KONDEBOY WA MCHONGO ALITAKA KUONA SHAPE ZA WAREMBO | WAMEMSUSIA NA KUONDOKA STEJINI S04EP14

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 133

  • @dariusshukuru8490
    @dariusshukuru8490 9 дней назад +9

    Garby Wee ni Mwamba kwelii
    Brot Brot nakukubali❤

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 3 дня назад +3

    Mungu aturehem coz shetan yupo serious na anakasi ya jabu Sana👉🏻👉🏻👉🏻Mjue Sana Mungu ili uwe na Amani ndipo mema yatavyokujilia🙏🙏🙏

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 дней назад +5

    Hii style ya mr right kubadili style naipenda sana sana kuliko from 🇭🇰

  • @flm1530
    @flm1530 9 дней назад +24

    😂hawataki kuchaguliwa wameenda kufanyeje watu wanachagua kama nyama unaenda kula ukishiba unafwata ingine😂 hao ni kama machangudoa

    • @nicholasmiano8424
      @nicholasmiano8424 9 дней назад

      Ukweli fulani ndani yake

    • @PatrickSounda-r2i
      @PatrickSounda-r2i 7 дней назад

      @@flm1530 hi

    • @greydonalds4286
      @greydonalds4286 6 дней назад

      Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.

    • @Mrszizo-d7t
      @Mrszizo-d7t 5 дней назад

      Kabisa

    • @restitutapeter-e1v
      @restitutapeter-e1v 3 дня назад

      Hawajielew

  • @LukaJoas
    @LukaJoas 7 дней назад +5

    Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.

    • @Mgmweustz-p9u
      @Mgmweustz-p9u 4 дня назад

      @@LukaJoas we ndyo unamaisha magumu acha kudharau watu wew

    • @uwimanaLatifa-q4u
      @uwimanaLatifa-q4u 3 дня назад

      Kasema kweli bwana😂😂😂😂😂😂😂

  • @Zahara-l3l
    @Zahara-l3l 9 дней назад +7

    warembo Wana msimamo kwakweli jamani😂😂😂😂😂nimewamiss sana 🫶🫶🫶🫶🫶🫶

  • @EvaristeTchinkoma-oi5rq
    @EvaristeTchinkoma-oi5rq 19 часов назад

    GRB unajuwa jukumu lako quiet clever.
    Maana warembo wana ona mr Right chini juu nyuma mbele,
    Kwa iyo nivizuri warembo pia kuonwa nyuma, mbele.❤

  • @ValenciaJacob-o1t
    @ValenciaJacob-o1t 2 дня назад +2

    Namkubali sana konde wa mchongo

  • @geagbtv5949
    @geagbtv5949 8 дней назад +3

    Hongera sana galaby umefanya vizuri .
    Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana .
    In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.

  • @jamilazahran4571
    @jamilazahran4571 8 дней назад +6

    Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽‍♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️

  • @MR.SHADRIGHT
    @MR.SHADRIGHT 8 дней назад +3

    Kondeboy wa mchongo 😂😂😂jeuri😅😅

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 13 часов назад

    Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano

  • @Oman-k4j
    @Oman-k4j 9 дней назад +6

    Lulu hem jisitir baada ya uhai kuna kufa ee mja weee

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 5 дней назад +2

    Mwanaume mwenyew sas 😂😂et anajishaua kbsa na yey😅

  • @SalomGahi
    @SalomGahi 4 дня назад +2

    Gara b were ni king umenifurahisha

  • @LovenessWaibe
    @LovenessWaibe 8 дней назад +2

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mwijaku umeongea point sana yaan kimtu kinaiga na wakati hata hafanani hamo jamaniii

  • @meedyshow8807
    @meedyshow8807 6 дней назад +3

    Nice gala b hakuna kubembeleza U T I izo 😢

  • @Vigilancewambughamwaisaka
    @Vigilancewambughamwaisaka 6 дней назад +4

    Yes iko kenya,kitale

  • @FrançoisButoto
    @FrançoisButoto 9 дней назад +2

    Safi sn🎉🎉🎉

  • @FrançoisButoto
    @FrançoisButoto 9 дней назад +2

    Merci beaucoup 14:13 ❤❤❤🎉

  • @AmosShija-w2o
    @AmosShija-w2o 8 дней назад +2

    Bora kamekataliwa kana sifa mno😂😂😂😂

  • @goodluckrkterry7767
    @goodluckrkterry7767 5 дней назад +3

    😂😂wanajikuta ma kwini pumbavu zao wanaharibu shoo wamekaidi wamekuzalau

    • @VailethMushi-d3o
      @VailethMushi-d3o 5 дней назад

      We doctor gani na unatibu nini? Kuwa unavaa nguo basi!!

  • @AmmullyMonica
    @AmmullyMonica День назад

    Natamani angekuwepo dr Kumbuka😂wangechambwa hao wadada hadi wajisikie vibaya😂

  • @MR.SHADRIGHT
    @MR.SHADRIGHT 8 дней назад +3

    Garabi anahekima 🎉🎉🎉🎉kwl

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 9 дней назад +3

    Wanaume wanevaa eleni msikate tamaa ipo siku mtavaa pedi😂😂😂

  •  4 дня назад

    Gala B wewe ni mwamba bro 💪🙏

  • @MzirayDunga
    @MzirayDunga День назад

    Hii imekaaa sawa😂😂wao wanapata nafax yakukuona vizur Alf ww unawaona uso tu

  • @FaustineJanes-x3p
    @FaustineJanes-x3p День назад

    Uti ni noma xan

  • @UpendoEliya-i7l
    @UpendoEliya-i7l 6 дней назад +2

    Vichangudoa tuu hivyo vimeshajiuza vimechoka.😂😂😂😂😂😂 Vitoke mbele

  • @AUTVEVO258
    @AUTVEVO258 4 дня назад

    Sijapenda sana gisi ao warmbo wamekata jamaa 😢😢😢😢

  • @OmegaMatela
    @OmegaMatela 4 дня назад

    😅😅😅waremboo wanamsimamooo jamanii😢😢

  • @Bether-w3i
    @Bether-w3i 4 дня назад

    Warembo wko vzr sana kwakweli I.

  • @SharifaHaruna-f3g
    @SharifaHaruna-f3g 5 дней назад +1

    ahahhahahah miez mitatu kaondoka na pia hiyo hiyo ndan ya miezi mitatu x wake kaolewa pia na mtoto juuu ahahahhahahah

  • @avinkajuna708
    @avinkajuna708 5 дней назад +1

    Sasa wadada wenyewe viburi alafu wanataka kuolewa😂😂😂😂

    • @khasanaryhamady3968
      @khasanaryhamady3968 4 дня назад

      ww kama wanataka mume wakaubaliane na kila kitu kwa msakata cha uvunguni shart unamee kwan wamekuja kfanya nn apo waendelee kudanga

  • @JustineMhagama
    @JustineMhagama 3 дня назад

    Hii ya leo nimependa shuka chini😂😂😂😂

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 9 дней назад +3

    Safi garabi hawajuwi kazi

  • @MR.SHADRIGHT
    @MR.SHADRIGHT 8 дней назад +1

    Hawa madem wa podiums dharau😅😅😅😅

  • @Smilemaker_KE
    @Smilemaker_KE День назад

    Huyo n mwongo hana duka huko kenya😅

  • @EmelyneManizana
    @EmelyneManizana 9 дней назад +1

    Mr Right wa leo shida kabisaaa 😅😅😅

  • @verowilly5822
    @verowilly5822 4 дня назад

    tatizo wanawake hawapendi hivo..mkak mambo mengi mikofia miwani yani muonekano mbayaaaa😂😂

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u 4 дня назад +1

    machangudoa walio changamka😂

  • @agnatusbonephace1183
    @agnatusbonephace1183 2 дня назад

    Ivi kwanin hao wadada hawato story zao za maisha kama mr light,
    Maana wengne wameflash sana au wana watoto uko ubibini

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 13 часов назад

    Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50

  • @JosephinaMsagala-m1l
    @JosephinaMsagala-m1l 6 дней назад +1

    😂😂😂 gara B ,bhna eti tutampata kajala ,

  • @GeorgeWamalwa-z2y
    @GeorgeWamalwa-z2y 2 дня назад

    Kitale ndio mji mkuu wa Tranzoia County. Mitume ni baadhi ya miji midogo za tranzoia county

  • @Aphrodite_1122
    @Aphrodite_1122 2 дня назад

    Mwijaku NdumilaKuwili😂😂 Mazafaka

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 9 дней назад +1

    Nimecheka leo😅😅😅😅

  • @SalomGahi
    @SalomGahi 4 дня назад +1

    Mwijaku mwijaku kiboko yaooo

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 5 дней назад +1

    Yuko sahihi, Kitale is a town in Kenya

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 6 дней назад +1

    Sasa si mnajiuza kwanini hamtaki kutoka mbele,,kwenda hapo tu CV ishashuka

  • @ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA
    @ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA 6 дней назад +3

    Wee lulu huyo jamaa anasema kweli kitale kwetu

  • @nzeyimanaabdallah131
    @nzeyimanaabdallah131 6 дней назад +1

    Gara B mwanaume na nusu bro🫡

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 6 дней назад +1

    Wanawake wenyew njaa kibao afu wanajikuta kama wanajiona wamaana sjui apo walikuja kufanya nn,nyalaida guririe

  • @kakururubambula7270
    @kakururubambula7270 9 дней назад +3

    Hapo kuna mdada anaitwa kyka daaa umeniua hatar

  • @Janeth-q7l
    @Janeth-q7l 8 дней назад +2

    Uyo jamaa analinga sana . 2

  • @ALYLUHUNDE
    @ALYLUHUNDE 5 дней назад +1

    Mwijaku mwenyewe ni mwanamke tu

  • @mosessimiyu6954
    @mosessimiyu6954 2 дня назад

    Hilo duka linaitwaje Niko hizi sehemu ya kitale mitume

  • @zenahasan7603
    @zenahasan7603 6 дней назад +1

    NIVIZURI. WAONEKANE. CHINI. HADI. JUUNA. IO. PASPOT. SAI🇮🇹🇹🇿

  • @harunayusufu3226
    @harunayusufu3226 8 дней назад +1

    Kaka napenda sana maamuzi yako gara b ww nimwamba

  • @frankofficial53
    @frankofficial53 9 дней назад +4

    Wow i'm the farst person to watch and comment from Kenya mnipe like jamani

    • @STBONGOTV
      @STBONGOTV  9 дней назад

      🔥🔥🔥🔥

    • @lavidaloca_255
      @lavidaloca_255 4 дня назад

      Si mlisema kenya mnajua kiingereza, farst maana yake nn sasa!?😢

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 дней назад

    Ila huyu meujaku sio ahapo lol 😆 😂 🤣 mzee wa utata

  • @dariusshukuru8490
    @dariusshukuru8490 9 дней назад

    Mwijaku ni musalti kweli..
    Âme saliti dogo wake😂😂😂

  • @agnatusbonephace1183
    @agnatusbonephace1183 2 дня назад

    Duuh mbona sheria kali maana nikama nawana dharau ivi

  • @JemesNIMBONA
    @JemesNIMBONA 5 дней назад

    This ladies I don't think they really want a man. There behavior shaw all!! So sad

  • @ericksonnabiswa2438
    @ericksonnabiswa2438 2 дня назад

    Mi mkenya ,mahali jamaa anasema ni nyumbani kabisa na maelezo yake yapo kamili

  • @deamber775
    @deamber775 8 дней назад +1

    😂😂😂😂😂mwijaku

  • @Mikel-o9d
    @Mikel-o9d 6 дней назад

    Jamaa anaiga sana ukonde gang ni shida iyo 😅

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 часа назад

    Sf sn kqnn awazarau ivyo kwa kuwa wao ndo wnashuda mnamchekea nn uyo jamaa anazarau

  • @lavidaloca_255
    @lavidaloca_255 4 дня назад

    Tenki yu olzi bayi😂

  • @godfreybernard5283
    @godfreybernard5283 4 дня назад

    Nimefuraha na garab umefanya niwe nafatilia mara kwa mara thank for all

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 часа назад

    Lkn mnataka wenyewe kuzalilika mnafata nn hp

  • @HijjaanamsaidOneman
    @HijjaanamsaidOneman День назад

    Sa wamekuja kifanya nn kama hawataki kuonekana jamaa yupo Sawa huez chagua MTU anaonekan kichwa

  • @nuriatihdjasumin1548
    @nuriatihdjasumin1548 8 дней назад +2

    Jamani kwa kweli leo sijapenda uyukijana hana heshima hata kidogo na anamazarau sana nahatofika fasi ametushusha heshima sisi wa dada 😭😭😭🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @UpendoEliya-i7l
      @UpendoEliya-i7l 6 дней назад

      Hata kusimama kwenye podium ni kujidharau, kujidhalilisha, na kukata tamaa pia. Kwahiyo km ni dharau wanajidharau wao wenyewe

    • @JemesNIMBONA
      @JemesNIMBONA 5 дней назад

      Anahaki Kwanzaa mbona wamegoma!

  • @JohnBernad-r7z
    @JohnBernad-r7z 9 дней назад +3

    Brother ukipat demu niite CHOKUU 😂😂😂😂😂😂

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 дней назад

    Majaji mme feli mwusho kumsema jamaa huyo km hami looking lkn km hapa tayari mme fungiwa

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 5 дней назад +1

    Kitale siyo jiii la Nairobi. Ni nchi ya Kenya. Hapo mitume sijui

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 дней назад

    Walotoka walipwe bure ni sawa sana hii game

  • @SusanWangoi-l3r
    @SusanWangoi-l3r 7 дней назад

    Mwijaku ndio hananimaliza mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @deamber775
    @deamber775 8 дней назад +1

    Aadharau sanq ata mimi nisingeweza

  • @SuleimanMuhammed-g7q
    @SuleimanMuhammed-g7q 9 дней назад

    Hapo Gara B nimekusifu san kuonyesha msimamo huo

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 9 дней назад

    Hapo hakuna mke hapo kuna wakujipigia na kusepa Wadada dharau nyingi mmh

  • @officialbwoywalandlord1896
    @officialbwoywalandlord1896 5 дней назад

    Mcongo uyo jamaa

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jd 3 дня назад

    Muwazoom tuwaone vizuri wanavyoringa vinaendana?

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 6 дней назад

    Kumbe na wao ni watazamaji ila Huwa wanakaa hapo km masanamu

  • @TatuJumanne-g6c
    @TatuJumanne-g6c 2 дня назад

    Uyu jamaa anawachkuliaje hawa

  • @Mrszizo-d7t
    @Mrszizo-d7t 5 дней назад

    Lulu kama kamwagiwa maji ya baridiii

  • @AhadiMkuyu-jo1rt
    @AhadiMkuyu-jo1rt 8 дней назад

    Asa kama hamutok mulifata nini hapo,wepuzi kweli nyie wanawake musha zoea kuzaa kila mtoto na baba ake

  • @AshaRamadhani-r2o
    @AshaRamadhani-r2o 9 дней назад

    Apunguze sifaa

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 5 дней назад

    Mnajikuta ma bikila maria yaone

  • @amzatiradjabupipina8948
    @amzatiradjabupipina8948 6 дней назад

    Nakukubal gara b

  • @khasanaryhamady3968
    @khasanaryhamady3968 4 дня назад

    wakadange kama wanajiona makwini

  • @Capmappromtz
    @Capmappromtz 9 дней назад

    Kwani hamjui tu hao wadada point yao kubwa?
    Iv ni Nan aliwah kuja hapo akasema anaingiza hela ndefu kwa wki afu akakosa nyasi?

  • @ALYLUHUNDE
    @ALYLUHUNDE 5 дней назад

    Hapo hakuna mwanamke hapo

  • @Mgmweustz-p9u
    @Mgmweustz-p9u 4 дня назад +3

    Nmependa msimamo wao huyo jamaa anadharau afu anajiskia ...

  • @witnaofficial
    @witnaofficial 7 дней назад

    Nizlikeni

  • @anifamickidard4555
    @anifamickidard4555 9 дней назад

    Kumbe mashangazi tunaruhusiwa

  • @zenahasan7603
    @zenahasan7603 6 дней назад

    NIKWELI. HAWAONEKANI. SHEPU

  • @danyboytz255
    @danyboytz255 6 дней назад

    Mkoa wa trasoya kijiji cha kitale

  • @lameckdavid7895
    @lameckdavid7895 8 дней назад

    Hyu msee ni mukweli saana

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 6 дней назад

    Konde mzigua