MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE BAADA YA KUINGIA NA UNIFORM ZA SHULE NA MADAFTARI KUWAONESHA
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2021
- "Asilimia 50 ya presha ambayo watu wanayo sasa hivi ni suala la elimu na suala hili sio kwenye elimu yenyewe, leo nimekuja na mfano wa daftari ambazo shule zinasomea, shule binafsi wanasomea daftari la sh 200 ambapo kwa mwanafunzi madaftari 11 itakuwa 2200 lakini shule ya Serikali inasomea counter book, counterbook 11 ni sawa na sh 55,000 ambayo ni sawa na gunia la mahindi au mpunga sasa inawezekanaje matajiri wakasomea daftari la Sh 200, maskini wakasomea daftari la sh 5500 na mnasema watu wana stress ni kweli watu hawana raha na shule, nina mfano wa uniform hapa, shule za binafsi ni rangi hizi, uniform za shule za Serikali ni rangi nyeupe ni vipi mzazi ataweza kufua kila siku, Wazazi wanashinda wananunua sabuni na kufua tunaongeza umaskini badala kuongeza elimu"-Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/22.
Mm sichoki kbsa jmn kuangalia hii clip... naombeni like
Hata mm sijawahi kuchoka ntaangalia maisha yangu yote yaliobaki
Mzee wetu huyu ametugawia sana madaftari na kalam shule za msingi igoma mhandu na nyakato mwanza enzi hizo.mungu akulipe shujaa wa elim
Mai
Mheshimiwa kishimba ishi daimaa sana nakukubali sana, unaongea uharisia wa mambo, Mungu akubariki sana🤝👊💪
Hakika Kishimba is a Natural Genius. Nakushukuru Mheshimiwa Spika kwa Kukazia Tafsiri ya Kazi.
Mzee Kishimba huwa una kwenda right to the point......
Ubaya kila kitu tunacopy toka kwa wazungu Kuna haja ya kubadilika na kua na module zetu kulingana na mfumo wa maisha yetu....
Kweli nimekubari "Great minds discuss ideas"
Wapi bw mbona hata wazungu wenyewe Hawavai sare za shule Africa tubadilike jamani
Hawa ndiyo Wabunge wanaohitajika katika jamii ya Kitanzania. Hongera sana Kishimba.
Mbunge wa wanyonge hongera Sana kishimba
Wanyonge gan ww????
Kuna huyu mzee kishimba na polepole nawaelewa Sana 😊😊💪💪💪🦾
I like your contributions Mheshimiwa Peter Kalii Kenya
Huyu mzee anaongea vitu muhimu Sana lkn tatizo kufatwa huo ushauri wake... Elimu ya Tanzania hamna kitu kabisa Yan.. Elimu mbovu Sana... From Muscat/Oman 🇴🇲
Kwani biology chemistry, physic nk tunayosoma Tanzania ina utofauti na.aehemu nyingine.duniani? Acheni ujinga elomu ndio hiyo hiyo hakuna tofuti
Akili ya waliolishwa vichwa vya samaki Sato wa ziwa Victoria 😁 Safi sana Mb Kishimba Profesa
Uyu mzee namuelewa sanaaaaa
Very intelligent person. Mungu akupe maisha marefu.facts of life
Umesema uharisia wa maisha ya Mtz, hongera tajiri yangu w Zamani
Mzee kishimba huwa anafanya research kwanza ndo anaongea huwa hakurupuki tuu afu naona amezungukwa na watoto wakali safi sanaaa
Umeonaeee
Hahaha hujaacha kuwaona watoto wakali
Hahahaha
Bunge la asahiv limejaa pc kali kishenzi awam ijayo najitupia namimi potelea mbali
Mzee wangu umeongea vizuri sana. Mungu akubariki sana.
Katika Tanzania huyu ndo mbunge wangu ingawa hayupo kwenye jimbo langu! Mzee ana akili nyingi sanaaaa! Mama Mtazame sana huyu dingi apewe uwaziri wa elimu, ndalichako awe naibu waziri wake! Yaani yuko na maakili mingi sanaaaaaaa
Hakika kwakweli🙏🙏🙌
Wapunguziwe mishahara wabunge at least walipe mil moja kwa mwez alaf tuone kama hosp zitakosa dawa, na wanafunz watakula bure throughout the year, serkal inapoteza pesa nying kwa kulipa baadhi ya watanzania pesa nyingi mno kwa kweli hili liangaliwe
Hospitali zitakoxa dawa km kawaida nijibu nikuelezee kinachoendelea.
@@loveofficial74 nn kinaendelea😋😊
Kweli baba
Huyu Mzee yupo kwenye field ya Maisha kwa miaka mingi sana,na practically ameiva Sana,ndio maana haamini katika kukaa Sana darasani,ni kweli tunapoteza muda,mfano unataka kuwa billionea,utasoma Hadi lini,wenzetu miaka 25 kama hujatajirika basi tena wewe unakufa masikini Tu,lbd uanze kutumia ndumba uue watu.
Mzee chukua mirinda nyeusi popote ntakuja kulipaa👍👍👍
Kishimba uko juu sana aisee!
Mzee yupo vizur sana anafikiri mbali sana!
Hongera sana kishimba kwa upeo mkubwa wa mambo.
Wakulima wanayo sikukuu yao na maonesho yao. Hongera Spika kuwa na Mh kama Prof Kishimba.
Darasa la Saba tuko vizuri Sana tatizo hatujaa vaa tu Yale majoho yao.mnaona point zetu .👍👍👍
Sometimes yale majoho ni mkosi, ni sawa nukuambiwa wewe ni spiderman alafu unapewa na vazi la spiderman na verification card kumbe hamna kitu sio spider man ilikuwa halloween party tu
You what, probably, oh may God, okay, ooh Yes , ok I do haaaaaaaaa
Uongozi ni hekima sio elimu hakika mungu azidi kukubaliki. Mzee wangu. Ulicho eleza nikweli kabisa
Viongozi wanaotoka kanda ya ziwa so Genius
Mh.Kishimba mungu akulinde mbunge wangu na aendelee kukupa maarifa zaidi uweze kututoa apa tulipo mana mawazo yako n yenye nguvu sana kwa ustawi na maendeleo ya taifa letu🙏🙏🙏
Unliwaa,😁😁😁
Very powerful, anaongelea elimu inayohusu dual vacation education and training/duale Ausbildung
Anaongea Kama anachekesha lakini ni Mambo ya msingi Sana.🤔🤔🇹🇿🇹🇿
Hivi kwanini rais hampo huyu MH kishimba uwaziri wanelimu? Anafaa Sana ungekuta kuna mabadiliko manzuri mno? Huyu anaona mbele sana
Dah huyu mzee namkubali sana🤣🤣
Mzee uko vizuri...umeongea more than points. Big up mzee.
Mzee kishimba watachelewa kukuelewa Kwa sababu wabunge wengi ni wa mjinin maisha ya kijijin awayajui nakpongeza sana
Safi sana mbungee.
Nice comment MH spker
Hata enzi zangu nasoma kama ingekuwa mdaftari mkubwa huo kama muasibu ningeacha shule, kwanini daftari kubwa hivyo primary khaah!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uliosema yote kweli huo uasli ndio unaotakiwa ili tusonge mbele na tukifuata huo utaratibu Tanzania lazima tutafika uchumi wa juu nakupongeza sana endelea kutusemea nakukubali sana
Safi Sana we mbunge mm nafua mashati ya wanangu kilasiku
Dahhhh akili kubwa sana
Safi sana mbunge akili kubwa sana sana👏
Tatizo Uko mbele ya muda ila iko siku watakuelewa tuu siku moja. keep pushing J4
Proffesa kaja na vitu vipya, hahaha
Hongera sana, Mhe. Kishimba, kwa kujaribu kudokeza namna elimu yetu inavyotakiwa kuwa. Elimu inayoakisi mazingira yetu. Lakini "wasomi" wanaotakiwa kuleta mabadiliko ya aina hiyo hawatakuelewa. Wataishia kucheka tu, halafu hoja yako itapotezwa. Tuisuke upya elimu yetu. Tuchanganye mawazo ya "wasomi" na sisi wananchi wa kawaida ili kupata mitaala ya elimu inayowafaa watoto wa wananchi wa kawaida wa nchi hii. Tumezama kwenye biashara ya English Medium, taifa linateketea.
This man is very creative
Mzee wetu anaongea point sana
Yan kama Wabunge wote wangekuwa na akili kama huyu nchi ingepiga hatua kwa kasi sana
tatizo letu,tunaiga kila kitu,hatuendi na hali halisi
Hakika huyu mzee ana madini sana.
Mzee kishimba bhana,sijui kwa nn hawakupi hata unaibu Waziri
My president prof.kishimba
anasoma vehicle mechanic, anajua definition ya mechanic,anajua network's rulls zote,anajua mahesabu yote ya mechanic, anasomeshwa hadi what's the meaning of car,, kwa mda wa miaka 4 ili apate degrees na kapata GPA ya kwanza ,,lkn kutia na kutoa tyres hajui, hawezi , aliefeli shule hajui definition ya chochote ila ukimpa miaka 2 tu garages anakufungulia engine na anairudisha ,,, thus why i say dunia inabadilika tena very fasta kuna gari zinakuja zitakua zinajiendesha zenyewe lkn hadi kesho ukienda driving school wanakuambia ni only Manuel car ndo wanasomesha ,yani kama skuli inatoa elimu Basi kwa sasa elim za shule zishapitwa na wakati ,,, UKITAKA SAII UFANIKIWE
1, SOMA DINI HADI UFIKE CONCLUSION YA KUA IPI DINI SAHIHI
2,SOMA INTERNATIONAL LANGUAGE
3,JIAMINI HUNA AMBACHO HUWEZI
4,INGIA MTANI UJIFUNZE KILA UNACHOKITAKA KWA VITENDO, COS UKIELEWA VITENDO VYA KAZI FLANI UHAKIKA THEORIES UNAWEZA UKAANDIKA MWENYEO,,,,,
4,ACHA USHAMBA WA KUJIPA UZALENDO WA NCHI ,JIAMBIE DUNIA NZIMA NCHI YAKO ,NENDA UNAPOTAK DUNIANI KMA HUKO UNAISI UTAPATA RIZIKI,,
I LOVE U ALL, AM #HAPPY TO BE #MUSLIM
Aaah baba angu mwenyewe muheshimiwa profesa yaani huwa napenda nikikusikiliza hoja zako nisiwe na shuhuli yoyote yakunichanganya kwakweli MUNGU akubariki sana zikifanyiwa kazi hoja zako tutafika mbali nshaallah
Positive Ideas Mr. MP
Una akili Sana ww mzee, I wish I could be there to clap for you.
Badala ya ku sapot wanacheka cheka tu
@@ibraimoissiaca6058 watasapoti vp wakt lugha ngumu kumeza imetumika?? Uwezo wa kuchanganua n mdgo sana
One day you'll be there Insha'Allah,,,,
Sawa kbs pro...kishimba
Mbunge hodari sana kwa hoja nzuri tu kila wakati tunashukuru
Hakianani Kishimba na Msukuma huwa mnanivumba Mbavu Aseee!!
Safi sana mbunge kishimba na spika wabunge alafu hizi sherehe naona nisikukuu zawafanyakazi waselikalini tu sisi wengine zinakuwa kama hazituhusu vile
Huyu mzee ni Critical thinker
sana sana sana huyu mzee anafkikiria beyond kabsa daaaah
@@martinmaryogo3676 sanaaaa mawazo kama haya ni Falsafa ...tukisoma kwenye vitabu thnaambiwa huyu ni mwana falsafa kama akina Plato na akina St.Thomas.
big up kishimba, uko vizur
We mzee upo bomba ukikutana na mm nakupa zawadi
Napenda sana.kumsikia Kishimba 👏👏👏
Mzee anaongea vizuri Sana Yuko sahihi Kuna mahali nilienda tulikuwa namzee wamakamo Kuna mtoto alifungulia mifugo akawa anapeleka kunywesha maji asubuhi mzee alichekasana ukiangaliya niwengi awajui pia shati nyeupe nikweli licha yasabuni nakuchakaa pia mzee kishimba apewe uwaziri😅😅😅😅
Genius sana huyu jamaa
Hakika wewe unawakilisha wananchi,big up kishimba.
Siku zote mawazo yako nitofauti kabisa ubongo wako unaushulisha sana Mheshimiwa Kishimba
Daah, Mzee kishimba uko vizuri! Asante kwa mawazo yako kwani tukiyafanyia kazi yatatufikisha mbali!!
mzee nimekuerewa tunaitaji watu kama wee wenye kusema ukweli
Wow! Mh. Kishimba uko vzr, unazungumza vtu vyenye uhalisia, lakn kw bahati mbaya tunaokuelewa n wale tulio upande wa makali, wao walio upande wa mpindi ndo Kwanza hawajali lolote Wala chochote, maana ELIMU y sehem kubwa Dunia ipo under control y colonial master, hvy implementation inakuw pasua kichwa!
Akili kubwa sana
Siyo lazima watu wafundishwe kizungu! Hatuna budi kuunda vya kwetu!
Nampongeza sana mbunge kishimba kwa kuona umuhimu wa elimu kwa watu wa hali za kawaida, ni kweli elimu yetu ya tanzania inavipengele ambavyo ni vigumu, tunamuomba mh waziri wakae chini kuliangalia hili swala kwa kina
Huyu Mzee ni kichwa saaana tena sana yaan!!👌💪💪💪
Uyu mh kishimba he's unstoppable man namuelewa sana.
Anafaa kuwa wazir. Ana points nzur coz anakaa na wananchi yaan anakuwa anayajua matatzo na asili yake🔥💪💪
Mheshimiwa kishimba kachimba.... Big up Sana kwake
natural creative mind. hongera kishimba
Alafu kuna wabunge wengine utawasikia wanasema, mimi nitakuwa chawa wa rais. Wakati wananchi wanamatatizo mengi vijijini taifa linashida kubwa ya elimu. Tunataka watu wengi kama kichimba
Akili kubwa sana hii
Dah mzee yupo sawa sana
Safiiii sanaaaa mh kishimba unatoa darasa bungeni kwa lugha inyoeleweka sana wabunge unganeni na kishimba kuishauri serikali vijijini kuna hali ngumu sana ya maisha . wanakahama hongereni kumchagua MTU huyu ana akiri nyingi sana
Mawazo yako yakitendewa kazi your de legend kishimba
You are my teacher thank you professor
Hongera mh. Kishimba mungu akupe nguvu unaongea point very nice
Ameongea maneno mazuri sana
Kumbe spika pia uko vizuri hivyo! Mungu awajalie kusimamia ukweli na uhalisi wa mambo kwa taifa wakati wote.
Ukisikia mbunge ndio huyu sasa very smart
Kama umesikia spika kasema shikukuu gonga like hapa
Huyu Mzee ni alienda shule na ame Elimika.
Thanksssss kwa kukumbuka daraja la chin
Kuusu yuniform. Napenda rangi ya Njano shati inamuonekano mzuri sana.
Wewe yanga nini broo 😃😃😃
Da!😂😂😂😂😂😂😂😂, Nakukubali Sana mheshimiwa kishimba
Jamaaa anaakili sana
Infact prf kishimba en speaker
Mashaallah, an apt speech is big up
Mbunge wangu nakupenda sana Huwa unakuja na vitu halisia
Huyu mbunge anaufahamu wa juu Sanaa hakuna mbunge mwenye ufahamu kama huyu anakumbuka alikotoka
Hawa hawajavulugwa na chochote. Ukisha Soma kwamba Mzungu kavumbua Ziwa Victoria, mlima Kilimanjaro, kwamba Mzungu kavumbua nchi yako. Free your mind
Job ukiwaga kwenye usawa wako you are too genius and visionary man but shida yako ilikuwaga tu hasira ila hapo uliongea sana point ukiimarisha hoja ya Kishimba the genius Mp
Great thinker Mr Kishimba.
Huyu jamaa anaakili sana ila watu hawamwelewi tu
Safi mzeee umeongea uhalisia wa maisha yetu
Huuyu baba nmempenda bure ni bonge la genius