Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Pole mwana man u Hio Mimi imenitokea kwamke wangu ninaye ishi nae Hadi Leo mke nimezaa nae watoto wawili ila alinichiti na bodaboda nawatu wengine ikafikia hatua michepuko yake ikawa wanashikana ugoni sasa yule boda kwasababu ananifahamu baadae yakuachwa akawa anaonawivu ikabidi anipigie cm kunielezea matukio yote oyaa hii sturetion isikie Kwa mwenzio 😭😭😭
Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Jamani wew kaka mwenye jezi jekundu mstaharabu nimekupenda bure jamani 😘😘😘
Anavyoongea kama mchaga
Daaa hu mkaka namuoneya uruma, mapenzi Yana uma😢😢 anagoma kuongeya, Mungu atampatiya mke mwingine bora mwenye anajielewa❤
Jamaa hivyo kabisa, Demu mwenyewe wala hana mvuto wowote. Huhitaji kulazimisha penzi
Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Napenda sana KAZI nzuri ❤kutoka kenya Nakuru pamojaa 🎉
Kesho ya mtu inajuwa mungu😢😢 Mr Uky ipo Siku uta posty huu mdada akiomba msama tena kwakupiga magoti, andika iyo😢
SOMETIME UNAFANYA KWA KUMTETEA MTU ILA ATAKUJA KUOMBA MSAMAHA
Kweli Esther mwenzang
Hii Dunia bilaa sisi hawezi kunoga na sio salamaaaa🎶sisi sasa😂😂😂😂
Daah imeniuma sana yan wanawake ndo mana mnauwawa na kutupwa kwenye vipreft
Aniii nimecheka hapo mwishoni eti "Marry hatujui wootee"😂😁🤣🤣🙌
😂😂😂
😂😂😂😂
Njoo kwangu kaka mi yatima ya mapenz😂😂😂
Mafalla😂
Unapatkana wap❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
Imebidi nicheke tuu maana inabidi tufarijiane
Ah xjh wanawake huwa tunataka nn kwenye maisha yetu Mungu tunaomba utusamehe
Mary,Maria😂😂 duuh hata kwenye Jua Kali Kuna Maria huko anasumbua
Au sioo 😢
@@mariachifupa4654tulia 😂😂😂
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👆dunia simama nishuke ahela nimbali jmni dda mkavu kama mavuzi duuu😂😂😂
😂😂😂😂😂
Daah huyo Chalii😂😂 demu siku zote wanapenda ma Bad Boi ovaaah
Siwajuwa wote daaaad mwanamke huna adabu kabis Mungu anakuona
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Daah! Pole kaka angu maskini anaupendo mwenyewe
Sawasawa nyinyi wanaume si pia nihivohivo mukipta mschana mpya wazamani wasahau gud work mery🥳
Pole mwana man u
Hio Mimi imenitokea kwamke wangu ninaye ishi nae Hadi Leo mke nimezaa nae watoto wawili ila alinichiti na bodaboda nawatu wengine ikafikia hatua michepuko yake ikawa wanashikana ugoni sasa yule boda kwasababu ananifahamu baadae yakuachwa akawa anaonawivu ikabidi anipigie cm kunielezea matukio yote oyaa hii sturetion isikie Kwa mwenzio 😭😭😭
Hii mbona Kam bongo movie sio kweli hii
Hii ni staged kinyama
😂😂😂😂😂 kaacha mume mzurii rasita iposiku nawe utageukiwa tu
Hii inaitwa tatu mzukaaa 🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️ shkamoni wadada
😂😂😂😂
Sema huyo kaka wa Man U mstaarabu sana,,, ila huyo mwanamke litamkuta jambo aseee
Huyu mdada namwonea huruma sana, kitakacho mkuta hata amin kwenye maisha yake
Mdada mbibi😊
Mr uky 😂😂😂😂 et mArry hatujui wotee😂😂😂😂😂
Baadh ya Wadada wasengee sana duuh noma sanaaa
Mwana man u anatia huruma na kasaut kake jaman ila ni handsome
Jmn nmecheka kaka mbav zinauma mr uky et Mary hatujui wote😂😂😂😂
Hunifikii mimi nilivyocheka😂😂😂
Ngoja kwanza kuna mahali panachekesha et leo meri atujui wote😂😂mshenz kweli we kushaambiwa ujulikani si usepe
Kumamaake sjawai kuona hii 😂😂😂😂
😁😀😀tembeaaaaa robotiii Eunice mwayaaaa wasijeee kukuuaaaa lafikiii yangu
Hiv nikweli jaman au move na kama kweli njoooo unifanye challenge na mimi mpenz wangu jaman
Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji
Nimerudiya tena 😢😢 daaaa inaniuma Sana 😢😢 kunasiku hu mdada atamuliliya.
uyo namjuwa uyo mkaka mwenyw dred
kwakweli
hiii Mr uky umetupigaaaaaa mbaya acheni kutengeneza story
Kaka wawatu anaupendo jamni wanawake ni mtihani mbona mungu akupe moyo kaka utapata mwanamke mwema
Merry Malaya khaa😅
Mr uky unanifurahisha apo huna amani 😂😂😂😂😂
Huyu ni mery wa jua kali kabisa kafanya frenk kuomba msamaha hadi kanisani😂😂😂kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Njoo huku uwe mpenzi wangu jaman😂😂😂😂
Etii usiifunge mlangoo😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂 mr uky
Mr Uky ;Mary hatujui wote 😂😂😂🤣,, kauli imekaa kinafki sana
mary knows how to act mweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake ni noma Sana kiukweli inauma Sana duhhh
Mwanamke ajawahi penda ana shawishika. Ata na vyombo vya ndani apo kapenda nywele
Dah wallah eti tokeni nyumban kwangu na maji kamwangiwa aiseeeh 😢nimeumia saaana alafu kijana msitaarabu tu vizuri jmn maskini
Mr uky hizo stori huzipangi lakn😂😂😂😂😂😂 maana ni shidaaa
Hhhh
Najiuliza tu huyo bodaboda kamtafuta Mr UK sangap na mwenye mpenzi sangap had waende kufumania
Sikuhizi wameshakuwa wadananda ye ns kiredio
Kwakwel ya Leo cjailewa but bando langu huwa linaishiwa kwao so wajitahid kufanya vzur
Eti kumsindikiza kwenye chocho zote hizo apo tumepigwa 😂😂
Namba si zipo dk zako tu unampata
hapo mmetudanganya jamani mr uky
Heri mchawi kuliko BODABODA mmbeya🤣
😂😂
Nyoooo😂😂😂😂
We kaka mm yatima wa mapenz muache marry njoo kwang bn haelewik hyo na hajitambui
Jamn leo nimeamini wanawake kwann tuliitwa ndugu wa shetani jamn ...😂😂
😂😂😂😂😂😂nmechka nakuanguka
duuh huyo dada kamkataa jaman 😂😂😂ila anacomfidance°°kama zote
Maria 😂😂😂😂😂😂ya jua kali haya haya
Imeathir watu
Marasitarasita ya ajabu 😂😂😂 tokeni nyumbani kwangu nyot awajui😊
Mr uky unaroho mbaya sana😃..😃😃😃😃😃
Pole bro 😢😢
😂😂😂nimecheka kama fala😂😂
😂😂ata mm nisingewajua 😂 kbasaa dunian wawil wawili bhana
Kabisaaaa😂😂😂
😂😂😂😂 daaaaa huyu dada ni ukoo wa Ali-shabb
😂😂😂
Mr uky sio Kwa uoga huo😅😅😅 ila wanawake Sisi jamani hatujawahi kuridhika
Na hicho kigugumizi dada utajutaaa
Uyo Dem Ana Nyodo mamae Kuna Wakuudumia na Wakupewa mahaba
Haya mambo naonaga kweny movie wanangu daaah sijafnyiwa mm lkn inauma xna 😢
Mr uky...uyo chugaa mletee kwang..mm nko single😢
Mr uky alikuwa anateseka 😂😂 Mara achuchumae mara ainame ukutani
Nimelia sanaa
Cjui ni coment nn from Oman 🇴🇲
Kapike tuu kubusi za ucku mwaya😂😂😂make ya huko tz yanaumiza af yanachekesha wabuyeee😀😂😂😂
@@UmayyaNkya-ze3ri😂😂😂😂
Mr uky mnoko😅😂😂😂muone jmn mapenzi yatawauwa mbwa nyinyi 😢😢😢
Hii move inaitwaje wazee😂😂
Kijana wa manchester united tafuta pesa hao wapo wengi wamejaa wengine bado hawajazaliwa . najua kaumia sana. MAPENZI WEWE😊😊😊😊
Mr uky kimekurambaaaaaaaa leo
Kaka wa jezi nyekundu njoo kwangu..hata miee nimeumizwa sanaa mpaka siamini mahusiano..nikitongozwa naogopaaa...Mr uky mpe number zangu
Mr Uky leo hiyo movie inaitwaje 😂😂😂😂
😂😂
Boda mmbeya
Sas huyu jamaa wa man u atakuwa na Hali gan 😂😂😂 . Wew usipojibiwa tuuh mesg una nuna
Mr UK mnafiq mno jamaniiii 😂😂😂😂😂
Boda boda mmbeaa😂😂😂😂 nayeye
Hafai boda boda waga wanasiri sana alaf jamaa ana wivu na merii
Yniii achaa tu🤣
Mmh mbn kama muvi bhn
Marry weeeeee😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 nmecheka
😂😂😂😂😂😂😂Eti ana hali gani Mr uky mkorofi
Jamani ebu niulize haya mambo kweli kweli au maigizo maana sijaelewa
Hahahah Mr UK 😀😀 Merry Hatujui wote
Ila bodaboda hatar😮😮
Mwanamke asiye na akili zinazoteseka ni sehemu zake za siri,yani alivyo mkavu huyo dada loh!mngemtembezea kichapo alafu anaongea kwa jodo pumbafu!😅😅😅
Mshenz uyo dada
😂😂😂😂
Kweli kabisa a beauty girl without Brain 🧠 Private party Suffer the most ❤❤❤ nimekibali mkuu
Mwacheni mary 😂😂😂😂😂😂 je angekuwa yy 😅😅😅
Duuh uyo dada kiboko jamani mhm
Hii m muv mpigie simu tuone
Lidada libaya nyooo
I see 😂😂😂hii Kal sana nimependa bro alivyosema unaniacha kisa marastarasta
😂😂😂😂 kwaiyo boda boda wivu umekushika daaa😢😢😢nimelia sana
Mr uk mbea wew😂😂
Nimeruka kukimbilia comment alafu mi ndo wa6 nimeliaaaaaaaaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢
umbea tuuuu kulaaaa aaah😂
Na umejikwaa kwa udaku wako🙌😂😂😂
Meriiiii mkavuuuuuuuuu😅😅😅
Mr uk muoga at usifunge mlango😂😂😂 daah nimelia san
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Mwanamke huyu anatamaa sana anaonekana ndyo wanakufaga vibaya mbwa huyu
Ila mr uky 😂😂 ety unakazia marry atujui wote hahahahahah 😢😢
Duh pole sanaaa kak ake jamni mwanamke mkavu huyu
Cjui ni seme nn from Kampala
Uyu kaka Mwenye Jezi nyekundu alikua kwenye Mr right…
Mbona hii imekaa kiutungaji😢😢 kama sio kweli vile ...
😂😂😂😂😂mr UK wwwww
We Mr uky usinichekeshe😂😂 mbn upo kama haupo wakati we ndio host
Mary 😂😂😂 kakana kabisaa 🙌🙌
Iyi m'metengeneza!siyo ya uwalisiya
Kaka mweny tshirt nyekundu ❤❤