MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 57

  • @worldtrends8183
    @worldtrends8183 7 месяцев назад +4

    Renovating a rental house for 200 million is absurd, that amount is enough to build a classic house of your own...

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 7 месяцев назад +2

    ally, usijali kaka yetu Mungu bado anakaa kweny Kiti cha Enzi Atakusaidia wee mtumanini kila siku na Kumtukuza. Atakupa

  • @Igauf3
    @Igauf3 7 месяцев назад +1

    Bibi ! Mama ! Mjukuu ! Let the uncles and aunties handle. That’s not his responsibilities. Dj Ally B -the best entertainer. Kudos to Kayla said it well, you can’t build for everyone.

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 месяцев назад +15

    Hii nyumba n yake bwana hongera dj mafanikio yanatakiwa kua sir ukija kujionesha umejipata haswa kma hivi waroz n weng .......

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 7 месяцев назад

      Yake kaipata wapi?

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 7 месяцев назад

      @@hassansalum2572 unataka kujua Kila kitu kinakuhusu??

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg 7 месяцев назад +1

    Ally b n 🔥🔥🔥 wakuotea mbali kataa2 w mwenyew

  • @ngido255
    @ngido255 7 месяцев назад +8

    Hii nchi Kwan Hawa watu wanatuchukuliaje😢 eti milion 200 kuongeza unyama nyumba ya kupanga

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 7 месяцев назад +1

      Umasikini na wivu na hasadi huwezi fanikiwa kwanini uteseke tafta pesa

  • @MOVIEZONE-uy7yu
    @MOVIEZONE-uy7yu 5 месяцев назад

    Ukiongelea 200M its enough for having a house hapo jamaa kaficha ila mjengo ni wake tu huu sema nimejifunza kitu ni bora uonekane low always

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 7 месяцев назад +3

    Waswahili wa mtandaoni ,,hawezi kujengea ukoo acheni upuuzi

  • @kingmorhano189
    @kingmorhano189 7 месяцев назад +3

    Good inspiration

  • @geraldguda
    @geraldguda 7 месяцев назад +4

    Ila wasanii🙌🙌

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 месяцев назад +1

    200 Akili Matope Wakati Nyumba Mjiji Baada Ya Miaka Michache Mbele Utaingiza Zaidi Ya 500 Au 600 Nyumba Na Kiwanja Ujui Kuwekeza

  • @eliahmbano2414
    @eliahmbano2414 7 месяцев назад

    Fact sana

  • @godsson5954
    @godsson5954 7 месяцев назад +4

    HUYU HANA HATA MIA NI MUIGIZAJ TU TUNAMJUA MAGARI ANAKODI NYUMBA ANAKAZO KAA SIO YAKE HAHHA

    • @cardozojonas9239
      @cardozojonas9239 6 месяцев назад +1

      Sasa hana hata mia alf nyumba anakod gar anakodi imekaaje hiyo mbn sio unyama😅😅

    • @Tumain-Kulubone
      @Tumain-Kulubone 4 месяца назад

      Tafta hela hizo chuki hazitakusaidia🤣🤣

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 3 месяца назад

      Sasa hizo nyumba na gari anazikodi vp wakati umesema hana hela huoni na wew unatudanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha chuki bila hela huwezi kukodi chochote

  • @strong8534
    @strong8534 7 месяцев назад +3

    Innovation eti ukarabati

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 7 месяцев назад +2

    Bibi babu ndio mujiambie maisha yawatu yanasiri kubwa hamjui mtu hela anapataje

  • @padlockofficial9384
    @padlockofficial9384 7 месяцев назад +3

    Wakifa hatutaki millady ayo apost wanaomba msaada kukamilisha matibabu 😅😅😂

    • @MatildeBjelland
      @MatildeBjelland 7 месяцев назад +1

      Akifa anatibiwa VP tena

    • @twotimes503
      @twotimes503 7 месяцев назад

      ​@@MatildeBjelland😂😂😂😂

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 7 месяцев назад +3

    Ukipata kazi wcb lazima uvae jisuliali kubwa

  • @vanessajumawarotwa8615
    @vanessajumawarotwa8615 7 месяцев назад +6

    Yani u renovate a rent house for 200M while you can building your own 🙄 Niuongo gani huu mweupe please give us a break

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 7 месяцев назад +4

      Ukiona hivyo ni ya kwake na ajapanga ila Kuna watu awapendi kujionyesha km wanamiliki ml, sio km akina mwijaku, kujitangaza kuwa una ml Kuna madhara asikuambie mtu, tena kwa Dunia hii ya Leo.

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 7 месяцев назад +1

      Dada amesema kwamba anampango wa kuinunua what if ameshalipia maybe 50% of it....

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 7 месяцев назад

    Athumaniiiiiiiii
    😊

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 месяцев назад +2

    Trend ya nyumba sasa hivi ,baada ya kutoka kwene Jet

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 7 месяцев назад +1

    Nyumba yake mim ndio Dalal nliyemtaftia eneo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 месяцев назад +2

    Tajiri anasafisha uwanja

  • @nyagimkama2181
    @nyagimkama2181 7 месяцев назад +1

    Icho nichuma

  • @shahiduhamada9229
    @shahiduhamada9229 7 месяцев назад +1

    Sasa ally.b.kama.hivo.si.mjengee.mama.pia.umtoe.kwenye lile.pagalaa

  • @abubakarikasamwa5792
    @abubakarikasamwa5792 7 месяцев назад +2

    Sf sanaaa dj allyB

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 месяцев назад +3

    Nachukia uongo wa watu maarufu

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 7 месяцев назад +1

    Watu vyanzo vingi mjini Nyie

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 7 месяцев назад +2

    Milioni miambili si ungejengaaa Yako au

  • @Mkinga_og
    @Mkinga_og 7 месяцев назад +1

    Wakuu ni hivi pesa za hawa jamaa ni za mmiriki tu. Ndugu hawez kuzifurahia pesa za hawa jamaa wako wengi sana nyie wafuatilien ndugu zao muone wanaishi maisha gani

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 7 месяцев назад +1

    Uko bongo na ilo joto jumper za kazi gani au ndio izo PR

  • @raymondgikaro5818
    @raymondgikaro5818 7 месяцев назад +2

    Baba tu wa boss wako anapokaa apaeleweki

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 7 месяцев назад

    Not hali b ni allyb

  • @issackathman850
    @issackathman850 7 месяцев назад +1

    acheni uwongo bana sikuile yuko.kwa bibi yake yuko na shida

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 7 месяцев назад

    Muchaga shoga nyooo kaniuzi

  • @HajiHabibu-tf4ig
    @HajiHabibu-tf4ig 7 месяцев назад

    We mchaga kaza mdomo huo msenge wewe alafu bibi sio yule alie kuzalia mama ata alie kuzalia baba nae bibi mshenzi wewe uyo dada ndo ana takiwa alegeze mdomo sio wewe au umesha legezwa nini

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 7 месяцев назад

    .mchaka ushaanza kuongea kama juma lokole😢

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 7 месяцев назад +1

    Itabaki kua yake x hai2husu

  • @henryminja3145
    @henryminja3145 7 месяцев назад

    Adi renovation mna translate 😂

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 3 месяца назад

      Unaumia ikiwa Kenya kijiji gani😂😂hutaki tutafsiriwe

  • @kelvingauza703
    @kelvingauza703 7 месяцев назад +1

    nimjengee mjomba haaaaaa

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 7 месяцев назад +1

    13:08 mkaona mueke na nyimbo ya Simba kwa vile tu ni mkurugenzi🤔 kwanini msieki nyimbo ambayo Ally anapiga miluzi??😏

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 7 месяцев назад +2

    Huu mjengo Utamfunga Mdomo Mama Mwijaku..Mwijaku Njoo utazame Hii bw*ge

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 7 месяцев назад +1

    😂😂