NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 ноя 2022
  • NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 570

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 18 дней назад +4

    Spika mungu akupe.imani...usipepese macho...mbeya wanakutegemea

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад +13

    Nape nilikuwa naamini mwana mapinduzi lakini kwa hili, ameulizwa swali gumu, amejibu majibu mepesi mi sjamuelewa kabisa,

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад +13

    Huyu my spika ana akili Sana

  • @gulledhassan380
    @gulledhassan380 Год назад +5

    Wiziiiiiiii wakubwaa...Na Nape kwanzia kwa Magu nakutiliaa mashaka sanaa

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Год назад +12

    Nape kuna fungu lake katika mitandao ya kijamii sijaona akitetea wananchi hata sku 1 kwenye malalamiko ya mitandao

  • @gametongwe3539
    @gametongwe3539 Год назад +24

    MWESHIMIWA SPIKA MITANO TENA NAKUBL 🔥🌏🚀🙏

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Год назад +11

    SPIKA UPO VIZURI SANA,TATIZO BAADHINYA MAWAZIRI WAKISHAPATA FURSA WANAJISAHAULISHA SANA kuwabwasingeingia bungeni bila sisi WAPIGAKURA walalahoi

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад +6

    Mbona Zambia bei Iko chini na makampuni ni hayo hayo, waziri tetea wananchi wako

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +14

    Mh. Nape tunazungumzia bando si ticket ya kusafiria. Ukweli ni kwamba tunaibiwa wananchi. Utaratibu gani wa kuumizana na utaratibu unaweza kubadilishwa. Tusaidieni ndugu zetu wanaojali wananchi na Mungu awe nanyi tunawaombea🤲🏿

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Год назад +12

    Mhe. spika Nakuona Mbali Sana ,Ukigombea Urais Ntainuka Kukuombea Ushinde Ni Mwanamke Mwenye Misimamo Ya Kiume ,Hongera Sana

    • @amour5535
      @amour5535 Год назад +1

      Mm pia na nitajitolea kumtangaza popote pale

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 Месяц назад +1

      Yeeeeeeees ❤

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Год назад +20

    Rip jpm mungu akupe raha ya milele yote haya uliyaona na ndio maana uliwablock watu kama hawa

    • @andrewmanaku
      @andrewmanaku Год назад +3

      Kweli kabisa ndio maana magu akumtaka huyu

    • @AdamFundikira-kk5oj
      @AdamFundikira-kk5oj Год назад

      ​@@andrewmanaku ni majizi makubwa

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 5 месяцев назад

      Kwel kabisa magufuli alikuwa hayataki haya majizi

    • @HASHIMUMKUNDA-pz1wd
      @HASHIMUMKUNDA-pz1wd 29 дней назад

      Kwani magu si ndiye aliyewaweka hawa bungeni"

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Год назад +18

    Sema spika, nakuombea pepo kwa allah, hakika unatutetea sanaaa na serikali yako unaijua sanaa🙏🙏

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Месяц назад +3

    Nilijiunga bado la wiki 1 nikaingia mtandaoni mida ya usiku nilitumia kama masaa 2 bado likakata nikatumiwa msg kua mb zangu zimekwisha hata mie nahisi tunapigwa kwenye mitandao nahakuna wa kututetea waziri mwenyewe anaitetea mitandao kua haiibi kunanini tena yeye hana shida nawala haimuasili kilichobaki kwa watanzania wanyonge ni mwenyezi Mungu tu atutetee Amin

    • @sadatistai575
      @sadatistai575 Месяц назад

      mimi nilijiunga bando la mwezi,ndani ya siku 4, likawa limeisha.

  • @yacobosonda3843
    @yacobosonda3843 Год назад +3

    Spika unatupambania sana wananchi hongera

  • @bakarimhina4133
    @bakarimhina4133 Год назад +7

    Mheshimiwa Nape Asitetee Makampuni Pekee,Afahamu Makampuni Yanatuumiza Waziwazi.
    Haitoshi Mheshimiwa Nape Akumbuke Yeye ni MBUNGE WA KUCHAGULIWA Hivyo Asilale Kwenye Nafasi ya Waziri Pekee.
    (Kutekeleza Makato Bila Tangazo Halijabadilika Huo ni WIZI).

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      afu unamuitaje mh wakati hajiheshimu Kaka...tunaumizwa Sana na wizara yake

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 Месяц назад

      Hajasomea mitandao labda.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +7

    Kuna pesa wanapata hawa viongozi siyo bure wanataka ifike mahali GB1 iwe elfu 10

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Год назад +7

    Huyu nape ndo maana alitumbuliwa Kwa mgufuri akili hana

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Год назад +4

    Jembe JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿💪🔥 lala salama

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Месяц назад +1

    Bunge hili Mh.Spika uko vizuri sana.

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад +10

    Rip JPM

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 Год назад +2

    Inasikitisha sana sana kuona waziri mwenye dhamana anasimama kumtetea muwekezaji ambaye anaibia watu wa Taifa lake, nchi ngumu sana hii

  • @amontv8628
    @amontv8628 Год назад +8

    3000 dk 55 G1 kweli dah wanaona tuna pesa

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Год назад +5

    Makampuni ya simu yaliyopo Tanzania YAMETUIBIA SANA WATEJA.Serikali itatetea kwa sababu inanufaika kwa TOZO kwa kila kona kutoka kwa WATANZANIA WALALAHOI.

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Год назад +29

    MAKAMPUNI YA SIMU inaelekea wanatoa cha juu sana kwa baadhi ya viongozi wa serikali , kwa nini huu mfupa wa hii wizara unakuwa mgumu kiasi hiki? SINA IMANI NA HII WIZARA.

  • @Dolomitemusic
    @Dolomitemusic Год назад +2

    Tunaibiwa sana waziri badala akili kuwa atalifanyia kazi yeye nae Bado anawakingia kifua watu wa mitandao wanatuobia sana tumechoka paka tunamkumbuka baba etu magufuli angekuwepo angewanyoosha mana mama yeye nikama anawaogopa da,😭😭😭😭😭😭

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 Год назад +4

    Nyie ni wezi shida watanzania wengi hawamjui adui yao

  • @huseinhamidu7367
    @huseinhamidu7367 Год назад +5

    Hili bunge laccm tu linatuumiza Sana kwakweli

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Год назад +4

    Watu kama wakina nape hafai kuludi bungeni tena ni watu wa hovyo

  • @everever2807
    @everever2807 Год назад +6

    Magufri kayafukunza huyu mwanamke kawarudisha

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati4276 Месяц назад

    Mhe Spika hongera sana sana kwa kazi nzuri sana

  • @radojembe7347
    @radojembe7347 Год назад +1

    Asante kiongoziii boraaa

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Год назад +5

    Hili swala ni tatizo sn ni kweli kabisa

  • @ghostballcone531
    @ghostballcone531 Год назад +2

    Dada Tulia wewe ni bora kuliko Ndugai angalau unawabana hao wa 10,%

  • @kenedynedy2615
    @kenedynedy2615 Год назад +2

    Waizii haooo pumbavuuu namtakufaaaa subili

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Год назад +6

    Tunaibiwa Sana unanunua 1000 wanakupa 800

    • @charlowmathew9762
      @charlowmathew9762 Год назад

      Huku +254 unanunua ya 50bob ambayo ni libuku ya huko kwetu Tz ni unapata mb 600 24hours

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 Год назад

      Nape yupo sahihi, ni utaratibu wa kibihashara. Kama soda, kila sehemu kuna bei yake na mtumiaji bila kulazimishwa anaridhia. Sema kwenye kupunguza mb ndio tatizo

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Год назад

      @@victaboy7273 yupo sahihi kwa lipi majambazi wa kalamu tu Hawa mbn kipindi cha magufuli walikua hawafanyi usenge huu Huku Toto Huku bando pesa hkn kz hmn shida tu mtindo mmoja

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 Год назад

      @@mahamoudduchi3318 kaka nakuelewa, na pia hata mimi ni miongoni mwa wanao umia. Lakini kaka hebu twende sawa, mfano, kwenye kumbi za starehe au viwanja vya mpira, kuna VVIP, hii huduma siyo lazima. Isipokuwa mtu mwenyewe anaamua. Na pia hii mitandao inapunguza mabando kutokana na serikali kuongezea mizigo ya kodi na tozo. Sasa nini cha kufanya? Hamna cha kufanya kaka.labda maamuzi magumu kama nchi

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Год назад +4

    Nnauye mbona huna huruma na wanainchi wako!!

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Год назад +3

    Bando wananchi wananyonwa na mwenye nacho! Kodi mwananchi analipa kwa kila kitu hata mawasiliano analipia tozo ya bado ni kodi namba 2 kwa mwananchi inayotwa bada ya 1.kununua simu Kodi
    2.Kupiga na kupokea au kuunga Internet ni kodi pia!

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 Год назад +3

    Huyu jamaa anafungu lake hko kwenye makapuni ya simu! Apaswi hata kdg kuwa kiongozi huyu mzee wa 10%! Hawa ni wapiga dili ndo maana mzeee aliwapiga chini

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад +1

    Spika unaaaaakiiiliiiii sanaaaaaa spikaa

  • @leonardgodliver9043
    @leonardgodliver9043 Год назад +1

    Huyu mbunge ana akili sana...Good presentation

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Месяц назад

    Hongera sana Mh. Francis.

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Год назад

    Asante Mbuge wangu 💪💪💪

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Год назад +5

    Nape acha zako enzi za ujinga zilipita

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Год назад +2

    Mmmh napita kazi kwenu

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Год назад

    Ndoto yangu ilikuwa kuiongoza nchi nlipenda sana kuishi kifalme niitawale na watu wangu na watoto wangu wapate nafasi za juu za uongoz niwanyooshe watu wanaopenda kutetewa maana mm sio mtetezi wa wanyonge mm napenda utajiri kuliko haki hata nchi ikikosa manufaa ilimradi mi namiliki mali mm hanihusu jmn si mtachagua nikigombea hebu gonga like kama unaniunga mkono

  • @jasmineathanas9250
    @jasmineathanas9250 Год назад +2

    Mnatuchosha sana viongozi wetu

  • @geja8708
    @geja8708 Год назад

    Mimi zantel wamenichukulia 2000 hadi leo sijapata bando wapa pesa haijarud, ukiwapigia kila siku wao FANYA SUBRA INSHA ALLAH

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y Месяц назад

      😂😂😂😂mm airtel walibeba buku yangu mpk sas wako kimy tu na simu yangu awapikei

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Год назад +9

    R.I.P JPM
    Yaani Kipindi Cha Magu 1000
    GB 1 Dakika 100 Sms 100
    Now 1000 Dakika 40 MB 350
    Maninaa kabsaaa 😏😏😏😏

  • @hope30807
    @hope30807 Год назад

    Wanatuibia sana kwa kweli..mtu unaunga bando wanakata unaweka bando wanakata ukiwapigia cm wanakwambia tatizo la kimtandao ukiuliza mtanirudishia bando langu maana sijatumia kabisa wanakwambia hairudi ila tutakufanyia setting unga tena .😢😢wanatukosea sana Yan sanaa kwakweli hope one day nikuwe na pawa nisaidie wa Tz wenzangu

  • @neemahezron486
    @neemahezron486 Год назад +2

    Tunateseka sana na mabando yanatumia ela nyingi mno nawanakata balaaa uelew limeishaje

  • @hoseaseif6602
    @hoseaseif6602 Месяц назад

    Mbadilisheni kitengo waziri Nape sense wizara nyingine mama yetu Samia onamajibu yambunge wahabarinamichezo haleti ufumbuzi kuusu bando

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 Год назад +3

    Nape c ndo wale wale wa mzoga group.

  • @masanjamakunga65
    @masanjamakunga65 Год назад

    Inauma sana

  • @wampukamackdonald557
    @wampukamackdonald557 Год назад +15

    Hivi nape ameajiliwa na makampuni ya simu au wananchi. Huyu yupo kutetea wananchi au makampuni ya simu. Naona Ni Kama baloz wa makampuni anaejibia makampuni, anatakiwa afatilie Ni nchi gan iliyoendelea yeyota ambayo unaweka muda wa maongez halafu bado Lina limi5 ya muda. Ulivyo kwa wenzetu hata nçh za Africa nying tuu, ukiweka kifurushi utapewa muda wa Dak. Kama Ni dakika Mia lakini hawakubani ziishe cku kadhaa, hauwez kumpangia mtu atumie masaa24 dak100 hapana umempa muda wa maongez hauna mamlaka ya yeye azitumieje. Nape hajielew kabisa Kama anajielew bas sio wazir wa nçh n wazir wa hayo makampuni.

  • @doctorz1954
    @doctorz1954 Год назад +13

    Ni kweli kuwa ni tatizo la ufahamau au ni kibri ya kuendekeza dhulma kwa faida ya binafsi. Kweli kwenye bundle za simu kuna wizi. Ukinunua LUKU unapata units za kiasi ulicho lipia. Lakini ifikapa mwezi mwengine zile units zilizo bakia huwa zipo kwenye Mita yako na utazitumia. Sasa kwa nini ninunuwe bando la wiki na ifikapo wiki hata ukiongeza kununuwa bando huunganishiwi kile kiasi ambacho hukutumia? WIZI KWENYE BANDO UPO.

  • @hoseaseif6602
    @hoseaseif6602 Месяц назад

    Saffi sanaaa spika wabunge kuhoji bando kwawananchi wanyonge wasiibiwe

  • @SudyMgeni
    @SudyMgeni Месяц назад

    Wezi Sana mamangu waziri mzushi.

  • @sautiyangu1
    @sautiyangu1 Год назад

    Wooow Wooow mh. Speaker 🙏🙏🙏🙏😁😁😁

  • @Mishellymlugu
    @Mishellymlugu Месяц назад

    Well done

  • @everever2807
    @everever2807 Год назад +2

    Tcclo hadi nimeitupa line mhuni huyo nape mwehu kabsaa

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Год назад +2

    Nape hatoshi

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад +2

    Nape kwa jua watu wanakuheshimu

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Год назад +7

    Huyu si bure itakua anapewa pesa na makampuni ya simu mana anawatetea sana

  • @jafarisospeter8743
    @jafarisospeter8743 Год назад

    Tulia nimekukubali. Hongera kwa kulipigilia nyundo hilo

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Год назад

    Mimi mwenyewe nikuweka Hela wanakata miambili Kila nikuweka,nchi hii Kila mahali ni shida!! Tunaibiwa sana!!! Kunashida kwa viongozi wetu!!!

  • @Dolomitemusic
    @Dolomitemusic Год назад +3

    Magufuli tunateseka baba yetu uku duniani jamaniii daaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Год назад +2

    Lakini uyy nape ajawahi kumhurumia mwananchi ata siku moja

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 Год назад +1

      Ovyo huyu hana imani mkandamizaji siku zote. Hafai, lakini kuna mwisho wake ymekaribia.

  • @haidarali839
    @haidarali839 Год назад +1

    Mh spika vizuri Sana

  • @petrofrank2805
    @petrofrank2805 Год назад

    Nape anajikanyaga kanyaga tuu,,,, et ni utaratibu,,, hebu watuambie tofauti ya utaratibu na sheria mbn ipo wazi sheria ni utaratibu sasa aseme utaratibu n nn hahahhahaa,,, TULIA ACKSON I NEVER EXPECTED THE WONDERS U DOING ON BEHALF OF US,,,,,,

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Месяц назад

    Tumechoka sanaa wizi wa mitandao,ila majibu mtajibu kwa
    MUNGU,

  • @sulwajackson6906
    @sulwajackson6906 Год назад +1

    Jamani uwoni kweli?tunaibiwa sana

  • @papaadialoo
    @papaadialoo Год назад +2

    Kuna wenye dhamana wanaopewa chochote

  • @joycerenard6179
    @joycerenard6179 23 дня назад

    Good

  • @emanuelchrisant8221
    @emanuelchrisant8221 Год назад +1

    Mnatuibia sana achana na bando hata ela zinazo baki kwenye muda wa maongezi.

  • @bahi_bay24
    @bahi_bay24 Год назад +2

    Hiyo wizara ni changamoto. Haisaidii kabisa wananchi... Ndani ya miaka miwili bando 1GB kutoka 1000 mpaka 3000 Sasa wao wanona kawaida. Da! Hatari kweli

    • @mariammosha2804
      @mariammosha2804 Год назад +1

      Ata miaka miwl haijaisha mpk ije kuisha 5 2talia nakusaga meno

  • @anethphilip
    @anethphilip Месяц назад

    Yaah yaah semaaa👍

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Год назад +1

    Mxiuuuu wazir wa ovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania

  • @eltonmika2797
    @eltonmika2797 Год назад +2

    Nlikuwa nawaheshmu sana wasomi wa Tz, ila nlipokuja gundua kuwa nina akili kuliko wao, bado hatuna wasomi tuna watu wanaojua kusoma na kuandika, sijasoma lakini nipo bright kuliko waziri

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Год назад +2

    Wezi mno hasa bando kwa Sasa ukiweka 2000 wanakata juu kwa juu 500 du mitandao ya sim ni wezi sana

  • @user-sz2ci8rd3l
    @user-sz2ci8rd3l 14 дней назад

    Mh Tulia akili kubwa sana nakupenda mpk naumwa wallahi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    Uko vizur Mh. Mmbunge huo bado ni wizi mkubwa. Jee watu wadogo tufanyeje. kwa hiyo tuwaogope hao watu wakubwa?

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад +1

    Spika uko vizuri kuhoji mawaziri

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 7 месяцев назад

    Sanaaa,tunatabu kubwa mno,kuhusu bandoo

  • @bestchanga3729
    @bestchanga3729 Год назад

    Huyu Waziri hayupo tayari kutete watanzania zaidi Sana yupo kimasrai katika kuwaibia wananchi, maana hakuna jambo lisilo badilika.

  • @ibrahimamos6949
    @ibrahimamos6949 Год назад +1

    Ni kweli kbsa tunaibiwa na istoshe kwa nn iwe bando la wiki halafu Linaisha siku moja????mh.nape huo sio mfano sahihi acha kutuwekea siasa kwenye ukweli

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Год назад

    Hii nchi tumeizoea, wizi njemje wala hawaogopi na wala hawana Hofu ya Mungu.

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 Год назад +1

    Kwanini NAPE anatetea sana Makampuni ya Simu? Amechaguliwa kama waziri , ayasimamie yasituumize wananchi. Yeye anasimama upande wao kuona kama wako sahihi. Hawa watu wanaingiza pesa nyingi sana .

  • @iddyjohn1032
    @iddyjohn1032 Год назад +1

    Huyu jamaa ni hovyo kabisa,1000 unapata dakika 40 na MB 350 kweli?????

  • @ambelejames1862
    @ambelejames1862 Год назад

    Spika makini sana ktk Bunge hili
    Mbona waziri ni kama yupo upande wa makampuni hayo

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Год назад +1

    Uwizi upo sana hiyo mintory mkulima asie jua kusoma kijijini huko huyo huwa anaferi sana

  • @MarthaTemba
    @MarthaTemba 2 месяца назад

    Safi sana spika kama vifurushi vya tv vinatunyonya

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 Год назад

    Najivunia kuwa na kiongozi Kama huyu spika wetu wa jamhuri wa muungano wa Tanzania, sio Siri unafaa Sana Tena Sana Mama yangu, TULIA

  • @barakaalbert8987
    @barakaalbert8987 Год назад +1

    Wasenge tuu wezi bob tushachoka

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 Год назад +2

    Kiukweri hiyo nchi yetu inatia aibu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 18 дней назад

    Tunaibiwa sana mpaka leo tunaibiwa sana. Na huyo Nape ndiyo aliye wasiliana. Haja tufanyia haki Voda kuna mahali. Kwahiyo sisi tupoteze pesa kila wakati.ninyi wakina Wizara na wzkina Nape wanapewa chao.

  • @kajulamwizalubi8893
    @kajulamwizalubi8893 Год назад

    Mheshimiwa spika uko vizuri ulikuwa wapi zaman

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Месяц назад

    Safi kabisa hii ni kweli kwa nini unipangie matumizi?

  • @emmanuelreuben1863
    @emmanuelreuben1863 23 дня назад

    Si bora likae hizi siku 7 !!!!! Linakaa siku moja brother

  • @beatricekassim6190
    @beatricekassim6190 Год назад +2

    eti wasio na uelewa km wa kwako😂😂

  • @barakasegugu5494
    @barakasegugu5494 Месяц назад

    Kweli kabisaa