🛑FRIJI BOVU , HII SIMBA INAPIGA YEYOTE POPOTE, FADLU MASTERMIND, WANAUTAKA UBINGWA HAWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- FRIJI BOVU , HII SIMBA INAPIGA YEYOTE POPOTE, FADLU MASTERMIND, WANAUTAKA UBINGWA HAWA #azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc #wasafi #yanga
Ubayaaaa ubwelaaaa ❤❤
Nakukubali sana BROO
kweli simba
tumewalipia watani zetu
Hiyo ni ukweli kabisa
❤❤❤
Ishallah
:ff:lii
Inshallah ubingwa tutachukua
Amiin inshaallah🤲
Kagela sio team nzur hata kidoo
Wewe friji bovu unaonekana unamapenzi na myama.
100%
Sedi kocha mdogo sana sio kama David kocha mkubwa
Ile pesa waliyoahidiwa wapewe tu, laa sivyo watawavunja moyo sana wachezaji wa Singida
Ujawah kufel bro
Mkuu mtafute mzee wa Sanga mwalugesha alikuambia gori 3
🦁🏆🏆♥️♥️💪💪💪🙏🙏
Hako kanako hoji penati afu kanasema upendeleo kaache kukojoa kitandani
Wamelipa magoli ,goli 1 ni Yanga,goli 1 Azam,na Goli 1Singida
Wewe nimshabiki wa simba
Nanyie simnae mchome
@@twalbuhaji😂😂😂
Huna point
😂😂😂😂
Nao sio nyuki nzi wa msimu aje kwetu apigwe nyingi kwao washinde waliokuja na matokeo ya yanyuki kuifunga simba sio watu wa mpira wamefungwa wao ndo uwezo wao auwezi kuwa sawa na simbaaa hii😂😂
TABORA NA NYUKI ZAO WAMEKUMBATIWA
Kagera walicheza kama wametoka kutairiwa
😂😂
Litakufa jitu Mara I 😂😂😂 tumekula asali na nyuki zao
yani uyu chizi kweli
Kaka unajua mpira
Uko sawa dogo langu ww ni mchambuzi bora kuliko wote
😂😂😂😂😂
Mzee wa mafi shughuli kamaindi aisee
Ubay ubwera.watan wajifunz kwet
Majitu yenyewe yalikuwa yanatembea yale yameuza sio ushindani kabisaa
Kwani walipenda kutembea?.We Ujui Mpira...walikuwa Awajui wamkabe Nani...Camara Alikuwa Anaipandisha Timu juu...Alikuwa Anopition mbili kumpasia beki yoyote au Apige mbele...
Kama dodoma jiji walivyowauzia yanga
😂😂😂😂
Oya mtafute mzee wakibuyu!
Kichaa wa simba wewe tunakujua
Kweli Usemwe....
Hata godi kichaa wa yanga