WEWE UNALELEWA MARIOO ? MI SIJAKUPENDA MWEUPE SANA, NLIKUA NA STAR - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Uyu kaka hamna kitu😂😂
Hawa watangazaji ndo wanawaharbia hao ma mister right ndo maana hawapati maswal mengi had wanaonekana n wangeaji na wadada hawapenda wakaka waongeaji
😂😂😂😂😂 mr anajiamini kinoma
Namimi pia namtaka mke
Kana unamjuwa mtaje!!!! 😂😂😂
Kuna wadada apo watazeeka apo apo wanalinga akati ni wabibi tu tena wabaya ila mbwembwe nyingiiiii
Kam li eliza
Mnamuuliza wanin amesema ameshambrock Sasa maswal yanin
Wadad wengine wametoka kwenye ndoa na wanafamiliya
Mnamtaka wann
Anita ni mkubwa lakini nyodo moto utazeeka hapo hapo