ACHANA NA MWANAUME WANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Criss ame wachanganya wa dada wa wili

Комментарии • 505

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 3 месяца назад +19

    Mmmh ety achana na mwanaume wangu wewe upo kwa kuudumia mke mwenzio na uyo bwana ila dada wa wanaume 6😂😂😂😂😂 noma sana

  • @saay4273
    @saay4273 3 месяца назад +21

    Kugombania wanaume tu kupunguza vitambi Aaaaaaaaaaaaaaaah😂😂

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 2 месяца назад +6

    Wanaumwe wanaongwa mara nyingi wanakuwa na wanawake wanawaonga. Wanaume hawapendi kushushwa/ kushindwa. Ndio maana wanapenda kuhonga wanapoongwa. Yaani wanawake wengine huwa hawajielewi, hawajijui mwanaume sio mwaminifu mnamgombania huo ni msiba wa wanawake na msiba wa taifa. Hizo ni dalili za ujinga wa akili na dalili za umaskini na uchawi/ kuanza kuroga.
    Keep on moving ladies, acheni huo ujinga.

  • @gladynessjerome4464
    @gladynessjerome4464 3 месяца назад +20

    Kazi kugombea wanaume tyu kuoga aaah😂😂

  • @ceciliapaul4161
    @ceciliapaul4161 3 месяца назад +13

    Huyu treasure hajielewi, hivi anawazazi kweliii😢

    • @youdya
      @youdya 3 месяца назад

      😂😂

  • @HalimaHusseni-h1p
    @HalimaHusseni-h1p 3 месяца назад +5

    Na nyie wanawake muda mwengine acheni ujinga mwanaume Hana kazi hakupi chochote wann

    • @Tanzaniayangu1
      @Tanzaniayangu1 2 месяца назад

      Ndo ushangae😂😂

    • @HalimaHusseni-h1p
      @HalimaHusseni-h1p 2 месяца назад

      @@Tanzaniayangu1 ndio hapo wanajifanya wanapenda kumbe wanatapeliwa tu

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p Месяц назад

      Nashangaa kapenda mkia🙌😂😂

  • @glorymushi6158
    @glorymushi6158 3 месяца назад +2

    Kazi ya nini kazi haimhusu mtu kinachotakiwa atoe hela ya kodi basi

  • @AMINAATHUMAN-nb9qn
    @AMINAATHUMAN-nb9qn 3 месяца назад +18

    Siwezi kumpa mwanaume helaaaa hata jeroo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @pillyramadhani3726
      @pillyramadhani3726 3 месяца назад

      Ushalizwa ndio maana umeshuka😂

    • @abdallahrenatus6677
      @abdallahrenatus6677 3 месяца назад +1

      Ila unataka mwanaume akupe Sio?

    • @fatumakomba9916
      @fatumakomba9916 3 месяца назад +4

      Mimi kumpa mwanaume ela jamani siweziiiii jamani😂😂😂 mume wangu mwenyew akiwa nashida namkopesha naribaa juu pesa yangu aiendi bure😅😅

    • @hildamasonda6528
      @hildamasonda6528 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂nakuungaaa mkono na miguu juu

    • @hildamasonda6528
      @hildamasonda6528 3 месяца назад

      ​@@fatumakomba9916kwanza wengine tunaumwa na degedegeeeee😅😅😅

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 3 месяца назад +7

    😂😂😂😂 hii kali aise kuna wanaume hatujui nn tunataka

  • @SyliviaMbuya
    @SyliviaMbuya 3 месяца назад +12

    Wanaume siku hizi wamekuja juu sana, Sasa Kuna watu wapo single halafu dada anamiliki wanaume kama usafiri wa bajaji😅😅😅😅

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 3 месяца назад +32

    solution ni ndogo aache kumpa ela huyo boy hili atulize komwe

  • @PaulinaMassay-u4w
    @PaulinaMassay-u4w 2 месяца назад +2

    Mwanaume wako we kma anakupenda kweli asingeweza kufanya UJINGA HUO unagombana na mwanamke mwenzio kisa mwanaume. Kwani huyo mwanamke yeye ndo kamtongoza au katongozwa Sasa Hilo swala yeye anakazi au Hana inamuhusu nini Sasa yeye kama kamwambia Yuko single hamn mke huyo mdada afenyeje. Na lazima amhudumie atajua yeye Hela katoa wapi. My dear sister we deal na Mume wako huyo utashinda lasivyo unahangaika bure
    Sema na mchumba wako. Achanana mwanamke mwenzio. Huko ni kujidalilisha jmn.

  • @moureenensungi5924
    @moureenensungi5924 3 месяца назад +6

    Mr uky uyo dada mweusi anavyoonekana anaenda kumsimulia chris yote kbla kbl ata hujamtafuta 😂

  • @AbdulMagembe
    @AbdulMagembe 3 месяца назад +1

    Hapo akili ni ndogo tu, huyo dada anae muhudumia mwanaume abane tu hizo pesa asimpe, alaf aone huyo dada anayehudumiwa kama ataendelea kuishi najamaa Otherwise, jamaa atafte kazi ili aendeleze huduma. Na swala la kazi sio la siku moja.mpaka aje apate, ameshaachwa.

  • @Missah
    @Missah 3 месяца назад +1

    Uyo dDa mweusi kama wakweny wrong hous au🙄

    • @ZalhathamohdSaid-qn4jj
      @ZalhathamohdSaid-qn4jj 3 месяца назад +1

      ndy yeye kweny dunia nyengine pya yupo michez ming wasanii ao😂😂

  • @jamesnkane3
    @jamesnkane3 3 месяца назад +24

    Nipo apa like apa Kwa uky

  • @maryammsang202
    @maryammsang202 3 месяца назад +1

    Ila wadada tuache ujinga uko ni kujizalilisha tu

  • @MaryMacha-b1w
    @MaryMacha-b1w 2 месяца назад +6

    Mr Uky utasababisha waganga walale njaa wallah 😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +5

    😂😂😂shiva lilikua linalala lala kwa kikao cha wadada na tresher aliandika ipasavyo notes sana sana rules no 5👌👌🤞shikilia apo apo tresha quuuumaammmakeeee weka weka weka 😂😂😂

  • @Atb300
    @Atb300 8 дней назад

    That means akupendi 😂anachukua pesa kwako anampa mwenzako😂😂😂

  • @PendoPhilemon-ie6mw
    @PendoPhilemon-ie6mw 3 месяца назад +7

    Uyu mwenye wanaume sita ukimwi hana kweli😂😂

  • @Gloriarespiki
    @Gloriarespiki 3 месяца назад +17

    Kris mwenyew mbn niko nae apa tunaenjoy😂😂😂😂😂😂😂

  • @PendoMoris-zo4nl
    @PendoMoris-zo4nl Месяц назад

    Kwann aumalizi video mpaka mwisho tuelewe......?

  • @BurterDreezy
    @BurterDreezy 3 месяца назад

    Jaman Mr uky unatuangisha na kiingereza chako,,,,,eti how long umefound 😂😂😂😂😂 au nimesikia vibaya jaman,,,,😂😂😂😂 grammar jaman grammar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 heee anyway ndio media zetu tenah

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 3 месяца назад +5

    Mtu anajisifia uzinzi 😢😢 ety nina wanaume 6 Dah 🎉🎉

    • @esterstaphord5184
      @esterstaphord5184 2 месяца назад

      Hadi huruma nay 😢....dhamb imetawala Dunia😅

  • @OmanSalalah-of7uk
    @OmanSalalah-of7uk 3 месяца назад +4

    Kazi kulea mwanaume kuolewa aaaah 🤣🤣🤣🤣

    • @zuhurahassan917
      @zuhurahassan917 3 месяца назад

      Daaaah

    • @VivianSamwel
      @VivianSamwel 3 месяца назад

      😅😅😅😅😅 wambiee kazi kupigania wanaumee😅 kufanya kazi aaaaah

  • @sophiemtitu9921
    @sophiemtitu9921 3 месяца назад +2

    Hivi hela mnatoaga wapi za kulea watoto wa mamamkwe aiseee hio akili ni yakijinga ndo kupenda ama!

  • @juliethmagembe2262
    @juliethmagembe2262 2 месяца назад +1

    Mchepuko kakasilika kwanini mwanamke anamhudumia mwanaume hapo nimemkubali😂😂

  • @dogsandpetseducation6221
    @dogsandpetseducation6221 Месяц назад

    Kwa majibu haya,wakitendwa wanaomba serikali iwasaidie na mtu kamwita kumweleza vizuri halafu anajibu utumbo,

  • @levinaasenga2794
    @levinaasenga2794 3 месяца назад +1

    Kwani ye ajui ana mwanamke wake ? Alienda kumtongoza mwenyewe mwambie asimpe pesa ndio atajua anapendwa au lah 😂

  • @joyagustino
    @joyagustino 3 месяца назад +2

    oyoo nmependa huyu dad mweus anavyojiamn alitakiwa ampige kofi mtu unamlishaje mwanaume mimba anabeba yeye😅😅😅

  • @juddysemiti7920
    @juddysemiti7920 2 месяца назад +1

    Mchepuko kaongea point😂😂 afu mwanamke atakama unampa mwanaume wako hela hio iweke siri hujionei ata aibu

  • @KhadijaSempeho
    @KhadijaSempeho Месяц назад

    Yanihuyu dada aloiba bwana wamtuh ingetakiwa kumtupia jini lauchizi avue nguo atembee uchi ili akitembeze vizurii

  • @SuzanaMpesha-b3n
    @SuzanaMpesha-b3n 19 дней назад

    Mm binafs siwez kuw na mmoja ni mwendo wa kucht ana tuuu😅😅😅😅

  • @AnjelikaNgimbudzi-yc8pu
    @AnjelikaNgimbudzi-yc8pu 3 месяца назад

    Moneyless halafu uchaguliwe dada mweusi hujitambui wewe

  • @jennet6484
    @jennet6484 3 месяца назад

    Mr.uk unapenda kujua english..hata hvyo unavyo kwama kwama kila siku naamini sio kupenda kwako..jifunze utajua😊

  • @doricakisenya4867
    @doricakisenya4867 2 месяца назад +2

    Zinaaaaaaaazinaaaaaaaazinaaaaaaaaaaaa kwa watoto wetu eeeeMungu wafungue macho waone

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 3 месяца назад +7

    Acheni kujizalilisha, hakuna mwanaume wa pekeyako.

  • @Misssmile111
    @Misssmile111 3 месяца назад +4

    Unahudumiwa sawa kununua sim nzuri aaah 😂😂😂

  • @Eunice254-o7x
    @Eunice254-o7x 3 месяца назад +1

    Wachen ujinga wanawake mnapatia nguvu wp ya kuudumia wanaume

  • @IreneMacha-d5q
    @IreneMacha-d5q 3 месяца назад

    Kwako.studi.mm nipo na side chick mpka kieleweke😅😅😅😅😅😅

  • @hamzamajanga
    @hamzamajanga 2 месяца назад

    Unapata wapi ujasiri wa kuongea hivyo jamn ety namhudumia.. nampa hela 😮😮

  • @MwanangeniAyubu
    @MwanangeniAyubu 2 месяца назад

    Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipopata hizo Hela km atampenda huyo anae muita boya gar bovu

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 2 месяца назад

    Wanawake mnaowapa pesa wanaume inakuaje?, mbona mimi siwezi?, utaambulia boxer za buku5 tu, na inategemea.

  • @diva_20162
    @diva_20162 3 месяца назад +4

    Kazi kumgombania Chris kuoga aaaaah 😂😂😂

  • @stephenmwakasonda892
    @stephenmwakasonda892 3 месяца назад +3

    Hawa wanawake ndo wakirogwa mwisho wa siku watanzania tunaanza kusumbuliwa timchangie matibabu

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @MwanangeniAyubu
    @MwanangeniAyubu 2 месяца назад

    Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipo pewa Kwa wakat I'm atamtaka huyo anae muita boya gar bovu

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 Месяц назад

    Sasa wewe dada si ni mpumbavu unamgombaniaje mwanaume ambae Hana hata kazi 😂😂😂 unamhudumia na bado hakuheshimi😂😂

  • @glorymushi6158
    @glorymushi6158 3 месяца назад

    Utamfanya nini wewe ungekuwa na chakumfanya ungemfanya usingehitaji msada

  • @RoseZamani
    @RoseZamani 3 месяца назад +5

    Dada anadhalau afu anajiamini akikataliwa mwambieni asinywe sumu anywe tu chai alale😂😂😂 watano watamtosha

    • @Mery-st4nu
      @Mery-st4nu 3 месяца назад

      Hapo anakwambia hampendi mwanaume anapenda pesa zake istoshe pesa inatoka kwa mwanamke mwenzio anajiamin utazan mkiwa kaumiliki kumbe si wake mbwa wa kijani yule

    • @RoseZamani
      @RoseZamani 3 месяца назад

      @@Mery-st4nu 😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @najmahhassan7853
      @najmahhassan7853 3 месяца назад

      Uyo Chris anaweza asiwachague wote😂😂

    • @MagrethSamwel-s5z
      @MagrethSamwel-s5z 3 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @faridakidoti6734
    @faridakidoti6734 3 месяца назад

    Sasa mipango mnapangaje na hela unatafuta ww mk""":nd hujielewi basi kwenu kuna njaa kazi kuhudumia mtoto wa mtu nyoko

  • @dorcusnakkie1726
    @dorcusnakkie1726 2 месяца назад

    Eh bipolar is real😂😂😂 ety achana na mwanaume wangu yan nakuhudumia alafu uwe na mwanamke mwingine nimfate uyo mwanamke nimwambie aachane na mwanaume wangu is it coming jamn😂😂

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 3 месяца назад +3

    Siulitimuwe hilo limwanaume liende kwa huyo anaejiona anahudumiwa kwa wakati hamujielewi

  • @AzaMajid-br5jq
    @AzaMajid-br5jq 2 месяца назад

    Amkeni wanawake mwanaume haudumiwi Anahudumia ukijifanya unayaweza lazima yeye akatafute sehemu ahudumie hiyo ndio sifa yaoo

  • @vivianchristian6315
    @vivianchristian6315 3 месяца назад +1

    kumbe hupendwi ela zako ndo zinapendwa we mjinga

  • @GraceTransford
    @GraceTransford 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂bado watu wanagombania binadamu wenye mikia mbele,i wonder

  • @lysterrichard8417
    @lysterrichard8417 2 месяца назад

    Ila dada black kasema ukweli ila wanaume 6 unatumia iphone 6 nyie kama idadi 😂😂😂😂

  • @JohnMtinga-ld1js
    @JohnMtinga-ld1js 3 месяца назад +4

    Kudanga tyu kuolewa aaah😂😂😂

  • @zainabyasin2023
    @zainabyasin2023 3 месяца назад

    Ila wanawake humu tunajizalilisha kweli, yaani it's disgusting kuona mnagombania wanaume uwiiiih eti 'unajua nmetoka nae waapi' hahahha

  • @IreneJoseph-x8k
    @IreneJoseph-x8k 3 месяца назад

    Mmmh!! Kilicho baki tusome biblia na Quran tu.

  • @elenlazaro3192
    @elenlazaro3192 2 месяца назад

    Nyie mnatoa wap pesa😅😅😅kwan mwanamke tangu lini ana pesa😂😂😂😂

  • @SumaiyaMussa-t4g
    @SumaiyaMussa-t4g Месяц назад

    Njoo nikupeleke kwa mganga uku matumbi

  • @kelvinathuman8545
    @kelvinathuman8545 3 месяца назад

    Mdada malaya uyoo mamaae😅 kwahiyo apo utakachoongea anakuona mbuzi

  • @makumikyalo2226
    @makumikyalo2226 2 месяца назад

    Naitaji uyo dem mwenye ahatembeya na mume watu please mwenye hanawesa kuwa na number yake hanitumie

  • @ElineOmary
    @ElineOmary 3 месяца назад +3

    Girls embu acheni kugombana na wanawake wenzenu kisa wanaume mwenye kosa ni mwanaume wako ndy aliyemfata akamtongoza unatakiwa umkanye mwanaume wako khaa🤣

  • @JosephatMassae
    @JosephatMassae Месяц назад

    HILA SISI WANAUME NI NUKSI KWELI UNAPATA DEMU ANAKUPENDA ANAKUWEZESHA UNASHINDWA KUTULIZA MBUPU CHINI DA

  • @victoryjohn4179
    @victoryjohn4179 3 месяца назад

    Wengi wanalaumu huyo dada kumuhudumia mwanaume wake,,, sasa kama zamani alikuwa na kazi alafu tuko pamoja kaachishwa kazi na tunapendana je nitamwacha aende au nimfukuze,,, kumuhudumia mwanaume wako si kosa,,, kosa ni hilo anapewa nae anatoa

  • @BeathaOscar-x9l
    @BeathaOscar-x9l 3 месяца назад +1

    mmmmmh wewe dada ni kiboko wanaume 6

  • @AshaDickson
    @AshaDickson 3 месяца назад +2

    Ila mwanaume 6 khaaa!!

  • @euphrasiakalinga7221
    @euphrasiakalinga7221 3 месяца назад

    Nguvu za kuwahudumia wanaume wenzatu mnazipqta wapi

  • @mackyladislaus7887
    @mackyladislaus7887 3 месяца назад

    hata me kuna mtu namhudumia iila siku nikigundua ana mtu mwengine,nanua zangu shangazi kaja la 3500 namjazia kila kitu naweka kibarazani ,nafunga mlango naenda kwetu kukaa 2 week halafu nione😂😂😂

  • @zabeniramba
    @zabeniramba 3 месяца назад

    Wanawake tumekuwa wajing saaaaan saiv tunangombania wanaume hay ha ingekuwa mm nimetongozwa nakubal hainihus Kam ana mwanamke wak huy muhudum wakike apunguze kihereher ila wanawake sisi😅

  • @FloraMika-n5m
    @FloraMika-n5m Месяц назад

    Inaelekea anapenda vibonge😂😂😂

  • @EsterMwakatundu-il2le
    @EsterMwakatundu-il2le 2 месяца назад

    Huyo Tressure ni mdada wa aina gan kwenye huu ulimwengu?

  • @nemakijangwa
    @nemakijangwa 3 месяца назад +13

    Ila huyu mwanaume anapenda vibonge kwakweli 😂😂

  • @PetronellahKashomba
    @PetronellahKashomba 2 месяца назад +2

    Ah nmechekaa,wanaume sita like siriaz,anaongea comfortably like..hahahaha shenzii

  • @NeemaIbrahimu-c2l
    @NeemaIbrahimu-c2l Месяц назад

    Duuh wanawake wanapenda jaman unamuhudumia mwanaume aloo!🤦

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 3 месяца назад

    Dada sitisha huduma kwa kriss ndio huyo dada atamuacha mumeo kwasababu ye kafata pesa

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 3 месяца назад

    Wew unaishia nae sababu unampenda yeye kapenda kwingine na hela zako anakula na mwigine wew mzima dada??

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 месяца назад

    Ss mwanaume km uyo wann naww ht akichumuliwa unapata hasara gn si ndo utapungukiwa na mzigo

  • @NadyaSaid-w6e
    @NadyaSaid-w6e Месяц назад

    Sasa huyo wanaume 6 si ukimwi njenje hapo

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 3 месяца назад

    Huyo dada mwenye bwana mjinga hana akili kabisa kwanza ndo angeenda kumwambia bwana yake awache kumchiti hahaha😂 bado anamuhudumia bwana na na bado anamsaliti maana hampendi kamwee pesa anachukua anampeleka wanawake wengine

  • @JeremiahAgustino
    @JeremiahAgustino 3 месяца назад +1

    Embu tuletee patr two chap😂 et unaakili yy nd ana akil unamuhudumiaje mwanume wkt ndo kaz ake kwako ss kam yy atak kuhudumiw kun wadada atatuhudumia😂

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr 2 месяца назад

    Yaan ata nikiwa nazo kwa kizazi hiki siwezj mwonga mwaume pesa yang nayye anahonga looh

  • @LuneLoth
    @LuneLoth 2 месяца назад

    Hii ni drama mdada ana wanaume 6??? Mnatuigizia bhn😮😮

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 месяца назад +2

    bora leo mmebadilisha waigizaji na sio kevoo kevoo kila siku..atleast leo Chriss😂😂

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 3 месяца назад

    Hivi unamuudumia na yeye anahudumia pumbavu kweli

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 3 месяца назад

    HUYU MDADA ALIOISHI NA UYO KAKA MIAKA MITATU ANA AKILI MAANA YEYE NDO ANAMPA HUDUMA MWANAUME UYO MWANAUME HAMPENDI ANGEMPENDA ASINGE MSHITI NA KUMUDUMIA PESA ANAPELEKA KWA MWANAMKE MWINGINE YUPO SAHIHI HUYU MWENYE MIEZI 4

  • @BennyTalimo
    @BennyTalimo 2 месяца назад

    Kwani inakueje jamani mbona hamtuoni sisi

  • @user-ln4he3yp5l
    @user-ln4he3yp5l 3 месяца назад

    Anayetafuta Hela ana kipara, anaiba amesuka nywele ya hela

  • @modestajamada3496
    @modestajamada3496 3 месяца назад

    😏😏😏😏😏chapekeako kabuli acha kumlee

  • @diva_20162
    @diva_20162 3 месяца назад +3

    Maisha siwezi kushare simu na mwanaume mamae 😊😊

  • @IvonaNdibalema-p8m
    @IvonaNdibalema-p8m 2 месяца назад

    Punguza english bn mr uky

  • @MarianaJoh-nb5rn
    @MarianaJoh-nb5rn 2 месяца назад +1

    Na hao wanaume 6 wameshasikia unavo wasambazia UTi,, 😁😁😁

  • @FloraMika-n5m
    @FloraMika-n5m Месяц назад

    Mwaya bora uwe na hao6😂😂😂😂

  • @JacklineLemayan
    @JacklineLemayan 3 месяца назад

    Huogopi Ata kusema eti wanaume sita

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 2 месяца назад

    Mbona huyo mwizi anajiamini sana

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 3 месяца назад

    Malaya ww utakufa na ngoma, huoni aibu et nina wanaume 6 nyoko ww.

  • @lizzyObed
    @lizzyObed 29 дней назад

    mnapenda kugombania dudu

  • @GeofreyMollel-su2oq
    @GeofreyMollel-su2oq 2 месяца назад

    Uyu mdada mweusi cku y mwisho ata chomwa n moto wa gesi dah