SEMAJI AHMED ALLY ATUPA JIWE GIZANI BAADA YA KUMCHAKAZA TABORA UNITED 3G/"TUMEWALIPIA KISASI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 307

  • @JanethJaneth-y7f
    @JanethJaneth-y7f 3 часа назад +35

    Tumeinjoy jamani ❤❤❤❤❤da ila ile shoot aliyookoa kamara imenipa raha zaidiii❤❤❤ABAYA UBWELA❤❤

  • @Ahmedsaid-cu3kh
    @Ahmedsaid-cu3kh 3 часа назад +111

    Ujenzi wa timu Bado ndio kwanza tuko 10% ikifika asilimia 50% tutawatuma wachezaji wakacheze wenyewe mikoani bila kocha ikifika 90% wachezaji wataingia pungufu kucheza na wapinzani

    • @Tato-b1i
      @Tato-b1i 3 часа назад +8

      😂😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela umemaliza

    • @dilludillu2747
      @dilludillu2747 2 часа назад +5

      Umetisha

    • @NajibAhmed-p8s
      @NajibAhmed-p8s 2 часа назад +2

      Ubaya ubwela😂😂😂😂😂

    • @NajibAhmed-p8s
      @NajibAhmed-p8s 2 часа назад +1

      Hii ndo simba ❤❤❤❤❤

    • @Aysha-x5w
      @Aysha-x5w 2 часа назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤

  • @aubreychuma5449
    @aubreychuma5449 2 часа назад +27

    Respect to simba and Spokesperson Ahmed Ally from Washington DC America 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @lucycoster7529
    @lucycoster7529 3 часа назад +33

    Yajayo yanafurahisha🎉🎉🎉❤

    • @mrcharm166
      @mrcharm166 Час назад

      Kwani n sinema zetu nini😂😂😂

  • @venosaswai-xn7zf
    @venosaswai-xn7zf 2 часа назад +12

    ❤❤❤❤❤❤ nawapenda wachezaj wangu Ni mwendo wa mshenyeto tooo🎉naipenda Simba oyeeeeeee

  • @enockmlyuka6475
    @enockmlyuka6475 3 часа назад +52

    Timu pekee yenye kocha anayevaa suti kali siku ya mechi. Ubora wa suti zake ndio ubora wa kikosi na benchi la ufundi! Big up!

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 3 часа назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Tato-b1i
      @Tato-b1i 3 часа назад +1

      Umemaliza broo🫡🫡🫡🫡

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Час назад

      Hata kocha wa Yanga anavaa suti kali

    • @mrjfani6236
      @mrjfani6236 Час назад

      Umetisha sana kaka😂😂😂

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Час назад

      ​@@sautikuu212 Kocha wa nyuma mwiko anavaa half koti 😂😂

  • @KipendeSaid
    @KipendeSaid 3 часа назад +18

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ubaya ubwelaaaaa nguvu moja simbaaaaaaaaaa

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 2 часа назад +24

    Sifa Kwa Mungu wetu kwa kuzidi kitupigania

  • @MartinKaimaima
    @MartinKaimaima 2 часа назад +14

    Ilove the way you talk brother ally

  • @CharlesAman-w7o
    @CharlesAman-w7o 2 часа назад +15

    Tumefurahi sn na Mungu aiweke juu zaidi tim yetu

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim Час назад +3

    The Simba spokesman review is fair and professional.What I like most is his choice of words.Big up Ahmed.🎉

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 3 часа назад +21

    Simba nguvu moja nimekua wa 9 Ku comment 🎉🎉

  • @MohamedMustafa-id5gr
    @MohamedMustafa-id5gr 2 часа назад +12

    Ahsante Mungu kwa ushindi huu (ubaya ubwela)

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 2 часа назад +20

    Timu yenye wanaume wenye nguvu za kiume ni Simba kuanzia mashabiki Asante mungu kwakunichagua kua mwanasimba

  • @MonicaClement-i3r
    @MonicaClement-i3r 3 часа назад +21

    Nimefurah sana tumepata point 3. Simba ya sas🔥🔥 inanipa raha sana hii ndo ubaya Ubwela 🦁🦁❤❤

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 Час назад +7

    Ee mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi tunakushukuru sana kwa ushindi wa timu yetu ya Simba pokea sifa na utukufu tunasema sana Mungu wetu.

  • @NassoroHassan-d7s
    @NassoroHassan-d7s 3 часа назад +12

    Ubaya ubwela ❤❤❤❤❤

  • @deochungu1930
    @deochungu1930 4 часа назад +26

    Tunajenga timu yetu mpaka xx ina 45%

  • @leejems142
    @leejems142 9 минут назад +1

    Yajayo ni neema Zaidi 💪💪💪🦁🦁🦁

  • @RichardPhabian-t5y
    @RichardPhabian-t5y 3 часа назад +8

    Ubaya daimaa ❤😂

  • @TibaiganaJohn
    @TibaiganaJohn Час назад +3

    Asante mungu kwa kutupa ushindi 🙏🙏
    Simba nguvu moja

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 часа назад +9

    Huu ndo ubaya ubwela mtoto kautaka tumewalamba asali na utopolo tumekulipizieni kisasi❤❤❤

  • @MarisaVitares
    @MarisaVitares Час назад +2

    Hii ndio simba inayojitafuta badohaijajipata 🦁🦁🎉🎉

  • @TheodoraChaki
    @TheodoraChaki 2 часа назад +5

    Hongera sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yenu

  • @CoachYusuphMagige
    @CoachYusuphMagige 3 часа назад +4

    Ahsante sana Mungu kwa huu ushindi.

  • @RamadhanMtatu
    @RamadhanMtatu 3 часа назад +6

    Ubaya ubwelaaa❤❤❤

  • @Awadhi123Mndoa
    @Awadhi123Mndoa 3 часа назад +6

    Tumemfanya vibaya ❤❤❤

  • @AishaIsmaily-p5f
    @AishaIsmaily-p5f 3 часа назад +8

    Huo ndo ubaya ubwelaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jamilashekuwe7319
    @jamilashekuwe7319 2 часа назад +5

    Mungu mwema tumefurahi sanaaaaa

  • @SittajrAndrea
    @SittajrAndrea 3 часа назад +12

    Ahmed we ni kiboko sana

  • @IdrisamoAllyNado_24
    @IdrisamoAllyNado_24 3 часа назад +6

    Ubaya ubwela🦁🦁🦁🦁🦁

  • @MaduhuSigela-n5x
    @MaduhuSigela-n5x 2 часа назад +2

    Simba hii mmmmmmmh,, I LOVE YOU SIMBA FOREVER 🦁🦁🦁🦁🦁

  • @innocentSweetbert-w8k
    @innocentSweetbert-w8k 22 минуты назад

    Wò xī kuàn ni ❤❤❤

  • @BecaSamson
    @BecaSamson 2 часа назад +2

    Ubaya ubweraaaaa ❤❤❤ unaendelea

  • @AbdulmaajidAbubakar
    @AbdulmaajidAbubakar Час назад +3

    Simba nguvuu mojaaaa tumekula asaali na mzinga wakeee tumebebaaa😂😂😂😂

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 2 часа назад +10

    Tabora anakuja DSM anachukua utamu wa nyuma mwiko😂😂😂 Ahmed fala sana😂😂😂

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 2 часа назад

      We ndo fala uto wa dozi ya shindano za chamazi

    • @Dorenmalya
      @Dorenmalya 2 часа назад

      😂😂😂

    • @fazeelshomary8743
      @fazeelshomary8743 2 часа назад

      @@SaumuSaidi-z2v acha shobo wew, nani uto?

    • @lazarologo7800
      @lazarologo7800 Час назад

      😂😂😂 duuuh

    • @AmossKabanda
      @AmossKabanda 51 минуту назад

      Wewe apo utopwinyo 😂😂🐸🐸🐸​@@fazeelshomary8743

  • @UmmukuluthumOmary
    @UmmukuluthumOmary 3 минуты назад

    Ubaya ubwela 🦁 ♥

  • @Merrymerry-l4n
    @Merrymerry-l4n 29 минут назад

    🦁🦁🦁🦁❤❤❤

  • @MarisaVitares
    @MarisaVitares Час назад +2

    Tumebeba mizinga na asalizake😂😂 mungu azidi kuwaimalisha kiafya wachezaji wetu tunawapenda sana endeleeni kushenyeta sisi tukonyumayenu wana ubaya ubwela

  • @RajabuhamisiHassan-qv5wm
    @RajabuhamisiHassan-qv5wm 41 минуту назад

    This is Simba

  • @RamadhaniFilikichi
    @RamadhaniFilikichi Час назад +1

    Ubaya ubwela.Semajii❤❤❤

  • @ummuhameir
    @ummuhameir Час назад +1

    Bado tunajenga timu yetu 💪❤💪

  • @SetMohamed-i9y
    @SetMohamed-i9y 3 часа назад +2

    Big up semaji, big up simba

  • @ShukuruMakoko
    @ShukuruMakoko 3 часа назад +2

    Semaji🎉🎉🎉

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta Час назад +1

    UBAYA UBWELA ❤️🦁🇹🇿

  • @SaadIssa-e1e
    @SaadIssa-e1e 2 часа назад +2

    Kwakweli timu yetu Kila siku inazidi kubadilika,Kuna jitu litakufa wiki nzima huko jangwani🎉🎉🎉

  • @MwajumaMhidini
    @MwajumaMhidini 2 часа назад +2

    Asante mungu huu ndo ubaya ubwela

  • @RabsonOscar
    @RabsonOscar 3 часа назад +2

    Simbaaaa nguvu1❤❤❤❤

  • @MoalparslanKalele
    @MoalparslanKalele 2 часа назад +3

    Siii ndio Simba na aje yoyote chamoto watakiona na hongereni wamasimba kwa ushindi eee yo-yo

  • @DiofueliahMwaluswaswa
    @DiofueliahMwaluswaswa Час назад

    🦁🦁🦁🔥🔥mnyamaaaaaaa point 3 muhim

  • @LestLemi
    @LestLemi 3 часа назад +2

    ❤❤❤❤❤ ubaya ubwera

  • @adolfmjunguz9794
    @adolfmjunguz9794 53 минуты назад

    This is Simba babaaaaaaaa

  • @AmosiSimbeye-v4i
    @AmosiSimbeye-v4i Час назад +2

    Ubaya ubweleeeeeeee🎉

  • @JohnTzboy-br3cu
    @JohnTzboy-br3cu 3 часа назад +2

    Perfect famit

  • @Dijahsakilo
    @Dijahsakilo 21 минуту назад +1

    Sema simba tuna huruma saaaaaaaana tumewalipia kisasi gusa achiaaa twende jangwaniiiiii kwa nyukiiii 😂😂😂😂

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 2 часа назад +3

    Semaji unanipa raha wallah nilikuwa hata na hasira lakin kwishaaaa

  • @Stavanger-cr3ee
    @Stavanger-cr3ee 38 минут назад

    Tumewakumbatia NYUKI na TumeMbusu MALKIA wao😅😅😅💟💟💟

  • @Aina-p4f
    @Aina-p4f 51 минуту назад

    Kwanza asante mungu kwa kutupa nafasi hii sifa na utukufu ni zake bwana pia nilikuwa naomba atafutwe yule ambae hajuwi kufaa ajigambe kama alivyo kuwa anajigamba sijuwe semaji au lilopokaji maana tunajuwa hapa Tanzania semaji ni mmoja tu

  • @shabaninayopa-nw9cf
    @shabaninayopa-nw9cf 6 минут назад

    Simbaaa!

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc Час назад +1

    Mimi Sio Simba Wala Yanga Lakin Leo Simba kaonyesha Kwanini ligi yetu imepanda Sana Hadi nafasi 5 hongereni Leo kumepijwa Mpira Wa kiwango cha juu

  • @finamangosta6996
    @finamangosta6996 Час назад

    Asante MUNGU

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 3 часа назад +5

    Nyuki leo kampata wakumpetpetiiii apata joto la dar😅😅😅😅😅 kimewarambaaaaa tatizo ahadi zinawaponza watuuuuuuu

  • @BiRiziki
    @BiRiziki 2 часа назад +1

    Rahaaaa tupu this is smba❤

  • @FREDHERBALCLINICTANZANIA
    @FREDHERBALCLINICTANZANIA Час назад

    Karibu katavi semaji 🎉🎉

  • @WilfredNgowi-m6m
    @WilfredNgowi-m6m 35 минут назад

    Semaji letu wewe noma sana

  • @JosiaEnock-z8t
    @JosiaEnock-z8t 2 часа назад +1

    Simba yetu inatupa raha kwa kweli

  • @YunsiMabala
    @YunsiMabala Час назад

    Ubaya ubwelaah❤❤❤❤❤

  • @KingFrank-d1f
    @KingFrank-d1f Час назад +2

    Mungu ashukuriwe sana ❤️ kwa kujibu maombi ya wanasimba wenzangu na kuupata ushindi stahiki ❤❤❤

  • @kennethmwajanga9452
    @kennethmwajanga9452 3 часа назад +1

    Siii Tunajenga Timu

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos Час назад +2

    Ety Utamu wa Nyuma Mwiko 😂😂😂

  • @BeatriceZakaria
    @BeatriceZakaria Час назад

    Mungu tunakushukuru wa ushindi huu na kutupa alama3 muhimu tunaludisha sifa na utukufu kwako

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji Час назад

    Amen

  • @fimboonlinetv5282
    @fimboonlinetv5282 Час назад +2

    Anakuja dar ess salm anachukua utam wa nyuma mwiko anaondoka😁😁😁😁😁😁

  • @AlphonceMrosso
    @AlphonceMrosso Час назад +1

    Simba kama kawa baba

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Час назад

    🦁💪☝️

  • @fatumangalison
    @fatumangalison Час назад

    Simba nguvu moja

  • @motivation-ic3nf
    @motivation-ic3nf 3 часа назад

    Perfect said

  • @AlphaRichard-v5s
    @AlphaRichard-v5s 3 часа назад

    simba inatupa raha sana ❤❤❤❤❤ ubaya ubwela

  • @SidatiSaidi
    @SidatiSaidi 3 часа назад +1

    ❤❤❤

  • @KadustaBoy
    @KadustaBoy 30 минут назад +1

    Hii ndo maana Haris ya ubaya ubwela

  • @MichaelSaitobik
    @MichaelSaitobik 50 минут назад

    😅😅😅 nilikua nasubiria saanaaa huyu semaji lakweli aongeee lakini yule mdada tumsikie😂😂😂

  • @عزيزه-ر1ه
    @عزيزه-ر1ه 3 часа назад +4

    ❤simba chama kubwa ubaya ubwela

  • @AbibaBakali
    @AbibaBakali 3 часа назад

    Ubaya ubwelaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AlphonceMrosso
    @AlphonceMrosso Час назад

    ❤❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉
    8:59

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 2 часа назад +2

    Wew Ahmed Ally nimecheka sana eti kachukua utamu wa nyuma mwiko

  • @naropilitv6285
    @naropilitv6285 2 часа назад

    🤩🤩🤩🤩🤩

  • @paschazialema9237
    @paschazialema9237 3 часа назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AdactusKatima
    @AdactusKatima 3 часа назад

    Nyumaaaaa mwikoooo😂😂😂😂❤❤❤

  • @PENDOROBERT-q7f
    @PENDOROBERT-q7f 3 часа назад +3

    Eti amechukua utamu kwa nyuma mwiko😂😂😂😂😂😂

  • @Msafiri-g9z
    @Msafiri-g9z Час назад

    simba laha

  • @hamadimbangasi523
    @hamadimbangasi523 3 часа назад +5

    Nyukiii wameliwaa

  • @geofreykalokola6525
    @geofreykalokola6525 3 часа назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @abduhunter4215
    @abduhunter4215 3 часа назад +1

    Ubaya ubwela 🦁

  • @Devinyamuntu
    @Devinyamuntu 3 часа назад

    HUUUU UBAYA UBWELA NOMAAA🤸🤸🤸🤸🤸🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @hyman2188
    @hyman2188 Час назад +1

    ILA SEMAJI 😂😂

  • @TumainiTemu-c2k
    @TumainiTemu-c2k 3 часа назад

    Fire

  • @ZainulJuma
    @ZainulJuma Час назад

    National simba bigwa

  • @JemssWcb-r8g
    @JemssWcb-r8g 3 часа назад

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @BeenPaul
    @BeenPaul 3 часа назад

    Sisi bado tunajenga timu subilini ikamilikeee❤❤❤

  • @OmyCrez
    @OmyCrez 3 часа назад +2

    Thobias siyo mchezaji Bora wa ligi ni mchezaji Bora wa mechi!! Kuhusu mitobolwa ni tam sana wanao Toka kanda ya ziwa wanajua😂