Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.
Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.
Hongera sana galaby umefanya vizuri . Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana . In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.
Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano
Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50
Garby Wee ni Mwamba kwelii
Brot Brot nakukubali❤
Mungu aturehem coz shetan yupo serious na anakasi ya jabu Sana👉🏻👉🏻👉🏻Mjue Sana Mungu ili uwe na Amani ndipo mema yatavyokujilia🙏🙏🙏
kabisa
Hii style ya mr right kubadili style naipenda sana sana kuliko from 🇭🇰
😂hawataki kuchaguliwa wameenda kufanyeje watu wanachagua kama nyama unaenda kula ukishiba unafwata ingine😂 hao ni kama machangudoa
Ukweli fulani ndani yake
@@flm1530 hi
Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.
Kabisa
Hawajielew
Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.
@@LukaJoas we ndyo unamaisha magumu acha kudharau watu wew
Kasema kweli bwana😂😂😂😂😂😂😂
warembo Wana msimamo kwakweli jamani😂😂😂😂😂nimewamiss sana 🫶🫶🫶🫶🫶🫶
GRB unajuwa jukumu lako quiet clever.
Maana warembo wana ona mr Right chini juu nyuma mbele,
Kwa iyo nivizuri warembo pia kuonwa nyuma, mbele.❤
Namkubali sana konde wa mchongo
Hongera sana galaby umefanya vizuri .
Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana .
In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.
Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Kondeboy wa mchongo 😂😂😂jeuri😅😅
Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano
Lulu hem jisitir baada ya uhai kuna kufa ee mja weee
Mwanaume mwenyew sas 😂😂et anajishaua kbsa na yey😅
Gara b were ni king umenifurahisha
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mwijaku umeongea point sana yaan kimtu kinaiga na wakati hata hafanani hamo jamaniii
Nice gala b hakuna kubembeleza U T I izo 😢
Yes iko kenya,kitale
Safi sn🎉🎉🎉
Merci beaucoup 14:13 ❤❤❤🎉
Bora kamekataliwa kana sifa mno😂😂😂😂
😂😂wanajikuta ma kwini pumbavu zao wanaharibu shoo wamekaidi wamekuzalau
We doctor gani na unatibu nini? Kuwa unavaa nguo basi!!
Natamani angekuwepo dr Kumbuka😂wangechambwa hao wadada hadi wajisikie vibaya😂
Garabi anahekima 🎉🎉🎉🎉kwl
Wanaume wanevaa eleni msikate tamaa ipo siku mtavaa pedi😂😂😂
Kwakwel😂😂
hahahhahah kama kweli vile
Gala B wewe ni mwamba bro 💪🙏
Hii imekaaa sawa😂😂wao wanapata nafax yakukuona vizur Alf ww unawaona uso tu
Uti ni noma xan
Vichangudoa tuu hivyo vimeshajiuza vimechoka.😂😂😂😂😂😂 Vitoke mbele
Sijapenda sana gisi ao warmbo wamekata jamaa 😢😢😢😢
😅😅😅waremboo wanamsimamooo jamanii😢😢
Warembo wko vzr sana kwakweli I.
ahahhahahah miez mitatu kaondoka na pia hiyo hiyo ndan ya miezi mitatu x wake kaolewa pia na mtoto juuu ahahahhahahah
Sasa wadada wenyewe viburi alafu wanataka kuolewa😂😂😂😂
ww kama wanataka mume wakaubaliane na kila kitu kwa msakata cha uvunguni shart unamee kwan wamekuja kfanya nn apo waendelee kudanga
Hii ya leo nimependa shuka chini😂😂😂😂
Safi garabi hawajuwi kazi
Hawa madem wa podiums dharau😅😅😅😅
Huyo n mwongo hana duka huko kenya😅
Mr Right wa leo shida kabisaaa 😅😅😅
tatizo wanawake hawapendi hivo..mkak mambo mengi mikofia miwani yani muonekano mbayaaaa😂😂
machangudoa walio changamka😂
Ivi kwanin hao wadada hawato story zao za maisha kama mr light,
Maana wengne wameflash sana au wana watoto uko ubibini
Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50
😂😂😂 gara B ,bhna eti tutampata kajala ,
Kitale ndio mji mkuu wa Tranzoia County. Mitume ni baadhi ya miji midogo za tranzoia county
Mwijaku NdumilaKuwili😂😂 Mazafaka
Nimecheka leo😅😅😅😅
Mwijaku mwijaku kiboko yaooo
Yuko sahihi, Kitale is a town in Kenya
Sasa si mnajiuza kwanini hamtaki kutoka mbele,,kwenda hapo tu CV ishashuka
Wee lulu huyo jamaa anasema kweli kitale kwetu
Mimi mkenya napajua huko ako sawa kabisaa 🫡
Gara B mwanaume na nusu bro🫡
Wanawake wenyew njaa kibao afu wanajikuta kama wanajiona wamaana sjui apo walikuja kufanya nn,nyalaida guririe
Hapo kuna mdada anaitwa kyka daaa umeniua hatar
Uyo jamaa analinga sana . 2
Mwijaku mwenyewe ni mwanamke tu
Hilo duka linaitwaje Niko hizi sehemu ya kitale mitume
NIVIZURI. WAONEKANE. CHINI. HADI. JUUNA. IO. PASPOT. SAI🇮🇹🇹🇿
Kaka napenda sana maamuzi yako gara b ww nimwamba
Wow i'm the farst person to watch and comment from Kenya mnipe like jamani
🔥🔥🔥🔥
Si mlisema kenya mnajua kiingereza, farst maana yake nn sasa!?😢
Ila huyu meujaku sio ahapo lol 😆 😂 🤣 mzee wa utata
Mwijaku ni musalti kweli..
Âme saliti dogo wake😂😂😂
Duuh mbona sheria kali maana nikama nawana dharau ivi
This ladies I don't think they really want a man. There behavior shaw all!! So sad
Mi mkenya ,mahali jamaa anasema ni nyumbani kabisa na maelezo yake yapo kamili
😂😂😂😂😂mwijaku
Jamaa anaiga sana ukonde gang ni shida iyo 😅
Sf sn kqnn awazarau ivyo kwa kuwa wao ndo wnashuda mnamchekea nn uyo jamaa anazarau
Tenki yu olzi bayi😂
Nimefuraha na garab umefanya niwe nafatilia mara kwa mara thank for all
Lkn mnataka wenyewe kuzalilika mnafata nn hp
Sa wamekuja kifanya nn kama hawataki kuonekana jamaa yupo Sawa huez chagua MTU anaonekan kichwa
Jamani kwa kweli leo sijapenda uyukijana hana heshima hata kidogo na anamazarau sana nahatofika fasi ametushusha heshima sisi wa dada 😭😭😭🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Hata kusimama kwenye podium ni kujidharau, kujidhalilisha, na kukata tamaa pia. Kwahiyo km ni dharau wanajidharau wao wenyewe
Anahaki Kwanzaa mbona wamegoma!
Brother ukipat demu niite CHOKUU 😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Kimemramba😂
Majaji mme feli mwusho kumsema jamaa huyo km hami looking lkn km hapa tayari mme fungiwa
Kitale siyo jiii la Nairobi. Ni nchi ya Kenya. Hapo mitume sijui
Walotoka walipwe bure ni sawa sana hii game
Mwijaku ndio hananimaliza mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aadharau sanq ata mimi nisingeweza
@@deamber775 kakosea Nini mbona yeye kaja mbele
Hapo Gara B nimekusifu san kuonyesha msimamo huo
Hapo hakuna mke hapo kuna wakujipigia na kusepa Wadada dharau nyingi mmh
Mcongo uyo jamaa
Muwazoom tuwaone vizuri wanavyoringa vinaendana?
Kumbe na wao ni watazamaji ila Huwa wanakaa hapo km masanamu
Uyu jamaa anawachkuliaje hawa
Lulu kama kamwagiwa maji ya baridiii
Asa kama hamutok mulifata nini hapo,wepuzi kweli nyie wanawake musha zoea kuzaa kila mtoto na baba ake
Apunguze sifaa
Mnajikuta ma bikila maria yaone
Nakukubal gara b
wakadange kama wanajiona makwini
Kwani hamjui tu hao wadada point yao kubwa?
Iv ni Nan aliwah kuja hapo akasema anaingiza hela ndefu kwa wki afu akakosa nyasi?
Hapo hakuna mwanamke hapo
Nmependa msimamo wao huyo jamaa anadharau afu anajiskia ...
Nizlikeni
Kumbe mashangazi tunaruhusiwa
NIKWELI. HAWAONEKANI. SHEPU
Mkoa wa trasoya kijiji cha kitale
Hyu msee ni mukweli saana
Konde mzigua