NAHITAJI MUDA SITAKI PESA | BABA WATOTO SIMUWEZI | NATUNZA HAYA HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 1 мар 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Eliza unajikuta mzuri lakini hujijui umekaa kama dume kutembea kwenyewe huwezi sauti yani upo kama dume ushukuru mungu ni huo weupe
Eliza mbona hauelewi ww eeh
Jilekebishe bana tatizo lako n jeuri wanaume wanakuogopa kwamba utawapelekesha sana
Jmn jmn mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii mtoeni Eliza hatumtakiiii jmnnnnnnnn
Amen amen amen 😅😅 huyo atolewe
@@jackrinedugange2888 😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂
😅😅😅
Wow beautiful girls in Tanzania in Europe we follow the program's from Tanzania
Eliza kwanza mbayyyaaaa lisha Zeeeka ilo mekap2 Lakn gozi Isha pinda pinda
Alia ilo wigi vipi kma sjlielewa msnichambe jaman 😂
Hata hatukuchambi mahi😂😂wengi hatujalielewa hlo wigi
😂😂😂😂😂
@@ilhamdaud2649😂😂😂😂😂nimecheka kama chizi
Saut ya mziki ipo just hatusikii maneno ya wahusika
KBS yaan tunashndwa kuenjoy
Anamajivuno😂😂namudomo waamaneno😂mengi
Huyu Eliza simpendi. Halafu kama alienda amerudi tena
Huyoo Eliza asipate Mr Right maana ywachangamsha kipindi
Kbsa akitoka tutakosa Cha kukoment😂
mbona hawa wanawake kama wote vichwani ni pancha sana
Eliza asitolewe anapendezesha....
Huyo Eliza Anafaha kukaa sana Apo studio kuchangamsha kipindi 😂😂😂
Af anapendezea sana,, aje tu aajiliwe kuwa MC na kina aliyaa MR. Right watakoma 😅😅😅😅😅😂😂
Guys mufukuzeni Eliza atoke atamaliza drink zenu bule😂😂😂
Ndio😂😂😂😂😂😂 kila siku anakuja nakunywa tu😂😂😂😂😂😂hapa habanduki😂😂😂😂😂😂
Hahahahah eliza pote mana we ni mgonjwaa ila ujijui tu
Hahahahaa ila Gara B eti mtu sio mtu hahahaha!
Jaman huyu Aaliyah she's so matured i really like her
Watu wa 3😢😢😢😢
Huyu wala hawezi kuwa mke bora mdomo majivuno hata uzuri hana kuzidi wanzio ww Eliza rudi tu ukajitafute mtaani 😏
Inakuaje sis ambao. Hatuna kaz na tunaitaji wanawake wa kuish nao. Tupambane nao kweny maisha.
Embu mtoeni Eliza kwanza ni lishangazi ilo toweni humo
Huyo Eliza anataka wenye hela yeye anahelaaa?
😅😮😮😮😢 wazeeez haoo
eriza atoke tu tushamchoka. pil hana adabu anajivuna sana
Huyu eliza anizd kupotosha bland ya mr light na mwisho wote wanaonekan ni madangaji
Kwanza huyo Eliza mwenyewe huo mdomo utafikiri Choo cha kunyea walemavu
Sema nini huyu madam Eliza mbona Ana zarau sana mwambieni atazehekea kwenye podiam
Ila gara B dah😂😂😂
Nimekuja kwa ajili ya eliza kumamaye aondoke steji mr rights
Huyo Eliza bhana aje tu aolewe na kakaang maana naona kabisa anazeekea kwenye podium 😂😂
Hapo kwenye attention 😢 ni kweli inatusumbua sana 😢 wakaka badilikeni basi
Eliza acha mdomo hauna uzuri wate watu tumekuchoka umekulia makunzi mabaya mwanamke unaongea saaana 8:46
Mnapost video fupi kwann msitupe full
Eliza et mimi hauna nyota utazekea hapo
😂😂😂 kama namuona Eliza kwenye kiti cha enziii
😂
Huyo Eliza awe to Mtoa vinywaj hapo atoke anajikuta wakat anasota🙄
Ila hiki kipindi duh
Ila Eliza anaboa hapo jamn Kwa nn asitolewe stejini anajiona sanaa KWa staili hii atoboi hapo anakiburii sanaaa na majivuno.
Wewe ndo wa miion mbii
Amekuja kujiuza lakn analeta zalau mara kipato chake we Eliza unainguza shingapi
Flora pia bado yupo hapa
Eliza Angetolewa tuuu hapa anapoteza muda
Pataboa wacha azeekee hapo na kuchangamsha group bwana😂😂
Naomba muziki wa background ushushuke sauti au uzimwe wakati mahost wanaongea
Swali langu nimoja tu eliza alifata nini apo jamani
Itafika mahali Eliza atamtaka mwanaume yeyote subiri ifike muda wa kukataliwà na yeye
Jmn mwenye namba ya huyu mdada jeuli Eliza anitumie
Naomba upewe dear.... Ndio umchangamkie jamani
Kuna kitu nataka nimshauli uyo dada
Me ninayo ila jeuri sana
Nipen tu @@Chrizabizzy1
😅😅😅😅
Eliza akipata mwanaume dunia itakua imebakia na mwanaume mmoja tu
eliza jeur sana aisee😢
huyo Eliza anafanya nini apo amezeka
Eliza umezeeka ndio ma'ana unachaguliwa na wazee
Here mna watotokumbe nyie wazee
Ila lizzy anamatatizo sana
Masaki mbona kunavyumba vya 60.000
Eliza atoke huyo hana haja na bwana anatafuta umaarufu
I don't understand why Eliza is still in the show
Hawa wadada inaonekana washajiuza sana mtaani.wamechoka sasa wamekuja kuuzwa na madalali
Ndo mpango mzima ww muone dada anamatatuu hv huyo unaona kuna mke hapo kweli???
Hakika
Bro Garabi nahisi kwenye whatsaap yako kuna sms yangu aujanijibu please nahomba unijibu🙏
huyuu hee analo alolifata hapo sio bwana huenda mpelelezi anazingua ili abaki hapo aendelee na yakwake
😁😁😁
Uyo mdada ka fuata soda tu
aaliya kaona dior fake ana msnich mwana dahhh
Eliza apo amefuata drinks tu
Hata mm nimeliona Hilo amefuta soda tu hapo
Hiyo video akipiga magoti iwapi nimeitafuta sijaipata nipeni link please
Nenda tiktok utaikut mwaya, hadi aibu
😂😂
Eliza kwanza mbayyyaaaa lisha Zeeeka ilo mekap2 Lakn gozi Isha pinda pinda