🛑FRIJI BOVU , HII SIMBA INAPIGA YEYOTE POPOTE, FADLU MASTERMIND, WANAUTAKA UBINGWA HAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • FRIJI BOVU , HII SIMBA INAPIGA YEYOTE POPOTE, FADLU MASTERMIND, WANAUTAKA UBINGWA HAWA #azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc #wasafi #yanga

Комментарии • 44

  • @AndrewAristaricko
    @AndrewAristaricko 5 дней назад +1

    Ubayaaaa ubwelaaaa ❤❤

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 6 дней назад +4

    Nakukubali sana BROO

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 6 дней назад +8

    kweli simba

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 6 дней назад +9

    tumewalipia watani zetu

  • @Andrewkivuyo
    @Andrewkivuyo 6 дней назад +3

    Hiyo ni ukweli kabisa

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 6 дней назад +3

    ❤❤❤

  • @MaggieCollins-x9v
    @MaggieCollins-x9v 6 дней назад +1

    Ishallah

  • @AsiyaOmary
    @AsiyaOmary 6 дней назад +4

    Inshallah ubingwa tutachukua

  • @AsiyaOmary
    @AsiyaOmary 6 дней назад +2

    Kagela sio team nzur hata kidoo

  • @SituKinyota
    @SituKinyota 4 дня назад

    Wewe friji bovu unaonekana unamapenzi na myama.

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 6 дней назад +1

    100%

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 6 дней назад +1

    Sedi kocha mdogo sana sio kama David kocha mkubwa

  • @athumanhatibumkombolaguha
    @athumanhatibumkombolaguha 6 дней назад +3

    Ile pesa waliyoahidiwa wapewe tu, laa sivyo watawavunja moyo sana wachezaji wa Singida

  • @alphajamali
    @alphajamali 6 дней назад

    Ujawah kufel bro

  • @NkinaShesheta
    @NkinaShesheta 6 дней назад +5

    Mkuu mtafute mzee wa Sanga mwalugesha alikuambia gori 3

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 6 дней назад

    🦁🏆🏆♥️♥️💪💪💪🙏🙏

  • @flova7022
    @flova7022 5 дней назад

    Hako kanako hoji penati afu kanasema upendeleo kaache kukojoa kitandani

  • @SituKinyota
    @SituKinyota 4 дня назад

    Wamelipa magoli ,goli 1 ni Yanga,goli 1 Azam,na Goli 1Singida

  • @jumamtwana815
    @jumamtwana815 6 дней назад

    Wewe nimshabiki wa simba

  • @GwamakaAmosi
    @GwamakaAmosi 6 дней назад

    Huna point

  • @abdallahramadhan572
    @abdallahramadhan572 6 дней назад

    Nao sio nyuki nzi wa msimu aje kwetu apigwe nyingi kwao washinde waliokuja na matokeo ya yanyuki kuifunga simba sio watu wa mpira wamefungwa wao ndo uwezo wao auwezi kuwa sawa na simbaaa hii😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 дней назад +2

    TABORA NA NYUKI ZAO WAMEKUMBATIWA

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 6 дней назад +1

    Kagera walicheza kama wametoka kutairiwa

  • @HassanKassim-v7f
    @HassanKassim-v7f 6 дней назад +1

    Litakufa jitu Mara I 😂😂😂 tumekula asali na nyuki zao

  • @AshoooraMct
    @AshoooraMct 6 дней назад

    yani uyu chizi kweli

  • @HashimAbdallah-n3d
    @HashimAbdallah-n3d 6 дней назад

    Kaka unajua mpira

  • @SetMohamed-i9y
    @SetMohamed-i9y 6 дней назад

    Uko sawa dogo langu ww ni mchambuzi bora kuliko wote

  • @franccoz94
    @franccoz94 6 дней назад

    😂😂😂😂😂

  • @SamirySaidy-t6q
    @SamirySaidy-t6q 6 дней назад +1

    Mzee wa mafi shughuli kamaindi aisee

  • @LidiaTomasi
    @LidiaTomasi 6 дней назад +2

    Ubay ubwera.watan wajifunz kwet

  • @GwamakaAmosi
    @GwamakaAmosi 6 дней назад +1

    Majitu yenyewe yalikuwa yanatembea yale yameuza sio ushindani kabisaa

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 6 дней назад +1

      Kwani walipenda kutembea?.We Ujui Mpira...walikuwa Awajui wamkabe Nani...Camara Alikuwa Anaipandisha Timu juu...Alikuwa Anopition mbili kumpasia beki yoyote au Apige mbele...

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 6 дней назад +1

      Kama dodoma jiji walivyowauzia yanga

    • @peniellymollely9926
      @peniellymollely9926 6 дней назад

      😂😂😂😂

  • @InnocentGavu-l5i
    @InnocentGavu-l5i 6 дней назад +1

    Oya mtafute mzee wakibuyu!

  • @GwamakaAmosi
    @GwamakaAmosi 6 дней назад

    Kichaa wa simba wewe tunakujua