CHIEF GODLOVE: NAONYESHA UTAJIRI WANGU ILI MUUMIE/UTAJIRI WA DIAMOND HAUTISHI/VIMBAO NA PESA/MWIJAKU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Tumepiga Story na CHIEF GODLOVE
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Jamaa anajibu fact sana smart iyo energy 🙌
Brother, I have accepted you very much, I am in the USA 🇺🇸
Chief umeongea neno ambayo imenigusa , kwamba kama hauja zungumziwa nawatu kwamba kidogo ulichonacho umesaidia laba unazitoa ngambo yapili.kwahio mambo hayo yapo kiukweli , asante sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani kunasiri mkubwa sana ila mm naelewa nivile watu kutokujijua tu ila binaadamu tuna viumbe tumezaliwa nao ndio utajili wako
Madjini
Gani hiyo
Unamaana gn
Kweli kabisa hiyo point sana ukifanya hivyo utafanikiwa zaidi dana
Much respect to you CHIEF GODLOVE
Umetisha Sana kiongozi wangu, tupo pamoja
laki moja moja hizo
Yah hiyo nakubali ukiona huitwi majina kama hayo ujue bado hujatoboa
Kweli kabisa kabisa uko sahihi
Leo umeongea point.
Ukitaka kuishi kwa amani na raha duniani basi usijionyeshe wala usijigambe kwa sababu maisha nimafupi sana na kama unaakili timamu basi kamwe auwezi kuringa sisi wote nimchanga tuu
The guy has wisdom in his talks
Huyu jamaa anajua anachokifanya hapana jamani wamwache na maisha yake Mimi namkubari sana
Kwani ni Rais au lais
Hehehe ati hakuna...
Jamaa anadharau sana eti maskini hapendezi
Kwahiyo chifu amekataa MUNGU Aishi mbinguni
Oya we acha ujinga huo 😂😂😂
Nimefrahi sana ulipomjibu msenge mwanahabari,wadiisha umeguna kisha ukamwambia Hilo swali unataka kuniuliza swali la kinafki sana 😂😂😂😂
PESA HAIWEZI KUKUPA AMANI WALA FURAHA UKITAKA KUISHI KWA AMANI NA FURAHA USITAMANI PESA WALA KUTAKA VITU VYA SAMANI MAANA SISI WOTE NIMCHANGA SISI WOTE NI MAREHEMU
100,000 ×1000 embuzidiaheni apo kama hampi mtaji huyu jamaa ina maana the more watu wa join.. Anapata mzigo
Chief, how can I find him or how can I get his number because I talk to him and I live in the United States in Chicago
Huyo jamaa mganga wa kienyeji nini mbona una pete vidole vyote 😅😅😅
😂NI MR IP
We jamaa hufai hata kufundisha elimu dunia mpotoshaji
Mimi niko mkoa wa kagera
Yani chifu mimi Nakupenda sana masomo yako nimeyadanarodi nikiyasikia yananipa NGUVU ya kupambana na kujiamini kwamba inawezekana kufanijiwa.kabisa
Pesa haitafutwi ila inategewa mtego huyo chief tyr ametega tyr kwa hiyo tumuelewe
Fidd kim✌️✌️❤️❤️
Stop wasting time the guys confuses youth to do unbelievable things to get money....this is an end world and people worship the devil to get money...uyu n free mason msizingulike kirahisi bana....
ndio uzuri waumie
Kweli kiangozi wetu
nimesema unatakiwa ufanye nini.......huelewi😂😂 6:46
Watu elfu moja apo Kwa haraha kashapiga ml100
Mwandishi wa hbr umepata somo apo
PESA ZA MASHARITI ,KUTOKUOA HATA SISI TUNAJUA HIZO JIA ILA YESU ATOSHA
Toka hapa kwani si wengine hajitumi familia zetu unazilisha ww🤣🤣🤣🤣
uhakika ata asinge kuja wala kukuhoj an
Mumeuona nyau nyau juu ya ukuta😂
Vigari vya madogo mtaani
Kiongozi vap ilimo watu
Sasa anatataka kuwaongopea vijana ndio anazitafuta pesa sasa hizo laki moja zenyu ndio utajiri wake ...show imeisha sasa anataka kuvuna kutoka kwa vijana investment imenawiri sasa anavuna...sasa ndio wajinga mtamtajirisha huyu pimbi kweli mjini akili nguvu vijijini...ponzi scheme 😂😂😂
Kweri
Mumuache uyo kijana anafanya promotion ya 666
Na ni raisi sana kukuwa kama yeye ila siyo vizuri
Ni chapa ya 666 watawaunganisha wengi kupitia pesa musahada wa mwanadamu ni yesu tu mungu atusaidie
Kama huna D mbili huezi elewa
Mama kazaa chema
Mwizi huu anatapeli wajinga laki Moja moja
umelogwa ww
Wewe unakunwa😂
😂😂 ndio nn hapo..
Kuna hiyo, au freemason
Hizo pesa anazogawa sio za jasho wala mipango ni blood money aache kupotosha watu watu wanapoteza mda kufatilia watu kama hawa pesa ni Siri pesa ni Siri tufanye kazi watanzania tuache hawa watu wa network Sisi tuishi Kwa uhalisia wetu
We ndio unapotosha watu,,,pambana uondokane na mawazo ya kijinga
@@BensonAlex-w7l watu tunapambana haya maisha usilolijua ni ucku wa Giza wew mwenyew hapo ulipo mtaan kwako I think kuna matajir unawajua ushawahi kuona wanafanya ujinga kama huu hii mitandao inawapoteza Sana mnapelekea kuiga maisha ya watu bakin kwenye uhalisia wenu ni lini utakuwa na akili hawa watu wa system wanawapoteza Sana
Rengo tupambane uko poa dogo
Jamaa tapeli uyu 😂
Amekutapeli ??
Ukitaka kuharibu biashara Oa mke uone .
Hapo nmeondoka na mawili
1. Fanya yako usiangalie ya mtu
2. utajili ni siri
Kitendo cha kutaka kujua pesa anapataje hapo hujaangaika na yako unaangaika na yake 😂😂😂😂😂😂 chukua hio
100,000 ×1000 embuzidiaheni apo kama hampi mtaji huyu jamaa ina maana the more watu wa join.. Anapata mzigo
Sasa million 100 n hela gani dogo !!!!