NAHITAJI MUDA SITAKI PESA | BABA WATOTO SIMUWEZI | NATUNZA HAYA HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 мар 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 97

  • @jamilaseif3465
    @jamilaseif3465 4 месяца назад +5

    Eliza unajikuta mzuri lakini hujijui umekaa kama dume kutembea kwenyewe huwezi sauti yani upo kama dume ushukuru mungu ni huo weupe

  • @AmosMwamgogo
    @AmosMwamgogo 3 месяца назад +2

    Eliza mbona hauelewi ww eeh
    Jilekebishe bana tatizo lako n jeuri wanaume wanakuogopa kwamba utawapelekesha sana

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 месяца назад +6

    Jmn jmn mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii jmnnnnnnnn

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 месяца назад +1

    Wow beautiful girls in Tanzania in Europe we follow the program's from Tanzania

  • @user-qv3rf9mc7g
    @user-qv3rf9mc7g 4 месяца назад +2

    Eliza kwanza mbayyyaaaa lisha Zeeeka ilo mekap2 Lakn gozi Isha pinda pinda

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 4 месяца назад +9

    Alia ilo wigi vipi kma sjlielewa msnichambe jaman 😂

    • @ilhamdaud2649
      @ilhamdaud2649 4 месяца назад

      Hata hatukuchambi mahi😂😂wengi hatujalielewa hlo wigi

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @user-iv7dm3xw9v
      @user-iv7dm3xw9v 4 месяца назад +1

      ​@@ilhamdaud2649😂😂😂😂😂nimecheka kama chizi

  • @veronicaelias9064
    @veronicaelias9064 4 месяца назад +7

    Saut ya mziki ipo just hatusikii maneno ya wahusika

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 4 месяца назад +5

    Anamajivuno😂😂namudomo waamaneno😂mengi

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 3 месяца назад +2

    Huyu Eliza simpendi. Halafu kama alienda amerudi tena

  • @user-qq9ns8nx2y
    @user-qq9ns8nx2y 4 месяца назад +2

    Huyoo Eliza asipate Mr Right maana ywachangamsha kipindi

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 4 месяца назад

      Kbsa akitoka tutakosa Cha kukoment😂

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell3991 4 месяца назад +2

    mbona hawa wanawake kama wote vichwani ni pancha sana

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 4 месяца назад +2

    Eliza asitolewe anapendezesha....

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад +3

    Huyo Eliza Anafaha kukaa sana Apo studio kuchangamsha kipindi 😂😂😂

    • @reinakamgisha2558
      @reinakamgisha2558 3 месяца назад

      Af anapendezea sana,, aje tu aajiliwe kuwa MC na kina aliyaa MR. Right watakoma 😅😅😅😅😅😂😂

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 4 месяца назад +3

    Guys mufukuzeni Eliza atoke atamaliza drink zenu bule😂😂😂

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 4 месяца назад +1

      Ndio😂😂😂😂😂😂 kila siku anakuja nakunywa tu😂😂😂😂😂😂hapa habanduki😂😂😂😂😂😂

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 4 месяца назад

    Hahahahah eliza pote mana we ni mgonjwaa ila ujijui tu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 4 месяца назад

    Hahahahaa ila Gara B eti mtu sio mtu hahahaha!

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 4 месяца назад

    Jaman huyu Aaliyah she's so matured i really like her

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 4 месяца назад +1

    Watu wa 3😢😢😢😢

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 4 месяца назад +1

    Huyu wala hawezi kuwa mke bora mdomo majivuno hata uzuri hana kuzidi wanzio ww Eliza rudi tu ukajitafute mtaani 😏

  • @user-el4dr5nr8t
    @user-el4dr5nr8t 4 месяца назад

    Inakuaje sis ambao. Hatuna kaz na tunaitaji wanawake wa kuish nao. Tupambane nao kweny maisha.

  • @dorcassmarco3425
    @dorcassmarco3425 Месяц назад

    Embu mtoeni Eliza kwanza ni lishangazi ilo toweni humo

  • @HusseinMdeke-fw9uy
    @HusseinMdeke-fw9uy 4 месяца назад +1

    Huyo Eliza anataka wenye hela yeye anahelaaa?

  • @user-vp4oy3wy1f
    @user-vp4oy3wy1f 3 месяца назад

    😅😮😮😮😢 wazeeez haoo

  • @robbennkurunziza47
    @robbennkurunziza47 4 месяца назад +1

    eriza atoke tu tushamchoka. pil hana adabu anajivuna sana

  • @jamesmasunyiro8733
    @jamesmasunyiro8733 4 месяца назад +1

    Huyu eliza anizd kupotosha bland ya mr light na mwisho wote wanaonekan ni madangaji

  • @hassanabdulrazak908
    @hassanabdulrazak908 4 месяца назад

    Sema nini huyu madam Eliza mbona Ana zarau sana mwambieni atazehekea kwenye podiam

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 3 месяца назад

    Ila gara B dah😂😂😂

  • @user-ee8jo3qt4h
    @user-ee8jo3qt4h 4 месяца назад

    Nimekuja kwa ajili ya eliza kumamaye aondoke steji mr rights

  • @linahgibson1344
    @linahgibson1344 4 месяца назад

    Huyo Eliza bhana aje tu aolewe na kakaang maana naona kabisa anazeekea kwenye podium 😂😂

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 месяца назад

    Hapo kwenye attention 😢 ni kweli inatusumbua sana 😢 wakaka badilikeni basi

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 4 месяца назад

    Eliza acha mdomo hauna uzuri wate watu tumekuchoka umekulia makunzi mabaya mwanamke unaongea saaana 8:46

  • @daineszephrinedaineszephrine
    @daineszephrinedaineszephrine 4 месяца назад +1

    Mnapost video fupi kwann msitupe full

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 4 месяца назад +1

    Eliza et mimi hauna nyota utazekea hapo

  • @user-tp3xc4rs4z
    @user-tp3xc4rs4z 4 месяца назад

    😂😂😂 kama namuona Eliza kwenye kiti cha enziii

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 4 месяца назад

    Huyo Eliza awe to Mtoa vinywaj hapo atoke anajikuta wakat anasota🙄

  • @user-vs5wt6bc8n
    @user-vs5wt6bc8n 4 месяца назад

    Ila hiki kipindi duh

  • @EsterLaulent
    @EsterLaulent 4 месяца назад

    Ila Eliza anaboa hapo jamn Kwa nn asitolewe stejini anajiona sanaa KWa staili hii atoboi hapo anakiburii sanaaa na majivuno.

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 4 месяца назад

    Wewe ndo wa miion mbii

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 4 месяца назад

    Amekuja kujiuza lakn analeta zalau mara kipato chake we Eliza unainguza shingapi

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 4 месяца назад

    Flora pia bado yupo hapa

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 4 месяца назад +1

    Eliza Angetolewa tuuu hapa anapoteza muda

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 4 месяца назад

      Pataboa wacha azeekee hapo na kuchangamsha group bwana😂😂

  • @neemam5042
    @neemam5042 4 месяца назад

    Naomba muziki wa background ushushuke sauti au uzimwe wakati mahost wanaongea

  • @theresamushanga-qc9ep
    @theresamushanga-qc9ep 4 месяца назад

    Swali langu nimoja tu eliza alifata nini apo jamani

  • @ellennkota6599
    @ellennkota6599 4 месяца назад

    Itafika mahali Eliza atamtaka mwanaume yeyote subiri ifike muda wa kukataliwà na yeye

  • @OchuKamau-yi8xf
    @OchuKamau-yi8xf 4 месяца назад +17

    Jmn mwenye namba ya huyu mdada jeuli Eliza anitumie

  • @gastorsirima5761
    @gastorsirima5761 4 месяца назад

    Eliza akipata mwanaume dunia itakua imebakia na mwanaume mmoja tu

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 4 месяца назад

    eliza jeur sana aisee😢

  • @sarahmtambo7515
    @sarahmtambo7515 4 месяца назад

    huyo Eliza anafanya nini apo amezeka

  • @MariamMbaruk-rk3vj
    @MariamMbaruk-rk3vj 4 месяца назад

    Eliza umezeeka ndio ma'ana unachaguliwa na wazee

  • @user-vp4oy3wy1f
    @user-vp4oy3wy1f 3 месяца назад

    Here mna watotokumbe nyie wazee

  • @mickjackson2181
    @mickjackson2181 4 месяца назад

    Ila lizzy anamatatizo sana

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 4 месяца назад

    Masaki mbona kunavyumba vya 60.000

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 4 месяца назад

    Eliza atoke huyo hana haja na bwana anatafuta umaarufu

  • @smartnyengo725
    @smartnyengo725 4 месяца назад

    I don't understand why Eliza is still in the show

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 4 месяца назад

    Hawa wadada inaonekana washajiuza sana mtaani.wamechoka sasa wamekuja kuuzwa na madalali

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 4 месяца назад

      Ndo mpango mzima ww muone dada anamatatuu hv huyo unaona kuna mke hapo kweli???

    • @himnakhatib1050
      @himnakhatib1050 4 месяца назад

      Hakika

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 4 месяца назад

    Bro Garabi nahisi kwenye whatsaap yako kuna sms yangu aujanijibu please nahomba unijibu🙏

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 4 месяца назад

    huyuu hee analo alolifata hapo sio bwana huenda mpelelezi anazingua ili abaki hapo aendelee na yakwake

  • @MatiasKatoto
    @MatiasKatoto 4 месяца назад

    Uyo mdada ka fuata soda tu

  • @Thatscene2024
    @Thatscene2024 4 месяца назад

    aaliya kaona dior fake ana msnich mwana dahhh

  • @skmtotowamama6797
    @skmtotowamama6797 4 месяца назад

    Eliza apo amefuata drinks tu

    • @AminaJuma230
      @AminaJuma230 4 месяца назад

      Hata mm nimeliona Hilo amefuta soda tu hapo

  • @hus-keenwizer679
    @hus-keenwizer679 4 месяца назад

    Hiyo video akipiga magoti iwapi nimeitafuta sijaipata nipeni link please

  • @user-qv3rf9mc7g
    @user-qv3rf9mc7g 4 месяца назад

    Eliza kwanza mbayyyaaaa lisha Zeeeka ilo mekap2 Lakn gozi Isha pinda pinda