Nimemuona Kamara Jamaa Anajua timu inahitaji Nini nanikwawakati Gani Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Simba Sports Club Nguvu Moja Kauli yakila Mechi Bado Tunajenga Tumu
Kuna ule mpira ambao Zimbwe Jr aliwapora Tabora langoni kwa Simba akampasia Mpanzu pembeni halafu akamzunguka mpinzani na akaondoka na mpira, Mbona hamjaiweka kwenye Hii Highlights au shida nini
Mutale anaanza kugain confidance now wakati attention imehamia kwa mpanzu inamsaidia maana kacheza vizuri tulifanya vizuri january jutokusajili tumpe kila mchezaji nafasi
Kamara ni mtu imara sana golini ,uwepo wa mpanzu umenifanya timu ya Simba ianze kuwa na speed....Mimi ni shabiki wa wa Yanga ila huu moto wenu sijui nani atauzima 😆😆😆
😂😂😂😂😂 kilichonifurahisha. Nijinsi wachezaji Wa simba wanavyojidodosha kwenye box LA Tabora hata hawajaguswa wameshajidondosha yani hii inaashiria kabisa mpango wao Wa kwanza nikupata penalty 😂😂😂😂
Cha dhurma hakiliki na ndyo maana ya nyuma mwiko haikuwa goli maana ilkuwa ya dhurma ila ya ubaya ubwela ni haki na ndyo maana imekuwa goli, acha ushabiki wa kishamba
TFF Mpeni Simba Kombe Aibu Aibu Mnayo Fanya Sio Marefa Ni TFF...Ndio Mnawabeba Simba Hilisuwali Lazima Mama Aliangalie Vizuri Hii Ndio Inasababisha Kuangusha Kiwango Cha Fotbol Tanzania
Nimemuona Kamara Jamaa Anajua timu inahitaji Nini nanikwawakati Gani Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Simba Sports Club Nguvu Moja Kauli yakila Mechi Bado Tunajenga Tumu
Uhakika broo
Ubaya ubwela
Ila MPANZU ni 🔥🔥🔥
Mm naipenda sana simba yangu iwe Raha iwe machungu mm nipo nayo❤
Ilove you simbaaaaa❤❤❤❤❤ nguvu mojaaa❤❤❤💪💪💪💪
Simba is best team in the afriqua🎉❤
Like za ateba hapa wana simba
Like za ateba hapa wan ubaya ubwela ❤❤
Mpanzu ameanza kuingia kweny mfumo wa team 🙌🙌
Naipenda simba pia Tabora mungu walinde leo simba mmejua kutupa raha tabora
Bado tunatengeneza timuu🎉🎉🎉
Tunajenga team tumeshakubaliana
Kabisa tunajenga timu
Dullah Studio hapa misigiri singida like zeduu naitj simbaaaaaa
Huyu Elie Mmh ana balaa
Atebaaa,mpanzu,kibu,ahou ni fire nyingine wtalia watuuuuu
Kamdomo kamewaponza tabora utd hongera mnyama simba
Wa kwanza kuangalia😂😂😂😂
Mpanzu 🎉🥳❤️
Nimeipenda hii,,, Mbu mwenye kelele Huwa ndio anakufa mapema.
Unyama🎉🎉🎉
tunajenga timu.. mpanzu ateba on fire 🔥🔥🔥
❤
Bado tunatengeneza timu, sijui ikikamilika itakuwaje
Mnyama tunawaaminia ❤
Hii ndio maana halis ya ubaya ubwela Simbasc #Nguvumoja
Nilichogundua pale mbele Elie mpanzu ndiyo mtu hatari zaodi na ndiyo mtu wa kuchungwa sana pasi zake nyingi zememuua tabora
Mpanzu ni 🔥 🔥 🔥
🎉🎉🎉🎉 tuliwapa masaa 24 wajaribishie kukaa kileleni muda umeisha tokeni
Ubaya ubwelaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤🦁
Hongera Tabora yangu ila bilasimba na yanga bado haijanoga. Nazipenda tim zangu
Mtatusamehe tunajenga team sasa hivi ina 30% na point3 tunachukua
Mikono ya shomari yasema kiko waaap😂😂😂😂mpanzu for life ubaya ubwela 🎉🎉🎉🎉
Mnyama❤❤❤❤❤❤❤
Kwa nini msingewaahidi milioni 100 ili wakakaza zaidi ?
Alhmdhulillah ya rabby❤
Kweli mbu mwenye kelele ndo hufa mapema😂😅
🦁🦁🦁🦁💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Bado tunajitafuta ktk ujenz WA simba yetu😢
Wale tuliomuona Roberto Carlos DK ya 94 Gonga like
Tunatengeneza timu ila wachezaji hawachoki
Safi sana wamelambishwa asali Yao wenyewe
Wakome,huyu dada anaongea sanaaa
Kuna ule mpira ambao Zimbwe Jr aliwapora Tabora langoni kwa Simba akampasia Mpanzu pembeni halafu akamzunguka mpinzani na akaondoka na mpira, Mbona hamjaiweka kwenye Hii Highlights au shida nini
Huyu mpanzu hatari
Simba nguv moja MUNGU tunakushukulu kwa ushindi huu
Kamdomo kamdomo 🤫🤫
Kama kufunga penalty ni rahisi, tumulize Azizi Ki ilikuaje akakosa!?😂
Muulize na pacome pia mechi ya Gori Tano na jana
Alimuona mobeto akidaka akapata wenge
Mutale anaanza kugain confidance now wakati attention imehamia kwa mpanzu inamsaidia maana kacheza vizuri tulifanya vizuri january jutokusajili tumpe kila mchezaji nafasi
Ahoua angefunga pale dk ya 95 🤔🤔🤔🔥🔥
Kazin kwa manula kuna kazi sana
❤❤❤ hio hainaga ubishi
Mpira hata haujatulia unadundadunda tu,hivi ccm haiwez kabsa kuandaa million 100 kila kiwanja chake waweke nyasi bandia?!
kwhy simba hii bado tunaijenga tim
fadlu una zamb sanaa 😂😂
Tatzo kamdomoo😂😂😂😂😂😂😂😂 nyuki wamevamiwa leo
Keep wao amekalibishwa vizr kweny ligi yetu kwa chuma 3 🤣
Hii ndo Simba inayotengeneza timu
Asal tam kwa mnyama
Jmn twajenga timu musiogope
Ahoua sijui kama ligi itaisha hajafunga gor la mbali.
Ndo nimetoka kujiuliza, thn nikahamia kwenye comments nakutana hii comment.
Mbona alishafunga
YANGA tumewalipia deni lenu
😂😂😂
Team ngumu kwa Utopolo Fc kwa Simba ni wamebana wameachiya 3 bila 3 bila wamebana wameachiya😂😂😂😂😅😅kamdomo kamdomo😂😂
Neno langu moja tu Mungu mkubwa wa mambo yotee
Tabola mmekipata mlicho kisubili kwanda polen
Simbaaaa oyeeeee
😂😂😂 ila diamond bana 🤣 et piga makofi kama haujatumika sana sehem za Siri
Ubaya ubwelaaaaaaaa
Kapigwa nyuki kavimba nzi wa kijani
Matahira fc (🐸) kweli wajinga
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kapombe nooma saana
Budo naona yupo kwenye ubora saivi
Wagawa utam ndo wamewaponz walina asal wakaw kma mtot anaebareh kisas kil dem humtongoz😂😂😂
yule mwanamkee alizan ss ni yanga eeh
Mpanzu kama mpanzu uyu mpanzu alistahili kwenda ulaya
Ubaya ubwela ndo hii
Kamdomo
Goli la kwanza asist Mpanzu tuta amesababisha Mpanzu goli la 3 priasist katoa Mpanzu
Anajua anajua anajua tena ❤❤❤❤❤
Mpanzu ni hatar
Waliyatakaa
Kamara ni mtu imara sana golini ,uwepo wa mpanzu umenifanya timu ya Simba ianze kuwa na speed....Mimi ni shabiki wa wa Yanga ila huu moto wenu sijui nani atauzima 😆😆😆
Na msemaji wao mwenye matiti makibwa km komodo Leo kimya
mashabiki wa mwaka 2000 tatzo wanalo, , , hii ndyo SIMBA BHANA UBAYA UBWELA
Mkumbuke bado tunajenga timu
Akili ni nywele kila mtu anazo..penati hyo
Wangewafunga maisha kamdomo
Mbu mwenyee mdomo😂😂😂
Tumemtoa B wasemaji wa tabora 😂
Hawa waliifunga yanga ya msaliti Gamondi
Hapa mtani tawi umepata
SIMBA NI NGUVU MOJA
😅😅😅😅
Uwanja umetapika
Ila marefa Wa kitanzania hawajuagi hata kuficha mapenzi yao sasa huyu refa dah
Kamdomo😂
aiseeee manula ana sahaulika. na ayoube
Mlipoifnga Yanga mkaona ubingwa mmechkua acha mnyooshwe
Tatizo kamdomo
Ubaya ubwela effects
Ubaya ubwela
Kayobo huyu alituchinja kwa yanga
Siku zot Mbu mweny fujo ndo anayekuf mapem Big up sana Chama langu
😂😂😂😂😂 kilichonifurahisha. Nijinsi wachezaji Wa simba wanavyojidodosha kwenye box LA Tabora hata hawajaguswa wameshajidondosha yani hii inaashiria kabisa mpango wao Wa kwanza nikupata penalty 😂😂😂😂
Kwahy ww umeumia au
nawale kina dube na pakome wenye vifafa hujawaona au huu ni ubaya ubwela safar hii mnapotoa mguu tunatia miguu💪💪💪💪
Huna jipya , usidhani marefa wote ni akina kayoko ukajua watakubebeni NYUMA MWIKO kama alivyozoea kukubebeni .
Tena zilikua penalty zaidi ya mbili refaree kapeta.
Ilo ndo pira la tz sasa 😅😅 hile penalt ni dhurma
Cha dhurma hakiliki na ndyo maana ya nyuma mwiko haikuwa goli maana ilkuwa ya dhurma ila ya ubaya ubwela ni haki na ndyo maana imekuwa goli, acha ushabiki wa kishamba
Huna macho ya kuona kua ile ni penalti sahihi kwa sababu wewe ni nyuma mwiko .
TFF Mpeni Simba Kombe Aibu Aibu Mnayo Fanya Sio Marefa Ni TFF...Ndio Mnawabeba Simba Hilisuwali Lazima Mama Aliangalie Vizuri Hii Ndio Inasababisha Kuangusha Kiwango Cha Fotbol Tanzania
Umeandika nn ww uto😂
Umelewa Nini
Pole umeumia sana
Kajikande😂😢😅😂😂
Acha usenge