CHEF GUDLOVE AMWAGA MCHELE/ HII NDIO SIRI YA UTAJIRI WAKE/ USO KWA USO NA MWIJAKU, UTACHEKA😂

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 234

  • @FreddymongaAsendemonga
    @FreddymongaAsendemonga Месяц назад +3

    DRC 🇨🇩 tunawapata vizuri sana Crown 👑👑👑 media

  • @Bandugu-b5p
    @Bandugu-b5p Месяц назад +15

    Ila jamaa angesema kilicho fanya afike hapo hayo mengine ya kusema eti atawapotosha watu ni uongo.

  • @tabyabelemwenebenga2311
    @tabyabelemwenebenga2311 Месяц назад +60

    Leo maskini tumesemwa mpaka basi 😅😅😅

  • @reginamayuto1357
    @reginamayuto1357 Месяц назад +16

    Tuna wapata vizuri sana kutoka Danmark 🇩🇰🇩🇰🇩🇰🇩🇰🤝❤️

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i Месяц назад +2

    Mwijaku BiG Up sana unajua kuhoji sana ❤❤❤❤❤❤❤ clouds wamepoteza jembe

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Месяц назад +2

    Anachokisema chief Godlove ni sahihi asilimia kubwa ya sisi wabongo ni mawakala wa watu wenye pesa tunakua na aibu ya kutafuta pesa hapo ndo tatizo tunaogopa maskini wenzetu✌️✌️✌️✌️🌷🌷🌷💯💯💯💯

  • @dinhamvenance7367
    @dinhamvenance7367 Месяц назад +17

    Anachosema ni kweli,Godlove tangu mdogo anaishi Kama tajiri 😅

    • @joelgodfrey5934
      @joelgodfrey5934 Месяц назад

      😂unemjuaa umeongeq

    • @AbdullahSalum-fu4ng
      @AbdullahSalum-fu4ng Месяц назад +1

      Acha kujifanya unamjuwa unataka kk 😂😂😂😂😂😂😂watakupaka mwamposaaaaaaaaà

  • @user-bq4qs7ht6b
    @user-bq4qs7ht6b Месяц назад +5

    Crown congratulations 😊

  • @Daniel_89_89
    @Daniel_89_89 Месяц назад +14

    Sio Chef ni Chief, sio Gudlove ni Godlove

    • @nuhumuhami731
      @nuhumuhami731 Месяц назад

      😂😂😂 wamezingua

    • @fellyvoicetv4433
      @fellyvoicetv4433 Месяц назад

      Wanatuangusha bhana media bado mpya kabisa kweli😂😂😂😂

    • @amaningobayi7114
      @amaningobayi7114 Месяц назад

      Hawajazingua that is our English of 2tay see yuuuu hahahah

    • @amaningobayi7114
      @amaningobayi7114 Месяц назад

      This is huge media.......

    • @user-ih9xy5vd5d
      @user-ih9xy5vd5d Месяц назад

      @daniel_89_89, jina lake kaliandika hivyo kwa sababu siyo mjinga kachagua, kaaamua kubadilisha tu, acha upimbi, mchizi yuko powa wewe una nini na kujua kuandika kwako? Roho ya kimaskini

  • @fredymike3494
    @fredymike3494 Месяц назад +6

    "Mtu amepata ajali anafia mikononi mwako kisa amekosa hela ya matibabu" Hii sentensi mbn kama haiko sawa ajali n emergency case ulienda hospital yoyote wanajali kwanza kuokoa maisha ya mtu alfu ndo malipo au Mimi ndo sielewi

    • @JumaMohamedi-t5f
      @JumaMohamedi-t5f Месяц назад +1

      Sasaivi dungu birapesa akuna uduma

    • @gastongowi672
      @gastongowi672 Месяц назад

      Asee hospital bila pesa wongo lazima uweke pesa mbele ndio vipimo ufanyiwe hivyo huna pesa kufa kwenye kiti nijambo la kawaida

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn Месяц назад

      Tema mate chini

    • @Ibrahim.Katera.
      @Ibrahim.Katera. Месяц назад

      Fanya utafiti zaidi ndugu.

    • @jacquesmoninga9245
      @jacquesmoninga9245 Месяц назад

      😂Aisee!!! Hiyo Mpya kabisa.
      Eti na yeye ni tajiri 😂😂😂 hivi matajiri wanawajuwa???

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 25 дней назад +1

    Huyo jamaa ni mjinga sana hakuna mtu aliewah kufanikiwa ndio maana biligate ni tajiri lkn kila cku anatafuta pesa huyo ni mshirikina na pesa za aina hiyo ni shida pia wanajuta sana maisha waliochagua

  • @jumamadala3849
    @jumamadala3849 Месяц назад +7

    mimi ni Juma Madala nikiwa south Africa Pretoria na wafatilia sana na peda gisi mwijaku akiwa kazini Klaus ni tofauti akiwa yeye na baba levo anani furaisha sana

  • @Akili820
    @Akili820 Месяц назад +6

    Yaani tujitume tu jamani 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @OchoaRealestate
    @OchoaRealestate 5 дней назад

    Basi kuna watu wanajua jamaa anamzigo kweli 😂

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 Месяц назад +1

    Hongera sana Chief Godlove kwa jitihada zako za utafutaji

  • @ramadhanmaulidmaulidramadhan
    @ramadhanmaulidmaulidramadhan Месяц назад +5

    umetixha sana chief nakukubar kiongozi wangu

  • @MamaJoseph-n9c
    @MamaJoseph-n9c Месяц назад +1

    Mike joseph from Malawi 🇲🇼

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 Месяц назад +3

    Chimakeke umeona Sasa. This is the greater chief Salut kama zote toka hapa na nyanya wako wa kizungu 😂😂😂😂

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 25 дней назад

      Chima ni hustler wew afu sio stunt creator km hao wase**" akina chef godlove

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 Месяц назад

    Godlove Wewe unajielewa sanaaaa. Namimi ninakuelewa 1).Hata ukitunana nikwa lengo la kumfanya MTU asikie hasira apende kuwa tegemezi kwahiyo ukiona MTU anakuchukia huyo anamaanisha amekuelewa SANA ila TU hapendi kukukubali anaumia kwanini unaweza kitu ambacho yeye hana!!? Kutoweza kwao wanaona kama umekuja kuwahukumu kwamba wao wameshindwa.

  • @RayzboyMwanzamwanzaclasicmusic
    @RayzboyMwanzamwanzaclasicmusic Месяц назад

    Yes boss

  • @Josephadson
    @Josephadson Месяц назад +1

    Upo sahihi kabisaa.....

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Месяц назад +12

    WANAUME TUTAFIUTE HELLA

    • @ShaelKimaro
      @ShaelKimaro Месяц назад

      Pesaaaa ndio kilakitu ndugu

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 Месяц назад +2

    Utawaonaje watu wenyeshida au unapatikana wapi?ili nije ninashida kweli

  • @Chef_Angie
    @Chef_Angie Месяц назад +1

    Crown fm hoyee! I have already subscribed

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini Месяц назад +2

    Hyo nikweli lakin tupe njia mojawapo chief 🎉🎉🎉🎉

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Месяц назад +5

    Uku kwetu nirifungua duka warivyo hona maendereo yangu wao wao wateja wakaja kufungua karibu na mimi apoapo

    • @Grayson-1k
      @Grayson-1k Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy Месяц назад

      We hata kuandika hujui

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi Месяц назад

      @@IkoUwasi-it6qy bona tunasiliyako ulibakwa

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla Месяц назад

      Ndo maana walikuzunguka kwasabab huwezi kutofautisha R na L

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi Месяц назад

      @@njoroboihastla nawewe tupe istolia yako ya kubakwa

  • @sumaiyaAisha-gc4jx
    @sumaiyaAisha-gc4jx Месяц назад

    Nakukubali sana chief wanao kuchukia achana nao vijana wengi awataki kufanyaa kazi

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Месяц назад +2

    Hayo mapete kumanina zenu ndo mauchawi yenyewe tumbafu

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati8980 Месяц назад

    Ukiachana na uongo uongo kijana anaongea fact, tuache kujaji mengne fuata point tu 🎉🎉

  • @bravomwakibango6485
    @bravomwakibango6485 Месяц назад +2

    Mwijaku mwamba unaakili sana kwenye swala la network unatisha sana

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад

    17:40 usonji sio vichwa maji (vichwa vikubwa), hayo ni matatizo mawili tofauti ya watoto. Watangazaji/waandishi mjielimishe kabla ya kuongelea jambo lolote.

  • @SelemwambaFrancis
    @SelemwambaFrancis 25 дней назад

    Toka italy 🇮🇹 nawapata vzr

  • @maulidimbona9420
    @maulidimbona9420 Месяц назад +1

    Nauchukia umasikini sanaa

  • @sumaiyaAisha-gc4jx
    @sumaiyaAisha-gc4jx Месяц назад

    Nakukubali sana kaka mkubwaa

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Месяц назад

    Ahsante sana jamaa yetu😂 sikuelewi ila umenikosha daaa❤

  • @uwezopower7551
    @uwezopower7551 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 big up sana.

  • @FreddymongaAsendemonga
    @FreddymongaAsendemonga Месяц назад

    Crown 👑👑👑👑👑 media

  • @user-xz8qt4cn9g
    @user-xz8qt4cn9g Месяц назад +1

    huyu akiwa darasa la sita frash zilikuwepo kweri mmmh🤣🤣🤣🤣

    • @EzzyEddy-nv6ti
      @EzzyEddy-nv6ti Месяц назад

      Anamaanisha CD ndiyo zilikuepo kipindi iko

  • @dragon4397
    @dragon4397 Месяц назад

    towa background music 🎶 mbona mnakuwa washamba nyiye editors

  • @fredobute804
    @fredobute804 Месяц назад +1

    By the way nyingi sana humu 😂

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z Месяц назад +3

    Huyu jamaa mm huwa namuelewa sana chief huna dhambi

    • @MD-sz5ti
      @MD-sz5ti Месяц назад

      Sasa wewe ndo unadhambi sasa acha kuongea ujinga

  • @dee-2420
    @dee-2420 Месяц назад

    Ishii Sanaa babaaa maisha nikuamua😮😮😮😮

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f Месяц назад +2

    Mm namkubali godlove tajiri waokwea kweli brooo🎉🎉

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili Месяц назад +2

    Hilo pua la mwijaku😂😂😂

  • @James-y3j2v
    @James-y3j2v Месяц назад +8

    Ukimuangalia Mwijaku amependa godlove kimahaba

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Месяц назад +1

    Katika maisha fanya kitu ambacho kipo kwenye ndoto yako sio kuiga utapotea afu badae utaisi yure mtu ni mchawi na utaferi kabisa fanya yako usipende kufatiria maisha ya watu utaferi kabisa

  • @ElastoMashine-nw2dz
    @ElastoMashine-nw2dz Месяц назад +1

    Kwa jinsi uyu jamaa anapenda ujiko keel pesa aina mwenyewe

  • @user-tn3gw5qv9e
    @user-tn3gw5qv9e Месяц назад +1

    ✍🏾

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson Месяц назад +1

    Umeacha shule darasa la sita lakini umeanza kupanga ukiwa daraza la 7
    Mgongano wa maneno hapo hapaeleweki
    Waandishi mko busy na camera kuliko kusikiliza mnaemhoji.

  • @IssaNjojo
    @IssaNjojo Месяц назад

    Kaka godlove ww ni noma

  • @PaulJoseph-on9yr
    @PaulJoseph-on9yr Месяц назад +4

    Hatari

  • @lundatvonline4975
    @lundatvonline4975 Месяц назад

    Uyu Hana ela

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Месяц назад +1

    Chief Godlove una kipaji cha utangazaji

  • @eliasmichael8420
    @eliasmichael8420 Месяц назад

    Hizo beats za background zinapunguza usikivu. Km kuna mahojiano basi zihondoeni ili kuongea usikivu.

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Месяц назад +3

    Ndiyo uweke vibao kma unapesa

  • @user-kr2vw9zf8h
    @user-kr2vw9zf8h 28 дней назад

    Hatuna budi kupambana

  • @lodgamoshi5453
    @lodgamoshi5453 Месяц назад

    Nikweli kabisa jamaaa alikuwa na ndoto ya kuwa na hela ukiangalia hata fb yake akiwa katoto alikuwa anapenda kujiita god bilionare mwakibete,

  • @DanielBagala
    @DanielBagala 19 дней назад

    Habari zauko nilita nifike dar ku waona

  • @Dareaziz
    @Dareaziz Месяц назад

    Nakuelewa goodluk

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Месяц назад

    There is no poverty to our cosmology.

  • @nickdemitychanell
    @nickdemitychanell Месяц назад

    💯💯

  • @Keyjop
    @Keyjop Месяц назад

    Mnyakyusa mmoja kama elfmoja 🔥🔥🔥🔥.....🤣🤣🤣🤣

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 Месяц назад

    Ivi watanzania mnajua maana ya matajiri kweli....kwaiyo chief godlove nae ni tajiri😂😂😂😂 aya bana

  • @EssentilCrispy7
    @EssentilCrispy7 Месяц назад +1

    Mbona anazunguka mbuyu huyu si aseme anafanya shughuli gani.

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 Месяц назад

      Ana shughuli nyingi sana,,,Anauza fulana,,Ana group la whatsapp kujiunga laki 1,,Ana migodi n.k,,, TUTAFUTE HELA BROH.

    • @EssentilCrispy7
      @EssentilCrispy7 Месяц назад

      ​@@jamesmzaki6041group la WhatsApp laki 1 😅😂 si bora mniue

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 Месяц назад

    Ni story ndefu kidogo 😂

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Месяц назад

    Nawapata kutoka Mkoa wa Malunga Kahama tanzania😊

  • @user-we5cc2dq7t
    @user-we5cc2dq7t Месяц назад

    Jamaal anajisahau Mara alisema aliishia la Sita mara lasaba anatuchanganya

  • @user-ny7oq2oy8r
    @user-ny7oq2oy8r Месяц назад +3

    Hiinanikumbusha long kidogo nikiwa darasani Kuna zile hesabu za kugawanya kwa kuonyesha mtiririko wa namna ulivyo pata jibu😅
    Sasa ole wako mwalimu akute njia ni tofauti na jibu ulilo pata.
    Unapata jibu sahihi kwa kikokotoo issue inakuja kuonyesha njia ya hilo jibu sasa.
    Ndivyo zilivyo hela za ku download fedha za Masharti.
    Huwezi kuonyesha njia yanamna ulivyo zipata kwa sababu ni hela za kulala nakuamka unazo😅
    Sishangai sana akiangaika kujieleza amefika fikaje hapo alipo.
    Shida Hela za short cut kama hizi mwisho wake huwa mbaya sana.
    Vijana Mwaminini Mungu na pia aminini katika kupambana kwa njia ya Haki.
    Mungu Yupo akiona bidii na juhudi zako tuu
    Hana iyana Kukufungulia milingo yako.
    Kama Shetani anaweza akabariki watu wake kwa namna hii basi ujue Mungu alie hai ni Zaidi .

    • @barakathdthekinda3722
      @barakathdthekinda3722 Месяц назад

      Good comment ndugu katika comment zote hii ndio comment bora halafu jamaa mm simpingi but nisichokipenda kwake nikuita watu masikini takataka ilhali nae alizawaliwa katika umasikini hapo ndio huwa anafeli maana anapoita watu masikini mbwa takataka ina maana hata wazazi wake nao walikuwa hivo? Tufanye vitu lakin tuweke mipaka wazaz wetu wasitupiwe matusi ni moja ya laana but comment yako ni nzuri sana sana ndugu❤❤❤❤❤

  • @MajaliwaSilvester-uv9pz
    @MajaliwaSilvester-uv9pz Месяц назад

    Yeah cheif godlove nakufatilia mpaka

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma Месяц назад +1

    Nyie hilo beat katengeneza Nan? Linanipandisha midadi 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 Месяц назад

    Mbona sisi tunamtafuta hatumpati na tunashida jamani mie ni mama mwenye miaka 57 namuomba anisaidie napitia wakati mgumu mno

  • @ahmedsudy7056
    @ahmedsudy7056 Месяц назад +1

    Ukweli ni uyo ni freemason akuna tajiri alie pambana kwa jasho aka tangaza

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 Месяц назад

    Sisi amba tuna D 6 tumeelewa😅

  • @Mcsceo
    @Mcsceo Месяц назад

    Hustleling Hustleling

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Месяц назад

    Hii redio bado san riyama ndo kabisa hajui kitu

  • @ChepterChepter
    @ChepterChepter Месяц назад +3

    😂😂

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c Месяц назад

    Neno maskini limetajwa mara132

  • @myself4128
    @myself4128 Месяц назад

    Una Utajiri gani kijana😂😂😂😂
    Utajiri unaujua wewe?kuwa na hela sio Utajiri hata wacheza kamari wana hela ila sio matajiri

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 Месяц назад

    Hapo studio mbona kama mmebanana

  • @balagamijebalagamije4152
    @balagamijebalagamije4152 Месяц назад

    kaongea point huyu mwamba

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Месяц назад

    Wote hamjui hata maana ya kufanikiwa digli za ovyoo

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Месяц назад

    Mzeee wa mbaoooooo

  • @Peterb-ty6fh
    @Peterb-ty6fh 20 дней назад

    Satan work agenest God mimi sijaona tajiri anae ji anikaa sawa tu na mlevi asie na ela akinywa kidogo kelele amukiwezi lakini tajir yupo kimia tu adi umkanyage mguu ata sema pole lakini awa awana jaribu utakiona ila kwangu mimi mola ndie mwokozi tu..

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Месяц назад

    Baasi atakuwa JAMBAZI wala hakuna wakukuiga hukoooooMixxxx

  • @user-db4cg5mh5b
    @user-db4cg5mh5b Месяц назад

    Sawa kuna ipinda mbili kuna ya barabara kama unaenda kasumuru huvuke kwenda malawi na pia kuna ipinda hii yenye shure ya kafundo mana napajua jua uko nilikaa sana hapo mwalisi busare nkokwa shinyanga karambo itope ndobo hitungi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @boscomwanisongole9173
    @boscomwanisongole9173 Месяц назад +1

    Godlove nimekuelewa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад +1

    👍✌️👊.

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g Месяц назад

    Duuuh usimzarau mtu na usimjaji mtu vbaya coz ujui back ground yke 🙏🙏🙏

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 Месяц назад +1

    Yaniii tatzo sio kufanikiwa hakama hamja notice kitu huyu jamaaaa hajawahi kutaja kazi yake(

  • @BicharaMohamed-lg3ci
    @BicharaMohamed-lg3ci Месяц назад

    🎉🎉❤

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Месяц назад

    Radio za bongo bwana

  • @Psunboyy
    @Psunboyy Месяц назад

    Tajiri mdogo mwenyewe mbao nyingi

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Месяц назад

    Chief tajiri

  • @joannysalvatory7251
    @joannysalvatory7251 Месяц назад

    By the way

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA Месяц назад

    Chief Godloves doto magari anamuita mfalume 😂😂😂😂

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede Месяц назад +1

    Like zangu

  • @mucky_perfume_store
    @mucky_perfume_store Месяц назад

    Maskini day😂😂😂

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Месяц назад

    Kuanza hustle mapema ni akili kubwa

  • @SaidiAyee-gi3ov
    @SaidiAyee-gi3ov Месяц назад

    Hahahaaaaa kazora mimb

  • @GoodluckLucas-dg6wi
    @GoodluckLucas-dg6wi Месяц назад

    Ila mwijakuungeaza kumuuliza yeye ni mtt wa ngap, amesoma mpka wap ingia ndani kabis mambo kama hayo tunataka kujua