MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 102

  • @GraysonNnyari
    @GraysonNnyari Месяц назад +4

    Wewe ni mtu mmojawapo ambae unajielewa sana Godlove na ninakukubali sana,maana unajielewa na kujiyambia kuwa imeletwa Duniani kumiliki na kufurahia maisha,I love you so much Chief,, NEVER GIVE UP 💪💪

  • @clifadishali1660
    @clifadishali1660 День назад

    Ajui nimbalikiwa wa nani jamani kumbuka unako enda kuomba kwa uyu profit umepotea

  • @lawrenceleonard2007
    @lawrenceleonard2007 Месяц назад +5

    😅😅😅😅😅 Salim Bakhresa amekaa zake kimya tu uku anamuangalia kijana nakusema daaah, ivi namimi ningekua limbukeni kama huyu leo ata Azam kampani ingekuwepo?

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 Месяц назад +1

    SIKILIZENI KWA MAKINI KASEMA JIRANI YA CLOUDS FM BADALA YA CROWN FM YANI HUYU BADO AKILI YAKE IPO CLOUDS

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 27 дней назад

    Ni sahihi kabisa kuna wakati unaweza fanya kitu alafu unakumbuka kuwa hiki kitu mbona kama nilishawahi fanya, kwa kifupi kuna maisha fulani ambayo unaona kabisa ulishawahi kuyaishi lakini ndio Ivo unashindwa kuelewa.
    Au unaweza fika sehemu alafu unaona kabisa kuwa ulishawahi fika.
    Huwa kuna wakati najisemea kuwa mbona Kuna vitu vinajirudia ktk maisha yangu.
    Lakini humuambii mtu unajiuliza mwenyewe tu.

  • @GetfordMasehe-v7i
    @GetfordMasehe-v7i Месяц назад

    Nakukubali sana pia nakuheshimu sana Mungu akupe maisha marefu

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 Месяц назад +1

    Kumbe aliwapooza kwanza watangazaji ndo maana wakashindwa kumuuliza maswali yaa msingi😂😂😂

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Месяц назад +1

    Watu wako kwenye kazi zao hata akiwa kitoboto ,maishayake kachagua ,ukiweza iga.

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Месяц назад

    ❤❤❤❤from.kenya

  • @AMOSIDAUDI-k4g
    @AMOSIDAUDI-k4g Месяц назад +1

    Sasa huo sio uchawa huo ni ukunguni

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Месяц назад

    Godlike nimekuku bali,hongera kwa.hili unalilifanya

  • @germainmukandamamauridi3112
    @germainmukandamamauridi3112 Месяц назад

    Ila Mwijaku, come on guy
    Yaani ulinifuraisha sana kwa kauli yako ya kuokota na ukaokota tena

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Месяц назад +6

    Nilichogundua ni kwamba ukiwa na laki 4 bongo unasumbua 😅😅

  • @emmanuelpeter7959
    @emmanuelpeter7959 Месяц назад +1

    😢choosen oneeee

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 23 дня назад

    Ninyi mnaomtukana chief acheni usenge,,,mimi sio mshilika wa chief lakini kwa misaada anayotoa kwa wamama namkubali sana..manemo yenu machafu hayatamfanya afilisike kwanza ndo mnamuongezea watu wanaomfaata na kumsikiliza

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +2

    Watu wa ofisini..mtake misitake mtachangamka kilazima😊

  • @BoniphaceSimon-i2e
    @BoniphaceSimon-i2e Месяц назад

    Yani huyo mwijaku anavyofurahi utadhani malaya aliyeona pesa😂😂😂

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl Месяц назад +2

    Nakuku bari San chifu

  • @AdenBernard-ll4xo
    @AdenBernard-ll4xo Месяц назад

    Ni noma sana

  • @MaisalaMamboe
    @MaisalaMamboe 12 дней назад

    Mimi napita jaman

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 Месяц назад

    Ndiyomaana tunakuwa mashoga wengi pia huyu chief atokani na mungu

  • @kalebomawande6057
    @kalebomawande6057 28 дней назад

    Ukitaka kufilisika vua hayo mapete mpuuzi na muongo hapo unafanya hivyo kwa masharti na siku zako si nyingi

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 Месяц назад

    Duuuh mwijagu uchawa umeuanza lini jamani ila unafaa

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Месяц назад

    Ni.kweli.kaka.

  • @StalinAlphonce
    @StalinAlphonce 17 дней назад

    Huyu jamaa ni nani? Mganga au?

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Месяц назад +1

    Et cloud fm

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy Месяц назад

    Kabisa jmn wagangaaaa😥mmmhhh

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m Месяц назад

    NAOKOTA TENA KWA CHIEF ,PESA HIZI😂😂😂😂

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 Месяц назад +1

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo

  • @user-ti2ru9lk6v
    @user-ti2ru9lk6v Месяц назад

    Acha kupotosha watu ww si ulishawahi kujiposto unakunywa damu ww unasema unatoa kafara kijana WA ovyo sana ww acha kupotosha watu 🏃🏃🏃

  • @Kondowr
    @Kondowr Месяц назад

    Mmmm chief sio kweri even us we have money

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Месяц назад

    Jamaa ana ongea mpaka jasho linamtoka matakoni😂😂

  • @GenggengFashion
    @GenggengFashion Месяц назад

    Mwijaku anaweza kukufilisi walah

  • @marselsirlema681
    @marselsirlema681 Месяц назад

    Jirani wa clouds FM kivipi mwijaku

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Месяц назад

    kijana wa hovyo kabisa

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv Месяц назад

    Kweli boy

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Месяц назад

    Kwahiyo mwijaku chawa tena

  • @ellykaka2360
    @ellykaka2360 Месяц назад

    Mwijaku da!!😂

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Месяц назад

    Mwijakuuu wqmotooo

  • @quainfaithful-q3n
    @quainfaithful-q3n Месяц назад

    Ilaa mwikaku😂

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Месяц назад

    hiyo kusaidia mayatima na wajane kila mtu akifanya anafanikiwa acha kudanganya watu

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Месяц назад

    Punguzeni ushamba mbona hapa zenji kuna watu wanapesa Havana Hata zakuzifanya

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Месяц назад

    Ogopa mtu chawa nikama upele unavyowashaga taka usitake utaukuna tu 🤣🤣🤣

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 Месяц назад

    Walikuja Watu Kama Hawa Na Wakapotea Pia Dunia Ina Siri Kubwa Sana

  • @samjm7330
    @samjm7330 Месяц назад

    Huyu jamaa hafiki mbali hii siyo sifa ya matajiri

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Месяц назад

    Yani huyu mwijaku kajimuliya kuomba hella

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Месяц назад

    kwa hiyo kwemda kwa viongoz wa dini ndio matatizo yanaanzia kweli huyu amelaaniwa aisee huyu ni shetani aisee

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Месяц назад

    Huyu jamani hatafirwa jamani

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Месяц назад +11

    Dah, serikali isipochukua hatua za haraka kuzuia uchawa, vijana wengi wanaweza kuangukia kwenye janga hili, hivyo nchi kupoteza nguvu kazi tegemeo

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Месяц назад

    Huyu mwijaku hata forward jamani

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Месяц назад

    👊🔥

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Месяц назад

    Warundi wa kigoma mmetupita kwa sifa

  • @Kondowr
    @Kondowr Месяц назад

    You cant fine money without support from someone

  • @meowzna
    @meowzna Месяц назад

    🎉🎉👍👍

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Месяц назад

    Tufanyaje

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d Месяц назад

    Agents of colonialism is back again in another way utawala mpya umeanza kuandaliwa kidogo kidogo people huu ndio ule mda wa kufunga na kusali huyu Kuna watu wapo nyuma yake.

  • @RichWise671
    @RichWise671 Месяц назад +1

    😂😂😂🎉😊

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v Месяц назад +1

    Jamaa kapendeza

  • @user-hd7gs5by4s
    @user-hd7gs5by4s Месяц назад

    Tujiunge wap

  • @SuperkarimBenzema-o1h
    @SuperkarimBenzema-o1h Месяц назад

    Omba omba wamekuja kw mfumo mwengine

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 27 дней назад

    Mfano kuna tukio huwa naona kabisa nililiona lile la adam na hawa wakiwa bustanini, hadi sehemu huwa naikumbuka lakini sielewi kwa nini?
    Huwa sipati majibu why? au naweza fanya kitu ambacho naona kabisa nilishawahi kukifanya ni kama vile vinajirudia .

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Jitu zima ujinga mtupu

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 Месяц назад

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo