ENEWZ - MAJUTO: Nimesamehe wote ninao wadai.

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 187

  • @fadhiljnr2686
    @fadhiljnr2686 5 лет назад +2

    Diamond alimuombea mtoto wake awe muimbaji kama yy mzee wetu ataka watoto wake wajue dini.MashaAllah mungu amrehemu

  • @ivanlegera2133
    @ivanlegera2133 6 лет назад +2

    mzee majuto nimfano wa kuigwa wachache wanaokumbuka kusameh maden mzee wetu, baba yetu, babu yetu alazwe mahar pema pepon

  • @user-gi4ls3bh3l
    @user-gi4ls3bh3l 2 года назад +1

    Mashallah msikiti uyo unakulipia tawabu baba pumzika salama

  • @henricokanogu2223
    @henricokanogu2223 5 лет назад +1

    Inaumiza Sana Sana Mzee tangulia sisi tuko nyuma yako. Mungu akuweke mahali pema peponi Aminaaaaa

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 лет назад +3

    Hao watu wanomzushia kufa kila siku
    kingi wetu Majuto ...nawambia watapata
    tabu sana....tena sana , tena sana , tena
    tena....Oh yes !

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 лет назад +7

    Mzee majuto kuchekesha maneno.na tayari unaachekesha .Utaishi mzee kwa jina la Yesu

  • @axa29
    @axa29 6 лет назад +2

    Nakuombea Jannahtul Firdaus Mzee , Aaamin!

  • @ahmedalhabsi2713
    @ahmedalhabsi2713 5 лет назад

    Inna lillah wainna illah rajiuwn poleni sana

  • @salwa-jz1wk
    @salwa-jz1wk 5 лет назад

    Kila nafsi itaonja mauti. Mungu akuifadhi mahala pema peponi yarabby mbele yako nyuma yetu

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 лет назад

    Maskini mzee wetu Majuto kakonda kweli
    M/mungu atazidi kumuafu Inshallah .

  • @nadiahussein9669
    @nadiahussein9669 5 лет назад

    Allah akupe kaur thabit mzee majuto pia Allah akupunguzie adhabu za kabr babu yetu amri athumani

  • @sakeenakenya6110
    @sakeenakenya6110 5 лет назад

    Alhamdulillahi Rabil Allahmeen, mwenyezi mungu aijalie kauli yako isimame wallah, watoto wasome wawe wenye kusoma dini, waitafute Akhera, kweli kabisa babu, walai hatuna la kusema, ila kumshkuru maulana.

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 6 лет назад +6

    kuugua si kufa mzee mungu ni wetu ni mwema utapona

  • @111dudi
    @111dudi 5 лет назад +3

    Ana bahati sana kuweza kusema hayo

  • @stellahfrank4377
    @stellahfrank4377 6 лет назад

    Pole san baba yang Mungu akufanyie wepes katika kila jambo upate kuwa na afya njema kama awali

  • @khatrarage4445
    @khatrarage4445 6 лет назад +6

    Mungu akujalie afy njema mzee akupunguzie maumivu inshallah

  • @twahirkassim3487
    @twahirkassim3487 6 лет назад

    Masha Allah umependeza sna baba yetu mungu akuongoze kwenye njia ilionyooka

  • @mwanakhatibu3722
    @mwanakhatibu3722 6 лет назад +8

    Allah akufanyie wepesi kwakila jambo baba

  • @ngumalimau5427
    @ngumalimau5427 6 лет назад

    Mungu azidi kukupa nafuu urudi kama zamani bingwa wangu

  • @aminaissah2693
    @aminaissah2693 6 лет назад +8

    Pole baba yetu,utapona inshallah

  • @silanmchomvu1512
    @silanmchomvu1512 6 лет назад

    Kusameheana ndio kitu kikubwa kinachothibitisha upendo. Hata Yesu aliwaambia wanafunzi wake yapasa kusamehe kila unapokosewa au kudhulumiwa.

  • @zenamohammed2623
    @zenamohammed2623 6 лет назад

    Allah atakuhafu juto wetu..achana nao wabongo wamezaliwa kwa bahati mbaya wanaishi kwa makusudi..kumuua ivyo mzee wa mwenzenu vp

  • @maulidkhalfan7531
    @maulidkhalfan7531 6 лет назад +2

    yarabbi akufanyie wepesi mzee wetu

  • @ahadimastone1550
    @ahadimastone1550 6 лет назад +3

    pole sana mzee majuto mungu akupe wepesi wa afya yako.mungu awe nawe mungu akubariki

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад +2

    Pole sana baba hata sasa Mungu amekusaidia na tunaendelea kukuombea

  • @frankmayige2950
    @frankmayige2950 6 лет назад +8

    Mungu akupe bukheri wa afya njema naamini mungu yu pamoja na wewe.

  • @aishahassan9812
    @aishahassan9812 4 года назад

    Masha Allah Allah akurehem mzee wetu
    Kila nasf itaonja umaut

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 6 лет назад

    Pole sana mzee majuto mungu Akupe Afueniyaharaka inshallah

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад

    Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi Babu yetu mpendwa, nakupenda sana.

  • @cutezaycutezay553
    @cutezaycutezay553 6 лет назад

    Mungu nimwema umepona love you babu yetu

  • @eddysonmagezi2139
    @eddysonmagezi2139 6 лет назад +2

    pole sana mzee wetu tutakumiss

  • @marymah7149
    @marymah7149 6 лет назад +2

    Maskini mungu yupo utapona kabisaa mungu yupo

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 5 лет назад

    Dah hadi machoz yamenitoka mzee majuto alikuwa mkarimu jaman apumzike salama

  • @ashaally3218
    @ashaally3218 5 лет назад

    pumzika kwa amani mzee wetu tutakukumbuka daima

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 лет назад +1

    Congratulations to you mzee Majuto you
    have a really nice house mashallah ..❤

  • @aboudmsonde3137
    @aboudmsonde3137 6 лет назад

    Yani hapo kwenye maadili ya dini umepatia Allah akupe mwisho mwema lnshaallah

  • @kanisiamkoko7051
    @kanisiamkoko7051 6 лет назад

    pole Sana Mungu wetu ni muaminifu yupo atakupigania utapona tu.

  • @faybaibe9023
    @faybaibe9023 6 лет назад

    Duh inaniumiza sana. Tayari mzee kashatundoka

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 лет назад +2

    Mzeee iyo comedy tosha.Mungu atakulinda.mzee unachekesha sanaaaa

  • @aminaali7072
    @aminaali7072 6 лет назад

    Pole xana mungu akupe afya na uzima urudi kma zamani na hilo la kusamehe nijambo zuri xana babangu Allah akupe umri mrefu

  • @exaverykalinga1487
    @exaverykalinga1487 Год назад

    R.i.p majuto pumzika kwa amani.

  • @hamsohassan1715
    @hamsohassan1715 6 лет назад

    Allah akupe nguvu na afya njema ya kudumu kipenzi chetu mzee majuto.Shukran zenu east africa e news

  • @shekhahamed7625
    @shekhahamed7625 6 лет назад +2

    POLE MZEE WETU USIWE MNYONGE BABA HAKUNA KISIcHO NAMWISHO MUNGUATAKUSIMAMIA MAJUTO WETU UTAPONA

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 6 лет назад

    Mungu akujaalie umri mrefu wenye neema.

  • @ambalifamili1086
    @ambalifamili1086 5 лет назад

    Mbeleyake nyuma yetu apumzike kwa Amani King Majuto

  • @babylonathuman536
    @babylonathuman536 6 лет назад

    sana king mungu akupe maisha marefu

  • @anetikapami4228
    @anetikapami4228 6 лет назад +3

    Pole Baba Mungu yu pamoja nawe

  • @aishamnamba1064
    @aishamnamba1064 6 лет назад

    Pole Sana mze wetu mungu yupo kungua cyo kufa Bali ni faradha

  • @montash866
    @montash866 6 лет назад

    Mungu yunawe king majuto

  • @rachealmwanje7012
    @rachealmwanje7012 6 лет назад

    pole babaa utapona mungu yuko nawe, twazidi kkuombea

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 6 лет назад

    Wanao kusema vibaya babangu wawachie mungu atakulipea in sha Allah napenda sana mzee wangu

  • @zurahluvakhwa4277
    @zurahluvakhwa4277 6 лет назад +1

    Mzee get well soon zurah from Kenya kakamega County we are praying for Mr man .

  • @anjelakiprop7311
    @anjelakiprop7311 6 лет назад +8

    My love babe I love you... May God protect you Sana.. Quick recovery dear

  • @abdibakari641
    @abdibakari641 6 лет назад

    pole sana babu.. utapona tu in sha Allah...

  • @YusufAli-jv3bj
    @YusufAli-jv3bj 6 лет назад

    Baba sawa kabisa
    Dunia hii si kitu wala si lolote

  • @sadaramustafa8401
    @sadaramustafa8401 6 лет назад

    Pole mzee cha muhimu ni kurudi kwa mungu

  • @allyking324
    @allyking324 6 лет назад

    Daaah INNALILLAH WAINNA ILLAH RAJ UUN

  • @fabianjulius5274
    @fabianjulius5274 6 лет назад

    Utapona mzee wetu.. God is great always 🙏🙏

  • @KilizaBamba
    @KilizaBamba 6 лет назад

    Pole baba allah at akujaalia kher

  • @stewartmillanzi1596
    @stewartmillanzi1596 6 лет назад

    This is unbelievable...!! Wanaodaiwa na huyu mzee wasidhani wameshinda. Huu ndio mwanzo wa anguko lao. Wataishi ndani ya laana moaka watakapoingia kaburini. Wakitaka wawe salama ni vema wakajiongeza na kulipa madeni yote ya nzee huyu. Hongera mh. Mwakyembe kwa kujaribu kufuatilia haki za msanii huyu. Umeonyesha wema wa ajabu. Pia nampongeza raisi wangu mpendwa kwa tende hili linaloonyesha upande wa pili wa roho njema iliyomo ndani yake. Mungu aendelee kumtunza na kumlinda raisi wetu, shujaa wa watanzania wanyonge!!

  • @millicentadhiambo3080
    @millicentadhiambo3080 6 лет назад

    Much love and respect ..May God protect you and your family!!!

  • @abdulrahmanallui
    @abdulrahmanallui 6 лет назад +1

    Mungu akuafu Babu ekonda mungu akupe uzima

  • @insignejulius2155
    @insignejulius2155 6 лет назад

    Mpaka naitwa king kwa ajili ako ushapona jembe langu

  • @jayomarion8183
    @jayomarion8183 5 лет назад

    sijawahi kukoment kitu but with this rest in peace babu

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 6 лет назад +5

    Huku kwenye sanaa kunafitna na maneno ya ajabuajabu bora kusoma Dini ",kweli Mzee majuto.

    • @odaxjohn2200
      @odaxjohn2200 6 лет назад

      Polesana babu mungu akujalie utapona ukipona uwendele kuigiz

    • @ismaillalmohammed4001
      @ismaillalmohammed4001 6 лет назад

      Hapo amekusudia fitna za ufreemason Mzee kaona mbali ndio maana kaogopa watoto wake wasije wakaingia.

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale9527 5 лет назад

    Mungu ailaze roho yake pema peponi

  • @kautharsaid5241
    @kautharsaid5241 6 лет назад

    Nakuombea kher kabisaaaaaaa

  • @zainabmaulidi3771
    @zainabmaulidi3771 6 лет назад

    Pole sana baba mung atakuponya insha Allah

  • @magrethjoseph2059
    @magrethjoseph2059 5 лет назад

    pumzika kwa amani jmn mzee majuto

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 6 лет назад

    Allah atakujalia kupoa kwaharaka arud Kama mpya

  • @abdullkassim9337
    @abdullkassim9337 6 лет назад

    dahh! sizani kama kuna mtu anaweza kukuchukia mzee majuto...ata akitokea basi imetimia azma ya uumbaji kua hakuna atakaependwa na wote...

  • @lameesrashdi1298
    @lameesrashdi1298 6 лет назад

    Pole. Sana. Mzazi. Wetu🌺🌺💓💓💓💓💓💓🌹🌹

  • @tausak4568
    @tausak4568 6 лет назад

    I can’t stop crying 😭😭😭😭

  • @andrewsemka7191
    @andrewsemka7191 6 лет назад

    Pole sana mzee wetu mungu azidi kukulinda daima siku zote

    • @mwitamagabe8546
      @mwitamagabe8546 6 лет назад

      Daaa mzee wetu majuto anaumwa sana maombe yenu kwa wingi jamani

  • @careenheadsa7882
    @careenheadsa7882 6 лет назад

    pole sana my fadha

  • @mr.headboy3398
    @mr.headboy3398 6 лет назад

    gud words... Allah akupemakaazi mema inhllh🙏

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 6 лет назад

    pumzika kwa amani mwingine nembo muhim ktk sana huyu R.I.P

  • @juliusngala6511
    @juliusngala6511 6 лет назад

    mungu akuzidishie maishe....the only king majuto

  • @linetwafula2621
    @linetwafula2621 6 лет назад

    We loved you. But God loved more. RIP

  • @harunajimmy9577
    @harunajimmy9577 5 лет назад

    walipe tu kama wanadaiwa . amina

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 3 года назад

    ALLAH AMSAMEHE NA AMREHEMU

  • @stevenmajoge4644
    @stevenmajoge4644 6 лет назад

    Mzee majuto kama umestafu na wewe hii kazi basi pengo lako halitofautian na la marehem kanumba.

  • @edsonotaru6704
    @edsonotaru6704 6 лет назад

    mungu akupe nguvu babu majuto

  • @algmobai2183
    @algmobai2183 6 лет назад

    Pole sana babangu we nikama babu yangu mungu akuponye in jesus name

    • @yusuphswalehe2502
      @yusuphswalehe2502 6 лет назад

      We mshenzi kwani unajuwa na yeye in kafiri kama we we mpaka unamuambia alone kwa Nina LA yesu?

  • @sixgeorge6393
    @sixgeorge6393 6 лет назад

    Pole sana mzee mungu akulinde

  • @calvinmaimu6791
    @calvinmaimu6791 6 лет назад

    Pole baba yetu mungu atakuponya

  • @stellaringo5156
    @stellaringo5156 6 лет назад +1

    Rest in peace king majuto

  • @rizikijumamosi6150
    @rizikijumamosi6150 6 лет назад +3

    pole mzee majuto, mungu atakuponya

  • @monicabardan5132
    @monicabardan5132 6 лет назад

    pole babu jomon mungu akutunze

  • @abdullyabdallah868
    @abdullyabdallah868 4 года назад

    R.i.p king

  • @mimahsaid2326
    @mimahsaid2326 6 лет назад +2

    polee mzee wetuu

  • @deogratiusmichael8130
    @deogratiusmichael8130 6 лет назад

    Pole sana mzee wangu

  • @hamissikassim5429
    @hamissikassim5429 5 лет назад

    inalilah wainalilah rajiun

  • @sarahkigera1852
    @sarahkigera1852 6 лет назад

    penda sana majuto mie

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 6 лет назад +2

    Hiyo kusamehe kwako iwe ni sadaka ya maradhi yako

  • @AbdulWahid-hp8qr
    @AbdulWahid-hp8qr 6 лет назад

    Mungu atakujalia inshaallah

  • @innocentmickerclips3622
    @innocentmickerclips3622 6 лет назад +2

    RIP KING 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marconmarconisdory281
    @marconmarconisdory281 6 лет назад

    mzee majuto apo pa kuacha kuigiza utaacha pengo kubwa sn plzzzzzzzz usiache daah me nakukubali babu yangu

  • @aminikingazi273
    @aminikingazi273 6 лет назад +13

    Pole sana mzee wetu. Hakika ww pia ni kisima cha hekima na busara

  • @maryamali7700
    @maryamali7700 6 лет назад

    Rest in peace mr majuto mungu atakusamehea ya rabb