CHIEF GODLOVE: NAONYESHA UTAJIRI WANGU ILI MUUMIE/UTAJIRI WA DIAMOND HAUTISHI/VIMBAO NA PESA/MWIJAKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Tumepiga Story na CHIEF GODLOVE
    ````````````````````````````````````````````````````
    Facebook Page @chazymedia
    instagram @chazymedia
    Tiktok @chazymedia
    ``````````````````````````````````````````````````````````````

Комментарии • 66

  • @funnytv9361
    @funnytv9361 2 месяца назад +4

    Jamaa anajibu fact sana smart iyo energy 🙌

  • @Nanata1995
    @Nanata1995 2 месяца назад +2

    Brother, I have accepted you very much, I am in the USA 🇺🇸

  • @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE
    @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE 2 месяца назад +2

    Chief umeongea neno ambayo imenigusa , kwamba kama hauja zungumziwa nawatu kwamba kidogo ulichonacho umesaidia laba unazitoa ngambo yapili.kwahio mambo hayo yapo kiukweli , asante sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JumaMembe-k4x
    @JumaMembe-k4x 2 месяца назад +14

    Jamani kunasiri mkubwa sana ila mm naelewa nivile watu kutokujijua tu ila binaadamu tuna viumbe tumezaliwa nao ndio utajili wako

  • @MbweaWajangwani
    @MbweaWajangwani 2 месяца назад +1

    Kweli kabisa hiyo point sana ukifanya hivyo utafanikiwa zaidi dana

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 2 месяца назад +2

    Much respect to you CHIEF GODLOVE

  • @TumainiAnthony-xe9gt
    @TumainiAnthony-xe9gt 2 месяца назад +1

    Umetisha Sana kiongozi wangu, tupo pamoja

  • @RaphaelMgaya-ms5hy
    @RaphaelMgaya-ms5hy Месяц назад

    laki moja moja hizo

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 2 месяца назад +6

    Yah hiyo nakubali ukiona huitwi majina kama hayo ujue bado hujatoboa

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 2 месяца назад

    Kweli kabisa kabisa uko sahihi

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 2 месяца назад +2

    Leo umeongea point.

  • @Nicholasasu-s5q
    @Nicholasasu-s5q 2 месяца назад

    Ukitaka kuishi kwa amani na raha duniani basi usijionyeshe wala usijigambe kwa sababu maisha nimafupi sana na kama unaakili timamu basi kamwe auwezi kuringa sisi wote nimchanga tuu

  • @vinceochieng9619
    @vinceochieng9619 2 месяца назад +1

    The guy has wisdom in his talks

  • @BornifaceMwampulo
    @BornifaceMwampulo Месяц назад

    Huyu jamaa anajua anachokifanya hapana jamani wamwache na maisha yake Mimi namkubari sana

  • @SalomeflavioManhique
    @SalomeflavioManhique 6 дней назад

    Kwani ni Rais au lais

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 месяца назад +1

    Hehehe ati hakuna...

  • @DeoUrio-k6f
    @DeoUrio-k6f 2 месяца назад

    Jamaa anadharau sana eti maskini hapendezi

  • @ObediMwakapiki-yv7kf
    @ObediMwakapiki-yv7kf 2 месяца назад

    Kwahiyo chifu amekataa MUNGU Aishi mbinguni

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 2 месяца назад

    Oya we acha ujinga huo 😂😂😂

  • @salimchibonge5446
    @salimchibonge5446 2 месяца назад

    Nimefrahi sana ulipomjibu msenge mwanahabari,wadiisha umeguna kisha ukamwambia Hilo swali unataka kuniuliza swali la kinafki sana 😂😂😂😂

  • @Nicholasasu-s5q
    @Nicholasasu-s5q 2 месяца назад

    PESA HAIWEZI KUKUPA AMANI WALA FURAHA UKITAKA KUISHI KWA AMANI NA FURAHA USITAMANI PESA WALA KUTAKA VITU VYA SAMANI MAANA SISI WOTE NIMCHANGA SISI WOTE NI MAREHEMU

  • @karimhussein1413
    @karimhussein1413 2 месяца назад +2

    100,000 ×1000 embuzidiaheni apo kama hampi mtaji huyu jamaa ina maana the more watu wa join.. Anapata mzigo

  • @user-vs3tn2lm9s
    @user-vs3tn2lm9s 2 месяца назад

    Chief, how can I find him or how can I get his number because I talk to him and I live in the United States in Chicago

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 2 месяца назад

    Huyo jamaa mganga wa kienyeji nini mbona una pete vidole vyote 😅😅😅

  • @JERRYMWAKABONA
    @JERRYMWAKABONA Месяц назад

    😂NI MR IP

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 2 месяца назад

    We jamaa hufai hata kufundisha elimu dunia mpotoshaji

  • @josephkamanzi
    @josephkamanzi 2 месяца назад

    Mimi niko mkoa wa kagera
    Yani chifu mimi Nakupenda sana masomo yako nimeyadanarodi nikiyasikia yananipa NGUVU ya kupambana na kujiamini kwamba inawezekana kufanijiwa.kabisa

  • @hamisimwakatobe706
    @hamisimwakatobe706 2 месяца назад

    Pesa haitafutwi ila inategewa mtego huyo chief tyr ametega tyr kwa hiyo tumuelewe

  • @FidkimKim
    @FidkimKim 2 месяца назад

    Fidd kim✌️✌️❤️❤️

  • @kizazisanagang
    @kizazisanagang 2 месяца назад +3

    Stop wasting time the guys confuses youth to do unbelievable things to get money....this is an end world and people worship the devil to get money...uyu n free mason msizingulike kirahisi bana....

  • @barakambise6494
    @barakambise6494 2 месяца назад

    ndio uzuri waumie

  • @JoaquimMashalangende-fw7xs
    @JoaquimMashalangende-fw7xs 2 месяца назад

    Kweli kiangozi wetu

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 2 месяца назад

    nimesema unatakiwa ufanye nini.......huelewi😂😂 6:46

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz 2 месяца назад

    Watu elfu moja apo Kwa haraha kashapiga ml100

  • @WilfredWilfred-v5q
    @WilfredWilfred-v5q 2 месяца назад +1

    Mwandishi wa hbr umepata somo apo

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 2 месяца назад

    PESA ZA MASHARITI ,KUTOKUOA HATA SISI TUNAJUA HIZO JIA ILA YESU ATOSHA

  • @wazirijunior3343
    @wazirijunior3343 2 месяца назад

    Toka hapa kwani si wengine hajitumi familia zetu unazilisha ww🤣🤣🤣🤣

  • @BarakaJosephat-d1s
    @BarakaJosephat-d1s 2 месяца назад

    uhakika ata asinge kuja wala kukuhoj an

  • @AholeLifilima
    @AholeLifilima 2 месяца назад

    Mumeuona nyau nyau juu ya ukuta😂

  • @MichaelPoison-fv8jo
    @MichaelPoison-fv8jo 2 месяца назад +2

    Vigari vya madogo mtaani

  • @JoaquimMashalangende-fw7xs
    @JoaquimMashalangende-fw7xs 2 месяца назад +1

    Kiongozi vap ilimo watu

  • @bigmtoro
    @bigmtoro 2 месяца назад +1

    Sasa anatataka kuwaongopea vijana ndio anazitafuta pesa sasa hizo laki moja zenyu ndio utajiri wake ...show imeisha sasa anataka kuvuna kutoka kwa vijana investment imenawiri sasa anavuna...sasa ndio wajinga mtamtajirisha huyu pimbi kweli mjini akili nguvu vijijini...ponzi scheme 😂😂😂

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 2 месяца назад

    Kweri

  • @falialaofficiel7335
    @falialaofficiel7335 2 месяца назад +1

    Mumuache uyo kijana anafanya promotion ya 666
    Na ni raisi sana kukuwa kama yeye ila siyo vizuri

    • @annanamuyala
      @annanamuyala 2 месяца назад

      Ni chapa ya 666 watawaunganisha wengi kupitia pesa musahada wa mwanadamu ni yesu tu mungu atusaidie

  • @HappyBabyOctopus-es2iy
    @HappyBabyOctopus-es2iy 2 месяца назад

    Kama huna D mbili huezi elewa

  • @MichaelPoison-fv8jo
    @MichaelPoison-fv8jo 2 месяца назад

    Mama kazaa chema

  • @uwayomisago5694
    @uwayomisago5694 2 месяца назад +3

    Mwizi huu anatapeli wajinga laki Moja moja

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 2 месяца назад +1

    Wewe unakunwa😂

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 2 месяца назад +1

    Hizo pesa anazogawa sio za jasho wala mipango ni blood money aache kupotosha watu watu wanapoteza mda kufatilia watu kama hawa pesa ni Siri pesa ni Siri tufanye kazi watanzania tuache hawa watu wa network Sisi tuishi Kwa uhalisia wetu

    • @BensonAlex-w7l
      @BensonAlex-w7l 2 месяца назад

      We ndio unapotosha watu,,,pambana uondokane na mawazo ya kijinga

    • @DavidMbwilo-qk1bz
      @DavidMbwilo-qk1bz 2 месяца назад

      @@BensonAlex-w7l watu tunapambana haya maisha usilolijua ni ucku wa Giza wew mwenyew hapo ulipo mtaan kwako I think kuna matajir unawajua ushawahi kuona wanafanya ujinga kama huu hii mitandao inawapoteza Sana mnapelekea kuiga maisha ya watu bakin kwenye uhalisia wenu ni lini utakuwa na akili hawa watu wa system wanawapoteza Sana

  • @NursamiaKiligaliga
    @NursamiaKiligaliga 2 месяца назад +1

    Rengo tupambane uko poa dogo

  • @marlonstudios4408
    @marlonstudios4408 2 месяца назад +1

    Jamaa tapeli uyu 😂

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 2 месяца назад

    Ukitaka kuharibu biashara Oa mke uone .

  • @AhjuceAqeeb
    @AhjuceAqeeb 2 месяца назад +1

    Hapo nmeondoka na mawili
    1. Fanya yako usiangalie ya mtu
    2. utajili ni siri
    Kitendo cha kutaka kujua pesa anapataje hapo hujaangaika na yako unaangaika na yake 😂😂😂😂😂😂 chukua hio

  • @karimhussein1413
    @karimhussein1413 2 месяца назад +1

    100,000 ×1000 embuzidiaheni apo kama hampi mtaji huyu jamaa ina maana the more watu wa join.. Anapata mzigo

    • @BensonAlex-w7l
      @BensonAlex-w7l 2 месяца назад

      Sasa million 100 n hela gani dogo !!!!