sinura unapendeza sana kuwa mcha mungu dada yangu basi mlejee mola wako kbs usiludi kwenye hizo nyimbo mashaalllah umesema unapenda wislamu wako basi uonyeshe vitendo hakika unamoyo wa uslamu.riziki yako ta halari nibora zaidi
Nilikuwa Nawazaga sana huyu Mwijaku anapataje watoto wakali asa leo ndio nimejuwa Mjuba ana Mistari Yakutoa nyoka Pangoni unataka mwanamke jasiri sana kuruka Mistari ya Bro Mwijaku👏👏😂😂😂😂😂
😃😃😃 ndio weakness ya wanawake ulimi wa maneno yaani hapo sanura tayari kampenda mwajaku 100% aminia yaani kichwani mwake anawaza yule mchumba atamwachaje akubari ombi hahana sanura kubari tu ila jiandae huyu atabariki
Mwijaku muogope mungu watu wanaokufa mashahid ni saba, vit vya kupigania dini ya Allah, kufa majini,kuangukiwa na ngema au ukuta,kufa kwa moto,kwa maradhi kam kipindupindu,wakati wa kujifungua,Na Allah ndo mjuzi zaidi.kwahyo mwijaku acha kuongeza mambo ya dini au kufanya mzaha au kuongea vitu usivyokua na elimu navyo kaka Allah akuongoze
Mnajua pepo ni ndoa tu lakini mambo mabaya mnayoyafanya hamyaoni suna kuoa kumuomba mungu aah,mtuachie uchuro si tunamuomba Mungu atuondolee mabalaa yanayotufata hamyaoni mnatuletea uhuni wenu
Kutokgoza ni mbinu nawewe dada kama kweli maneno yako ni ya kweli basi stahanili Mungu atakupa alie bora katika maisha yako lakini kumbuka maisha ya ndowa ni safari ndefu.
Snurah kaa utafakari ukikubali ukubali kuingia kwenye ndoa kwaajili ya allah na sio vinginevyo"" mashaallah snurah kinywa chako tu ukikiongoza hivyo naamini utakuwa mke na cheo cha (mke wa mtu) utakitumia vzr
Hii ndio sababu nasema tukiweke kiswahili chetu jameni. Kaka kasema msingi lakini akaona atuchanganye kidogo na lugha ya kizungu kaongezea FOUNDATION. Hapo ndio nikaona ako mchizi kiasi juu zote hizi ni kitu kimoja lakini mkitupiwa kizungu kidogo,,,,, mnamuona msomi. N'gooooooooo!!
Mashaallah Snura kajifuniki vzr anamwonekano wa kiislam. Sasa yule mkeo mbona hajistiri na unasema unamlingania mambo ya ndini haa. Mvishe mkeo vazi la kiislam na uwedelee kumlingania ajue Wislamu ni nini.
Mwangu mtafute season ya muendelezo mimi nahitaj kujua hadi mwisho...🏃♂️🏃♂️mtuletee huku mikoan.. huyu mwamba alinikera kipindi kile ila katika hili la mistari mwamba anavoko🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Kama umeona mwijaku anajua kutongoza onga like
Snura tayar kalegeaaaa
🤣🤣🤣🤣
Ila wewe mkolofi
Kama umemuelewa mwijaku kwamba anajuwa kutongoza gonga like
Mwijaku amependa tako tuu. Umesahau number7 mkabaji
😂😂
Mwijaku jembe😀😀
TANGU DUNIA IMEUMBWA SIJAONA MTU ANAETONGOZA KUMZIDI BROTHER MWIJAKU DAAAAHHHH
Mwijaku hahah ndo maana diamond kasema zuchu kaa mbali na mwijaku Hahaha nmekubali
Nyumba inaanza na msingi ikitoka msingi inafuata foundation. Waliomuelewa gonga like twend sawa km umeisikia hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msingi halafu Foundation kudadadeki
Mbona msingi na fondishen vyote ni sawa
ukiwa muongeaji sana ndio inakuwa hivyo hajui hata kama amechapia
@@allykita2444 kavulugwa na mzigo wa Snura 😂😂😂
Ajali ya ulimi na mdomo hiyoo
SNURA DADA ANGU UMEELEKEA KUWA MTU MWEMA MASHAALAH MUNGU AKUONGOZE UMRUDIE ILE UKAIPATE PEPO YAKE
Nani kaona snura anatamani ndoa kwa mwijaku..... Like apa
😂
Anatamani ndoa kwel😁😁
sinura unapendeza sana kuwa mcha mungu dada yangu basi mlejee mola wako kbs usiludi kwenye hizo nyimbo mashaalllah umesema unapenda wislamu wako basi uonyeshe vitendo hakika unamoyo wa uslamu.riziki yako ta halari nibora zaidi
Bro mwijaku😆you ever make my day.
Nilikuwa Nawazaga sana huyu Mwijaku anapataje watoto wakali asa leo ndio nimejuwa Mjuba ana Mistari Yakutoa nyoka Pangoni unataka mwanamke jasiri sana kuruka Mistari ya Bro Mwijaku👏👏😂😂😂😂😂
Nomaaa
Oh lo
Lo
Yaan mm nikiona interview ya mwijaku niko radhi nikope ninunue MB 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂😂
Hahaha kamimi vile
kabisaa an
Haisee dingi tupo sawaaaa
Huyu bwege anamwaga mistari na snura anaanza kuelewa somo
Hahahaaaaa amejaaliwa ulimi.
mshenz huy muongo san tapeli
Hahaha
😃😃😃 ndio weakness ya wanawake ulimi wa maneno yaani hapo sanura tayari kampenda mwajaku 100% aminia yaani kichwani mwake anawaza yule mchumba atamwachaje akubari ombi hahana sanura kubari tu ila jiandae huyu atabariki
@@tousihhhh6765 😂😂😂😂😂😂
Respect profeser mwijako 👍👍👍 wemukali sana
Hhhh daah mwikaju wee n nomaa, unapiga sound kinomaaa😄😄
Ma sha Allah iwe kheri 💕💕💕
Huyu ninja ni nohma kama anatongoza mbele ya kamera, chumban c ataua huyu
Jaman nani kaona mwijaku kakimbia issue ya Menina? Likes plz😁
Rayana Abdallah Kasepa chap ana akili uyu jamaaa 😁😁😂😂
😂😂😂
MashaAllah TabarakkahAllah beautiful
Huyu snura ni mdada ambae hana msimamo kama kuna aliemuelewa kma hana msimamo eka like
Ww unayo acha ushamba
@@jovintosssi3287 hahaaaaa
Mwinjaku haswa interviews zake nnainjoy big up bro and ayo tv
😅😅😍 sometimes I don't like you sometimes your the best Tata maruchuri following from Ug
Snura kama kaingia kwenye 18 mwijaku hatari😂😂😂😂😂😂
Chezea mwijaku wew ukijua maana sales man
Nimejifunza salute to #Mwijaku_#Snura_#Millard_Ayo Interview Imeweza!
Mungu Kuzidishie maisha mwijaku unanifuraishaga sana
Mwijaku 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani anamasomo ndo maaana fulani anampenda maana syo kwa maneno yake khaaaaaa
Zenna Kailo
Kumbe unajua...
akuna nyumba isiyoanza na msingi... 👏🙌
Ramsey Bayoma hahahahahaha Nilijua tu maaan unavyompenda huyu jamaa khaaaaaa 😁😁😁😁😃
Dah! Snura umemuuliza swali zuri sana Mwijaku,!
Mwijaku,,,,, sijui uko serious sijui mzaha. Mwijakuuuuuuuuu.........
Hata cimwelew
Hata cimwelew
Rura nakupenda allah akupe mume bora amiin 😘😘❤
Mwijaku muogope mungu watu wanaokufa mashahid ni saba, vit vya kupigania dini ya Allah, kufa majini,kuangukiwa na ngema au ukuta,kufa kwa moto,kwa maradhi kam kipindupindu,wakati wa kujifungua,Na Allah ndo mjuzi zaidi.kwahyo mwijaku acha kuongeza mambo ya dini au kufanya mzaha au kuongea vitu usivyokua na elimu navyo kaka Allah akuongoze
Mwijaku a najua Sana kujielezea wallah snura stara ni nzuri umependeza
Hahaaaa huna ujualo bora uyo mwinjaku
Wanafanya mzaha ktk dini, Allah atuoneshe haqi
Snura kama ume ingia box hahaha
Mwijako kama uko siliasi Allah akuongezee kaka
Allah Awajaalie muoane,In sha Allah
Ashaliwa na baharia tayari!
Mnajua pepo ni ndoa tu lakini mambo mabaya mnayoyafanya hamyaoni suna kuoa kumuomba mungu aah,mtuachie uchuro si tunamuomba Mungu atuondolee mabalaa yanayotufata hamyaoni mnatuletea uhuni wenu
HAPO KWA KUFA SHAHID NI UWONGO MTUPU...LETA AYA AU HADITH
Hongela bwana kakamwijaku
MashaAllah Snura kumbe wapendeza unapo jistiri ila Mwijaku Fanya bidii uengeze mke,mpe maneno matamu ubebe mzigo huo..all the way from 25flow🇰🇪 🤣😂😂
Hahahahahahahahahhahahahaha Mwijaku hawakuwezi nakwambia
Umependeza nahilo vazi maashaalaah mungu akuzidishie ishaallah
Kutokgoza ni mbinu nawewe dada kama kweli maneno yako ni ya kweli basi stahanili Mungu atakupa alie bora katika maisha yako lakini kumbuka maisha ya ndowa ni safari ndefu.
Hahahah asante sana mwijaku nimekuelewa
Kwa kweli mwijaku ni mwa Africa kamili nimemukubali kwa asilimia mia 💯
I like it Wallahi.....Mwijaku uko juu kwisha ashaingiana....Ustadh upo wapi??
Mwijaku ni mzima saaaana
Snura ufafa nizi wako juu ya mtu mwenye hofu ya Mungu nimeupendasana.nimekupenda bure
Hongera snura siku hiz umebadilik saan maa shaa Allah umekuwa mwanamk wastar japo sio saan
Snurah kaa utafakari ukikubali ukubali kuingia kwenye ndoa kwaajili ya allah na sio vinginevyo"" mashaallah snurah kinywa chako tu ukikiongoza hivyo naamini utakuwa mke na cheo cha (mke wa mtu) utakitumia vzr
Hii ndio sababu nasema tukiweke kiswahili chetu jameni. Kaka kasema msingi lakini akaona atuchanganye kidogo na lugha ya kizungu kaongezea FOUNDATION. Hapo ndio nikaona ako mchizi kiasi juu zote hizi ni kitu kimoja lakini mkitupiwa kizungu kidogo,,,,, mnamuona msomi. N'gooooooooo!!
Mashallah Snnura wallah ninakukubali sana sana
Mwijaku nakukubali sana bro😀😀😀
Huyo udevu shekhe mwijaku! Ndo unaofanya ujiamini sana kwenye kutongoza.
huyu. mwanamume. hodari. sana. allha. akutimizie.
Mashaallah Snura kajifuniki vzr anamwonekano wa kiislam.
Sasa yule mkeo mbona hajistiri na unasema unamlingania mambo ya ndini haa.
Mvishe mkeo vazi la kiislam na uwedelee kumlingania ajue Wislamu ni nini.
Yule mke wake ni mkristo
Kabadili tuu kwa tamaa ya maisha tuu
Wallah mwijaku yupo sirias na snura anamtaka kwel jaman Msione masiara
Mwijaku hatari mistari 🔥🔥🔥🏃♂️🏃♂️🤣🤣
Snura saeziako wijaku kheri inshaa Allah
Eti mke wangu akasema namtaka Snura😀😀😀😀😀😀😀
😄😄😄
😀😀😀😀😀😀
oaa mwijaku mungu.atafunguaa
Mwijaku na kukubali mashallah
Snura ni kama unanisemea mimi, hilo swali nataka sana kumuuliza huyo, mke wake apita akizunguka uchi
Nilichogundua mwijaku ana convince power
Mashaallah snura atakubali awe mkeo mwijaku
Mwijaku my friend
Allah awatimizie malengoyenu na niayenu
Duuuuh mwijaku hatar san 😍
Snurah olewa tyuu na Mwijaku.. Acha Zako Wewe
Mwijaku ana sound 😂😂😂😂
Sanaaa tu
Masha Allah 💖💕♥️
Wanawake bhana hapo snura kishaanza kumuelewa mwijaku ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai
😁😁😁😁
Mwijaku nakukubali broo
Mwijaku.ww umetisha😀😀😀😀
Huyu fala Dem haruki aiseee 😂😂😂
Nakubali Mwijaku dini unayo pia tunajifunza
Hyu mkaka anapenda wanawake wenye matako makubwa huna lolote
Kawahi kukufuata au ndio mna mdhania mtu tu vibaya .na nyinyi mnapata dhambi.
🤣🤣🤣🤣🤣 wewe unayo pia!?
Zuu Othman 😂😂😂😂😂
Wew huna ndio mana unamchukia Hiloooo
@@collinedward8449 😂😂😂😂
Hapo mwijaku amepatikana na maswali hongera sana mama nsura
Msingi ni kiswahili msingi kwa kinge ni Foundation!
Mashaallah Sanura umetisha Kwenye hii interview hongera...jamaa aleta story za foundation Na msingi😂😂😂😂
Sanura na nani bri
MENINA AIRTIME.
Mmhhh mwijaku weeeeeh.......namm namashaka km mtangazaji
Hapo Snura kashakubal kitambo Maneno yamemuingia kwel ya mwijaku na ashamsahau yule kijana..Ila mwijaku fundi
Uyo mwijaku atongoz sema utapeli mwingi mno
Mmmh kwel muheshimu Ramadan alafu unazini mbele ya shaban
Hahahahah braza mwijaku ni nyoooko wallahy...tayar kazi ameshamaliza hapoo😁😁
Namkubari sana mwijaku kinoma
Mwijaku we nomaaa!!!!!!!🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Leo mwijaku amenimaliza snura kaingia ndani ya box kwa maneno matamu nimekubali.
Ilikuaje hii lakini 🤣🤣🤣
Mwijaku ana mistari hatare
Kabisa mwijaku yuko right kabisa
Hahahah walai mwijaku mwehu 😀😀😀😀😀
Mashaalah mwijaku
😃😃🤪🤪😃😃😃😃😃😃😃 i like this guy mwijaku sana 😂😂😂😂😂
mwijaku wewe pepo huwezi kuiona coz ww ni mzinzi sana nashangaa watu wanachekelea hiki unachokifanya hapa...we ni mpumbavu sana
D. C you are very funny my friend
Lina sound kixenge
Mwangu mtafute season ya muendelezo mimi nahitaj kujua hadi mwisho...🏃♂️🏃♂️mtuletee huku mikoan.. huyu mwamba alinikera kipindi kile ila katika hili la mistari mwamba anavoko🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Mwinjaku muoe kweli atabadilika huyo na Mungu atakufungulieni barka mtashangaa
Snura umenifurahisha Sana bazazi mkubwa hana lolote mbabaifu anadhalilisha wanawake tu huyo wahovyo
Mwijaku anazingua bhana yukoje 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤣🤣🤩🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂snura kashamuelewa mwijaku anamtetea kuhusu ishu ya menina
Hayo madaraja yataishia kwa Waislam tu, hivohivo Mapenzi ni namba tasa hayagawanyikii
Hayagawiki kwako..
Kwamume wako yanagawika vzr ..
Tena kwavimada wanje anazini tu.
Sasa sibora mtu akuoe kuliko kuzini t