MWIJAKU DOTTO MAGARI AMEISHIA LA PILI ALIKUWA MWIZI ASISHINDANE NA MIMI MAGARI YANGU NI 0km SI KAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

Комментарии • 47

  • @husseijuma1025
    @husseijuma1025 Месяц назад +2

    Bro mwijaku hiyo nguo nimeilew big up,umependez

  • @AthumanKadi
    @AthumanKadi 2 дня назад

    Mwijaku huku kenya tena mombasa si nairobi kufungua mlango wa gari kutumia remote mbona vitu vya kawaida sana.Milioni moja tu ya kenya unapata gari la kutumia remote kufungua mlango.

  • @kambiamurosk6684
    @kambiamurosk6684 Месяц назад +2

    Ila harmonize banaaa 🤣🤣🤣🤣 balaaa kweli kweli iyi 🤣

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y Месяц назад +1

    Acha mdomo wa kuongelea wanaume wenzio ongea maisha acha ushamba

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 23 дня назад

    Ati sheria a China anaanza na subsection. Mwijaku usomi wako ni wa mashaka sana.

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 16 дней назад

    Kwaomba funguo kibaya hata kufungua hajui batani gani

  • @AfroMusicCover25
    @AfroMusicCover25 Месяц назад +1

    Aaah wee silali na deni... MPUMBAVU MWENYEWE
    Uwezi sema watanzania ni wapumbavu.... chunga sana ulimi wako

  • @TumpeZakaria
    @TumpeZakaria Месяц назад +1

    Kweli sisi watanzania wapumbavu mana pamoja na kututukana lakini bado haohao wanahabari wanakuoji!!!!

  • @MayasaAsaa-d6n
    @MayasaAsaa-d6n Месяц назад +4

    Muongo jamaa rmb3000sawa na 1.2jamaa jinga sana ilo

    • @enockadam8509
      @enockadam8509 Месяц назад

      Haaaaa ni kweli kabisaa katupiga😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 27 дней назад

    Watanzania wapumbavu daaah

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 28 дней назад

    Salut kwa @ mwijaku hio mlango kufunga na kufungika hata nissan za mombasa malindi zafunguka hivo hazina hata condakta.. punguza uongo kaka

  • @jumaluhinda871
    @jumaluhinda871 Месяц назад +1

    mkeo na baba yako nao ni wapumbavu asante sana

  • @husnimbarak-gf5ez
    @husnimbarak-gf5ez Месяц назад

    Doh huko Tanzania watu ni washamba sana

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 27 дней назад

    Eti watanzania walivobwege watapost tuu daaah, sie watanzania mabwege imeniuma hiii.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +1

    Gari imegoma😊

  • @claudeyuma406
    @claudeyuma406 Месяц назад

    gari yaku uza nayo korosho sokoni 🇨🇩, wa Tanzania uruma sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад +1

    KWAIYO SISI WANATZANIA NI WAPUMBAVU SIO

  • @user-kf9sd1qi9g
    @user-kf9sd1qi9g Месяц назад

    M nahc hata hyo doha 1 hujui n sw na bei gan Tsh/=

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Месяц назад

    Daaaaah🤣🤣🤣Mwijaku matataaa 😂😂

  • @Marwawilliam
    @Marwawilliam Месяц назад

    Rmb 3500 ni dola 2000 duuuh Rmb 3500 ni sawa na dola 482 kibongo ni kama 1.3

    • @abukhamis7178
      @abukhamis7178 Месяц назад

      Uko right kabisa bro huyu jamaa ni muongo balaaa😂😂

  • @Baira240
    @Baira240 Месяц назад

    Kuna comments zinachekesha sana😂😂😂mnavyo jua bei za magari utazani mnamiliki hata baisikel😂😂

  • @ibrahimkhatib760
    @ibrahimkhatib760 Месяц назад

    Hio no 1290000 hapa ulitpg changa

  • @AshuraAdam-o7q
    @AshuraAdam-o7q Месяц назад

    Acha usha mba

  • @ibrahimkhatib760
    @ibrahimkhatib760 Месяц назад

    Rmb 3500 milion 6 huyu mbona kapaish penalt

  • @kwelimohamedtrueman1282
    @kwelimohamedtrueman1282 Месяц назад

    Sisi watanzania wapumbavu wewe raia wa wapi?

  • @Nassor2377
    @Nassor2377 Месяц назад

    Hizo kilomiter zinarejeshwa dubai mimi binafsi nilirudisha kms from laki na 30 hadi elfu 60 kms

  • @hajijuma9588
    @hajijuma9588 Месяц назад +2

    Hiyo gari ni used zerro kilomita huwezi kuipata kwa milioni 50

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Месяц назад

    Kumbe nawe ni kitunguu umelipiwa Sasa we si Bora ushonwe tu

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Месяц назад

    Hyu jamaa mbon anadharau san yani watanzania ni wapumbavu kwel ?

  • @j...876
    @j...876 Месяц назад

    Mwijaku na babalevo wana tu chezea sana

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Месяц назад

    Bado Domo lipo vile vile 😂

  • @godnhosimon7581
    @godnhosimon7581 Месяц назад

    Asa ndo aweke na viatu humohumo kama kabati

  • @nordinebaraca4635
    @nordinebaraca4635 Месяц назад

    Watanzania wapambavu🤔🤔🤔🤔👀

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Месяц назад

    Achauongo wewe 😂

  • @AshuraAdam-o7q
    @AshuraAdam-o7q Месяц назад

    Acha uwo ngo dogo

  • @UmmyJames
    @UmmyJames 27 дней назад

    Wadishi wa habari ni wajinga sana

  • @meddy6090
    @meddy6090 Месяц назад

    Wee jamaa nimuongo sana sema we ndo mshamba nani asie panda iyo ndege

  • @issahoza2236
    @issahoza2236 17 дней назад

    Watanzania wajinga na mabwege siyo ?

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Месяц назад

    Wote watanzania wapumbuvu wajinga Hadi rais na viongozi wa dini

    • @Kaambale-ve5el
      @Kaambale-ve5el Месяц назад

      Wewe ndo mpumbavu kwa kiasi kikubwa,mbona unaongea mambo ya ovyo aisee ,yaani sisi tuweje w apumbavu pamoja na raisi wetu,,mbona kaka unatudharau hivyo aisee

    • @BakarySalim-xn7po
      @BakarySalim-xn7po Месяц назад

      Wewe ukija kutengwa ndugu zako wasikutafute

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Месяц назад

      @@BakarySalim-xn7po Mimi au Alie sema watanzania wapumbuvu na wajinga