SHIDA UFUPI TU, PESA HAZISUMBUI SANA, HALAFU KUJIELEZEA KUNAKUANGUSHA SANA - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 45

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 6 месяцев назад +5

    😢😢dharau nyingi mbwa nyinyi umemtusi mkaka wa watu khaaa hamna Adabu madadazi

    • @franksaga3413
      @franksaga3413 6 месяцев назад

      Hahahaa ebu kwanza ncheke...😂😂
      Hawa ni malaya, wanatakiwa either wakaombe kazi na waache kutegemea wanaume kupata maendeleo au waende maeneo ambayo malaya hukaa kusubiri wanaume wawape nafuu za maisha, haya ni matangazo yanayotazamwa na kila rika.

  • @berthabahati7329
    @berthabahati7329 6 месяцев назад +3

    Sion mke wakuoa hap wt nishid tu pol kk yangu jmn mungu atakupatia mke mwema

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 6 месяцев назад +3

    Ika sahv mr right ni kujichoresha maana vijisababu havina maana watu wanatoa kauli chafu yan

  • @SuzanaMlawa-by2vj
    @SuzanaMlawa-by2vj Месяц назад

    😂😂😂aje kwangu jamani aniowe Duh wanawake unadharau Sana duuh

  • @user-qm3ov7mj6u
    @user-qm3ov7mj6u 6 месяцев назад +3

    Yani johari na Zarish sio wife material maskini bora ata msiwaguse😂😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 6 месяцев назад +2

    Hawa wanawake mngekuwa mnatafuta mwanasaikolojiya kuwa mafunzo ya kuongea kiungwana.
    La sivyo kuna siku mtu atakula ngumi apo ao kofi

  • @monicapeter9065
    @monicapeter9065 6 месяцев назад +1

    Jaman dada Diva jarbu kuvaa nguo zenye kustir dada yang nguo zako mara nying unavaa ovyo sana
    Jua kuwa nakupend san ila mavaz dad yang umebugi jaman

  • @YusufHassan-tf1iw
    @YusufHassan-tf1iw 2 месяца назад

    usikat Tam bro Wanamaker ni wachache wenye his hisiy kwenye mahusiyan hajuw nn maana yamahusiyan😅😊

  • @mishnjambikinyajui2543
    @mishnjambikinyajui2543 6 месяцев назад

    Namuobea sana dayana akapate mweza...natamani sana kumuona mweza wa dayana niko hapo dayana nakufuta pia nakutazama from 254

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 6 месяцев назад +6

    Hamna mwanamke hapo...kuna madada poa.

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 6 месяцев назад

    Demu mwenyewe kajaa masugu halafu kavaa kishamba shamba mfyuuuu baya 😂😂😂😂😂

  • @nedmonad1175
    @nedmonad1175 6 месяцев назад +1

    Shenz Sana wewe mwanamke mwanaume hata Kama humpend huwez mjibisha hivyo ukiendelea hivyo utaolewa na baba ako mbwa wewe😏

  • @montanaprime
    @montanaprime 6 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂 Kweli saundi kasheshe hapa

  • @user-vk9bq5cq1n
    @user-vk9bq5cq1n 5 месяцев назад

    Zarish anaonekana ni msichana ambaye alishawahai kupigwa tukio katika mahusiano maana sio kwa nyodo hizo😂😂😂😂

  • @JladyKadzo
    @JladyKadzo 6 месяцев назад

    Si ak ningempqta mimi nikatulie mana anakaa mpole😊

  • @user-qm3ov7mj6u
    @user-qm3ov7mj6u 6 месяцев назад

    Eti bas inatosha😂😂😂😂

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 6 месяцев назад

    Makubwaaa 😂😂😂 huyu MWanaume nae hajielew

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 6 месяцев назад

    Wanawake zarau sana

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu 6 месяцев назад +1

    Mrefu mweupe ,, kazae wwe unayemtaka.

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 6 месяцев назад +1

    Yan uyo zaylish ndo ana 21 watu saivi wanakuwa harak utasem ana 25 ivi😂 afu uyo zay ni mweusi sugu kam zote ukwel umemuum😂 kaongea kama anachamb

  • @jumalikonwa8078
    @jumalikonwa8078 6 месяцев назад

    Zaurishi??? hongera sana aliyewaza hii kitu nikweli kabisa itawasaidia hao waliobomelewa madunguro yao, naamini kupitia hii show watapata mitaji na connection itakaowafanya wasirudie kwenye kazi yao, eti mfupi huyu jamaa hana ufupi wwt just ni kimo cha kati tu... we angalia ziwa lake lilivolala yaan hiyo sa 12 jioni kabisa.. wateja wamelivuta mpk kwenye sidiria ukivesha linapenyea chini..

  • @AdolophinaKato
    @AdolophinaKato 6 месяцев назад

    Mmmmmm aseee nimeona aibu mimi kama vile nimimindo napewa ayo maneno🤔..

  • @erickothegreat8353
    @erickothegreat8353 4 месяца назад

    Hao watangazaji wanakaa nusu uchi hadi raha.

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 6 месяцев назад

    Wamtusi Mr right na hata hakufai wewe dada wewe mwenyewe kajifunze kuoga mwanzo ndio utusi wenzako

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 6 месяцев назад +4

    Mchora tatu mpaka matakoni ndio daktari...?mwanaume mwrnye akili hawezi kwenda hapo..bora ubaki bila kuoa kuliko kuchagua mshezi hapo

  • @Chakol682
    @Chakol682 6 месяцев назад

    Huyo zarish kakasilika kisa kuitwa mweusi kwanza anaringa wakati ana sugu mikononi aibu unachagua bwana umejichubua chubu

  • @HemediOmar
    @HemediOmar 6 месяцев назад

    Kwani hichi nikipindi Cha ngono kumbe

  • @wamadenzatv4174
    @wamadenzatv4174 6 месяцев назад

    Yan wadad wengi ni madad wa maelekezo

  • @user-ox9zz7zk5h
    @user-ox9zz7zk5h 6 месяцев назад

    Naomben pepsi

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 6 месяцев назад +2

    Kwan ufupi ni ugonjwa? Ndo maana hamuolewi

    • @user-yq2hv2bq5j
      @user-yq2hv2bq5j 6 месяцев назад

      😂😂😂😂 hao hawana heshima kabisa

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 6 месяцев назад

    Zarish ni dada poa huyo hakuna mke kwa Zarish hapo

  • @MariaSalus
    @MariaSalus 6 месяцев назад +1

    Nanyie waongozaji, munaharibu show,

  • @bobboris4859
    @bobboris4859 6 месяцев назад

    Nyi malaya tu mnajiuza hapo na wenye wako kwnye hio show wanaangalia malaya pia gara B pia we malaya

  • @krayna5122
    @krayna5122 6 месяцев назад

    Oya wanangu mue mnawachana hao madada poa mbona wanawaaibisha Yani Wana tabia za kimaraya

  • @tausisaidi2096
    @tausisaidi2096 6 месяцев назад

    Mc galabii na luludiva mnaharibu kunavijineno mnawakosoa hao vijana hadi warembo wanaahirisha kumkubali mistarite

  • @user-ec9nn1kt2w
    @user-ec9nn1kt2w 6 месяцев назад

    Daaa tatzo fup

  • @muna1165
    @muna1165 6 месяцев назад

    Akuna mwanaume apo

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 месяцев назад +1

    Tatizo mziki mnatukeera sana hatusikii

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy 6 месяцев назад

    Huyu dsa ana taka kumnyodoa mkaka wawatu wakati nywele kabana na uzi😂😂

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 6 месяцев назад +1

      😂😂😂hapo sasa yan nikimuangalia majigambo maneno mashauz wala hatoshei

    • @user-xh3bp4il8j
      @user-xh3bp4il8j 6 дней назад

      Nimechekaaaaaaaaa​@@subrynerysegerow1323

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 6 месяцев назад

    Hakuna mc kama gara B Tanzania