MIMI NI MPIGA PICHA, NAJUA TABIA ZA WAPIGA PICHA, WADADA WANAWATEGA - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 10 мар 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Mr right anapenda kusema unaona😂😂
Jamani mmependeza sana mmeva poa🎉🎉🎉🎉🎉
Wanapaka mafuta au sio😅😅😅
Jaman mbona ka kitengo cha mavazi nimekielewa, uvaaji kuliko vile , nusu uchi ASE , nawapa maua yao💐💐
mimi na fuatilia vipindi uvi via Hello Mr right but kwa nini vinakua viiiiiingi vifupi
Mbn Leo naona vitenge Kuna nn😂😂😂na ndo mmenoga
Jamani Nihatari 😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Duuh noma sana
MC Gara B uko right na Hao watu 😂
Mafuta kawaida tu SI kazi
❤❤
😂 unaona 😅
Wamejitahid kidogo ki heshima ya mavaz
😂😂😂mpaka mafta...
I have my brother na ni photographer he has no hizo behaviors huyo dada anasema may be watu wake they behavior like that.its like saying doctors.
Elza vp xjamuona jmn amepata mume au bdo
Kuna mtu kamuona Eliza leo? Mm sijamuona wow😂😂😂😂😂😂
Yupo kazeeka
😂😂😂😂
Sijamuona Eliza leo 😅
Yupo
Alikatazwa kuongea ovyo bila ruhusa😂😂
@@Lulucut 🤣🤣🤣
Huyu demu kazingua bora angekausha tu akaenda na huyo mpiga mpicha mwenzie kuliko kutoleana siri za kazi zao aki namuona akiozea hapo kama Eliza mwaume gani ataenda amchukue ikiwa imeshajulikana chenyee wanafanyaga wapiga picha thubutu bora wangeenda wakaendelee kupakana mafuta wenyew 😂😂😂
Kabisa hata mm nisingeweza kumchukua huyo dem
@@deogratiusyudatadei5658 umeona eeeh