Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Aniii nimecheka hapo mwishoni eti "Marry hatujui wootee"😂😁🤣🤣🙌
Daaa hu mkaka namuoneya uruma, mapenzi Yana uma😢😢 anagoma kuongeya, Mungu atampatiya mke mwingine bora mwenye anajielewa❤
Kesho ya mtu inajuwa mungu😢😢 Mr Uky ipo Siku uta posty huu mdada akiomba msama tena kwakupiga magoti, andika iyo😢
Jamani wew kaka mwenye jezi jekundu mstaharabu nimekupenda bure jamani 😘😘😘
Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Njoo kwangu kaka mi yatima ya mapenz😂😂😂
Mafalla😂
Daah imeniuma sana yan wanawake ndo mana mnauwawa na kutupwa kwenye vipreft
Mary,Maria😂😂 duuh hata kwenye Jua Kali Kuna Maria huko anasumbua
Au sioo 😢
Huyu mdada namwonea huruma sana, kitakacho mkuta hata amin kwenye maisha yake
Sawasawa nyinyi wanaume si pia nihivohivo mukipta mschana mpya wazamani wasahau gud work mery🥳
Sema huyo kaka wa Man U mstaarabu sana,,, ila huyo mwanamke litamkuta jambo aseee
Mwana man u anatia huruma na kasaut kake jaman ila ni handsome
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Marasitarasita ya ajabu 😂😂😂 tokeni nyumbani kwangu nyot awajui😊
Jamn leo nimeamini wanawake kwann tuliitwa ndugu wa shetani jamn ...😂😂
Hii ni michezo waandishi hawa mnatulia NB acheni ujinga
Hiv nikweli jaman au move na kama kweli njoooo unifanye challenge na mimi mpenz wangu jaman
Hii inaitwa tatu mzukaaa 🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️ shkamoni wadada
😂😂😂😂
Hii Dunia bilaa sisi hawezi kunoga na sio salamaaaa🎶sisi sasa😂😂😂😂
Baadh ya Wadada wasengee sana duuh noma sanaaa
Kijana wa manchester united tafuta pesa hao wapo wengi wamejaa wengine bado hawajazaliwa . najua kaumia sana. MAPENZI WEWE😊😊😊😊
Hakika Mary kamzingua boda wake. Asingesnitch 😂😂😂😂 "kaseme unazan naogopa"
hiii Mr uky umetupigaaaaaa mbaya acheni kutengeneza story
Najiuliza tu huyo bodaboda kamtafuta Mr UK sangap na mwenye mpenzi sangap had waende kufumania
Sikuhizi wameshakuwa wadananda ye ns kiredio
Kwakwel ya Leo cjailewa but bando langu huwa linaishiwa kwao so wajitahid kufanya vzur
Eti kumsindikiza kwenye chocho zote hizo apo tumepigwa 😂😂
Namba si zipo dk zako tu unampata
hapo mmetudanganya jamani mr uky
Cjui ni seme nn from Kampala
Hahahah Mr UK 😀😀 Merry Hatujui wote
😂😂😂😂😂 kaacha mume mzurii rasita iposiku nawe utageukiwa tu
😁😀😀tembeaaaaa robotiii Eunice mwayaaaa wasijeee kukuuaaaa lafikiii yangu
Etii usiifunge mlangoo😀😀😀😀😀
Jmn nmecheka kaka mbav zinauma mr uky et Mary hatujui wote😂😂😂😂
Hunifikii mimi nilivyocheka😂😂😂
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Mbona hii imepooza au ya mchongo😂😂😂
🤣😂😂😂amesema hawajui nyote
😢mapenzi nyoso uyo mwanamke ana moto wa peke yake ata huruma jaman kaah
Akasema na huyu mr uk simjui 😂
Hii move inaitwaje wazee😂😂
Kuna play a boy afu kuna uyu play a girl 😂😂
Dah wallah eti tokeni nyumban kwangu na maji kamwangiwa aiseeeh 😢nimeumia saaana alafu kijana msitaarabu tu vizuri jmn maskini
Daah! Pole kaka angu maskini anaupendo mwenyewe
Uyu si ni mama anatakiwa awe kwenye ndoa jamani 😂
Huyo boda boda maisha yake mafupi sana kwa tabia yake
Kaka mweny tshirt nyekundu ❤❤
Huyu mery atakuja kujuta maisha yake yote
Merry anakaa mtu mkubwa lakin wanaume wake wote watto 😊
Merry hatujui wote nimecheka sana
Nimeruka kukimbilia comment alafu mi ndo wa6 nimeliaaaaaaaaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢
duuh huyo dada kamkataa jaman 😂😂😂ila anacomfidance°°kama zote
Mr Uky ;Mary hatujui wote 😂😂😂🤣,, kauli imekaa kinafki sana
Eeeeeh mwanamke mkavu kabisa😅😅😅
mishangazi kiboko🙌😅😅
Sio kweli ni ya kutengeneza
Merry atujui wote😂😂😂
Wadada wenye makomwe wanatabia za kishetan mno, Ila wanawake tutafika mbinguni tumechoka
Uyo Dem Ana Nyodo mamae Kuna Wakuudumia na Wakupewa mahaba
Huyu dada mkavu khaaaa 😂😂😂
Duh pole sanaaa kak ake jamni mwanamke mkavu huyu
Unakataliwa harafu bado unashangaa shangaa heeee! Utamwagiwa hata mafuta ya moto 😂😂😂😂😂😂
Miwivu tu tuogaa aaaah😅
nimepaliwa naombenu maji😂😂
😂😂😂😂😂 mr uky
Safi sana Marry..walitaka wakuumbue umewanyoosha.
Ila sisi wadada pepo tutaiskiahuyu dada alichkifnya atalipia 😢
Mwanamke asiye na akili zinazoteseka ni sehemu zake za siri,yani alivyo mkavu huyo dada loh!mngemtembezea kichapo alafu anaongea kwa jodo pumbafu!😅😅😅
Mshenz uyo dada
😂😂😂😂
Kweli kabisa a beauty girl without Brain 🧠 Private party Suffer the most ❤❤❤ nimekibali mkuu
Mwacheni mary 😂😂😂😂😂😂 je angekuwa yy 😅😅😅
Duuh uyo dada kiboko jamani mhm
Mmmh huyo boda ana wivu
Huyu nae mwenye sauti mbaya ndo maana kaaachwaa
Wacheni Mary 😂😂😂😂 kwani chakwenu
Cjui ni coment nn from Oman 🇴🇲
Kapike tuu kubusi za ucku mwaya😂😂😂make ya huko tz yanaumiza af yanachekesha wabuyeee😀😂😂😂
@@UmayyaNkya-ze3ri😂😂😂😂
Mmmh movie hii
Sema mme igiza vzur
😂😂😂meri
Hawajui wote dadamkavu macho
Mr uky unaroho mbaya sana😃..😃😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣dah huyu mmke NI Zaid ya kahaba
Sema wambeaa tupo wengi hahaha watu buku nne kddki 😂😂
Dhuuu kuna wanawake wakaushiii🤣🤣🤣🤣
😂,😂 ebu ngoja nitafute pesa hayo madude yanaumiza sana
Mwendelezo 😂😂
Mr uky kazi unayo utakuja kutolewa miguu😅😅
Mkavu kama miba ya jangwani 😅😅
Merry hatujui wote😂😂
Itakuwa boda boda na Mary waliachana kwa ugomv
Dah mwanetu WA Manchester 😂😂😂😂
D kama ni kweli mary mkavu
Ila mr uky 😂😂 ety unakazia marry atujui wote hahahahahah 😢😢
Mr uk mbea wew😂😂
Mbona kama nimaigizo???
Anaonekana na tisheti la kufika kwa rasta man
Duh huyo mdada n mkavu 😂😂😂
Nimerudiya tena 😢😢 daaaa inaniuma Sana 😢😢 kunasiku hu mdada atamuliliya.
uyo namjuwa uyo mkaka mwenyw dred
kwakweli
Mr uk mnoko sana ety merry hatujui🤌😂😂😂😂😂😂
Mbona hii imekaa kiutungaji😢😢 kama sio kweli vile ...
Huyo dada ni yuda mtupu
Ila MR Uk eti umeeka chombeza Marry hatujui wote😂
Kitu Zima Hilo dada halina aibu fyooo mkavuu
Heri mchawi kuliko BODABODA mmbeya🤣
😂😂
Zinaa imekithiri hadi imekuwa inatangazwa kwa nguvu zote, hakuna aibu siku hizi
Nilikuwaga najuaga ivi vitu ni kweli kumbe mnaACT bana
Anasema hamjui Kwa jina la mery hafu Bado anamwita Kwa jina lilelile waongo sana nyie
Mr uky 😂😂😂😂 et mArry hatujui wotee😂😂😂😂😂
Jamani
I see 😂😂😂hii Kal sana nimependa bro alivyosema unaniacha kisa marastarasta
Hamna ukweli wowote hapa' mr Uk hili igizo tu