MI NATAKA MWANAUME ANIPE PESA KULIKO WANAUME WOTE, HESHIMA APELEKE KWAO - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 85

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 5 месяцев назад +18

    Ila huyo Eliza hamna kitu anajiona mzuri alafu hana akili na huyo Zarish aende akajiangalie kwenye kioo vizuri

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 5 месяцев назад +11

    Mrembo wa kwanza kaongea kwa hekima na ni mrembo kweli kweli. Vijuso sasa😂😂😂

    • @irakozenicole3154
      @irakozenicole3154 5 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @CelinCelineort
      @CelinCelineort 5 месяцев назад

      kweliiiii kabs❤

    • @CelinCelineort
      @CelinCelineort 5 месяцев назад +1

      nimekupendaaa bureee achana na uyoo eliza ameshachundaaa chiziii ilo

  • @geselaoscaremanuel6481
    @geselaoscaremanuel6481 5 месяцев назад +4

    Doctor Leo umependeza sana

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 5 месяцев назад +7

    eliza ni mrembo kweli rangi,sura vyote kajaaliwa ila hana akili

  • @user-rb3uz9mk5u
    @user-rb3uz9mk5u 5 месяцев назад +7

    Akuna wake apo. Au mke... hao ni wanawake

  • @flm1530
    @flm1530 5 месяцев назад +8

    Wasichan wenzenu wanapamban mpk wanaongezewa cherehani na raisi nyie endeleen kujiuza kweny show ya mr right

  • @CelinCelineort
    @CelinCelineort 5 месяцев назад +1

    nimekupendaaa buree kipenz umeongea vzriii sanaaaa

  • @AgnesMwanisenga
    @AgnesMwanisenga 22 дня назад

    Huyo bibi mwenzangu ashuke stegni

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 5 месяцев назад +5

    Yaan mtoto wamtu atafute hela zake kwa tabu hakuna kulala halafu nikale na mtoto wantu weeee😂😂 niufala acha nikale pesa zangu na yuleee aliye nizaa ndio mwanamke wapekee namuamin hapa dunian

  • @YusufHassan-tf1iw
    @YusufHassan-tf1iw 2 месяца назад

    Huyu Dada anaongey pwet ila yup sip 2 siyo mzur nawakawaid 2❤

  • @mariamutowi7084
    @mariamutowi7084 5 месяцев назад +3

    Huyo Christina kavaa kama kahaba puuuuh

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 5 месяцев назад +2

    Hao sio wanawake nikausha damu😂😂

  • @joycenzilani5891
    @joycenzilani5891 4 месяца назад

    I love you lulu umewapa good advice

  • @dreadlocksspecialist7195
    @dreadlocksspecialist7195 5 месяцев назад +1

    The secret is love pesa huwa inafata upendo ukifeli kupenda umasikini utakusumbua mpaka unakufa hawa wengi wa naonekana wametokea kwenye umasikini mkubwa

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 3 месяца назад

    ivi hawa mademu wao wanategemea kupewa pesa tuu sawa huko kwenu mna maisha gani

  • @user-ee8jo3qt4h
    @user-ee8jo3qt4h 5 месяцев назад +1

    Wamedanga wameona wanazeeka wakaona waje Mr right

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 4 месяца назад

    Ivi eliza bado hajapata andazi lake😂😂😂😂

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r 4 месяца назад

    Lulu,hawa warembo wako hawako serious,kama this episode ya Leo 9th Feb,wameniboo,,Mr right wa mwisho wawili wa Leo walikua so cool nkt!

  • @beatricemtui8271
    @beatricemtui8271 4 месяца назад

    swala la ela limekuwa na upinzani mnoo😅😅😅😂😂😂😂

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад +1

    Huyo dada mwenye wig la blue jaman ajion kwenye kioo

  • @user-cd7nk1yg9c
    @user-cd7nk1yg9c 5 месяцев назад

    Zarish ziwa saa 12 alafu unajishauwa Eliza ndo umri umeenda kabsa yaani ingekuwa mm ndo nipo hako kusema ukweli wa mungu napenda sana mwanaume mwenye mapenzi ya dhati ofu ya mungu na pia awe muaminifu ivyo ndo v2 vya muhimu kwa binafsi yangu unaweza kupata mwenye pesa ukakosa furaha pesa zinatafutwa ila mapenzi ya kweli hutoka moyoni

  • @Lilian2023-pc1lr
    @Lilian2023-pc1lr 4 месяца назад

    Kunawanawake wamekosa akili jaman😂😂Yan wanamuomba mungu awape wanamme wenye pesa 😏awajui zinatafutwa😊

  • @samwelyjulius7277
    @samwelyjulius7277 5 месяцев назад +1

    Zarish ajiangalie vzr ana uzuri gani wa kuweka Sheria ya aina ya mume kutwa pesa tu utakesha hapo

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 5 месяцев назад

    Kila mbuz ale urefu wa kamba yake weeee 😂😂

  • @user-my1gw7fi9v
    @user-my1gw7fi9v 5 месяцев назад +1

    Mabox yote😂😂😂

  • @iyanboy4786
    @iyanboy4786 5 месяцев назад

    Hii ni biashara wallah😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 месяцев назад +1

    😂😂😂 yani hawo wanataka tu kupewa pesa nakupendeza tu hawataki mapenzi ya kweli wala kujenga future so sad hakuna chawana wake apo kesho keshoyake mwana umme akikosa atakimbiya

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r 4 месяца назад

    Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi

  • @tabiangonyani3526
    @tabiangonyani3526 4 месяца назад

    Uyo aliesema anataka mapenzi hataki hela yupo sahihi na hajamainisha mwanaume asimpe hela coz hela ni majaliwa ya mungu mtatafuta wote mtapendeza2

  • @JacobTambara
    @JacobTambara Месяц назад

    Hilo dada la matumizi elf60 kwasiku silpendi kwanza baya

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 5 месяцев назад

    Wanaume mnaowataka Tanzania bado wapo au mje mdange ugaibuni tu😂😂

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 Месяц назад

    Wengine goalkeeper hawatak kufny kaz

  • @omuze1290
    @omuze1290 5 месяцев назад +1

    Hakuna wanawake hapo wa kuoa. Gold diggers hao!

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 3 дня назад

    Nyie wafanya biashara semeni bei elekezi.

  • @hassanhamady4870
    @hassanhamady4870 5 месяцев назад

    Kwann wasipendeze kwa pesa zao wanataka kutgemea wanaume

  • @banguha
    @banguha 4 месяца назад

    Hakuna mwanamke hapo Yan wanawake wote ni pesa pesa tu kwan nyie hamuwez kutafuta pesa achen ujinga

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 5 месяцев назад

    Maana wanapenda pesa kuliko mapenzi

  • @user-xg8nf7zp6g
    @user-xg8nf7zp6g 5 месяцев назад +1

    Mnahangaika nahao malaya npe nkupe

  • @amoslucas1247
    @amoslucas1247 5 месяцев назад

    Hamna mke hapo😢😢, wote wadangaji

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka8730 4 месяца назад

    Ikitaka pesa kuliko mapenzi pia ujue kuzitafuta si unataka pesa na hujui matumizi yake

  • @mercychepteekilovethismovi912
    @mercychepteekilovethismovi912 4 месяца назад

    Rita namekupenda bure sana uko Sawa kiakili kabisa

  • @ChristinaPeter-rl9wq
    @ChristinaPeter-rl9wq 5 месяцев назад

    Sijawai comment ila Leo apana Kwan mpaka wanakuj apo wamependeza lakini wanatak mwanaume mwenye pesa muhimu waangalie mwaume mwenye kujali na kupenda pesa wataenda tafuta pamoj garabe jaribu kuwaelewesha warembo wako

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 Месяц назад

    Kuna wtu hawajui maana ya mapenz hpo

  • @peterelia2446
    @peterelia2446 5 месяцев назад

    Nyiyi hamu taki ku tumika. Muna itaji pesa. Nyinyi shobo nini😂😂. Mnamke ni msaidizi. Kama una taka pesa tafuta na mumewo.

  • @timamulituto
    @timamulituto 4 месяца назад

    Nilichoona akuna wakuoa apo SEMA tu Ayo madanga yamepata nafas yakujitangaza apo

  • @timothmgata3636
    @timothmgata3636 5 месяцев назад

    Camera man uwe una wazoom hao wa dada

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 4 месяца назад

    jaman muwe mnaangalia hata mavazi yao kidogo yani kama christina hapo kavaa bulazia yupo stegini

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba 5 месяцев назад +1

    Siku izi hapa munatangaza bishara ndiomana hata viewers wanapungua

  • @user-yd8vv2sz4f
    @user-yd8vv2sz4f 5 месяцев назад

    Nimegunduwa hawa wanawake wengi wao wapo hapa kwakujiuza

  • @mwanaurujuma9254
    @mwanaurujuma9254 5 месяцев назад

    Wa dada waache tamaa akuna mtu ameenuka akiwa tajiri muhimu mwanaume awe ana kupenda ukwel na kuheshimu,anajua thamani yako mengine pesa mtatafuta mkiwa wote almuhim anapata ya rizki na mambo madogo dogo

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 5 месяцев назад +1

    Kama anatafuta pesa afanye kazi tu sidhani hapo kama sehemu sahihi ya kutafuta fedha

  • @user-cy3vo2zj1c
    @user-cy3vo2zj1c 4 месяца назад

    Ukipendwa ni lazima upendeze Acana na uyo kma ni Eliza

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 5 месяцев назад

    Kwahiyo hamwazi kujenga mnawaza kupendeza Malaya kweli

  • @UwajenezaJazira-cv7et
    @UwajenezaJazira-cv7et 5 месяцев назад

    Sasa mwanamuke wakunkankania urembo kupendeza kweri akuna mwanamuke hapa pesa nimugeni sasa akikuwoa akiwa nazo ikatokea zinaisha nainawezekana awa watakimbi Unyumba unamengi wakifika watashangaa

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 5 месяцев назад

    Muna penda pesa sanaa

  • @macfarlanekattikiro6627
    @macfarlanekattikiro6627 5 месяцев назад

    mbona huyo lolo anafanana na Nelly yule aliekuwa anakaa podium ya kwanza au ni mimi na maccho yanguu

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 5 месяцев назад

    Mutawazowelesha vibaya hawo wanawake

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 5 месяцев назад

    Hizo pesa mnazotaka kupewa na wanaume nchi yenyewe hii ilivo ngumu hata na nyie mngekuwa nazo msingefika hapo

  • @nnedynshimirimana
    @nnedynshimirimana 5 месяцев назад

    Sijawahi Ku koment, Ila baadhi ya wanawake walipo hapa weng wao niwale waliotumika Kish wakatupwa kwakua niwajinga hawana fikra za kujenga

  • @user-ux4os3ln6m
    @user-ux4os3ln6m 5 месяцев назад

    Warembo wapo kazini hawapo kutaka mume wa kweli

  • @AbdallahRashid-ry9pb
    @AbdallahRashid-ry9pb 5 месяцев назад

    Wanaonekana wako kibiashara tu hawana future yoyote,apo wanatafute mume au masponser??

  • @beratsanoo5778
    @beratsanoo5778 День назад

    Wanawake nyie ni mashetani kumanina zenu,Tafute pesa wenyewe mbwa nyie

  • @annabaraka-fo3mv
    @annabaraka-fo3mv 3 месяца назад

    Kwan kujali maana yake nn?

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 5 месяцев назад

    Hamjaja kutafuta wanaume mmekuja kuuza sura

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba 5 месяцев назад +1

    Sasa kama wanajiuza si waende wakadangue uko

  • @mariamsaid2535
    @mariamsaid2535 5 месяцев назад

    60000 kwa lipi???Ukienda bar sh ngap unapata huduma ile ile

  • @mariamsaid2535
    @mariamsaid2535 5 месяцев назад

    NA NINYI C MUTAFUTE PESA AU....MUPEWE PESA TU????

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 5 месяцев назад

    Yani akaibe anyanganye ili tu wewe upendeze hao Malaya kbs

  • @hamisiismaili6342
    @hamisiismaili6342 5 месяцев назад

    Nyie madada malaya sijui apo mnafanyaje kama mnataka pesa simkajiuze kweny madanguro uko mapenz napesa niwapi nawap kama nimavazi si nitakununulia yan hammna akili kabisa pumbavu sana nyie kama mnafanya biashara mseme kabisa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 5 месяцев назад

    Hao wote wadangaji umalaya.na hawana upendo cha wote.wsshatumika sana kuvuliwa chupi sasa wanatafuta waume na hao wanaokwenda kuwatafuta ni wale wale washkaji wahuni tu watawafunuwa na kukimbia.hebu kuoneshe alieolewa.kupitia hapo biashara munaoifanya ya kujiuza katika mitandao.

  • @vitaasumani4613
    @vitaasumani4613 5 месяцев назад

    Hakuna wife material hapo

  • @user-ek9eo5nf8r
    @user-ek9eo5nf8r 4 месяца назад

    Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi