Alhamdulillahi Rabil Allahmeen, mwenyezi mungu aijalie kauli yako isimame wallah, watoto wasome wawe wenye kusoma dini, waitafute Akhera, kweli kabisa babu, walai hatuna la kusema, ila kumshkuru maulana.
This is unbelievable...!! Wanaodaiwa na huyu mzee wasidhani wameshinda. Huu ndio mwanzo wa anguko lao. Wataishi ndani ya laana moaka watakapoingia kaburini. Wakitaka wawe salama ni vema wakajiongeza na kulipa madeni yote ya nzee huyu. Hongera mh. Mwakyembe kwa kujaribu kufuatilia haki za msanii huyu. Umeonyesha wema wa ajabu. Pia nampongeza raisi wangu mpendwa kwa tende hili linaloonyesha upande wa pili wa roho njema iliyomo ndani yake. Mungu aendelee kumtunza na kumlinda raisi wetu, shujaa wa watanzania wanyonge!!
Diamond alimuombea mtoto wake awe muimbaji kama yy mzee wetu ataka watoto wake wajue dini.MashaAllah mungu amrehemu
mzee majuto nimfano wa kuigwa wachache wanaokumbuka kusameh maden mzee wetu, baba yetu, babu yetu alazwe mahar pema pepon
Mashallah msikiti uyo unakulipia tawabu baba pumzika salama
Inaumiza Sana Sana Mzee tangulia sisi tuko nyuma yako. Mungu akuweke mahali pema peponi Aminaaaaa
Hao watu wanomzushia kufa kila siku
kingi wetu Majuto ...nawambia watapata
tabu sana....tena sana , tena sana , tena
tena....Oh yes !
Mzee majuto kuchekesha maneno.na tayari unaachekesha .Utaishi mzee kwa jina la Yesu
Nakuombea Jannahtul Firdaus Mzee , Aaamin!
Inna lillah wainna illah rajiuwn poleni sana
Kila nafsi itaonja mauti. Mungu akuifadhi mahala pema peponi yarabby mbele yako nyuma yetu
Maskini mzee wetu Majuto kakonda kweli
M/mungu atazidi kumuafu Inshallah .
Allah akupe kaur thabit mzee majuto pia Allah akupunguzie adhabu za kabr babu yetu amri athumani
Alhamdulillahi Rabil Allahmeen, mwenyezi mungu aijalie kauli yako isimame wallah, watoto wasome wawe wenye kusoma dini, waitafute Akhera, kweli kabisa babu, walai hatuna la kusema, ila kumshkuru maulana.
kuugua si kufa mzee mungu ni wetu ni mwema utapona
Ana bahati sana kuweza kusema hayo
Pole san baba yang Mungu akufanyie wepes katika kila jambo upate kuwa na afya njema kama awali
Mungu akujalie afy njema mzee akupunguzie maumivu inshallah
Masha Allah umependeza sna baba yetu mungu akuongoze kwenye njia ilionyooka
Allah akufanyie wepesi kwakila jambo baba
Mungu azidi kukupa nafuu urudi kama zamani bingwa wangu
Pole baba yetu,utapona inshallah
Kusameheana ndio kitu kikubwa kinachothibitisha upendo. Hata Yesu aliwaambia wanafunzi wake yapasa kusamehe kila unapokosewa au kudhulumiwa.
Allah atakuhafu juto wetu..achana nao wabongo wamezaliwa kwa bahati mbaya wanaishi kwa makusudi..kumuua ivyo mzee wa mwenzenu vp
yarabbi akufanyie wepesi mzee wetu
pole sana mzee majuto mungu akupe wepesi wa afya yako.mungu awe nawe mungu akubariki
Pole sana baba hata sasa Mungu amekusaidia na tunaendelea kukuombea
Mungu akupe bukheri wa afya njema naamini mungu yu pamoja na wewe.
Masha Allah Allah akurehem mzee wetu
Kila nasf itaonja umaut
Pole sana mzee majuto mungu Akupe Afueniyaharaka inshallah
Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi Babu yetu mpendwa, nakupenda sana.
Mungu nimwema umepona love you babu yetu
pole sana mzee wetu tutakumiss
Maskini mungu yupo utapona kabisaa mungu yupo
Dah hadi machoz yamenitoka mzee majuto alikuwa mkarimu jaman apumzike salama
pumzika kwa amani mzee wetu tutakukumbuka daima
Congratulations to you mzee Majuto you
have a really nice house mashallah ..❤
Yani hapo kwenye maadili ya dini umepatia Allah akupe mwisho mwema lnshaallah
pole Sana Mungu wetu ni muaminifu yupo atakupigania utapona tu.
Duh inaniumiza sana. Tayari mzee kashatundoka
Mzeee iyo comedy tosha.Mungu atakulinda.mzee unachekesha sanaaaa
Pole xana mungu akupe afya na uzima urudi kma zamani na hilo la kusamehe nijambo zuri xana babangu Allah akupe umri mrefu
R.i.p majuto pumzika kwa amani.
Allah akupe nguvu na afya njema ya kudumu kipenzi chetu mzee majuto.Shukran zenu east africa e news
POLE MZEE WETU USIWE MNYONGE BABA HAKUNA KISIcHO NAMWISHO MUNGUATAKUSIMAMIA MAJUTO WETU UTAPONA
Mungu akujaalie umri mrefu wenye neema.
Mbeleyake nyuma yetu apumzike kwa Amani King Majuto
sana king mungu akupe maisha marefu
Pole Baba Mungu yu pamoja nawe
Pole Sana mze wetu mungu yupo kungua cyo kufa Bali ni faradha
Mungu yunawe king majuto
pole babaa utapona mungu yuko nawe, twazidi kkuombea
Wanao kusema vibaya babangu wawachie mungu atakulipea in sha Allah napenda sana mzee wangu
Mzee get well soon zurah from Kenya kakamega County we are praying for Mr man .
My love babe I love you... May God protect you Sana.. Quick recovery dear
pole sana babu.. utapona tu in sha Allah...
Baba sawa kabisa
Dunia hii si kitu wala si lolote
Pole mzee cha muhimu ni kurudi kwa mungu
Daaah INNALILLAH WAINNA ILLAH RAJ UUN
Utapona mzee wetu.. God is great always 🙏🙏
Pole baba allah at akujaalia kher
This is unbelievable...!! Wanaodaiwa na huyu mzee wasidhani wameshinda. Huu ndio mwanzo wa anguko lao. Wataishi ndani ya laana moaka watakapoingia kaburini. Wakitaka wawe salama ni vema wakajiongeza na kulipa madeni yote ya nzee huyu. Hongera mh. Mwakyembe kwa kujaribu kufuatilia haki za msanii huyu. Umeonyesha wema wa ajabu. Pia nampongeza raisi wangu mpendwa kwa tende hili linaloonyesha upande wa pili wa roho njema iliyomo ndani yake. Mungu aendelee kumtunza na kumlinda raisi wetu, shujaa wa watanzania wanyonge!!
Much love and respect ..May God protect you and your family!!!
Mungu akuafu Babu ekonda mungu akupe uzima
Mpaka naitwa king kwa ajili ako ushapona jembe langu
sijawahi kukoment kitu but with this rest in peace babu
Huku kwenye sanaa kunafitna na maneno ya ajabuajabu bora kusoma Dini ",kweli Mzee majuto.
Polesana babu mungu akujalie utapona ukipona uwendele kuigiz
Hapo amekusudia fitna za ufreemason Mzee kaona mbali ndio maana kaogopa watoto wake wasije wakaingia.
Mungu ailaze roho yake pema peponi
Nakuombea kher kabisaaaaaaa
Pole sana baba mung atakuponya insha Allah
pumzika kwa amani jmn mzee majuto
Allah atakujalia kupoa kwaharaka arud Kama mpya
dahh! sizani kama kuna mtu anaweza kukuchukia mzee majuto...ata akitokea basi imetimia azma ya uumbaji kua hakuna atakaependwa na wote...
Pole. Sana. Mzazi. Wetu🌺🌺💓💓💓💓💓💓🌹🌹
I can’t stop crying 😭😭😭😭
Pole sana mzee wetu mungu azidi kukulinda daima siku zote
Daaa mzee wetu majuto anaumwa sana maombe yenu kwa wingi jamani
pole sana my fadha
gud words... Allah akupemakaazi mema inhllh🙏
pumzika kwa amani mwingine nembo muhim ktk sana huyu R.I.P
mungu akuzidishie maishe....the only king majuto
We loved you. But God loved more. RIP
walipe tu kama wanadaiwa . amina
ALLAH AMSAMEHE NA AMREHEMU
Mzee majuto kama umestafu na wewe hii kazi basi pengo lako halitofautian na la marehem kanumba.
mungu akupe nguvu babu majuto
Pole sana babangu we nikama babu yangu mungu akuponye in jesus name
We mshenzi kwani unajuwa na yeye in kafiri kama we we mpaka unamuambia alone kwa Nina LA yesu?
Pole sana mzee mungu akulinde
Pole baba yetu mungu atakuponya
Rest in peace king majuto
pole mzee majuto, mungu atakuponya
pole babu jomon mungu akutunze
R.i.p king
polee mzee wetuu
Pole sana mzee wangu
inalilah wainalilah rajiun
penda sana majuto mie
Hiyo kusamehe kwako iwe ni sadaka ya maradhi yako
Mungu atakujalia inshaallah
RIP KING 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
mzee majuto apo pa kuacha kuigiza utaacha pengo kubwa sn plzzzzzzzz usiache daah me nakukubali babu yangu
Pole sana mzee wetu. Hakika ww pia ni kisima cha hekima na busara
Amini Kingazi mambo
Ukopoa
Amini Kingazi good
pumzika kwa aman baba etu mpenz
Pumzika kwa aman baba yetu kipenz mbele yako nyuma yetu 😂😂
Rest in peace mr majuto mungu atakusamehea ya rabb