JUMBA LA KIFAHARI LA RAZALEE WANALOFIKIA MASTAA WAKUBWA /PAMOJA NA MARAIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 125

  • @zuliomar8866
    @zuliomar8866 2 месяца назад +2

    Mimi mwalimu wako Mr Muha wa Laureate. Nakupongeza sana kwa hatua uliopiga na ALLAH azidi kukuongoza katika njia njema anayoiridhia.

  • @AmosjonhmsusaNengajohn
    @AmosjonhmsusaNengajohn 2 месяца назад +10

    Jamaa yuko humble sana ,, neno brother na karibu tena kalisema zaid ya 100 kwenye haya mahojiano

    • @user-dv5zg7ru9c
      @user-dv5zg7ru9c 10 дней назад

      Sio kama taufiq kamwambia akihojihojiwa na uyu mwandishi, mwandishi atakua star 😂😂

  • @hafidhisamata634
    @hafidhisamata634 2 месяца назад +2

    Nachompendea razaleeee pesaaa kajaza ila kuvimba hajui very humble

  • @amirkhamis8250
    @amirkhamis8250 7 дней назад

    Kuna watu wana hela halafu ni very humble. Angezipata Doto magari/Mwinjaku ingekua hatulali

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 2 месяца назад +4

    Nimependa Jamaa Anavyo Jibu Maswali Hekima Ndo Kitu Bora SANA Katika Maisha Yetu Mungu Anisaidie Aniongoze Vyema Katika Safali Ya Maisha Yangu

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 2 месяца назад +2

    Mr Razalii umezungumza kwa hisia saan kwenye suala la kuiletea maendeleo Zanzibar allah aakuwafilishe

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 2 месяца назад +2

    Ndugu mtangazaji pole ,umepambana na matajiri wakubwa wenye imani zao za Dini Mashaallah

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 2 месяца назад +1

    Safi bro ❤

  • @RayaAmeir
    @RayaAmeir 2 месяца назад +2

    Razaleeeeeee sema tenaaaaaaa......hongera saleh

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 месяца назад +1

    Rich young man but very humble

  • @hassanabazar9411
    @hassanabazar9411 2 месяца назад +2

    Huyu Mr Sematena ni mtu poa sana yani hana majivuno kabisa Mungu akuzidishie kheri

  • @mrsab303
    @mrsab303 2 месяца назад

    MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g 2 месяца назад

    Mashallah anampenda kusema karibu Sanaa half nitajir huyu

  • @Juke995
    @Juke995 2 месяца назад +7

    Wengine tumeishia tu kumjua jina na lijumba lake ila hatujui ni nan na imekuwaje hadi kahojiwa 😢bora millad ayo anauliza maswali muhimu

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 2 месяца назад

    daaah haya bhna

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 2 месяца назад +1

    Iknw is nice house m father is contractions doing this big bangaloo

  • @RehemaAlly-rn7cb
    @RehemaAlly-rn7cb Месяц назад

    eeeeenh kwa mara ya kwanza kuliona hili jumba ndanii nilikuwa napita tu kwenda beach😁😁😁

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 2 месяца назад +1

    Mwisho wasiku namimi nimeangalia kipindi 👍

  • @Kevworx
    @Kevworx 2 месяца назад +1

    Nilichopenda jamaa ni mshabiki mwenzangu wa Chelsea

    • @MoLabia
      @MoLabia Месяц назад

      😂😂

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332 2 месяца назад

    Nyumba nzuri aweke pazia za umeme

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Месяц назад

    Pazuri sana🎉

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 месяца назад +1

    Vipindi vingi wakigonga wanjfanya kwenda kuu Liza Kwan hajui km anafwata😅😅

  • @user-ic1is1cn6y
    @user-ic1is1cn6y 2 месяца назад +2

    Mmeona watu na maswahiba zao😀😀

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 2 месяца назад +1

    Kipindi kizuri Ila ungekifanya mchana ingependeza zaidi

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 2 месяца назад

    camera man movement zako zipo slow,unachelewa kufika eneo husika wakat inaanza kuelezewa,fanyia kazi hilo

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 месяца назад +2

    TATIZO HUJUI KUPANGILIA MASWALI, MTIRIRIKO NI MBOVU.

  • @stephanomagembe4140
    @stephanomagembe4140 2 месяца назад +2

    Kipindi kizuri lakini kuna maswali yanakosa kuulizwa ..maana huyu ni kijana amefikaje hapo ? Au amerithi Mali au namna gani..

    • @Alburtukal
      @Alburtukal 2 месяца назад +1

      Utajiri ni wa kurithi tu

  • @alexkayombo2725
    @alexkayombo2725 Месяц назад

    Form 4 2012 duh ?? Mdogo wangu kabisa pesa sasa😂😂😂

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 месяца назад +3

    Wazanzibar wanaishi bwana

  • @Iptysamkihiyo
    @Iptysamkihiyo 2 месяца назад

    huyo ni mr. mwisho wa siku sio mr sema tena

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Месяц назад

    Si michezo ❤

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 2 месяца назад +1

    Bado mtangazaji hajaiva yaan km mtalii vile

  • @ShedrackSylvester-yl6be
    @ShedrackSylvester-yl6be 2 месяца назад

    Mpeni mashavu castor Dickson atauwa San kwenye hichi kipind izuri sema mwana unyama

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 2 месяца назад

    Hao ndio wazanzibari halisiii

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 2 месяца назад

    Kwanini msitafute watangazaji wenye uwezo. Na mtu wa editing pia aongeze uwezo.
    Ila mtangazaji big NO

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 месяца назад

    Kitaaaa hapo Bush Doctor kibweni Mshelishelini Wapi Msouth,

  • @redtk2971
    @redtk2971 2 месяца назад

    Kijana kwa maneno yako hayo ya watu wanaingia kimya kimya na yatch chonde usije mfufua jiwe huko alipo😂

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g 2 месяца назад

    Nimecheka salehe kwenye tenesi

  • @sebeneka6290
    @sebeneka6290 2 месяца назад

    Mdogo angu kabisa 😂😂😂

  • @hafidhisamata634
    @hafidhisamata634 2 месяца назад

    Tungekuwa wabongo kama huyo haongei na mtu

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 2 месяца назад

    Huyu si muarabu rangi tu mbona wapo wachanga weupe nao utasema waarabu

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 2 месяца назад

    Wanaume wa zanzibar hawana vichogo

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 2 месяца назад +18

    Kipindi kizuri ila Da Zama huyu mtangazaji Bado hajaiva, hamjuwi kumuhoji mtu. Kwani mtazamaji hajuwi huyu ni nani?? Kwani mtu anataka amjuwe huyu jamaa ni nani?? Na jina lake ni nani?? Na Kwa Nini ni Raza Lee?? Ana husiana vipi na kina Marehem Moh'd Raza au Ibrahim Raza. Hayo yote yalitakiwa yajulikane!!

    • @Ciyara248
      @Ciyara248 2 месяца назад +16

      Omba ajira uende wewe ukawe mtangazaji wa kipind

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 месяца назад +2

      @@Ciyara248 ahaaa. Haya

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 2 месяца назад +26

      NAKUJIBU MIMI NDIO MTANGAZAJI SALEH SIO KILA KITU MTU ANATAKA KUKIWEKA HADHARANI NA AKISHASEMA HATAKI VITU VYENGINR VIENDE HEWANI UNATAKIWA UMUHESHIMU KWAIYO KILA AMBACHO UMEKIONA HAKIJAENSA HEWANI MWENYEWE HAKUPENDA…. Sada kama
      Bado sijaiva karibu ulete CV upate ajiraa….. saleh classc hapa IDD MUBARAQ

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 2 месяца назад +7

      Unataka ujue nini zaidi na nishasema mfanyabiashara mkubwa zanzibar unataka ujue nini wakati keshatoa historia yake alipozaliwa mpk aliposomaa mpaka
      Akamaliza ndugu yng🙏🏻

    • @Ciyara248
      @Ciyara248 2 месяца назад +11

      Salehe baba pumzk mwaya ....Sisi tunao fatilia kipind chako kila siku Ndo tunao jua ubora wako katika kazi achana na izi ng'e🤬

  • @Alburtukal
    @Alburtukal 2 месяца назад +1

    Nlikua nashindana nae kuenda mbio na mavespa maeneo ya chukwani

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 2 месяца назад

    Sale hataki kaondoka naona mwenyeji anasimama kukuaga wewe umekaa bado 😂😂

  • @swahilkid3128
    @swahilkid3128 2 месяца назад +1

    Matajiri wote znz ni warabu au wahindi waznz weusi zao chuki na umasikini umewajaa,walalamikia muungano eti ukivunjika watakua matajiri kimiujiza kama hao waarabu

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 месяца назад

      Sema huwajui zipo gapiz zanzibar zina pesa wala hazina papara ya kujisifu

    • @kingkendrickk
      @kingkendrickk 2 месяца назад

      Aisee

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад

      Mpumbvu sn ww huku Zanzibar kuna wa2 weusi wenye pesa kuliko warabu na wahindi hatupendi sifa na kujulikana ukitaka kujua ilo nijb comment hii nikupe data za wa2 weusi wenye pesa kuliko waarabu

    • @masoudrashidmohammed4124
      @masoudrashidmohammed4124 2 месяца назад

      Ww ni pimbi sana unachuki na wazanzibar na huwajui wazanzibar stupid kabisa kumbe ww yaani wazanzibar wanapesa hatari sana. Na huko kwenu Tanganyika munatumwa ba hao hao wazanzibar ndio wanaokutumeni

    • @Muhamed_mo
      @Muhamed_mo 2 месяца назад

      Mliwauwa ili mrithi majumba na mali zao je vipi hamjafaidikaaaa, na nyie mkatajirikaaaasss, msicheze na mgao wa Allah mmeadhirikaaaa na mmakufa dhaliliiiiii

  • @zahormohd
    @zahormohd 2 месяца назад +6

    Hilo jumba alijenga baba yake tangia mwishoni mwa miaka ya tisiini na mwanzo lilikua limeandikwa baadhi ya aya za qur'an kwenye kuta zake na likapata umaarufu kwa raza na kipindi chote cha uhai wa baba yake hatukuwahi kuona akitembelewa na mapaparazi kuhojiwa kwenye nyumba hiyo.

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 2 месяца назад +3

      Na baba yako mbona hakujenga mpaka leo hii bado maskini?

    • @icclcharters3389
      @icclcharters3389 2 месяца назад +1

      Acha hasira😂

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 месяца назад

      Sio kwamba hatumpendi au hatupen di kipindi ila mfumo wake wa kuhoji. Anakwambia jumba la kifahari la Raza Lee kumbe ni sehemu yake ya biashara sipo anapoishi. Na ukipima yy anasema 2012 kaenda china kusoma hapo kamaliza form 4 ,je china alisoma kipindi Gani?? Chuo alimaliza lini?? Na level yake ya elimu ikoje?? Kwa sababu ukimuangalia huyo,Mali nyingi amezikuta na yy anaendeleza tuu. Kama ilivyokuwa Kwa tawfiq ila tawfiq kidogo yupo tafauti na huyu lkn wanafanana.

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 месяца назад

      @@nickalreadyknows Hana.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 месяца назад

      We ulitaka ajengewe na baba yako nini? We mbona baba yako kakuachia masufuria hamna anaeshangaa

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed4449 2 месяца назад +1

    Msimlaumu mwenzetu amekutana na vitu vya ajabu vimemtoa mchezoni amebaki anashangaa maswali hamna..ila amejikaza hata hivyo