GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- GIGY Money kupitia kipindi cha Mashamsham ameibua tafrani baada ya kutoelewana na mtangazaji wa Lavidavi, Diva the Bawse.
GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #gigymoney
Gigy anampenda truly diva Yani Hadi alivyokuwa anapanick inaonesha truly walikuwa sisters wanapatana natamani kuwaona wapo cool again
ruclips.net/video/2apIro4o91s/видео.html
Hakuna lolote studio hapo ya wenda wazm
@@sayimadahachalres130 🤣🤣🤣
Uyo dada diva mpumbavu sana mtu mzima kipande lijibwa tu
Huyo gigy huwa anapanikigi katika kila jambo.. hiyo ndiyo hulka yake na inabidi abadilike!! hana busara kabisaa
Waliotazana hii interview 2024 gonga like tukisonga!!!
Masha Love 😘😘😘 umenifanya nimecheka kwa sauti ila nimemuonea huruma Gigy nampenda sana huyu dada mimi binafsi nikiwa na hasira nilie nikinyamaza na hasira zimeisha
Asila zisaidii jua ilo , na kulia Sana au KUTOA machozi sio suluu ya jambo Wala kuepuka tatizo unaweza ukalia na tatizo litabaki pale ,,kama busala zinatakiwa Ili KUSULUISHA jambo
@@rehemaathuman6669 mimi binafsi niko hivyo nikiongea nikiwa nimekwazika au nikisemwa niko lazima nilie ila nikishikana na ww kama upo karibu lazima nipigane hapo sitalia hasira zangu zitakuwa zimeisha kwa kupigana na muhusika na nikilia hasira zinazidi toka nipo mdogo hadi kufikia sasa miaka 48 nakuwa na jazba nikisha lia huku naongea nikishanyamaza nikitutulia hapo sasa naweza kukaa na ww nakuongea na ww sio mtu wakinyongo Mwenyeezi Mungu awanusuru watoto wangu nilikuwa napigana sana
@@rehemaathuman6669 hao watu wawili wanaoendana ila ndio hivyo kwenye maisha ipo siku mnaweza mkakwazana kama angekuwa hawana upendo Gigy asingesema kama nimekwanza nimuombe msamaha Diva kachukia kwa sababu anasema anasemwa mala mtt na Gigy nae kilichomkwanza hapo alipoambiwa na Diva kuna amemwambia achana nae huyo hajielewi pale ndipo kilichomkwanza akasema ninafamillia tuwaombea wapatane kujwazana kupo hata ndugu mnagombana
itakuwa kweli alimpeleka na mtoto asingelia hivyo kwa uchungu jamani wengine wanapenda gigy
@@رقيهالخصيبيUppo km mimi tena napata nguvu za ajabu nikikushika sikuachii
I love Diva she's so calm
Saaana, na baadhi hawamuelewi masikini wanamchukia sijui kwanini au ni jealous
What do you suppose to mean when you say she is calm?
@@fahadfaraj6474 she/he mean she's not arrogant and she's politely speaking
Naona nyote hamjui chokochoko ya Diva tulieni tu coz mmetanguliza mbele mahaba, ivi mtu anaweza kukutukana tu bila sababu?
@@SirKilaga yeah, hizo mbona zipo nyingi tu'
Gigy ckindogo 👍 Nakupenda kabisa 👍💯💃😃 my phone
I love Diva💓💓💓🥰
❤️❤️She is kind
Diva is real Diva. I love her
ruclips.net/video/lHojQ5p0DrE/видео.html
I love diva she is so calm girl...and I love gigy...too naamin IPO cku watapatana
Ilove you two Giggy
I need a friend like masha 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 huo ukorofi
Sasa na hapo mwishoni alivochukua simu so funny
😂😂😂😂
Hata mimi🤣🤣🤣
@@sophiemattaka8819 😂😂
Giggy mgovi saaaana hana ustarabu kabisa🇰🇪🇰🇪
Mgonvi sio mgovi hilo ni tusi 😂😂😂
@@mcback4384😂😂😂😂😂jaman apelekwe polisi na mwenzie gigy
i love masha kwa kweli i need friends like them
I need a freand like masha😅😅
Media zikiendeshwa na matahila ndo shida hii
Hahahaha
Gigy has a true and a big heart, when she acts crazy wanasema ooh she's drunk crazy etc but I see sense in whatever she speaks husipomchokoza Ako tu sawa
Gigy anahitaji msaada wa ki saikolojia Yuko kwenye depression Kali sana anaweza kua hata chizi
👏
Mungu anakupigeni bakora hapa hapa duniani nyoko zako giggy diva Big up ❤️
Kwani mtu akiwa na mwanasheria wake ndo anafaa kuwakosesha amani watu wengine???kha!!!
Gigy kapanik hataki mchezo;
Diva muache tu dada wa watu amlee mwanae kwa amani..
Ilo gigy chizi aangalie interview iyo akili zake zikitulia alafu atajiona kama chizi au mzima
Bangi haimuachi mtu salama
Unafikili atajali anapenda sn shari na wanawake wenzie
@@eshasozy69 SABABU HAWANA MBOO
Gigy as much i love you please ur better than that calm down .and i love saying the truth Diva ako right mature up my beste♥
Kweli chizi
Wanawake wengine bhn vichaaa sasa gigy kelele zote hizo za nn 🇶🇦🇹🇿
I support ggy no matter what,,hawa watu wakuongea pole pole wanafki sanaa
me too 😍😍😍
Mnamualika gigy kwenye kipindi cha live kinasikilizwa na kuanqaliwa na zaid ya watu M10 then mnaonqelea uqomvi. Mnataka redio ifunqiwe tu. Na sijui cc tutapata wapi burudani za #SPORTSARENA
Wasafi sio Radio 📻 kweli
Utoto ndo umejaa kwenye hii Radio
Am not a funny of Diva but this lady in red damn it. Diva did behave mature. Diva oyeeeeee
Sijawai Kuona Media Ya Ajabu Hpa Tanzania Kma Hii Jmn Kuna Itv kuna Azam TV Atujawai kuona Vituko Kma iv Ila Media Hiii Imezid Sna
Wanawake kma Hawa Ni Wale Wanao Wafokea Wazazi Waoo Mtto wa kike Alie lelea kwa Heshma Na Wazazi Wake Awezi kuonyesha Tabia Yke Mbaya Mbele Za Watu
Naipenda utube 😂😂😂
Wasafiiiii ndo chama lang forever
Me huwa ni team Gigy ila Gigy leo umeniangusha Dah!
Giggy ana utoto sana she need to grow up na abunguzw ushwahili
Bongo noma sana yan kuna Ac Alafu anapepelewa😂😂
Gigy no despline no vision like a good women in a relationship society
Gygy mm mwenzio sina ata pesa ya kula lanolin lazima nikuwhoch ndio nilale nakupenda sana dadangu
😂alosikia neno Demu tujuane hapa 😂
Wasanii Kama Hawa sio wa kuita kwenye interview unaweza ukaharbu taswira ya chombo Cha habari
Yani Diva mstaarabu sanaa,,Gigy kuwa bac jmn
Hiyo ni interview ya aina gani mbona hatuielewi?!
wasafi wajui maana ya media
Masha chawa
Chawa analinda kazi yake.
Gig addicted girl
Mambeya yote na matangazaji unafiki tu hovyooooooooo! Mnadharirisha taaluma yenu
Kumbe hii Redio ni ya Mioasho?
Masha kweli ni bff
Gigy ni msenge sana
Gigy been through a lot that's y she is like that😢
exactly 😭😭😭
Kwa mtazamo wangu diva hpo ndiyo tatizo....
Nampenda masha😂😂
Is this a real radio station or a podcast? ..its in tanzania where you can find such unprofessional level of presentation.
Gift piga huyo mvaa mikofia mficha chogo lake anapenda kujisikia Sana akacheze na mganga wk wakienyeji
Sema gigy has a personality that could make her money. She can go to a hundred quick. Ni vile yupo kwenye soko ambalo halijielewi. She’s a disrupter
Sasa anataka avunje equipments za studio au anataka aingie ndani ya aimu wasichape?
Hapa Mm namuangalia Masha Love mamb yake Mara apepeee ila Ukwl anaujua
Gigymoney I love you
Mashaa ckwakumpepeaa ukoooo haha...unayapendaaa dai
Wakati mwingine tafuteni wachonga VINYAGO...WASUSI....WAFINYANZI...WACHORAJI muwahoji, sio hizi TAKATAKA...!
Gigy yuko na drama nimependa jinsi Diva is so mature
Mapenzi yakuumize, Mtoto akuchanganye, Pesa iwe Ngumu na Marafiki wazingue hili ndio linalotokea
ruclips.net/video/lHojQ5p0DrE/видео.html
Na bado unameza vidonge🤣
Na bado unasikia Kuna korona
Na bado unasikia panyaroad
Hahahhaaaaaaaa kabisaaa
Kuna muda unajizuia sana usihamaki ila ukifikiria yale unayofanyiwa bas unakosa amani na unataman upatie haki yako gig yuko.swa ila diva anajifanya sioo mkosa ila ukitizama.hii vdeo kwa umakin bas unakuta gig anaumia kwa yale anayofanyiwa Big up gigi ILOVE YOU 🥰
Moja ya sifa mwanamke mpayukaji hasikilizi wengine
😂😂😂😂😂😂😂👉
😂😂😂😂😂jamani mpayukaji tena
Sawa niachie gg wangu
She shouts alot 🤣🤣🤣🤣
@@enizetv5196 🤣🤣watuachie
Gigy anajifanyaga msela kumbe msela mavi hana adab alaf anafos kiki Sana yy kila mtu anamchukia kumbe yy ndo anachukiwa maneno mengi kichwa boflo
Gigy sio mnafk naukiwa sio mnafk kila mtu atakuona mbaya utanuniwa bila sababu
Huyu gigy ni mm kabisa
Tatizo anapanik
Diva mkorofi sana.
Hapo ni kweli Dada Sophie sijui kwanini kama ww ndio uko innocent inaonekana ww ndio uko mbaya sijui kwanini
💯💯💯💯💯💯✌
This is unprofessional...wanapeleka media kiswahili xana.. people need to hear content sio fujo
Kuna vitu vingi sana vimekua condensed kwa giggy. Kwa upendo tu giggy needs time and therapy ili awe healed anaonekana she is stressed kama sio depressed na vitu vingi sana. Angepata mwana saikologia mzuri ingemfaa she needs to pour out kila uchungu alionao.
Kabisa.. she needs to heal
diva anaonekana ana asili ya ukorofi nakumbuka hata diamond walishakosana Tena live kwenye kipindi lakini pia gigy hatakiwi kupaniki anapotafuta suluhisho
Anapenda sana kupeleka watu polis kidogo polis diva
Binaadam tunatofautiana kuliakti
Asaivi anahangaika sana na Faiza Ally
Hats we we ukikosewa lazima ukasoriki huyu mtoto yupo katika kutafuta riziki lakini vita kibaooo wazee wazimaa mnahangaika na gigy yaaani
Mwingine akiwa na hasira lazima alie na sauti inakuwa juu lakin akishanyamaza na hana kinyongo tena
Gigy is suffering from depression &the people that love her should get her help ASAP
Gigy nakupenda ila leo umeniangusha Yan umeshindwa kujicontroo 🙌🙌🙌🙌
Giigy kichaaa tuu mtu ngoja mtu aongeee n wew uongeeee kulia sio kumaliza tatizo
Diva uko wapi diva kipenzi changu, uvare so calm n composed❤
Ebu kwendraaa bwana wewee excuse yako unamtoto unamajukumu nani hana majukumu ifike time huyu gigy achezee kichapo kitakatifu atokee mtu amtwangeeee kisawasawa na ipo siku gigy utakutana na kiboko yako wewe
gigy mshamba sana, sas unapaniki nini mbona kama hujielewi, unapayuka af unazingua, mtoto ndio nini kila siku unafanya vituko kwa kisingizio cha mtoto.
Hpn usiseme mshamba gigy anachollmikia sbb ya yy kupelekwa police na mtot mgongo jmn uto diva hajui uchungu Wa mtt hajawah kwend leba ndo anchpniki diva hajakua em muangalie so kuta anapyuk kwa kituu gigy kamwmbia asem ukwelii Lkn diva hsem
@@linahyohana7876 useme hivo eti hajui uchungu wa mtoto kisa hana diva anashida ya uzazi bro sio kosa lake na sidhani kama aliwaambia police wamkamate na mtoto, alafu wakati anatukana watu huyo gigy alitegemea nini? I love her but sometimes she's overreacting very dramatically
Hpn bwana kampeleka na polisi na mtoto wak
Chapombe tatizo
@@linahyohana7876 asieke kisingizio cha mtoto kwenda nae police alitakiwa amuwache nyumbani kesi ni yake yy sio ya mtoto mbona akienda kwenye bata huwa anamuacha.??
Gigy your reaction was uncalled for !You need to mature up!!uko mshamba sana dadaaaa
I'm not Diva's fan,ila gigy hauna displine kbs.unapenda kutukana wenzako,what Diva did,you deserved it.
Straight up
Hivi havuti bangi huyuuu? Nauliza Tu cos matusi si style yangu, lakini anavyoongea mmmh!
Mimi ni fan wagigy 💯% ila for now anatakiwa kubadilika.
Thats why even unakuta gigy alikua mkorof ndo mana alipelekwa jela na mtoto ...she deserve kwa kweli ..napenda diva fata sheria
Anatengeneza kiki makusudi kujipanikisha coz she has a new song anataka kuachia kama si kesho keshokutwa
Mjinga sana km hana akil uyu gigy voo
Giggy nilikuwa nampenda sana. Ila hapa kuanzia leo basiiii. Kumbe mpumbavu sana huyu anajidai kutaja mtoto ili aonewe huruma
Kapuuzi sana haka katoto, sipendi mtu anayejiliza bila sbb za msingi kwa kigezo cha mtoto
Mmh huyu marsha uchawa
wake umezidi sasa khaaa
Hata mie kanikinai leo
Bora na ww ulione…yani anafanya upumbavu afu anamueka mtoto mbele ili watu wamuonee huruma…
Umeonaeee
Nakupenda sana Gg pole sana kwa uonevu siku zote ukionewa kuongea unashindwa kwa sababu unakuwa na uchungu mwingi sana
Uck mwem
@@vanlaikboy3091 😂😂
Huyo gigy ndo anaomba msamaha au ndo kachafuwa zaidi hali ya hewa?!
Mkomeee mashamsham uyo ndo giggy mtovu wa nidham
Yaani cjui kavuta bangi
Wee chawa Masha wee kazi unaiweza 😂😂😂
Anavyompepea boss wake sasa hahahahahhaaaaa
masha kanishinda jaman
😂😂😂😂
Ila bff Masha nimempenda buuure❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣
Bff Masha😅😅😅😅😅🙌
Mashaa anampepea shogga akee😂😂😂😂😂😂😂kesho anatukanwa yeye🤣🤣🤣🤣🤣🤣Gigy rafiki yake nguu la kitanda
Mashaaa m skuwezij ndoo unampepeaa apo amaa alafuu wee gigy mpuuzii Sanaa unaringishiaa mtotoo kamaa Mtoto nikituu chamanaa Sanaa kama mwenzakoo ajajaliwaa usimsimangiee
Mtoto amekuwa kisingizio cha matusi yake ,kuwa na mtot sio kigezo cha yy kujikuta muonewaji
Mungu wangu dah asante kwa uliponiweka
Gigy ni mswahili sana halafu hana displine,! Kama kichaa flan hv, anaboa
Hahahaha chizi sana hana heshima kabisa !
Nyie nae weuuu mmemsahau huyo diva sindo alikua anamuongelea vbaya na kumkashivu nassib... Ni anajipnaga mtu fulan mweny wadhifa kumbe mweuu
I wonder why these media is for crazy person,u can't find this in clouds or EFM
Unasukumwa
ruclips.net/video/lHojQ5p0DrE/видео.html
Gigi Ni shiida kelele za nini Sasa!!? Wanawake bwana.
Tunagoja pati 2😂😂😅😂😆😄mlevi kamwagiwa pombe yake Gigy
😂😂 nyoko wew
Komaeni jamani...Kenya huwezi ona ivyo....
Gigy piere liquid
@@rosemakatia7377 who cares?
Gigy kama sio unga basi yuko na depression mbaya sana 😢
Janamke payukaji kama hilo la kaz gan 😂😂😂
Life la street kawaidaa Sanaa
Lazma ni drugs hayupo normal
Nafikiri pia atakuwa na depression. Ila hajui, wasafi wamsaidie kwani ni mental health is real
Hovyo kabisa yan
Hill ndo tatizo ya kuwaleta watu studio wakiwa wamelew
😂😂😂😂
Love you gigy.yeyote anae msema vibaya huyu dada basi hajielewi
Gigy needs to grow up not every action deserves a reaction
100%
Fact girl she is overreacting
NO IT LOOK LIKE DIVA SHE DOING TO MUCH BEHANDE THE CAMERA AND THIS IS NOT GOOD DIVA EVEN YOU Have loyal immagine gigy asked her thta what is the reason you to go make report to police
@@scribemelody character and mannerism in the public is the first thing people observe so gigy should behave like a grown woman , she is ever complaining and insulting everyone, let her change her way
@@JUSTWANGUI u can’t tell lion to stop biting u sis because that only way of his protection Diva she doing to much
Mi naonaaa mkitakaaa kupatanishaa watu muwe mnaendaa off cameraa na mic khii😑
Gigy nimswahili sana mbona ua anagombana nakila mtu uswahili Adi kwenye media
Heloo< ukisema Gigy ana mambo ya kiswahili unakosea, afazari ungesema Gigy tabia yake si mzuri.
Watu wa pwani ni waswahili , si vyema kunena ya kwamba Giggy ana Tabia za kiswahili , Afadhwali ungenena hana akhlaq nzuri .
Huu ni Ukosefu wa content. Wasafi mnafeli sana na hili ni kutokana hamna professionalism watu wanafanya kazi sababu wanajua kuongea tu. Sasa vitu kama hivi vya kuleta katika Radio. Radio imekuwa kama sehemu ya kijiwe au yakuombana msamaha. Inamaana hakuna contents nje inamaana hamna viongozi na Bado kuna wadhamini wanasponser vipindi vya hovyo kama hivi.
Nani ameona tumbo la gigy....hahahaa mtandaoni filter nyingi mnoo
😂😂 sa ulitaka asiwe na tumbo 😂😂 uyo nyoka tu ana tumbo itakuwa yeye alafu kazaa 😂
😂😂😂😂😂😂
Mm pia
Iv c ndo huyu diva alimtukanaga na diamond Leo hii anaugomv then na g
Diva hatochi bure kabisa !?? wachana Gigy yko sawa!!!!!
Gigy, Chidy, na TID hawa ni ndugu wa damu kabisa
X😁😁😁😁
Alafu et ndo awa wanalalamika wenzao kufanikiwa wanapata wanaume wamaana uyu kidudu mtu like serious mwanaume gan wa maana anaweza kuwa na dem kama hili 😡😳🤔
Etyy
🤣🤣🤣🤣
Eti jamani
😂😂😂😂😂mmmmhh
Kumtaja maira unatafuta sympathy .. so ni uongo
Kwani humo ndani hamna ac mbona ziwa la Masha linapepea🤣🤣
Mtoto watu Wana watoto na hawana maneno wametulia