Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
@@user-qe9pk1sf1f elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
Assalamu aleikum warehematulah wabarakatuh baba hongera kwa mafanikio yako mwenyezi mungu akujaalie majaliwa mengine zaidi ktk dunia na akhera maana yote ndio mapitio yetu Mwijaku mm nahitajia sana kufika clous hasa ktk kipindi chenu cha leo tena kwa haja ya kuwaona live na ni kipindi ambacho hakinipiti naomba nifanyie mchakato nipo manyara
Brother unafanya mambo vizuri lakini Acha kumsema vibaya diamond kwa kuwa wewe muislamu kwani Mtume Muhammad alisema eli ya mchawi kuliko mnafiki piga kazi achana na mambo ya Dunia my brother respect
Aki wacha niweke comment..kwahii story because bibi ya bro mwijaku amenigusia moyo wangu unacho tamani yani mwanamke mwema niyule anae sikizana na mme wake na ningependa kumpongeza bro mwijaku kwakupata jiko jema ...much love kwa wote bro na shem late me say i love this family god bless them....be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
Mwijaku hongera kaka pamoja na shemeji yangu ila wanaowaona mnaelezea mafanikio yenu wanadhani kuwa ukimuona nyani kazeeka hawajui kama karuka mishare mingi, pengne hebu uwe na kipnditu cha kuwaeleza au kutoa magum kidogo ili wajifunze kuvumilia kwenye familia vijana hata mababa wakileo ,
Ongera sana kaka mwijaku Umeuwa sana lakin kaka Lakin jiandae wasanii kutokukuripa ovyo ovyo Kwa pale utakapo waongelea Maana tayari wamesha stuka Kuwa wanakutajirisha Yabila wao kujua kwaiyo Kaka mwijaku jiandae vzr Kwa hilo broh wangu
Hongera sana mwijaku, ukiambiwa uchawa wenye faida basi ndio huu saf kbs
Nilichogundua Mwijaku mkewake anampenda na anamsupport sanaaa ndio maana huyu mwamba atafika mbaliii
You are right.
Mwijiku ww ndyo mwanaume heshima yamwamaume kuonesha heshima jwajamii na kwenye famili
Uhakika nipo upande wako
Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
Alafu huyu mke anamuheshimu sana
❤❤Hongera sana DC mwijaku kwa mjengo mkubwa mungu yupo pamoja na nyinyii❤❤❤❤
Hawa machawa tusiwachukulie poa🔥 hongera sana mwijaku
Dah masikini wengi tumejaa makasiriko tumuombe mungu atupe ridhiki nzuri nasi tufikie ndoto zetu
Congratulations Mwemba a.k.a Mwijaku. What's been done by you should completely be imitated by every smart Tanzanian youth! May God keep blessing you!
MashaAllah hongera sana Mwanamke mwenzangu kwa Kua mke bora kwa mumeo hadi mmefika malengo. Kila la kheti kwenye ndoa yenu.
Kaka hongeraaaaaaaa❤❤❤❤ yaani hiyo ndo Fungal kalomo
😂😂
@@asifiwefungo163 ruclips.net/video/zTak_qJqJbg/видео.htmlsi=GADo6gJr5BsSbiMi
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
Kuna mda anaongea yupo serious
Daaahhh hongera sana bro mwijaku Mungu awabariki sana
wanawake njoon uku muna mengi sana yakujifunza kwa mke wa mwijaku
Mwijaku na worlper funga kazi ya mwaka 2023 nawapenda sana
Hongera mwijaku umepiga hatua God bless you
Hongera sana brother Mwijaku
Hongera sana home boy 🎉
Congratulations Mwijaku's absolutely amazing guys God Is Faithful always 🙌🙏❤
❤❤❤ hongereni sana DC mwijaku mwenyezi mungu awabaliki sana
Love from Kenya u have mentor many including myself ❤❤
big up my DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤❤
Mashaallah ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Aiseee!
So inspiring!
Congratulations Mwijaku.
Tunakuonaga kama chizi hivi kumbe akili imetimia..😊😊
Hongera sana mdogo wangu!!
ruclips.net/video/zTak_qJqJbg/видео.htmlsi=GADo6gJr5BsSbiMi
Hongera sanaaaa boss🎉🎉🎉🎉 piah shemej nawe ni kichwa Kwa kumshaur Mwamba kufanya makubwa🎉🎉🎉🌹🌹🌹
Kazi nidhamu na kujituma❤ respect mwijaku
Uchawa unalipa mwaka huu lazima na Mimi niwe chawa. Hongera sana mwijaku
Congratulations 🎉👏 mwinjaku from KENYA 🇰🇪🇰🇪🙏
MA Shaa Allah hongera Sana Kaka mwijaku umeupiga mwingi sana
Mwijaku baba kazi ipo. congratulations bro
Hahahaaa Mwijakuu asante kaka kazi nzuri.
Inawezekana Mwaka huu kuwa wa kwangu.
Mashaallah mjomba wangu laweza Allah akuzidishie barka
Hongera sana kaka Mwijaku uchawi unalipa aisee...
Mashaallaah Tabarakallaah Allah awahifadhi na husda,Mwijaku mwambie mke wako ajistir nywele zake Allaah awadumishe kwenye ndoa yenu
Mungu akusimamie Kaka hongera Sanaa
mashalaah ongera sana kk,wale waliokuona wajichetua lazima wajiulize.
Hongera mwijaku🎉🎉🎉❤
Mashaallah mungu atuongezee kwa wote amin
Masha Allah ❤
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
Tatzo sio shule nijins yakutumia hela unaweza umesoma lakin hunamatumiz yahela
@@user-qe9pk1sf1f elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
Aliyekufunza elimu ni hela na nyumba alisahau kukufunza sababu ya diamond kukuzidi hela pamoja na elimu yako
Hongera sanaaaaa
Mashaallah hongera sana ❤❤
I'm So Proud For This D.C Wa Insta Mungu Awabariki Kweli Kweli🎉🎉🎉
Congratulations... this is inspiring. Sio uchawa but maendeleo
Congratulations brother and sister you both made it 💪
Inshallah mr mwijaku..nvzri mjengo wako
Assalamu aleikum warehematulah wabarakatuh baba hongera kwa mafanikio yako mwenyezi mungu akujaalie majaliwa mengine zaidi ktk dunia na akhera maana yote ndio mapitio yetu Mwijaku mm nahitajia sana kufika clous hasa ktk kipindi chenu cha leo tena kwa haja ya kuwaona live na ni kipindi ambacho hakinipiti naomba nifanyie mchakato nipo manyara
Masha allah masha allah mungu awabarik wewe na mkeo maisha ya furaha kwenye nyumba yenu mpya Mungo awaondoshee hasad aamin thuma amin
Uku juu weka uzio Kwa sababu y usalama zaid hasa watoto😊
Hilo nalo neno
Hongera sana mwijaku
Congratulations to both of them, it's q beautiful and very modern home. Amazing view and finishes.
I'm so proud of you ❤❤❤❤❤
MashaAllah ❤❤❤
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice. Hongeraaaaa sana Broo
Congratulations Mr mwijaku mungu azidi kukutia nguvu,,,, one day nitakuja kuishi nyumba kama hiyo
Hongera sana MWINJAKU NA MKEO 🎉
Congratulations to Mwijaku.I respect you bro
Brother unafanya mambo vizuri lakini Acha kumsema vibaya diamond kwa kuwa wewe muislamu kwani Mtume Muhammad alisema eli ya mchawi kuliko mnafiki piga kazi achana na mambo ya Dunia my brother respect
Pongezi sana kaka mwijaku hongela sana pia kwa shem mkisapotiana mambo hayakwami
Mashallah kweli wanakuona chizi lkn upo vizuri sana hongera 😘😘😘😘
Ongera sana M mwijaku, mwanamke anajitambua sana uyo.
Am so proud of this 🥰🥰🥰🥰✌️
Mwijaku shikamoo skudharau tena nisamehee🙏🙏
Du hongera sana DC umejitahidi sana nyumba nzuri sana
Hongera Kaka Yangu Mwijaku Karibu Japan 🇹🇿🇯🇵 👍
Nikaribishe pia😂
Hapo nimekukubali Mwijaku wewe ni zaidi ya Baba Levo ongera sana bro much ❤from D.R.CONGO. Tunawafatilia sana
Hongera sana kamanda mwijaku
Hongera mwijaku umeweza
Congrats mwijaku🇰🇪
mwijakua kumbe alikuwa anatafuta kitu akili nyingi sana big up
Daaah hili funzo kubwa ukiona Mwanaume amefanikiwa ujue Kuna mwanamke shujaa nyuma yake
Congratulations bro mwijaku
Hongera sanaa
Saluty hongera umepambana
Usimdharau usiye mjua,tukikuona mtandaoni na usemaji wako tunakuchukulia poa, big up Bro
Hongereni sanaaaa
Hongereni Sana Masha Allah
Kumbe jamaa ana akili nyingi Duuuh 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿big up sana chawa namba moja
Dah aisee hongereni sana...
Congratulations 🎊 my brother
Hongera saaana DC Mwijaku umeupiga mwiiingi
For sure na enjoy sana life la huyu jamaa,I'm so inspired👋
Hongera sana my brother umeweza na umeweza Tena ❤❤❤ karbu kigambon
Nyumba Yako au ya mkeo😅
MashaAllah Allah azidi kukubarikieni
hongera kwake ila aache kusema kaiheshimisha kigamboni,kigamboni ni next level kuna nyumba hyo ya kwake ni takataka
Hongera Sana tunakitu kikubwa cha kujifunza sisi Vijana hongera Sana brooo
Mashallllah naic
Street ICON 🙌🏽
Aki wacha niweke comment..kwahii story because bibi ya bro mwijaku amenigusia moyo wangu unacho tamani yani mwanamke mwema niyule anae sikizana na mme wake na ningependa kumpongeza bro mwijaku kwakupata jiko jema ...much love kwa wote bro na shem late me say i love this family god bless them....be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
Wow Mwijaku Mashallah
Congratulations mwijakuuu 🎉🎉
Congratulations 🎉🎉
Big up sana mwijaku.
Yaaaaan leo mwijaku umejua kujiangaisha na hii mitandao hongera sana mwijaku ❤
Mashaallah tabarakallah mabrouq alfu mabrouq
Mashaallh ❤
Mwijaku hongera kaka pamoja na shemeji yangu ila wanaowaona mnaelezea mafanikio yenu wanadhani kuwa ukimuona nyani kazeeka hawajui kama karuka mishare mingi, pengne hebu uwe na kipnditu cha kuwaeleza au kutoa magum kidogo ili wajifunze kuvumilia kwenye familia vijana hata mababa wakileo ,
Ongera sana kaka mwijaku
Umeuwa sana lakin kaka
Lakin jiandae wasanii
kutokukuripa ovyo ovyo
Kwa pale utakapo waongelea
Maana tayari wamesha stuka
Kuwa wanakutajirisha
Yabila wao kujua kwaiyo
Kaka mwijaku jiandae vzr
Kwa hilo broh wangu
Masha Allah blessed
Hongera mwijaku
Ma sha allah Allah awalinde vijicho kaka yangu wewe na family yako
Well done, big up sana
Hongela sana
Hongera Sana