DOTTO MAGARI AMJIBU MWIJAKU SINA LAANA DEGREE YAKO SI CHOCHOTE BABALEVO AMEKUSHINDA ANA MEDIA YAKE
HTML-код
- Опубликовано: 6 июн 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online Развлечения
Mm nakupenda kaka doto❤❤❤ unanikosha ukinitajia kwetu kizimkazi
Sasa dotto mbona hata wewe unawasemaga wenzako nyie wote ndo system zenu
hawa ni chama kimoja hamna kitu hapo, influensaaaaaa"""""""""""""""""""
Kinyerez kwa Maboss weeeeee Chawaaa
Mchizi kapanic inawezekana kashikwa pabaya na Mwijaku
Kweli dotto mwijaku hana akili angekuwa ana akili asingekuwa anawongea watch vibaya wasiokuwa na hatia
Doto ni fire😂❤❤
Na kweli magari ni mabati tu,anaongea ukweli
Nakubali mtoto wa mama kizimkaz naapa ipo
Wigi limepauka kwa upepo 😅
😂😂😂😂dotooo atiii ulikua mukabaji😮😅😅
Namba za Mungu Dah mtihani Mungu atakujibu muda ukifika
tafakuri alichomaanisha kaka😂😂😂
Ukitafsiri juju unaweza kusema amekosea ilaa Namba za mungu ni 07 IBADA. SADAKA . ZAKA. NA YALEO YOTE YANAOMBENDEZESHA WW ZIPIGE HALAFU TUONE UCFANIKIWE
Mbona anakufuru huyu jama anafìka mbali Allah amuongoe pumzi zisimuhadae awe makìni anapoongea
Ila huwez jua mungu anaemzungumzia yy mana siku hzi watu wana miungu wengi
Yaani huyu jamaa hawezi kuongea mwanzo mwisho usisikie Mama kizi mkazi😂😂😂😂😂😂😂😂
Je ? Kuna kwali ndani yake Jamani Ivi doto magari ni mtoto wa mzee magari naonba jibu ?
❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Dotoooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Awe msafi
Doctor?nishidaaa
Kweli jamaa alikuwa mwizi
Eti nikupe namba za mungu😂😂
Gereza
❤❤❤🎉🎉Nakupendagha bule
Jumps Jumps No Position
Acha kulia lia
Amna kitu hilo
Acha makasiriko
Acha wiv
Huyu mwizi kweli kweli
😂😂😂😂😂😂😂JAMBO ZITOOOO
❤❤❤😂😂😂😂
😂😂😂
Doto ulinikabaga ww kibaka
akukabe mayai huyu basi we nae mayai
😂😂😂
Dotto hanaga akil kelele tu pia anazalau
Mvuta bangi tangu lini akawa na akili
Bangi ni dawa so what is a problem?
Oi bangi iheshimiwa please Naomba nipo chini ya miguu Yako bangi usihusishe na vitu vya kijinga hivi. 🙏@@annamapunda431