DUUH! MAONO YA MCHUNGAJI WA SIMBA YATIMIA,AWATAJA KWA MAJINA WACHEZI 5 KUIACHA YANGA | HII NDO SIMBA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
Mchungaji furaha yangu ni kumshukuru MUNGU kwa yote. Nafurahi kuomba kumenipa mafanikio. Nafurahi kukuunga mkono
MUNGU ni mwema sana. Tuendelee kuomba kwa mechi zijazo
❤❤❤❤❤
Mungu you mwema mchungaji ,mungu aendelee kukupa nguvu yamaono yambele nakutulindia Simba etu
Inshallah kwa uwezo wa mungu tutawafunga tu kwenye daby
ubarikiwe mchungaji mwenye maono ya kweli
Hongera
Mungu ashukuriwe sana mtumishi wa Mungu
Neema ya Mungu yatosha
🙏 🙏 🙏 🙏 Amen
Simba nguvu Moja kwa uweza wa mungu
Alhamdulillah 🤲❤🦁
Mchungaji endelea kuiombea Simba, tunalitaka kombe la shirikisho, wote tunaiombea Simba
MUNGU atusaidie simba tushinde mechi za yanga
Mungu amekutuma kuivusha simba 🙈🙉
🎉
Yanga tutampiga tu kwenye dabi
❤❤❤❤
MUNGU NI MUNGU TUUASANTE SANA MUNGU
Achukui simba kombe ili 😅
Yule wa kipa wa morokovp mbona simwoni golini
Hayupo nafasi yake nndo kaingia mpazu
𝑈𝑦𝑢 𝑚𝑐ℎ𝑢𝑛𝑔𝑎𝑗𝑖 𝑤𝑒𝑡𝑢 🔥🔥🔥𝑠𝑎𝑛𝑎