NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA
HTML-код
- Опубликовано: 9 ноя 2022
- NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Spika mungu akupe.imani...usipepese macho...mbeya wanakutegemea
Nape nilikuwa naamini mwana mapinduzi lakini kwa hili, ameulizwa swali gumu, amejibu majibu mepesi mi sjamuelewa kabisa,
Huyu my spika ana akili Sana
Wiziiiiiiii wakubwaa...Na Nape kwanzia kwa Magu nakutiliaa mashaka sanaa
Nape kuna fungu lake katika mitandao ya kijamii sijaona akitetea wananchi hata sku 1 kwenye malalamiko ya mitandao
Kabisa
MWESHIMIWA SPIKA MITANO TENA NAKUBL 🔥🌏🚀🙏
Kabisaaaaaa
Hi likikatwa linaendaga wapi?
SPIKA UPO VIZURI SANA,TATIZO BAADHINYA MAWAZIRI WAKISHAPATA FURSA WANAJISAHAULISHA SANA kuwabwasingeingia bungeni bila sisi WAPIGAKURA walalahoi
Mbona Zambia bei Iko chini na makampuni ni hayo hayo, waziri tetea wananchi wako
Mh. Nape tunazungumzia bando si ticket ya kusafiria. Ukweli ni kwamba tunaibiwa wananchi. Utaratibu gani wa kuumizana na utaratibu unaweza kubadilishwa. Tusaidieni ndugu zetu wanaojali wananchi na Mungu awe nanyi tunawaombea🤲🏿
Mhe. spika Nakuona Mbali Sana ,Ukigombea Urais Ntainuka Kukuombea Ushinde Ni Mwanamke Mwenye Misimamo Ya Kiume ,Hongera Sana
Mm pia na nitajitolea kumtangaza popote pale
Yeeeeeeees ❤
Rip jpm mungu akupe raha ya milele yote haya uliyaona na ndio maana uliwablock watu kama hawa
Kweli kabisa ndio maana magu akumtaka huyu
@@andrewmanaku ni majizi makubwa
Kwel kabisa magufuli alikuwa hayataki haya majizi
Kwani magu si ndiye aliyewaweka hawa bungeni"
Sema spika, nakuombea pepo kwa allah, hakika unatutetea sanaaa na serikali yako unaijua sanaa🙏🙏
Hakika tumuombee Tulia
Nilijiunga bado la wiki 1 nikaingia mtandaoni mida ya usiku nilitumia kama masaa 2 bado likakata nikatumiwa msg kua mb zangu zimekwisha hata mie nahisi tunapigwa kwenye mitandao nahakuna wa kututetea waziri mwenyewe anaitetea mitandao kua haiibi kunanini tena yeye hana shida nawala haimuasili kilichobaki kwa watanzania wanyonge ni mwenyezi Mungu tu atutetee Amin
mimi nilijiunga bando la mwezi,ndani ya siku 4, likawa limeisha.
Spika unatupambania sana wananchi hongera
Mheshimiwa Nape Asitetee Makampuni Pekee,Afahamu Makampuni Yanatuumiza Waziwazi.
Haitoshi Mheshimiwa Nape Akumbuke Yeye ni MBUNGE WA KUCHAGULIWA Hivyo Asilale Kwenye Nafasi ya Waziri Pekee.
(Kutekeleza Makato Bila Tangazo Halijabadilika Huo ni WIZI).
afu unamuitaje mh wakati hajiheshimu Kaka...tunaumizwa Sana na wizara yake
Hajasomea mitandao labda.
Kuna pesa wanapata hawa viongozi siyo bure wanataka ifike mahali GB1 iwe elfu 10
Huyu nape ndo maana alitumbuliwa Kwa mgufuri akili hana
Jembe JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿💪🔥 lala salama
Bunge hili Mh.Spika uko vizuri sana.
Rip JPM
Inasikitisha sana sana kuona waziri mwenye dhamana anasimama kumtetea muwekezaji ambaye anaibia watu wa Taifa lake, nchi ngumu sana hii
3000 dk 55 G1 kweli dah wanaona tuna pesa
Tatizo hata hiyo G1 inakwenda kama upepo...!
Makampuni ya simu yaliyopo Tanzania YAMETUIBIA SANA WATEJA.Serikali itatetea kwa sababu inanufaika kwa TOZO kwa kila kona kutoka kwa WATANZANIA WALALAHOI.
MAKAMPUNI YA SIMU inaelekea wanatoa cha juu sana kwa baadhi ya viongozi wa serikali , kwa nini huu mfupa wa hii wizara unakuwa mgumu kiasi hiki? SINA IMANI NA HII WIZARA.
Always kk.
Huo ni ukweli kwa 175%
Kila.ariye.achwa.na.malehem..kwamba.hafai..hafai.kweli.
Tunaibiwa sana waziri badala akili kuwa atalifanyia kazi yeye nae Bado anawakingia kifua watu wa mitandao wanatuobia sana tumechoka paka tunamkumbuka baba etu magufuli angekuwepo angewanyoosha mana mama yeye nikama anawaogopa da,😭😭😭😭😭😭
Nyie ni wezi shida watanzania wengi hawamjui adui yao
Hili bunge laccm tu linatuumiza Sana kwakweli
Watu kama wakina nape hafai kuludi bungeni tena ni watu wa hovyo
Magufri kayafukunza huyu mwanamke kawarudisha
Mhe Spika hongera sana sana kwa kazi nzuri sana
Asante kiongoziii boraaa
Hili swala ni tatizo sn ni kweli kabisa
Dada Tulia wewe ni bora kuliko Ndugai angalau unawabana hao wa 10,%
Waizii haooo pumbavuuu namtakufaaaa subili
Tunaibiwa Sana unanunua 1000 wanakupa 800
Huku +254 unanunua ya 50bob ambayo ni libuku ya huko kwetu Tz ni unapata mb 600 24hours
Nape yupo sahihi, ni utaratibu wa kibihashara. Kama soda, kila sehemu kuna bei yake na mtumiaji bila kulazimishwa anaridhia. Sema kwenye kupunguza mb ndio tatizo
@@victaboy7273 yupo sahihi kwa lipi majambazi wa kalamu tu Hawa mbn kipindi cha magufuli walikua hawafanyi usenge huu Huku Toto Huku bando pesa hkn kz hmn shida tu mtindo mmoja
@@mahamoudduchi3318 kaka nakuelewa, na pia hata mimi ni miongoni mwa wanao umia. Lakini kaka hebu twende sawa, mfano, kwenye kumbi za starehe au viwanja vya mpira, kuna VVIP, hii huduma siyo lazima. Isipokuwa mtu mwenyewe anaamua. Na pia hii mitandao inapunguza mabando kutokana na serikali kuongezea mizigo ya kodi na tozo. Sasa nini cha kufanya? Hamna cha kufanya kaka.labda maamuzi magumu kama nchi
Nnauye mbona huna huruma na wanainchi wako!!
Bando wananchi wananyonwa na mwenye nacho! Kodi mwananchi analipa kwa kila kitu hata mawasiliano analipia tozo ya bado ni kodi namba 2 kwa mwananchi inayotwa bada ya 1.kununua simu Kodi
2.Kupiga na kupokea au kuunga Internet ni kodi pia!
Huyu jamaa anafungu lake hko kwenye makapuni ya simu! Apaswi hata kdg kuwa kiongozi huyu mzee wa 10%! Hawa ni wapiga dili ndo maana mzeee aliwapiga chini
Spika unaaaaakiiiliiiii sanaaaaaa spikaa
Huyu mbunge ana akili sana...Good presentation
Hongera sana Mh. Francis.
Asante Mbuge wangu 💪💪💪
Nape acha zako enzi za ujinga zilipita
Mmmh napita kazi kwenu
Ndoto yangu ilikuwa kuiongoza nchi nlipenda sana kuishi kifalme niitawale na watu wangu na watoto wangu wapate nafasi za juu za uongoz niwanyooshe watu wanaopenda kutetewa maana mm sio mtetezi wa wanyonge mm napenda utajiri kuliko haki hata nchi ikikosa manufaa ilimradi mi namiliki mali mm hanihusu jmn si mtachagua nikigombea hebu gonga like kama unaniunga mkono
Mnatuchosha sana viongozi wetu
Mimi zantel wamenichukulia 2000 hadi leo sijapata bando wapa pesa haijarud, ukiwapigia kila siku wao FANYA SUBRA INSHA ALLAH
😂😂😂😂mm airtel walibeba buku yangu mpk sas wako kimy tu na simu yangu awapikei
R.I.P JPM
Yaani Kipindi Cha Magu 1000
GB 1 Dakika 100 Sms 100
Now 1000 Dakika 40 MB 350
Maninaa kabsaaa 😏😏😏😏
yani ni hatari😭
Kbs yaani kipindi cha magufuli walikua na adabu zao tu Hawa washenzi
Wanatuibia sana kwa kweli..mtu unaunga bando wanakata unaweka bando wanakata ukiwapigia cm wanakwambia tatizo la kimtandao ukiuliza mtanirudishia bando langu maana sijatumia kabisa wanakwambia hairudi ila tutakufanyia setting unga tena .😢😢wanatukosea sana Yan sanaa kwakweli hope one day nikuwe na pawa nisaidie wa Tz wenzangu
Tunateseka sana na mabando yanatumia ela nyingi mno nawanakata balaaa uelew limeishaje
Mbadilisheni kitengo waziri Nape sense wizara nyingine mama yetu Samia onamajibu yambunge wahabarinamichezo haleti ufumbuzi kuusu bando
Nape c ndo wale wale wa mzoga group.
Inauma sana
Hivi nape ameajiliwa na makampuni ya simu au wananchi. Huyu yupo kutetea wananchi au makampuni ya simu. Naona Ni Kama baloz wa makampuni anaejibia makampuni, anatakiwa afatilie Ni nchi gan iliyoendelea yeyota ambayo unaweka muda wa maongez halafu bado Lina limi5 ya muda. Ulivyo kwa wenzetu hata nçh za Africa nying tuu, ukiweka kifurushi utapewa muda wa Dak. Kama Ni dakika Mia lakini hawakubani ziishe cku kadhaa, hauwez kumpangia mtu atumie masaa24 dak100 hapana umempa muda wa maongez hauna mamlaka ya yeye azitumieje. Nape hajielew kabisa Kama anajielew bas sio wazir wa nçh n wazir wa hayo makampuni.
Rushwa ni adui wa haki
Hata mimi namshangaa sana NAPE.Yaani yeye hayupo kabisa na Wananchi.Nadhani kuna anachokipata kwenye haya makampuni si bure.
Hatuzungumzii teket nape tunaxungumzia bando
L
Ndiomaana kipindi chaJpm wapuuziwote nje
Ni kweli kuwa ni tatizo la ufahamau au ni kibri ya kuendekeza dhulma kwa faida ya binafsi. Kweli kwenye bundle za simu kuna wizi. Ukinunua LUKU unapata units za kiasi ulicho lipia. Lakini ifikapa mwezi mwengine zile units zilizo bakia huwa zipo kwenye Mita yako na utazitumia. Sasa kwa nini ninunuwe bando la wiki na ifikapo wiki hata ukiongeza kununuwa bando huunganishiwi kile kiasi ambacho hukutumia? WIZI KWENYE BANDO UPO.
Yani magu alikua anamaana sana
Ohfh
Asante sana mungu akubariki
Mwizi.apigwe.mawe.adi.ave
Kwel hawa watu wa bado niwizi mkubwaa
Saffi sanaaa spika wabunge kuhoji bando kwawananchi wanyonge wasiibiwe
Wezi Sana mamangu waziri mzushi.
Wooow Wooow mh. Speaker 🙏🙏🙏🙏😁😁😁
Well done
Tcclo hadi nimeitupa line mhuni huyo nape mwehu kabsaa
Nape hatoshi
Nape kwa jua watu wanakuheshimu
Huyu si bure itakua anapewa pesa na makampuni ya simu mana anawatetea sana
Tulia nimekukubali. Hongera kwa kulipigilia nyundo hilo
Mimi mwenyewe nikuweka Hela wanakata miambili Kila nikuweka,nchi hii Kila mahali ni shida!! Tunaibiwa sana!!! Kunashida kwa viongozi wetu!!!
Magufuli tunateseka baba yetu uku duniani jamaniii daaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Lakini uyy nape ajawahi kumhurumia mwananchi ata siku moja
Ovyo huyu hana imani mkandamizaji siku zote. Hafai, lakini kuna mwisho wake ymekaribia.
Mh spika vizuri Sana
Nape anajikanyaga kanyaga tuu,,,, et ni utaratibu,,, hebu watuambie tofauti ya utaratibu na sheria mbn ipo wazi sheria ni utaratibu sasa aseme utaratibu n nn hahahhahaa,,, TULIA ACKSON I NEVER EXPECTED THE WONDERS U DOING ON BEHALF OF US,,,,,,
Tumechoka sanaa wizi wa mitandao,ila majibu mtajibu kwa
MUNGU,
Jamani uwoni kweli?tunaibiwa sana
Kuna wenye dhamana wanaopewa chochote
Good
Mnatuibia sana achana na bando hata ela zinazo baki kwenye muda wa maongezi.
Hiyo wizara ni changamoto. Haisaidii kabisa wananchi... Ndani ya miaka miwili bando 1GB kutoka 1000 mpaka 3000 Sasa wao wanona kawaida. Da! Hatari kweli
Ata miaka miwl haijaisha mpk ije kuisha 5 2talia nakusaga meno
Yaah yaah semaaa👍
Mxiuuuu wazir wa ovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania
Nlikuwa nawaheshmu sana wasomi wa Tz, ila nlipokuja gundua kuwa nina akili kuliko wao, bado hatuna wasomi tuna watu wanaojua kusoma na kuandika, sijasoma lakini nipo bright kuliko waziri
Wezi mno hasa bando kwa Sasa ukiweka 2000 wanakata juu kwa juu 500 du mitandao ya sim ni wezi sana
Mh Tulia akili kubwa sana nakupenda mpk naumwa wallahi
Uko vizur Mh. Mmbunge huo bado ni wizi mkubwa. Jee watu wadogo tufanyeje. kwa hiyo tuwaogope hao watu wakubwa?
Spika uko vizuri kuhoji mawaziri
Sanaaa,tunatabu kubwa mno,kuhusu bandoo
Huyu Waziri hayupo tayari kutete watanzania zaidi Sana yupo kimasrai katika kuwaibia wananchi, maana hakuna jambo lisilo badilika.
Ni kweli kbsa tunaibiwa na istoshe kwa nn iwe bando la wiki halafu Linaisha siku moja????mh.nape huo sio mfano sahihi acha kutuwekea siasa kwenye ukweli
Hii nchi tumeizoea, wizi njemje wala hawaogopi na wala hawana Hofu ya Mungu.
Kwanini NAPE anatetea sana Makampuni ya Simu? Amechaguliwa kama waziri , ayasimamie yasituumize wananchi. Yeye anasimama upande wao kuona kama wako sahihi. Hawa watu wanaingiza pesa nyingi sana .
Huyu jamaa ni hovyo kabisa,1000 unapata dakika 40 na MB 350 kweli?????
Spika makini sana ktk Bunge hili
Mbona waziri ni kama yupo upande wa makampuni hayo
Uwizi upo sana hiyo mintory mkulima asie jua kusoma kijijini huko huyo huwa anaferi sana
Safi sana spika kama vifurushi vya tv vinatunyonya
Najivunia kuwa na kiongozi Kama huyu spika wetu wa jamhuri wa muungano wa Tanzania, sio Siri unafaa Sana Tena Sana Mama yangu, TULIA
Wasenge tuu wezi bob tushachoka
Kiukweri hiyo nchi yetu inatia aibu
Tunaibiwa sana mpaka leo tunaibiwa sana. Na huyo Nape ndiyo aliye wasiliana. Haja tufanyia haki Voda kuna mahali. Kwahiyo sisi tupoteze pesa kila wakati.ninyi wakina Wizara na wzkina Nape wanapewa chao.
Mheshimiwa spika uko vizuri ulikuwa wapi zaman
Safi kabisa hii ni kweli kwa nini unipangie matumizi?
Si bora likae hizi siku 7 !!!!! Linakaa siku moja brother
eti wasio na uelewa km wa kwako😂😂
Kweli kabisaa