Wema.funga ndoa maombi yanagoma tukiombea mtoto kwa mzinzi please wema funga ndoa
😂😂😂😂ila nyie
Yes mummy wema fungua ndoa....ili Maombi yapenye.. aweze fanya kitu..kwako..
@@maryamconstantine2232 🤭🤭🤭
Saf San dada hvg ndy unatamiw uwe atakam sy mtt wk
Tatizo unaonesha upendo lkn uwa awajal kbs babe mama wa mtoto
My dear comment ukweli basi Acha kumchafua
Inshallah kunaseku allah akisema kun fa yakun utapata wako biidhn llah taallah
😭😭😭uyu dada kwl mungu amubariki san
Naomba mungu akupe itaji ra moyo wako
Katoto kefanana babaake masha allah
Me nampenda sàn
Maashaallah vizuri wema
Mungu akukumbuke wema upate mtoto
Mungu akupe haja moyo wako.
Mungu akubariki mm nakuachia mtoto wako sita kuja kuniona
Utapata dear one inshallah
Brava mamma mdogo 🎉
Love u madam wema