HII BALAA!!!!...Mbunge aruka sarakasi bungeni ''Mimi ni mtaalamu wa sarakasi''
HTML-код
- Опубликовано: 22 май 2022
- Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiwa amebinuka sarakasi ndani ya ukumbi wa Bunge alipokuwa akichangia mjadala wa kupitia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 jijini Dodoma leo.
Flatei alichukuwa uamuzi huo ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami katika jimbo lake.
Uko vizuri Mbunge tena mkakamavu kama magufuli kupiga pushapu..
Hongera mungu akubarki Joseph m.
My hero ever waambie bhn
Uko vizuri mbunge
Hawa jamaa wana injoye maisha mshahara,magari,nyumba marupurupu ya pesa nakadhalika wache wafenye mas hara katika bunge tukufu.
Eh mungu
wabunge wote wangekuwa vichaa bungeni tungefika mbali wananchi
Good bless you Mach
Big up kiongozi alietumwa na watu🤜🏾
Aaaaaaaaaaahhhhhh
Hoi
Hongera sana
duh hy barabara yavumbi kuelekea mbulu lostete hospitali akun mpk karat mjin wat wanavamiw nawanyam akun lami xhd san jamn
Wewe2🎉🎉
Burudani kidogo
Sasa mbunge awe siliaz wakat maishayake uhakika mall paL nakula vzl anagal nzuri awazenn kwahalihii wanyonge maskin machinga wanafunzi tutashindwa kunikumbuka baba yeti magufuli mmm ka ipoo
Haaa haaa kiukweli ina uma
Aaaaa😂😂iiiatari.
😂😂😂😂bungen kuna wabunge wapo chachuchachu😂
Aisee kiongozi inauma kama chama chako kinakusalit ahadi zake ni ngum siasa ya tz siwezi shiriki waachie ccm maana mimi chadema pure
🌿
Hahahahaha
Hii Hatareeeee
Haahahaha hii nchi unahama unaenda wapi unaacha burudani kama hzi
Mtu anakipaji cha salakasi chaajabu anapewa ubunge..🤣🤣
Nyoka 😀🙄🙄🙄mm.mmme
Upo vzri
Hahahahahahaha umekasilika bbaba piga salakasi kwani mbona hela zetu za kodi mnadai kwauwaminifu mnazhidagani lakin wizala ya balbala na huyo xpika wen wabunge Kwan laIma awe yy mteuwen mwingin mbn tupo
🌳🌲🌿✅
Balaaa 😂
Ila mbunge tunaomba vipajivyenu
Azam vs yanga
Hahahahaha
Ukovizur mbunge. Kwanza ungewagawia chai
Hao ndo viongozi
Balaaa tupu mama umeona
Aaaassss noma
Naam
Ukosawa baba
Wabunge wote wakiwa ivi lazma kilakona yamkoa lazima balabala zijengeke
Matukio ya molotonga
😂
wakiingia hapo wanatakiwa wazime simu..
Nb kama lami Hydom-to-mkalama-sibiti-Ccm-na waziri-wa-ujenzi-hakuna-kura-hata-mmoja-2024/25
Thanks-fratey-massay-na-wabunge-mkalama/na-meatu"""
Uko vizr mp
Sio huko mburu tu, hata Barbara ya bupu kise Ni mtihani kwakweli, yaani mlevi akikojoa tu barabarani Basi haipitiki, muitazame hii!
ukosawa mbunge kwakupigania
Maendeleo yawananchi
Ko
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
انت ليس عندك مشكل
Hii bara
Bogo feva
Mpuuzi
😹
mda wenu yarukeni tu
Fitness level ya mheshimiwa ipo juu sana
Masay jiunge chadema utapiga sarakasi utachoka toka nje Kama wale wa chadem, alaf usinge hoja mkono
We pigs babaaaaaaaaaa hahahahahahah hakuna muheshiwa wewe pigaaa ukifukuzwa bungeni njoo nikupe mtaji wa duka la vipodozii pg baxiiii
Xxxx
Hapa ndiyo namlaumu mheshimiwa tu kwa kutletea watu wa hovyo kama hawa bungeni, halafu amepelekwa na wananchi kweli?
We chizi,,wewe,,kwani bungeni unaenda kutetea tumbo lako? Au watuwaliokuchagua vilio vyao?
Watu wa HOVYO kiajw
laiti ungepit maeneo ya mbulu mpk uko sehem kunalam nimwixh wageti langorongor mpumbavu ww ujui xhd ilioko uko
Ana haki
Anaongea kwa uchungu, anatetea wananchi, yuko sahihi sana!!
ukosawa mbunge kwakupigania
Maendeleo yawananchi