MI NATAKA MWANAUME ANIPE PESA KULIKO WANAUME WOTE, HESHIMA APELEKE KWAO - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 2 фев 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Ila huyo Eliza hamna kitu anajiona mzuri alafu hana akili na huyo Zarish aende akajiangalie kwenye kioo vizuri
Hao wanatafta kazi sio pesa 😂
but eliza ni mzuri
@@mycmeranyswai7957 Ana uzur gan? Au mm sion kakaa kama kibibibi hv😂🙌
Tena huyo zarish sura ngumu kama take la kiwete
Mrembo wa kwanza kaongea kwa hekima na ni mrembo kweli kweli. Vijuso sasa😂😂😂
😂😂😂😂
kweliiiii kabs❤
nimekupendaaa bureee achana na uyoo eliza ameshachundaaa chiziii ilo
Doctor Leo umependeza sana
eliza ni mrembo kweli rangi,sura vyote kajaaliwa ila hana akili
Ana uzur gan? Au.mm sion kakaa kama kibibibi hv😂🙌
Akuna wake apo. Au mke... hao ni wanawake
Wasichan wenzenu wanapamban mpk wanaongezewa cherehani na raisi nyie endeleen kujiuza kweny show ya mr right
nimekupendaaa buree kipenz umeongea vzriii sanaaaa
Huyo bibi mwenzangu ashuke stegni
Yaan mtoto wamtu atafute hela zake kwa tabu hakuna kulala halafu nikale na mtoto wantu weeee😂😂 niufala acha nikale pesa zangu na yuleee aliye nizaa ndio mwanamke wapekee namuamin hapa dunian
😂😂😂😂😂😂
Huyu Dada anaongey pwet ila yup sip 2 siyo mzur nawakawaid 2❤
Huyo Christina kavaa kama kahaba puuuuh
Hao sio wanawake nikausha damu😂😂
😂😂😂😂 umenena
I love you lulu umewapa good advice
The secret is love pesa huwa inafata upendo ukifeli kupenda umasikini utakusumbua mpaka unakufa hawa wengi wa naonekana wametokea kwenye umasikini mkubwa
ivi hawa mademu wao wanategemea kupewa pesa tuu sawa huko kwenu mna maisha gani
Wamedanga wameona wanazeeka wakaona waje Mr right
Ivi eliza bado hajapata andazi lake😂😂😂😂
Lulu,hawa warembo wako hawako serious,kama this episode ya Leo 9th Feb,wameniboo,,Mr right wa mwisho wawili wa Leo walikua so cool nkt!
swala la ela limekuwa na upinzani mnoo😅😅😅😂😂😂😂
Huyo dada mwenye wig la blue jaman ajion kwenye kioo
Zarish ziwa saa 12 alafu unajishauwa Eliza ndo umri umeenda kabsa yaani ingekuwa mm ndo nipo hako kusema ukweli wa mungu napenda sana mwanaume mwenye mapenzi ya dhati ofu ya mungu na pia awe muaminifu ivyo ndo v2 vya muhimu kwa binafsi yangu unaweza kupata mwenye pesa ukakosa furaha pesa zinatafutwa ila mapenzi ya kweli hutoka moyoni
Kunawanawake wamekosa akili jaman😂😂Yan wanamuomba mungu awape wanamme wenye pesa 😏awajui zinatafutwa😊
Zarish ajiangalie vzr ana uzuri gani wa kuweka Sheria ya aina ya mume kutwa pesa tu utakesha hapo
Kila mbuz ale urefu wa kamba yake weeee 😂😂
Mabox yote😂😂😂
Hii ni biashara wallah😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 yani hawo wanataka tu kupewa pesa nakupendeza tu hawataki mapenzi ya kweli wala kujenga future so sad hakuna chawana wake apo kesho keshoyake mwana umme akikosa atakimbiya
Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi
Uyo aliesema anataka mapenzi hataki hela yupo sahihi na hajamainisha mwanaume asimpe hela coz hela ni majaliwa ya mungu mtatafuta wote mtapendeza2
Hilo dada la matumizi elf60 kwasiku silpendi kwanza baya
Wanaume mnaowataka Tanzania bado wapo au mje mdange ugaibuni tu😂😂
Wengine goalkeeper hawatak kufny kaz
Hakuna wanawake hapo wa kuoa. Gold diggers hao!
Nyie wafanya biashara semeni bei elekezi.
Kwann wasipendeze kwa pesa zao wanataka kutgemea wanaume
Hakuna mwanamke hapo Yan wanawake wote ni pesa pesa tu kwan nyie hamuwez kutafuta pesa achen ujinga
Maana wanapenda pesa kuliko mapenzi
Mnahangaika nahao malaya npe nkupe
Hamna mke hapo😢😢, wote wadangaji
Ikitaka pesa kuliko mapenzi pia ujue kuzitafuta si unataka pesa na hujui matumizi yake
Rita namekupenda bure sana uko Sawa kiakili kabisa
Sijawai comment ila Leo apana Kwan mpaka wanakuj apo wamependeza lakini wanatak mwanaume mwenye pesa muhimu waangalie mwaume mwenye kujali na kupenda pesa wataenda tafuta pamoj garabe jaribu kuwaelewesha warembo wako
Kuna wtu hawajui maana ya mapenz hpo
Nyiyi hamu taki ku tumika. Muna itaji pesa. Nyinyi shobo nini😂😂. Mnamke ni msaidizi. Kama una taka pesa tafuta na mumewo.
Nilichoona akuna wakuoa apo SEMA tu Ayo madanga yamepata nafas yakujitangaza apo
Camera man uwe una wazoom hao wa dada
jaman muwe mnaangalia hata mavazi yao kidogo yani kama christina hapo kavaa bulazia yupo stegini
Siku izi hapa munatangaza bishara ndiomana hata viewers wanapungua
Nimegunduwa hawa wanawake wengi wao wapo hapa kwakujiuza
Wa dada waache tamaa akuna mtu ameenuka akiwa tajiri muhimu mwanaume awe ana kupenda ukwel na kuheshimu,anajua thamani yako mengine pesa mtatafuta mkiwa wote almuhim anapata ya rizki na mambo madogo dogo
Kama anatafuta pesa afanye kazi tu sidhani hapo kama sehemu sahihi ya kutafuta fedha
Ukipendwa ni lazima upendeze Acana na uyo kma ni Eliza
Kwahiyo hamwazi kujenga mnawaza kupendeza Malaya kweli
Sasa mwanamuke wakunkankania urembo kupendeza kweri akuna mwanamuke hapa pesa nimugeni sasa akikuwoa akiwa nazo ikatokea zinaisha nainawezekana awa watakimbi Unyumba unamengi wakifika watashangaa
Muna penda pesa sanaa
mbona huyo lolo anafanana na Nelly yule aliekuwa anakaa podium ya kwanza au ni mimi na maccho yanguu
Mutawazowelesha vibaya hawo wanawake
Hizo pesa mnazotaka kupewa na wanaume nchi yenyewe hii ilivo ngumu hata na nyie mngekuwa nazo msingefika hapo
Sijawahi Ku koment, Ila baadhi ya wanawake walipo hapa weng wao niwale waliotumika Kish wakatupwa kwakua niwajinga hawana fikra za kujenga
Warembo wapo kazini hawapo kutaka mume wa kweli
Wanaonekana wako kibiashara tu hawana future yoyote,apo wanatafute mume au masponser??
Wanawake nyie ni mashetani kumanina zenu,Tafute pesa wenyewe mbwa nyie
Kwan kujali maana yake nn?
Hamjaja kutafuta wanaume mmekuja kuuza sura
Sasa kama wanajiuza si waende wakadangue uko
Huko pa kujiuzia saiv wanakimbizwa
60000 kwa lipi???Ukienda bar sh ngap unapata huduma ile ile
NA NINYI C MUTAFUTE PESA AU....MUPEWE PESA TU????
Yani akaibe anyanganye ili tu wewe upendeze hao Malaya kbs
Nyie madada malaya sijui apo mnafanyaje kama mnataka pesa simkajiuze kweny madanguro uko mapenz napesa niwapi nawap kama nimavazi si nitakununulia yan hammna akili kabisa pumbavu sana nyie kama mnafanya biashara mseme kabisa
Hao wote wadangaji umalaya.na hawana upendo cha wote.wsshatumika sana kuvuliwa chupi sasa wanatafuta waume na hao wanaokwenda kuwatafuta ni wale wale washkaji wahuni tu watawafunuwa na kukimbia.hebu kuoneshe alieolewa.kupitia hapo biashara munaoifanya ya kujiuza katika mitandao.
Hakuna wife material hapo
Alafu huyo wa Kununua nguo mpya daily,anunue wig basi