WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI TANZANIA 2023/2024 LIST RASMI IMETOKA
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- #wasaniimatajiri #TOP10 #matajiri
WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI TANZANIA 2023/2024 LIST RASMI IMETOKA
TOP 10 MASTAA WALIO ACHANA VIBAYA NA KUTOLEANA SIRI ZA NDANI ZARI/LUKAMBA/RAYVANNY/HARMONIZE/KAJALA
#lukamba #cecy
TOP 10 COUPLE BORA ZA MASTAA NA WAPENZI WAO NA UMRI WALIO PISHANA 2022 - 2023 EAST AFRICA
TOP 10 WASANII MATAJIRI BONGO 2021 2022 WANAO INGIZA PESA NYINGI LIST RAMSI IMETOKA
MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
WANAWAKE 10 MASTAA WENYE SIMU ZA BEI KUBWA AFRICA MASHARIKI UTASHANGAA
TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
WANAWAKE MAARUFU 10 MASTAA WENYE LIPS NZURI TANZANIA
TOP 10 ya Watoto wa mastaa wanaotikisa Instagram Bongo
TOP 10 MASTAA WAIOFANYA SURGERY KUBWA EAST AFRICA
TOP 10 MASTAA WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/WASICHANA 10 WENYE MVUTO ZAID WA SURA NA SHEPU TANZANIA
MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
WANAWAKE 10 MASTAA WENYE MAKALIO MAKUBWA TANZANIA
MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAIDI
TOP 10: LISTI ya WASANII Wanaojua KUTUPIA NGUO za GHARAMA na KUPENDEZA BONGO...
TOP 10 Wasanii Ma Handsome ZAIDI Tanzania (Handsome Boy) Part 1
TOP 10: MASTAA 10 WALIOINGIZA PESA NYINGI DUNIANI KUPITIA INSTAGRAM 2019
TOP 10 WAREMBO MASTAA WASIOZEEKA EAST AFRICA
TOP 5 (FIVE) YA WATOTO WA MASTAA WANAOPENDEZA ZAIDI TANZANIA
MASTAA 21 WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/LIST YA MASTAA WANAOONGOZA KWA UZURI NA MVUTO ZAID TANZANIA
TOP 10 YA MASTAA 10 WAIGIZAJI WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 40 WENYE MVUTO NA UZURI
UTACHEKA! WAREMBO BONGO WANAVYOONEKANA BILA MAKE UP 😂
WASANII KUMI BORA BONGO MWAKA 2020 ..TOP 10
Top 10 Mastaa wenye Ushawishi zaidi Tanzania
LIST YA WAREMBO 10 BORA TANZANIA| ZUCHU ASHIKA NAMBA.. AMBERRUTTY GUMZO|BEAUTIFUL LADIES IN TANZANIA
MASTAA WANAWAKE 13 WAZURI EAST AFRICA 2020 - 2021
LIST YA WASANII 10 MATAJIRI AFRIKA MASHARIKI
MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAID
WASANII KUMI WENYE MADEMU WAZURI ZAIDI TANZANIA ❤
WATOTO 10 MAARUFU TANZANIA, MTOTO WA KIBA AWEKWA KATI NA WATOTO WA DIAMOND PLATNUMZ,
WASANII 10 WAKIUME TOP 10 WANAO ONGOZA KWA KUVAA VIZURI EAST AFRICA
WASANII,MASTAA 20 WANAOMILIKI NDEGE ZA KIFAHARI ZAID DUNIANI HAWA APA/LIST YA MASTAA WENYE NDEGE
List ya Warembo kumi bora Tanzania ❤️( Top 10 most beautiful Tanzanian celebs
WASANII 10 WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA HAWA APA/ MASTAR WAREMBO ZAID KWA SHEPU NA SURA ZA KUVUTIA
LIST YA WASANII MAFREEMASON WAKUBWA TANZANIA/WASANII KUMI WACHAWI KULIKO/LIST YA WASANII ILLUMINATE
TOP 10 MPYA YA MASTAA TAJIRI ZAIDI DUNIANI HII HAPA.
TOP 10 MASTAA WANAOONGOZA KWA FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM MWAKA 2021 TANZANIA
UTASHANGAA WASANII 15 WANAO ONGOZA KWA KUVAA VIZURI NA KUPENDEZA TANZANIA
MASTAA 10 WENYE MKWANJA MREFU BONGO!
WATOTO WA MASTAA WATAOSUMBUA VIDUME
Top 10 ya mastaa waliowahi kukiri kuwa Messi ni bora kuliko Ronaldo
LIST YA WATOTO WA MASTAA KUMI WANAOJUA KUVAA NA KUPENDEZA
TOP 10 List ya wasanii Matajiri ZAIDI Kuliko Wote Duniani Mwaka 2021 | 2022
TOP 15 Majina Halisi Na Miaka Kamili ya Mastaa Kutoka Tanzania
WASANII 15 WANAOJUA KUONGEA ENGLISH TANZANIA HAWA APA/MASTAR 15 WANAOJUA KUONGEA KIINGEREZA ZAID
MASTAA 10 WAREMBO ZAIDI AFRIKA MASHARIKI-2020/ TOP 10 MOST BEAUTIFUL CELEBRITIES IN EAST AFRICA.
HAWA ndo WASANII 5 wenye MAGARI YA KIFAHARI Tanzania
JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi - Видеоклипы
May be tunatofautiana kuelewa ila mm nlivyomuelewa huyu jamaa ametoa takwimu ya hawa iliohusisha pesa walizo nazo pamoja na vitu wanavyomiliki kama nyumba,magari na vngne ndo maana tunaona pesa nyng sana ila tukizungumzia pesa kama pesa bado sana kufika uko😂😂😂😂😂 kwa kifup hzo n pesa walizotengeneza toka waanze mzk ila sio pesa walizo nazo😂😂😂😂😂
Kabisa Asante kwa kunisiadia kunyoosha maelezo 🙏 waja wameniandama sana
Utajiri wa wasanii hawa unatokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mauzo ya muziki, mikataba ya udhamini, na uwekezaji katika biashara Bila kusahau mali zisizo hamishika.🙏
@@NDIZIMEDIAàkgk
@@NDIZIMEDIA Mauzo ya muziki ni kweli lakini si hela nyingi hivyo na anaeongoza katika biashara ya uuzaji wa miziki anajulikana. Kuhusu uwekezaji ni uongo hakuna mwekezaji wa magari wala vitu visivyohamishika na magari waliyo nayo mengi yao ni used na ni mmoja tu ndio mwenye gari ya gharama kama Roll Royce wengineo hayo ma V8 mengi yao ni used. Ule uwekezaji sijui mashamba ya miwa na vinginevyo ni kiki tu na uongo. Hebu tutajie. Fulani ana kiwanda Fulani , Fulani ana kiwanda Fulani. Kuhusu udhamini huo wala haulipi kiviile sasa nani anadhamini nini si tunajua wachache tu ndio wenye kudhamini biashara nyingi na hasa ni mmoja tu
Hata hivyo wanavyomiliki siyo vya kufika dola nyingi kama hizo. Wana magari ndio lakini wengi wao wana used cars na hayo ma V8 .Kuhusu nyumba nani mwenye nyumba hata ya kuzidi dola milioni 5 tu tutajieni majina na nyumba zilipo.Labda huyo mwenye Rolls Royce. na media na anaongoza katika kuuza miziki katika platforms. Kuna mwenye gari inayozidi hata dola milioni moja? Au Yale mashamba ya miwa na watu kujifanya ma Bakhresa ndio nayo mnapigia hesabu? Kilimo cha nyanya cha Kiba na kuuza humu humu nchini.ndio kumpatie mamilioni ya dola?? Wenzenu wa Nigeria wanapotangaza utajiri wa wasanii wao huonyesha na picha au video za viwanda na biashara zao na tunawasikia wanavyojaza ma arena Ulaya na Marekani. Sasa hizo listi hua kila mwaka zinatoka nao wanakadiria hivyo hivyo na hawafiki mamilioni ya dola kama haya
Duh marioo 😊😊
Diamonds Mungu Amzidishie.Natunamuombea Nikiwepo Mm Pia
Félicitations vraiment Grands millionnaire Diamond simba bonne chance pour la réussite
Jux yup vzl ❤
Good
Naungana nawewe bro marioo hawez zidi jux hela
Diamond
Duud unyamaaa umetishaaa
King 👑 kiba 1
Wooow ongera saaana kwao ❤❤❤❤❤
❤️❤️Utajiri wa wasanii hawa unatokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mauzo ya muziki, mikataba ya udhamini, na uwekezaji katika biashara Bila kusahau mali zisizo hamishika.🙏
Nomaaaà sana
Uwongoooooo
❤
😂😂😂😂
Nakukubar baba
Pole sana nasisi toko na vipj ila ukuna msimamizi
Komaa
Diamondd ana ela sana. Mungu ambariki❤
jamaa anavyoziongelea dollar kama shilingi vile 😂😂😂😂 yani mill 1 kwake anaona hela ndogo sana
Waambieni waoe na waolewe.lasivo.Mungu anawasubiri langon.pindi.tu watakapokufa.miili.yao.mwanadamu ni loho wasijisahau wamche Mungu mwanadamu dunia.inapita na binadamu nae.atapita.pesa bila kumheshimu.Mungu.ni.makaratasi
Kabisa🔥🔥🔥🙏
Mmmmmmmmmhhh uwo ni uongo uyo Ruger ana ela izo Dora 100 ❤
Zuchu han pesa yyt awez kumzid lady jaydee hpo umenipiga na kwa wanaume king n bilioea sema yule mshikaji ajionesh
Haujui
Kwakweli nyiye niwaongo sana tafazali fanyenyi kwanza uchunguzi kambla amujatowa taarifa, zote ambazo munasema ni uwongo mutupu. Nyie munatania na pesa nyinyi
Jana nimeona Forbes 2023. Tanzania kuna msanii mmoja tu mwenye dola mil 10 yuko wa 8 Afirika. Wa kwanza Yusu Ndusi dola mil.145 wa pili Akon dola mili 80 wiz kid 30 Burns boy 17 Wiz kid mil 30 Davido mil 28 diamond wa 8 dola mil 10na ni yeye tu Afrika Mashariki. Sasa Burma Boy na kujaza kote kule MaArena ana mil 17. Akon MTU maarufu duniani hadi anataka kujenga mji wake ana dola mil 80 hizo zako si porojo. tu
Unaweza ukajenga mji kwa pesa zako ndogo tu, ukijaliwa ku present Business Plan yako kwa investors ambao wapo tayari kushikamana na wewe bega kwa bega. Investors kama Banks, companies, governments ao watu binafsi. Naamini wapo wengi watanielewa nazungumzia nini # Akon ($80m)
Exactly
@@guyndikumana4065 Si rahisi kama rahisi wengi tu wangejenga na kupangisha watu. Lazima kuna vigezo ambavyo kama huna hela au vyanzo vya hela huwezi
Uwongoo
Uko bien
Jux na marioo tajir jux bro
Acha uongo bro Marioo awezi shinda jux hela
nikweli marioo awezi kumzidi jux uongoo tu
Yeah hawezi😂😂😂
Mimi kutoka Congo Dr,yaani ktk waongo wewe namba moja, hiyo takwimu Yako hifute kbs wala usizidi kudanganya watu.
Huyo ulimueka no 1 afai
Hii safi saana , Forbes list zao za mchongo, wao wawe na list na sisi zetu
Alikiba na nandy
Juma Kilaza jee si tajiri!!
Taarifa za uongo. Uko kichaa sana
😂😂😂😂😂😂😂
Ukwel utabaki kuaukweli2 walio Chin naowaongeze juudi kufikia malengo Kam wenzao❤
Wote waendelee kupanda Mungu ni mwema wazidishe juhudi sana Mungu atawasimamia ishallah
Nasema mwanangu hamonazi hana majivuno kwazaanapesa namijengoo
Namkubari mwana
wasanii ni wans muzik2 achaulofa
Ata mimi sikubali Marion awe napesa nyingi kumzidi jeux huongo kbs
Eza kaka boye 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jamanii kwer ivi vitu au swaga
Swaga tu dollar ml 10 sio masiala😂😂
1 diamond tu yeyedie mwalimu
So kweli
Acha uongo hamzid alikiba uo ni uongo tafiti vizur
Uwongo br so kwel😮😮😮
Zuchu azidi pesa jux😮😮
Mmh so kweli
❤❤❤❤❤❤❤
Na watowe sadaka kwa masikinina. walemavu. vikongwe visivyojiweza pia wajenge misikiti na madrasa kwa wale waislamu ikiwa pesa zao ziko Safi na waende kuhiji waache maanasa hayo ni mambo yakupita tu watayawacha hapahapa Duniani Akhera wanakwenda wao na Sanda na amali zao tu ikuwa njema ama mbaya anaejuwa ni mmoja tu Allah
😂😂😂ila na ww dada pesa za wenzako unazipangiy Ivo
Amna u kweli jaman mtatuuwa 😢
Ninaheshimu maoni yako, na ninaelewa kwamba unaweza kutokubaliana na orodha niliyotoa.
😂😂
Jamaa muongo kingese
Simba hongera sana qwa dollar American million mia moja baba ndio maana nakupenda ❤❤❤❤❤
Merci beaucoup
Congrats to them
List of famous musicians. 😅. But ther people own money oo 😅
Urofaaa nyinyi ndomunatumana wasani wenu hawafanikiwii
n kweli pia me nimeelewa nitazipata pia😮😮😮😮😮
Namba moja alikiba na diamond namba mbili nandy na harmonize bilnass namba tatu rayvanny na zuchu fahmah namba 4mbosso na jux namba tano shilole na Mario nimemaliza
Huyu jamaaa amechanganyikiwa sio mzima😮
marioo hampati jux ata kwa dawa
mtuache basi😢😢😢😢 tunaishi nao hao watu hatuwaoni kwenye tv tuu
Bora useme ww
Jux huenda akawa wakwanza au wa pili
Mimi hii listi sijaielewa kabisa yaan jux ata tano bola Ayumo ivi nikwel?😮
Simßaa👊👊🔥🔥🔥🔥🔥🦁🦁🦁
Diamond may God add u something
Niukweli but tunaomba mungu atuinuwe Sisi wasaani wa kenya😊
Bro nikifatiria jux nitajiri
Rayvanny fayvanny ❤❤❤❤
Ujamaa anaongeya uongo sn marioo auwezi muzidi jux pesa
Eti zuchu million kumi walaih Hume lewa ama huna fanya kusudi😂😂😂
Utajiri wa wasanii hawa unatokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mauzo ya muziki, mikataba ya udhamini, na uwekezaji katika biashara Bila kusahau mali zisizo hamishika.🙏
Rayvanny anastaili kupanda kidongo
labda kwel
Uongo auko sawa kabisa
Taarifa za uongo
cool
Sema.nyie mnawenge sana hakuna kitu hapo
Harmonize anastahili kupana kuwa wakwanza
God bless all🎉
Nasemawasitudanganye mwenyepesa hamokonde boy mwana namkubarisana
Hamo ndietajirimwana hanambamba
Tajirii bamboo kama bamboo 111
Waongo
Uongo uwooo vijana
Hiyo ombea Yako mwenyewe mtu mwenyehela diamond Simba
Harmonize awe namba tatu ulisikia wapi
Mmh co kwa list hii
Wewe nimuongo sana sana san hwezi sema neno dolla za kimalekani kwa Tanzania 🇹🇿 ni mabiluoni ya pesa fobs huwa watoa takwimu ya pesa na ya ukweli na sio ww ni muongo
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 natoka congo
Kwahy kama unatoka kongo
Ninyi niwezi na waongo kabisa
Si kweli. Hawana mamilioni hivyo. Mwaka Jana kadhaa. Walitoa listing za East Afrika hakuna alievuka dola milioni 15 hats Diamond alikua na dola milioni kumi. Hizo listi zinatoka nyingi nyingi tu East. Afrika hakuna anaevuka dola milioni 15 hata Diamond. Huo uwekezaji unaohadithiwa wala haupo
Toaa zaa kwako basii
@@ngoyaboy1590 google uone meenyewe. Jana nimegoogle Forbes katika afrika Mashariki yote mwaka 2023 msanii was kwanza kwa utajiri ana dola milioni 9.2. Na hizi mbona zinatoka nyingi tu hata mwaka Jana Diamond alikua anaongoza Afrika mashariki akiwa na dola milioni 10.Kama unajua tafuta ukweli google. Huo uwekezaji wa wasanii unaozungumziwa ni uongo mtupu huyo ametunga tu uongo . Eti dola milioni 100 wengine 50 wengine 20 hizo ni bilioni ngapi kwa hela zetu ??
Ndio kabisa umeongea ukweli kabisa.
Diamond ndio umtoe hapo wengine sio kwel
Forbes inasema diamond ana 7millions
Mmmh we bro ebu lete kaushaidi kidogo maana sizani kama hata wakina davido wanafika utajiri wa dollars millions 50 ety diamond 100 alikiba 50 duuuuuuuuh
Yaan haha mimi najiuliza kazitoa wp? 😊
Sikweli,Kam jux yupo chini ya marioo kutokana na jux ana sehem nyingi za kumuingizia pesa fanyeni utafiti
Uongo eti million 100 hata na wakina wizkd hawana hela kama izo 🤣🤣🤣🤣🤣
Kulingana na makadirio ya hivi punde ya jarida la Forbes, utajiri wa Wizkid mnamo 2023 unakadiriwa kuwa dola milioni 300. Hii inamfanya kuwa mwanamuziki tajiri zaidi nchini Nigeria na mmoja wa watu matajiri zaidi barani Afrika.
Wizkid amepata utajiri wake kupitia kazi yake ya muziki, biashara, na uwekezaji. Ameuza zaidi ya albamu milioni 50 na amepokea tuzo kadhaa, ikiwa ni pamoja na Tuzo za BET Awards na Tuzo za MTV Europe Music Awards. Anamiliki kampuni yake ya rekodi, Starboy Entertainment, na anamiliki biashara kadhaa zingine, ikiwa ni pamoja na lebo ya nguo, kampuni ya uzalishaji wa filamu, na kampuni ya ujenzi.
Wizkid pia anawekeza katika mali isiyohamishika na hisa. Anamiliki majumba kadhaa nchini Nigeria na Afrika Kusini, na anamiliki hisa katika kampuni kadhaa za kimataifa.
Katika mwaka uliopita, Wizkid ameendelea kupata mafanikio makubwa katika kazi yake ya muziki. Ametoa albamu mbili za mafanikio makubwa, "Made in Lagos" na "More Love," na amefanya matamasha mengi duniani kote. Pia ameendelea kupanua biashara zake, na ameanzisha kampuni mpya ya vinywaji, Made in Lagos.
Kwa kuzingatia mafanikio yake ya sasa, inawezekana kwamba utajiri wa Wizkid utaendelea kuongezeka katika miaka ijayo.
Hapa kuna baadhi ya vyanzo vya utajiri wa Wizkid:
* Muziki: Wizkid analipwa dola milioni kadhaa kila mwaka kwa matamasha, mauzo ya albamu, na matangazo.
* Biashara: Wizkid anamiliki kampuni kadhaa, ikiwa ni pamoja na Starboy Entertainment, Made in Lagos Apparel, na Made in Lagos Drinks.
* Uwekezaji: Wizkid anawekeza katika mali isiyohamishika, hisa, na biashara zingine.
😂😂
Sio kweli hawana hiso pesa
Hii NI listi ya wasanii Maarufu Tu Lakin sio LIST ya wasanii Matajiri.
kweli kabisa
We ndo umenena
Niko upande wako kaka
Tukiachana na hiyo list ya wasanii maarufu, tunaomba utupatie list ya wasanii matajiri sasa.
Toa takwimu tukuone,usipinge ovyo
Mm ni fans mkubwa sana wa diamond platinumz lakin hapo umetupa matango porii Tena mabovuu eti USD M 100 unafikiri iyo ni pesa ni shilingi ya bongo au 😂 kina rockross wnyw pesa zao lkn Hana utajiri wa Dolla millioni 100
Rapper Rick Ross Says He’s Spent $100 Million In The Past Six Months
I been cooking on the stove for a long time, and really I was getting money the whole time,” Ross said to the Apple Music host, explaining that he’s always working, whether people realize it or not. He went on to add, “I'm a real frugal n**** at some points, but when it's time to make a power play, I will. I'll spend $100 million. I spent that in the last, s***, six months," Ross stated.
The chart-topper recently dropped $35 million on a mansion on Miami Beach's Star Island. The hip-hop talent also shared with fans that he may have invested $35 million in a jet. The rest of the $100 million, he says, are investments.
Fatilia interview ya Rick Ross ALIYO fanya na daily loud
Harmonize awe moja bana
Huu n wazimu harmonize hamshindi mond hapa hatuongei kishabiki
Bro sio kweli wapo wenye pesa zaidi ya hao mbona africa list hatuwaoni
Amesema Tanzania
Mimi namkubali zahidi (Nandi) na mpenda tu sana
Acha huongo mzee kuanzia nafas ya 5 6 7 8_10 awawez kumuzid jux huwo ni huongo
Sio kwel
Namkubali sana zuchu na rayvanny jamani
Wanalia njaa et matajili
Ipo siku utasema marioo namba moja
Uongo marioo hana izo pesa
Alikiba nandy 👍
Ongeza yao lakn wawakumbuke maskn
Wasannii maarufu sio kwa viwango HiVYO vya pesa
Wale wote hawanakitu kwa sababu katiyao wete hakuna aliye nipa kuzake