GB 64 : ACHUKIZWA NA AHADI MBAYA YA SHETANI WA YANGA ALIYOTOA | AMUOMBEA MSAMAHA ADHARANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes

Комментарии • 181

  • @ammyommy
    @ammyommy 6 дней назад +17

    Allah akuongoze Braza GB 64, Teacher Kwa Busara zako na Hekima zako na Allah aupokee msamaha wako

  • @VenistoBukuku
    @VenistoBukuku 6 дней назад +15

    Safi sana GB64, huo ndo utani unao leta burudani. Watani wenye furaha Big up sana💯

  • @AmiriHamza-yv7jb
    @AmiriHamza-yv7jb 6 дней назад +12

    Broo busara izo mungu akuongezee insha_allah 🎉🎉🎉

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji 6 дней назад +11

    Asante GB 64. Mungu aendelee kukupa hekima siku zote. Nashauri afute jina la shetani ili apate busara zaidi

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 6 дней назад +9

    Mi imeniuma sana...Gb 64 Umeongea point sana...Mungu Akuongezee busara

  • @AmosiSimbeye-v4i
    @AmosiSimbeye-v4i 6 дней назад +9

    Mungu akubari kaka kwaushaurili. ❤❤❤❤

  • @MosesSumayani
    @MosesSumayani 6 дней назад +7

    Big up sana GB64 we ni mwanasoka mkomavu hongera sana

  • @DeogratiusMagaimabwiga
    @DeogratiusMagaimabwiga 6 дней назад +6

    Gb64 Asante sana kwa busara zako

  • @PhilipDarema
    @PhilipDarema 2 дня назад

    Hongera gb 64 wewe ni mjanja sana mungu aendelee kukubari uendelee kuwa urlewa

  • @AntonioSaide-o9s
    @AntonioSaide-o9s 6 дней назад +6

    Mwenyezimungu akusamehe, mama akusemehe na baraka zote za Mungu ziwe kwako. Palma-Msumbiji

  • @RichardFrancis-e5t
    @RichardFrancis-e5t 6 дней назад +4

    Respect gb64 saluty sana hekima yahaliyajuu👏👏👏

  • @HamisiJaffu
    @HamisiJaffu 6 дней назад +2

    Big up braza Gb64 kwa advice jamaa kapotea huyo

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 6 дней назад +3

    Allah akubarik sana GB.. Kwa hekima na busara uliyoitumia..

  • @peternyambo1439
    @peternyambo1439 6 дней назад +6

    Mungu ASHEMSAMEHE ka TULIVYOMSAMEHE

  • @SadikiSaidi-f3s
    @SadikiSaidi-f3s 2 дня назад

    Umetisha Sana gb 64

  • @BenoBeno-t4p
    @BenoBeno-t4p 3 дня назад +1

    Huyu jamaaa abadilishe iyo nick name ya shetani inamponza

  • @JoelOmary
    @JoelOmary 6 дней назад +2

    Asante sana kaka tumemsamehe tatizo hilo jina la shetani lifute ni Ibilisi

  • @AsukuBashilwa
    @AsukuBashilwa 6 дней назад +4

    Huo sio utani tena wa jadi hadi kwa mama Mzazi kweli kiukweli imenihuma sana tu . Rahisi ili swala aliingiliye kati maana na yeye ni mama.

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 6 дней назад +1

    Thanks you so much Gb 64 ,mungu akubariki sana

    • @jamaljumanne2000
      @jamaljumanne2000 6 дней назад +1

      Anatakiwa akamuombe mama yake msamaha naukweli mashabiki wa yanga akili hawana

  • @samadoushujaa7028
    @samadoushujaa7028 6 дней назад +1

    Jazakllah kheir bra' Gb64

  • @athumanhatibumkombolaguha
    @athumanhatibumkombolaguha 6 дней назад +3

    Bro GB 64, umefanya jambo la maana sana, ila mshauri hata hilo jina lake analotumia, linyewe lililaaniwa na Mwenyezi Mungu, na hao mashabiki wa utopolo mara wanataka Mwenyezi Mungu awaletee Malaika wacheze na utopolo

  • @NassoroTamimu
    @NassoroTamimu 5 дней назад +1

    Oya huyo jamaaa wasimba apewe nn Tanzania mbona amuelimisha huyo mjinga daah uyo Simba apewe pongezi lake🎉🎉

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 6 дней назад +6

    Nenda Kwa mamayako kamuombe msamaa

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 5 дней назад

    Safi sana Gb 64 big up my brother simba na yanga sio ugomvi ni kufurahi yule mjinga mlinz wa kamwe aliyempiga kofi docta moo aonywe aonywe kuwa mpira so ugomvi Gb anzia leo ww ni mwenyekt wa mashabiki wote tanzania umesimama kama baba

  • @AliJuma-y7n
    @AliJuma-y7n 5 дней назад

    Allah akuongoze baba Rabian uwe unaogea kauli ,
    Zenye manufacturing ktk jamii

  • @denisjoseph8754
    @denisjoseph8754 6 дней назад +15

    Hiyo ndiyo maana halisi ya utani wa jadi. Mshabiki wa Simba kamwe usikubali mtani wako ahalibikiwe na hivyo vivyo kwa shabiki wa yanga usikubali mtani wako ahalibikiwe. Mungu awabariki GB 64 na wenzio kwa kuliona Hilo na kulifanyiakazi mapema

  • @TatuBaja-q2d
    @TatuBaja-q2d 6 дней назад +1

    Mungu akubariki

  • @Salimramsey-x8u
    @Salimramsey-x8u 6 дней назад +2

    Ishallah tumemsamehe

  • @mauyacharles6322
    @mauyacharles6322 6 дней назад +1

    Safi sna Gb64
    By the way hakuna mkamilifu chini ya jua,,,Jamaa aombe msamaha kwa Mungu wake,Mama yake,Familia yake na Watanzania wote kwa ujumla...

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 6 дней назад +2

    Aise mungu amsamehetu huyu mjawako pia naomba mama yake amsamehetu maana bado nimwanaetu inaumasana aiseh dah Dunia inaeda kasisana mungu tujaalie mwisho mwema sisi na vizazivyetu Amina Asalaam alaykum 😢😭😭

  • @PaulElias-w3w
    @PaulElias-w3w 6 дней назад +3

    Mpira sio ugomvu.tupendane wa Tanzania

  • @mirajiissa4603
    @mirajiissa4603 5 дней назад

    Hongera kwa ulichokifanya GB64 lakini suala la huyo kijana kujiita shetani si jina zuri ,, katika mafundisho mtume amekakaza kujiita majina mabaya.
    Lakini pili hicho kisa cha Swahaba na mkewe adhabu zake alitakiwa afunge siku sitini mfululizo au awalishe maskini sitini

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 дней назад +2

    Ubaya Ubwela itawatafuna mpaka wajue

  • @kelvinaman9002
    @kelvinaman9002 5 дней назад

    GB64 safi umeonyesha watu waelewe kuwa mpira si uadui,huu ndiyo utani wa jadi nimependa sana

  • @newloudbitz2555
    @newloudbitz2555 6 дней назад +1

    Pamoja nimefurahi kuonesha uungwana na maana halisi ya watani wa jadi
    Lakin nacheka kidogo unajua hizo ahead zimesadifu na Jina mtu mwenyewe anaitwa SHETAN

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 6 дней назад

    InshaAllah Allah atakusameh

  • @TanzaniaHome
    @TanzaniaHome 6 дней назад +1

    Usikute uyu ndie shetani mwenyewe😊😊😊😊

  • @Six-k4b
    @Six-k4b 6 дней назад

    Gb64..nikuombe usifanye press na Mwehu..huyo shetani ukimusikiliza utagundua kuwa Debe liko nusu..
    Tunakukubali sana gb64 unaakili nyingi..na hekima..sa unapofanya press na watu wa aina ya Shetani ...unajishushia heshima...
    Achana na wehu..USHAURI wangu..
    Mi ni shabiki wako kindakinda

  • @moniepaul8972
    @moniepaul8972 5 дней назад

    Waone utopolo walivyo wabaya 😅😂sura zakichawi chawi

  • @TanzaniaHome
    @TanzaniaHome 6 дней назад +2

    Kweli ww shetani 😂😂😂😂

  • @Brave7371
    @Brave7371 6 дней назад

    Muombe Mama yako na Mola wako msamaha, na usirudie tena kitendo hicho, utani tufanyiane sisi tu wazazi wetu tuwaheshimu sana wametutendea mengi sana sana tusiwahusishe kabisa kwenye utani wetu .

  • @Aed126
    @Aed126 5 дней назад

    Huyu jamaa level aliyofikia sasa😡😩😢

  • @AgnesJohn-f1r
    @AgnesJohn-f1r 6 дней назад +1

    Hatimae shetani anamuomba Mungu msamaha 😂

  • @salumusalumu8882
    @salumusalumu8882 6 дней назад +1

    Wewe uyo dadaake akaliwetu😂😂😂😂

  • @EsterMhanga-z9e
    @EsterMhanga-z9e 6 дней назад +1

    Leo kawa mdogo kama pilitoni🤔

  • @benjaminabrahams8378
    @benjaminabrahams8378 5 дней назад

    Gb 64 narudia sana maneno, umeshaongea mpe nafasi aongee

  • @masamakijames7837
    @masamakijames7837 5 дней назад

    Shetani wa yanga aniletee Mimi huyo mke wangu hapa musoma

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 4 дня назад

    Huyo shetani nikuma sana atakua choko huyo

  • @amirimtangi2114
    @amirimtangi2114 5 дней назад

    Tatizo lipo kwenye jina analotumia (Shetani),Shetani ni kiumbe ambae amelaaniwa na mwenyez mungu,kwa maoni yangu namshauri aache kulitumia Jina hilo (Shetani),mbali na hivyo yatatokea matatzo zaid ya hilo.

  • @BarakaJkkatojo
    @BarakaJkkatojo 4 дня назад

    Ndo mahana unaambiwa pale yanga wenye akili ni wawili tyu😂😂

  • @Oscar-w5s4u
    @Oscar-w5s4u 5 дней назад

    Huyu jamaa kazidi ushamba anasaka umaalufu kwa nguvu sanaa mpaka anavuka mipaka ila wanasimba wastaarabu sana

  • @SelemaniJuma-h6g
    @SelemaniJuma-h6g 6 дней назад +1

    Ndio maana una ambiwa shabiki 1 wa SIMBA NI SAWA MASHABIKI WA 100 WA YANGA SIMBA HUWA INAONGOZWA KISOMI ZAIDI

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 5 дней назад

    Hapa ndo tunamuamini manara kusema yanga wenye akili ni wawili tu ndo kweli mashabiki wengi wa nyuma mwiko hawajielewi Wala kujitambui

  • @BenoBeno-t4p
    @BenoBeno-t4p 3 дня назад

    Ungemuambia abadilishe jina la shetan linamsababishia maovu

  • @aminiahmad-i9q
    @aminiahmad-i9q 6 дней назад +1

    Swahaba ni kufunga miezi miwili sio siku Mia moja. Maskini ni stiini sio Mia moja

  • @imanimahenge3853
    @imanimahenge3853 6 дней назад

    Hii kichwa balaa aisee. Hakika kina 64 Gb. Barikiwa bro GB 64 Kwa hekima hii.

  • @scolapeter7114
    @scolapeter7114 4 дня назад

    Achunguzwe akili huyooo

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 6 дней назад

    mimi kwa ushaur wangu abadilishe iyo jina ya shetani kashaa kuwa shetani kweli 😂😂😂

  • @alidochi2889
    @alidochi2889 5 дней назад

    SASA SHIDA NINI WAKATI YY NI SHETANI!

  • @MkudeRobert
    @MkudeRobert 5 дней назад

    Jaman shetan anatia huruma

  • @AllySalum-y9n
    @AllySalum-y9n 5 дней назад

    Huyo alisha jipa laana aliona jina nasifa nzuri ni za shetani kitu kilicho laniwa na Muumba ,ndio maana mala kwa mala matamshi yake Siya mtu mwenye Akili timam.

  • @DaudiErasto-fe5xu
    @DaudiErasto-fe5xu 5 дней назад

    Uyo mjinga san arafu jitu zima

  • @Shukushukushuku
    @Shukushukushuku 5 дней назад

    Aibu ujueee

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 6 дней назад +1

    Uliwahi ona wapi shetani ana akili,, pumbavuu kabisa!!!

  • @SharifWilly-w4s
    @SharifWilly-w4s 6 дней назад +1

    Mwehuu

  • @AlfredMwimbula
    @AlfredMwimbula 6 дней назад

    Umefanya vema sana Gb 64 kwa huyo utopolo

  • @PatrickWiliam
    @PatrickWiliam 5 дней назад

    Aache utani wa ujinga ajifunze

  • @JaphetLyode-d4z
    @JaphetLyode-d4z 6 дней назад

    Huyo kweli shetani

  • @FakiHamad-ov8nj
    @FakiHamad-ov8nj 6 дней назад +1

    HUYO JAMAA ANASHIDA KWENYE HALMASHAURI YAKE YA KICHWA .MIMI NAMUONA KAMA CHIZI TU .

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 6 дней назад

    Muongo sana huyu Mungu akubariki sana GB64 kweli wewe ni mtu wa mpira

  • @JUSTINEJABILI
    @JUSTINEJABILI 5 дней назад

    Kwanza jina lake linasadifu na matendo yake ni shetani

  • @AbdulNassir-k7m
    @AbdulNassir-k7m 6 дней назад

    Dah Hana moja apo

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d 6 дней назад

    Asizoweyeee

  • @WiliamuObadia
    @WiliamuObadia 6 дней назад

    Mashabiki wa yanga hawana akili gb64 wafundishe kuongea hawajui mpira

  • @AgnesJohn-f1r
    @AgnesJohn-f1r 6 дней назад

    Tumsamehe tu jamani shetani kampitia shetani mwenzie

  • @Simonjr53Legan
    @Simonjr53Legan 5 дней назад

    Saiv utaitwa GB68

  • @Oscar-w5s4u
    @Oscar-w5s4u 5 дней назад

    Chizi hili

  • @PulvatgidionlamekPulvatglamek
    @PulvatgidionlamekPulvatglamek 6 дней назад

    😂😂😂😂😂 hana akilii😢😢

  • @user-mA17o
    @user-mA17o 6 дней назад +1

    Yaani ndio mashabiki wa yanga mujuwe kua hamna akili na muone mashabiki wa Simba kua wako na akili sana na wako sawa sana kiakili

    • @SalumMusa-f5l
      @SalumMusa-f5l 6 дней назад

      Nyinyi milifungiwa kwa kung'oa viti vya uwanja wenu ndo mnaakili aah aah kweli nyani halione tundule

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 6 дней назад

    Shetani kapitiwa na shetani

  • @AbbasFakihhaji
    @AbbasFakihhaji 4 дня назад

    Usahihi wa hukum ya aliemfananisha mke wake kwa mgogo wa mama yake alitakiwa afunge siku 60 sawa na miez miwili kabla kumgusa tena mkewe.. Rejea suratul Mujaadila

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 5 дней назад

    Kwel apa ndio naamini washabiki wa yanga akili awana

  • @lazaroaloyce6649
    @lazaroaloyce6649 6 дней назад +3

    Yaani kumsema mama kwa maneno ya kijinga ni laana tosha,hapo amedhihirisha maana halisi ya jina lake shetani.

  • @ibrahimuakwilombe
    @ibrahimuakwilombe 6 дней назад

    Alichosema manyara kama kina.ukweli"wenye maarifa nyuma mwiko ni wawili tuu

  • @umukulthumu1419
    @umukulthumu1419 6 дней назад

    Hili jina analolitumia ndio shida kwann ajiite shetan naye nibinadaam nashetani ukweli nae anapitia huo mwanya kumfanya aongee vitu vyakishetanshetani

  • @johnwilbard8326
    @johnwilbard8326 6 дней назад

    Jamani mumwache uyo jamaa ajakosea kabisa kwani at jina nishetani izo mdotabia zashetani na bado kujiita shetani kutamtesa sana

  • @allymalega252
    @allymalega252 6 дней назад

    Mtu mwenyewe shetani😂
    Utamweleza nini

  • @CollimsBella
    @CollimsBella 6 дней назад +1

    Hivi kwanza unajiitaje shetwani, ndo maana hata kauli zinatoka mbali za kishetwani

  • @yonathansimon7147
    @yonathansimon7147 6 дней назад +1

    Shetani limepitiwa na SHETANI 😂😂😂

    • @Hongkongman2
      @Hongkongman2 6 дней назад

      Hapo ndio kasheshe ilipotokea

  • @YahayaBakari-e5y
    @YahayaBakari-e5y 6 дней назад

    Alafu huyu jamaa Kwa nn anapenda kuweka ahadi za ajabu

  • @Six-k4b
    @Six-k4b 6 дней назад

    Huyo Shetani hamunazo..
    Ukimfuatilia mazungumuzo yake utagundua Ana tatizo la Afya ya AKILI...
    Lakin pia gb64 ulitakiwa uite press wewe kama wewe..usingemuita huyo Mwehu aliyechangamka...
    Anakushushia heshima.
    Gb64 una busara na hekima nyingi..

  • @LewisBedon
    @LewisBedon 6 дней назад

    Uyu jamaa ana akili ndo maana kajiita shetan

  • @SeifSalim-t9l
    @SeifSalim-t9l 6 дней назад

    Shekh sio maskini mia bali nimaskini 60

  • @AbuuKitulo
    @AbuuKitulo 5 дней назад

    Ana akili uyoo jamaa anafanya v2 kama chizi kila siku

  • @SeifSalim-t9l
    @SeifSalim-t9l 6 дней назад

    Nenda kaangalie suratul mujadilah

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 6 дней назад +1

    Kumwelewesha shetani sawasawa na kupigia
    Mbuzi gitaaa M

  • @CharlesLobulu
    @CharlesLobulu 6 дней назад +2

    Et shetani ni rafiki yangu.

  • @WiliamuObadia
    @WiliamuObadia 6 дней назад

    Muombe mama yako msamahaaa

  • @TumainiMartin-c5o
    @TumainiMartin-c5o 6 дней назад

    Kumbe shetani waga ni mpole ivyo 😂😂😂

  • @SharifJuma-d5q
    @SharifJuma-d5q 5 дней назад

    Ukosawa gb 64 mkumbushe mtani anajisahau