Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mi nikiwa WA pili hapa naombeni like zenu
This is Simba.....
Yes,this is Simba ✍️
Hii ndo simba ya ubaya ubwela utopolo tumekulipizieni kisasi❤❤❤
Mbu mwenye kelele ndie anaekufa mapema😂😂
Umeiona hiyo eeenh...😂
Huwa unamkata vibao tu😂😂😂
Umeonaee
😂😂😂😂
Mbu mwenye kelele hufa mapema
Asante Mungu tumevuka salama leo
Simba hii jamaniii ahhhhh jamani rahaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
MPANZU MPANZU 🙌🙌
asante Mungu kwa Muujiza huu wa Ushindi wa simba sc!
Mtangazaji umetisha. " MBU MWENYE KELELE NDIYE HUFA MAPEMA"😂😂😂
Sawa nimeipenda hiyo shangilia ya mkush Rasta 🇪🇹🇹🇿 Simba ni Rasta na Rasta ni Simba
Fadlu Davis the big thinker
UBAYA UBWELA ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Utopolo mwenye shida na asali atoe order tuwaleteee
😂😂😂
🐐 of 🇹🇿
Mnyamaaaa👹👹👹👹👹
Simba damdam ❤❤❤
mpanzu ni talented man
Kabisa❤
Anajua anajua anajua tena❤❤❤❤
Wale tuliomuona Roberto Carlos DK ya 94 Gonga like
Mpanzu Mpanzu Mpanzu namuita mala3 🔥hii niela kwa mo 2027
Nimecheka sana Yani Azam TV penalty ilivyo pigwa camera ikaenda kwa benchi la ufundi la tabora 😂
Ubaya ubwela like zangu
Simba nguvu moja
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂 ubaya ubwela ❤😂🎉
Mwana lunyasi:🎤🎵🎵🎵Hili dude bwana wee LINAPAGAWISHA, hili Dude bwana we La KIMATAIFA🎸🎶🎶🥰🥰😂😂
Elia Mpanzu Catalytic
😂😂😂😂😂😂😂😂😂etyyyyx nyuki jamaniiiiiii😅😅😅😅😅😅😅 anakumbatiwa vizuriiii tyuuuuuuu
Hii ndio simba
Ukiwaona kama nyuki kumbe senene.😂😂😂😂 Alhamdulillah
Ila hinjo shikamooo eti nini mbu mwenye 😂😂😂😂😂
❤
Sema mnachelewa sana kutupa raha wanasimba Niletafuta hii post na bado ile ya Full
Hapo sio yakufunga Simba zilifungwa timu mbovu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉Tatizo kamdomoo
The announcer is a fan of Yanga Jangwanj.
Ubaya ubwelaaaaaaaaa 😂
Hii ndiyo Simba mwaka huu 2025.
Simba wamelipia kisasi ndugu zao Yanga
Kazi ya Mwanaume hatumwi Mvulana
Azam ongezen dakika na nyiee hata 30
Iyi ndiyo Tabora iliyofunga Yanga hama awa ni Yanga ndo wanajiita Tabora😂😂😂😂
Ndiomaana tumewashona mara nne mfululizo 😂😂😂 tunawasubiri as usual
😂😂😂yani wewe ulieanza kushabikia mpira juzi baada ya kuletwa azam tv ndio unaona mara nyingi wakati simba ilishafanya hivyo kwa miaka 7 ( 2003-2010) hlafu wewe ndio unaona kama mara ya kwanza hii😂😂😂 @@frida-oi6kw
🦁🔥🔥🔥
Hahahahaha Don mecy with Mnyama Yu will meet Ubaya Ubwela maseker
Hatucheki na wowote na yeyote vile
Sharubu kusafishwa na asali, nyuki kapotea ndan ya sharubu
Tulizen picha bn au kuna cameraman yanga
Leo mmewahi
Na kweli 😂😂😂
Christina Muhagama hili nifundisho lakuifananisha simba na Yanga tena ukome na mdomo uufunge kabisaaa
Wewe shona domo Lako....na hauwezi ukaifananisha Makolo na yanga maana tumewashona mara nne mfululizo
Leo nimeona ajabu .Kapigwa nyuki alofunga kibwebwe nzi wa kijani.Maana matahira fc (🐸) washaannza kupiga watu mitaani
Tutoe hilo moja la penat zibaki mbili waache mdomo vyura hawakawii
Bonge mojaa ya gol
Asali ya vunwa mchana kweupe
Nipo.naangalia hapa
Mambo mengi yamebaki kuwa marudio unafahamu nini kuhusu panenka
Hii Simba ni hatari sana
Ubwelaaa
DJ piga Ile gidii gidii ya zuchu
Mpanz hatary
Kamdomo kanaponza watu 😂😂
round hii akikutana na Yanga 7
Ubaya ubwela ukinuna ng'oa jicho
Msimu huu hawana chao makolo , Semaj le2 hamna kucheka nao awo kombe 2nalitaka fanya juu chin 2chukuwe msimu huu kivyvyote vile 😅😅😅😅😅
Kamdomo
Dj lete wimbo wa t.m.k halisi
Tumewalipizia utopolo🎉🐸🐸🐒
Mdomo huponza kichwa
Simba damidam
Mpanzu moto mwingine huuu
Anajua anajua anajua tena Kuhusu kufunga ni suala la mda tu ❤❤❤❤❤
Ubaya ubwela
Huu ndo ubaya ubwela
Kiko wpa
ubaya ubwela
Mpanzu ni Mtu mwingne kabisa
Kamdomo jamani
Tumewalipia kisasi
Penant ni yaa Aziz ki 2 jan
Kamdomo kamewapoza hasa msemaji wao amekiona chamoto
Play station
Hapa ni wapi😂😂😂
Mtangazaji unatangaza huku unaumiaaaa
Mapenati fc
Bado hamjasema😂
Aikuwa penalty jamani mbona kama kajidondosha au Mimi sijaona vizuri .. msinitukane basi
Kwanza refa kasemaje
Punguza kupikia kuni😅
Punguza kupikia kuni.
Angalia vizuri amekanyagwa kwa nyuma ,tafsir ni mchexo usio kuwa wa kiungwana akitokea nyuma
Kula karoti😅😅
Sasa prnat gan ukuma
MWIKO🍑👈NYUMA mnatabu jamaaani 🙌
Na bado hamjasema Tuliwaambia kukaa kileleni utopolo ni kama watsap status masaa 12 inaondoka yenyewe 😂😂😂😂
Uzuri namfunga tabora analia yanga na kama hutak penat tuitoe bado zindabad mbili
2.0
Mtatamba koteee😂😂😂😂 ila mkifika kwa yanga KIMYAAAAAA😂😂😂😂 mara nne mfululizo fanya mchezo nini😂😂😂😂
Hasira 😂😂😂
IPO Siku mtafungwa tu ndo Mpira ulivo hamuwezi kuifunga simba siku zote IPO Siku tu mtafungwa na nyie endelea kuumia huko uliko
huna lolote
@@barbiepixie92 Na hyo siku n tar 8 lazm afungwe tu
Na nyie si ndo mmefungwa na hawa nyuki, Kaa kimy usbr Darby ijayoo tukuonyeshe, mbabe wko tumempiga tatu bdo wewe
Utopor.mmewaona wanaume.ao.ubaya.ubwer
mdomo umeponza kichwa walitukana mamba kabla ya kuvuka mto
Mi nikiwa WA pili hapa naombeni like zenu
This is Simba.....
Yes,this is Simba ✍️
Hii ndo simba ya ubaya ubwela utopolo tumekulipizieni kisasi❤❤❤
Mbu mwenye kelele ndie anaekufa mapema😂😂
Umeiona hiyo eeenh...😂
Huwa unamkata vibao tu😂😂😂
Umeonaee
😂😂😂😂
Mbu mwenye kelele hufa mapema
Asante Mungu tumevuka salama leo
Simba hii jamaniii ahhhhh jamani rahaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
MPANZU MPANZU 🙌🙌
asante Mungu kwa Muujiza huu wa Ushindi wa simba sc!
Mtangazaji umetisha. " MBU MWENYE KELELE NDIYE HUFA MAPEMA"😂😂😂
Sawa nimeipenda hiyo shangilia ya mkush Rasta 🇪🇹🇹🇿 Simba ni Rasta na Rasta ni Simba
Fadlu Davis the big thinker
UBAYA UBWELA ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Utopolo mwenye shida na asali atoe order tuwaleteee
😂😂😂
🐐 of 🇹🇿
Mnyamaaaa👹👹👹👹👹
Simba damdam ❤❤❤
mpanzu ni talented man
Kabisa❤
Anajua anajua anajua tena❤❤❤❤
Wale tuliomuona Roberto Carlos DK ya 94 Gonga like
Mpanzu Mpanzu Mpanzu namuita mala3 🔥hii niela kwa mo 2027
Nimecheka sana Yani Azam TV penalty ilivyo pigwa camera ikaenda kwa benchi la ufundi la tabora 😂
Ubaya ubwela like zangu
Simba nguvu moja
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂 ubaya ubwela ❤😂🎉
Mwana lunyasi:🎤🎵🎵🎵Hili dude bwana wee LINAPAGAWISHA, hili Dude bwana we La KIMATAIFA🎸🎶🎶🥰🥰😂😂
Elia Mpanzu Catalytic
😂😂😂😂😂😂😂😂😂etyyyyx nyuki jamaniiiiiii😅😅😅😅😅😅😅 anakumbatiwa vizuriiii tyuuuuuuu
Hii ndio simba
Ukiwaona kama nyuki kumbe senene.😂😂😂😂 Alhamdulillah
Ila hinjo shikamooo eti nini mbu mwenye 😂😂😂😂😂
❤
Sema mnachelewa sana kutupa raha wanasimba Niletafuta hii post na bado ile ya Full
Hapo sio yakufunga Simba zilifungwa timu mbovu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉Tatizo kamdomoo
The announcer is a fan of Yanga Jangwanj.
Ubaya ubwelaaaaaaaaa 😂
Hii ndiyo Simba mwaka huu 2025.
Simba wamelipia kisasi ndugu zao Yanga
Kazi ya Mwanaume hatumwi Mvulana
Azam ongezen dakika na nyiee hata 30
Iyi ndiyo Tabora iliyofunga Yanga hama awa ni Yanga ndo wanajiita Tabora😂😂😂😂
Ndiomaana tumewashona mara nne mfululizo 😂😂😂 tunawasubiri as usual
😂😂😂yani wewe ulieanza kushabikia mpira juzi baada ya kuletwa azam tv ndio unaona mara nyingi wakati simba ilishafanya hivyo kwa miaka 7 ( 2003-2010) hlafu wewe ndio unaona kama mara ya kwanza hii😂😂😂 @@frida-oi6kw
🦁🔥🔥🔥
Hahahahaha Don mecy with Mnyama Yu will meet Ubaya Ubwela maseker
Hatucheki na wowote na yeyote vile
Sharubu kusafishwa na asali, nyuki kapotea ndan ya sharubu
Tulizen picha bn au kuna cameraman yanga
Leo mmewahi
Na kweli 😂😂😂
Christina Muhagama hili nifundisho lakuifananisha simba na Yanga tena ukome na mdomo uufunge kabisaaa
Wewe shona domo Lako....na hauwezi ukaifananisha Makolo na yanga maana tumewashona mara nne mfululizo
Leo nimeona ajabu .
Kapigwa nyuki alofunga kibwebwe nzi wa kijani.
Maana matahira fc (🐸) washaannza kupiga watu mitaani
Tutoe hilo moja la penat zibaki mbili waache mdomo vyura hawakawii
Bonge mojaa ya gol
Asali ya vunwa mchana kweupe
Nipo.naangalia hapa
Mambo mengi yamebaki kuwa marudio unafahamu nini kuhusu panenka
Hii Simba ni hatari sana
Ubwelaaa
DJ piga Ile gidii gidii ya zuchu
Mpanz hatary
Kamdomo kanaponza watu 😂😂
round hii akikutana na Yanga 7
Ubaya ubwela ukinuna ng'oa jicho
Msimu huu hawana chao makolo , Semaj le2 hamna kucheka nao awo kombe 2nalitaka fanya juu chin 2chukuwe msimu huu kivyvyote vile 😅😅😅😅😅
Kamdomo
Dj lete wimbo wa t.m.k halisi
Tumewalipizia utopolo🎉🐸🐸🐒
Mdomo huponza kichwa
Simba damidam
Mpanzu moto mwingine huuu
Anajua anajua anajua tena
Kuhusu kufunga ni suala la mda tu ❤❤❤❤❤
Ubaya ubwela
Huu ndo ubaya ubwela
Kiko wpa
ubaya ubwela
Mpanzu ni Mtu mwingne kabisa
Kamdomo jamani
Tumewalipia kisasi
Penant ni yaa Aziz ki 2 jan
Kamdomo kamewapoza hasa msemaji wao amekiona chamoto
Play station
Hapa ni wapi😂😂😂
Mtangazaji unatangaza huku unaumiaaaa
Mapenati fc
Bado hamjasema😂
Aikuwa penalty jamani mbona kama kajidondosha au Mimi sijaona vizuri .. msinitukane basi
Kwanza refa kasemaje
Punguza kupikia kuni😅
Punguza kupikia kuni.
Angalia vizuri amekanyagwa kwa nyuma ,tafsir ni mchexo usio kuwa wa kiungwana akitokea nyuma
Kula karoti😅😅
Sasa prnat gan ukuma
MWIKO🍑👈NYUMA mnatabu jamaaani 🙌
Na bado hamjasema
Tuliwaambia kukaa kileleni utopolo ni kama watsap status masaa 12 inaondoka yenyewe 😂😂😂😂
Uzuri namfunga tabora analia yanga na kama hutak penat tuitoe bado zindabad mbili
2.0
Mtatamba koteee😂😂😂😂 ila mkifika kwa yanga KIMYAAAAAA😂😂😂😂 mara nne mfululizo fanya mchezo nini😂😂😂😂
Hasira 😂😂😂
IPO Siku mtafungwa tu ndo Mpira ulivo hamuwezi kuifunga simba siku zote IPO Siku tu mtafungwa na nyie endelea kuumia huko uliko
huna lolote
@@barbiepixie92 Na hyo siku n tar 8 lazm afungwe tu
Na nyie si ndo mmefungwa na hawa nyuki, Kaa kimy usbr Darby ijayoo tukuonyeshe, mbabe wko tumempiga tatu bdo wewe
Utopor.mmewaona wanaume.ao.ubaya.ubwer
Asali ya vunwa mchana kweupe
Mapenati fc
Ubaya ubwela
mdomo umeponza kichwa walitukana mamba kabla ya kuvuka mto