MBUNGE AZUA KIZAAZAA, AMWAMBIA MWIGULU "UMETUKANA WABUNGE", MWIGULU AMJIBU
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- MBUNGE AZUA KIZAAZAA, AMWAMBIA MWIGULU "UMETUKANA WABUNGE", MWIGULU AMJIBU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mbunge tandaimba respect
Asanteee sana baba mungu akupe maisha marefu ,kwa kutetea wakulima mungu akubariki mno ,na usimamie hayoo
P
Imekuelewa sanaaaa mh hongera kwakujitoa sadaka kwa ajiliya wakulimaa
Mwigulu acha kujitetea uliwatukana wabunge tukiwa tunasikia na siku zote umwkuwa na majibu ya hovyo kwa wananchi kupitia wabunge Wala c uongo na ulisema kwel kuwa ww umebobea uchumi wengine labda wajadili uganga wa kienyeji na cyo uchumi, ulisema.
Mwigu! Kwl unadharau. Hilo likowazi.
Mwiguru jitahidi kuwaheshimu wabunge wenzako hata pia hata kwa watanzania wote ,tafuta lugha rafiki ,kumekuwa Mara nyingi ambazo si rafiki ,watanzania tunaona na sasa zinaendelea Hadi ndani ya bunge.
HUYO MWIGULU ALISEMA ATAKAYE ONA TOZO IMEZIDI TUAMIE BURUNDI MWAKA 25 APATI UMBUGE KATUTESA SANA MASKIN
Mh hongera Sanaa kwa kusema ukweli.
Ubarikiwe mbunge.
Wakurima katika nchi yetu TWAFA
Congratulations MP👏
Mwigulu aondoke tuu...hafai kwa iyo nafasi
Kweli kabisa
Yaaani
Mwigulu ujitafakari Sana kauli zako za dharau na kejeri Kwa watanzania na wabunge.Cheo dhamana tu
Safi sana kiongozi,,,tunataka wabunge kam nyie,,mnaojua kuwatetea wanyongee
Mwigulu mwigulu wizard wizara ina shida Mungu aiweke mono wake kiliokilio kila kona
Mwigulu muogope mungu
Hata hizo garden halimi wenyewe....wazo zuri jaribun km ulivyosema ndugu mbunge ...hongera sn.
Mwiguru umetutukana sisi wananchi wanyonge wariyo pinga kura sawa
Mwigulu amewadharau sana na kuwatukana sana. Yeye anajiona sana hata sisi huku tunaisikia
Yes congratulation this is how society need being in position truth makes leader perfect
Good mbunge wangu katani
Sema baba
Mbunge uko vizuri sana
Hapo sawa mkulima mteteeni
Mashallah
Mwigulu mwigulu mimi mnyiramba mwenzio ninasema bora unyamaze
😅😅
Mwamba❤❤
Safi sana wakulima tunaumia sana leo mbozi mahindi debe ts 4000
Huyu mbunge ingepaswa aongezewe muda hayo ndio maneno
MUNGU AKUBARIKI SANA
Safiii sanaaaa
Hongera sana mh.Mbunge Katani.Mkulima huwa analima kwa kushindwa kukusanya stock tu
Ubarikiwe Sanaa kwa kuongea ukweli na kuwatetea wakulima. Mahesanu ya CAG pesa inapigwa sanaaa
Hawa ndiyo wabunge tunao wataka Jamani
This is my profeshen
Huyu mmbunge apandishwe cheo anatetea san wakulima anayajua maisha aliyoishi.Wenngine wamejitoa ufaham.
Sema usiogope sema
Hongera mbunge utetezi wako
Mwigulu anamajibu ya kashfa kwa wananchi
Sio sawa
Sisi wananchi alituambia tuhame nchi tunde Burundi
Jambo ambalo anatakiwa kujiuzulu maana hadhamini watu anaowaongoza.
Na sis wananchi hatuna imani naye . Hatetei maslahi ya Tanzania
Big up
Hawa nao kila muda taarifa taarifa hawa watoa taarifa wanazinguwa sana
Asalam allahkum
Tuteteeni vijana wabunge wetu
😢😢 mbunge kaongea pointi sana
Katana👍
Upo sahihi ndugu yetu
Wabunge wanaojitambua ni wachache Sana
Huyu ndo mbunge anayeongea ya moyoni na kutetea raia, hawa wengine hovyo tu
Raisi Samia ana kazi Ngumu sana kwa Nchi yetu Tanzania 🇹🇿 lkn M/mungu amsimamie tu lkn mtihani
Ndioooo baba hatutetewi wakulima.
Hela zipo acheni maasira
inauma sana
Uko sawa
wabunge wetu mnapiga kelele lakini hamuwajali watanzania hao wenzake hawajawahi kulima ni wavivu tuu wanajua kuotesha maua tuu hawana lingine hata kufagia nje hawajui maana kazi ni namna ya kupata hela tuu na kati ya wabunge mwigullu ni hewa kabisaaa bora asiongee anakeraa huyu mwizii alieshindikana
Mwigulu we magufuli sialikutoa hinchi ni Mungu tu ndo atusimamie cz tunayumbishwa sana
Mwigulu kilaza
Wakulima sisi hatuna wakututetea tunaumia tunatumia nguvu nyingi shambani na mda lakini tunanyonywa 😭😭😭😭
Acheni bei ipande Moka mbinguni,ili mkulima afaidike,shida iko wapi?neno njaaaa linatoka wapi,chakula serikali iliruhusu kikatoka nje ya dunia,Leo kelele vipi?
Achana na kilimo fanya mishe zingine
@@ramadhanitokwete8069 haya nipe hiyo mishe niachane na kilimo
Kataa wahuni
Jamani sisi ambao ni wakulima tunaumia mno jamani
Balaa hili
Asante. Hawajui. Kulima. Wajua. Kulatu. Ndio. Maana. Hawana. Uchungu. Naa. Wakulima. Maskin
Sijawahi kumwelewa mwigulu ni bora jiwe kwenye nafasi hii
Tundu kaliamsha bunge
Yani watukama hawa respect
Safi tunataka wabunge kama hao
Mwigulu Just step down For your own good and respect.
Iko sawa wakulima hatunamtetezi mnajua mfanyacho jengeni nchi hatuna amani tunautilivj pesa imeenda wapi?
Mwinguru ajiuzuru uyo amuna kitu,
Wafunge tu bunge
Mh,Mwiguru aliteleza kusema tukishindwa kulipa kodi tuhamie Burundi,Burundi siyo kwetu kwetu hapa Tanzania
Nimemsikia mmoja anamwmbia katani usilie
Kweli mbunge wewe unanijua Mungu ndio maana unajua shida ya mkulima
Katani umeongea point
Uyu mubunge ni fireee
Jamani Apewe Maua yake Mwigulu Ana sema ukweli Mtupu Apongezwa Hakuna Mweshimiwa Anaye sema Wapungu ziwe Mishahara yao ili Tununue pembejeo kwa Wakulima
Mwigulu hatufai yaani ameisha ona watanzania mabwege. Wanyonge tunazidi kuteseka anatuwekea matozo kibao hata ukitoka na mkungu wa ndizi unatozwa sh. 1000
Wizara kilimo kweli bei ya mchele ipo chini mkulima hawezi kuendelea na pia wafsnyakazi wa ushirika motogoro mrcu toka mwaka 1995 hadi leo hatujalipwa mafao yetu na tuhakiki lakini hatuwi tutapata lini mara ya mwisho january 2024 hutujuwe tufikilien watumishi wa mrcu
Ongezeko la mishahala
Mwigulu hawakupendi kabisa watanzania umepata laana,
Ajiuzulu na ahame aende ubeligiji kwa tundu lisu
Siyo kweli kwenye mkopo wa wakulima
Mwigulu wa Tanzania tunakutizima, kumbuka hii nchi sio ya mamako
Hhuyu mbunge kama mpinzaniiiii
Utakamatika tu mzee wa trat na trab umeanzia kutukana wananchi na kwa sasa umeamia kwa wabunge.
Kweli kabisa bunge hamengeya kitu kikubwa sana
Mfumuko wa bei ni mabadiliko ya Tabia ya nchi mvua Zina muda mrefu hazieleweki ,jadilini jinsi ya kutumia vyanzo vya Maui kuimarisha kilimo
Yaani huyu mwiguru ungepisha kiti tatizo unapenda uwaziri pia hata kujibu huwezi unajibu kwa hasila mara tuhamie burundi mara waganga wa kienyeji matusi hayo
Mwingulu unakashifa ya mabas ya ester tunataka majibu
MH. KATANI 100 KWA 100
Mwi gulu yupo sawa Wanao shindwa kifikiri ni watunga sheria na sio TRA wao wana Tekeleza Mliyo ya Andaa na Maelekezo ya watunga sheria
Kweli kabisa mkulima anateswa kwa bei ya mazao serikar jipangen vizur ili msimwangushe Mama ruhusuni masoko huria yatumike na mkayasimamie
Fact kbs
🙏🙏🙏🙏
Wao go hao wanajifanya wakali chadema waja kasi wanajihami
WAZEEE WA GADENI WAKULIMA WA GADENI
Yani sio kuwatukana tu, kawavua nguo huyoo 🤣..... Yani mnaweza kujadiri mambo ya uganga tu. Afu anasimama anaongea kwa zarau , sipati picha mwigulu awe Raisi sijui watu tutaishije,...kwanza alisha sema cc tuhamie burundi😂😂
Yes big up ,tunataka wabunge kama hawa
Ndio mwape uongozi 2025
Bustani yenyewe ya maua inatunzwa na wafanyakazi
Kweli kabisa tunduru namba moja akuna bei mazao yetu nambunge watunduru sijui ninan
tabora tunanunua debe 23 adi 22 sijajuw mwezi huu ni shingapi wafanya biashara wanapandisha sana bei
Wakulima tuna teseka
Wagongameza wamechaluka wabunge wakalime halafu wakopwe na chama Cha ushilika harafu muone uchungu
Tatizo niuganga unadhani vingine havipandi nichakula tu naomba mjue maisha magumu
Mungu akubariki mbunge
asaante sana mmezoea kuwapiga taarifa wabuge wanatete wakuma tuna machungu na wabunge wasiojali wananchi wanamjali sana samia. wakati utafika samia apigi kura ni. Sisi tuna piga kura wenu ni simba sauti ya wanyonge
Waziri mtarajiwa Big up
Kweli kabisa wakulima maskini wanateseka sana
Wewe mbunge ningekuwa nawewe kabisa. Lakini kwa kile mlichokifanya kawa Bandari zetu nawadharau wabunge wote wa CCM. Kama watanganyika watawapa Inchi ya Tanganyika kwa CCM watakuwa wanajinyonga wenyewe na huyo mama yenu akiendelea kwa miaka 5 tu Tanganyika itafutwa katika dunia!
Katani ebu mpe huyo Bashe ukweli......katani ndio Mtetezi wetu wakulima taarifa zenu ni za kitashi na ukweli wakulima wananyongwa sana wanauza debe 10000 na Wafanyabiashara mijini wanatuuzia debe 1 kwa shiling 23000. Hapo ndio mnatetea wakulima au mnatetea wezi wa Wafanyabiashara