MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE BAADA YA KUINGIA NA UNIFORM ZA SHULE NA MADAFTARI KUWAONESHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2021
  • "Asilimia 50 ya presha ambayo watu wanayo sasa hivi ni suala la elimu na suala hili sio kwenye elimu yenyewe, leo nimekuja na mfano wa daftari ambazo shule zinasomea, shule binafsi wanasomea daftari la sh 200 ambapo kwa mwanafunzi madaftari 11 itakuwa 2200 lakini shule ya Serikali inasomea counter book, counterbook 11 ni sawa na sh 55,000 ambayo ni sawa na gunia la mahindi au mpunga sasa inawezekanaje matajiri wakasomea daftari la Sh 200, maskini wakasomea daftari la sh 5500 na mnasema watu wana stress ni kweli watu hawana raha na shule, nina mfano wa uniform hapa, shule za binafsi ni rangi hizi, uniform za shule za Serikali ni rangi nyeupe ni vipi mzazi ataweza kufua kila siku, Wazazi wanashinda wananunua sabuni na kufua tunaongeza umaskini badala kuongeza elimu"-Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/22.

Комментарии • 499

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 3 года назад +43

    Mm sichoki kbsa jmn kuangalia hii clip... naombeni like

    • @HashimuHashboy-bo2wl
      @HashimuHashboy-bo2wl 2 месяца назад

      Hata mm sijawahi kuchoka ntaangalia maisha yangu yote yaliobaki

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 года назад +26

    Mzee wetu huyu ametugawia sana madaftari na kalam shule za msingi igoma mhandu na nyakato mwanza enzi hizo.mungu akulipe shujaa wa elim

  • @ediusgabriely615
    @ediusgabriely615 3 года назад +17

    Mheshimiwa kishimba ishi daimaa sana nakukubali sana, unaongea uharisia wa mambo, Mungu akubariki sana🤝👊💪

  • @sospeterkansapa1748
    @sospeterkansapa1748 3 года назад +13

    Hakika Kishimba is a Natural Genius. Nakushukuru Mheshimiwa Spika kwa Kukazia Tafsiri ya Kazi.

  • @Sangaadam
    @Sangaadam 3 года назад +6

    Mzee Kishimba huwa una kwenda right to the point......
    Ubaya kila kitu tunacopy toka kwa wazungu Kuna haja ya kubadilika na kua na module zetu kulingana na mfumo wa maisha yetu....
    Kweli nimekubari "Great minds discuss ideas"

    • @happynesskibona2679
      @happynesskibona2679 3 года назад +1

      Wapi bw mbona hata wazungu wenyewe Hawavai sare za shule Africa tubadilike jamani

  • @yosephnguyaine2810
    @yosephnguyaine2810 3 года назад +12

    Hawa ndiyo Wabunge wanaohitajika katika jamii ya Kitanzania. Hongera sana Kishimba.

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 3 года назад +42

    Mbunge wa wanyonge hongera Sana kishimba

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 3 года назад +39

    Kuna huyu mzee kishimba na polepole nawaelewa Sana 😊😊💪💪💪🦾

  • @peterkalii5939
    @peterkalii5939 3 года назад +7

    I like your contributions Mheshimiwa Peter Kalii Kenya

  • @ahmedabry3508
    @ahmedabry3508 3 года назад +38

    Huyu mzee anaongea vitu muhimu Sana lkn tatizo kufatwa huo ushauri wake... Elimu ya Tanzania hamna kitu kabisa Yan.. Elimu mbovu Sana... From Muscat/Oman 🇴🇲

    • @bernardjohn8788
      @bernardjohn8788 2 года назад

      Kwani biology chemistry, physic nk tunayosoma Tanzania ina utofauti na.aehemu nyingine.duniani? Acheni ujinga elomu ndio hiyo hiyo hakuna tofuti

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 3 года назад +15

    Akili ya waliolishwa vichwa vya samaki Sato wa ziwa Victoria 😁 Safi sana Mb Kishimba Profesa

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 3 года назад +40

    Uyu mzee namuelewa sanaaaaa

  • @aminamano775
    @aminamano775 3 года назад +17

    Very intelligent person. Mungu akupe maisha marefu.facts of life

  • @issahsaid7759
    @issahsaid7759 3 года назад +13

    Umesema uharisia wa maisha ya Mtz, hongera tajiri yangu w Zamani

  • @martinhinda5233
    @martinhinda5233 3 года назад +17

    Mzee kishimba huwa anafanya research kwanza ndo anaongea huwa hakurupuki tuu afu naona amezungukwa na watoto wakali safi sanaaa

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM 3 года назад +20

    Mzee wangu umeongea vizuri sana. Mungu akubariki sana.

  • @danieltenson4175
    @danieltenson4175 3 года назад +32

    Katika Tanzania huyu ndo mbunge wangu ingawa hayupo kwenye jimbo langu! Mzee ana akili nyingi sanaaaa! Mama Mtazame sana huyu dingi apewe uwaziri wa elimu, ndalichako awe naibu waziri wake! Yaani yuko na maakili mingi sanaaaaaaa

  • @averynusrwebangila4119
    @averynusrwebangila4119 3 года назад +20

    Wapunguziwe mishahara wabunge at least walipe mil moja kwa mwez alaf tuone kama hosp zitakosa dawa, na wanafunz watakula bure throughout the year, serkal inapoteza pesa nying kwa kulipa baadhi ya watanzania pesa nyingi mno kwa kweli hili liangaliwe

    • @loveofficial74
      @loveofficial74 3 года назад +1

      Hospitali zitakoxa dawa km kawaida nijibu nikuelezee kinachoendelea.

    • @CTM.24Updates
      @CTM.24Updates 3 года назад +1

      @@loveofficial74 nn kinaendelea😋😊

    • @CTM.24Updates
      @CTM.24Updates 3 года назад +1

      Kweli baba

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 3 года назад +6

    Huyu Mzee yupo kwenye field ya Maisha kwa miaka mingi sana,na practically ameiva Sana,ndio maana haamini katika kukaa Sana darasani,ni kweli tunapoteza muda,mfano unataka kuwa billionea,utasoma Hadi lini,wenzetu miaka 25 kama hujatajirika basi tena wewe unakufa masikini Tu,lbd uanze kutumia ndumba uue watu.

  • @classicscoresmartine9098
    @classicscoresmartine9098 3 года назад +4

    Mzee chukua mirinda nyeusi popote ntakuja kulipaa👍👍👍

  • @adeltusbashara9720
    @adeltusbashara9720 3 года назад +20

    Kishimba uko juu sana aisee!

  • @alvinbernad6549
    @alvinbernad6549 3 года назад +9

    Mzee yupo vizur sana anafikiri mbali sana!

  • @josephmwashambwa357
    @josephmwashambwa357 3 года назад +5

    Hongera sana kishimba kwa upeo mkubwa wa mambo.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +6

    Wakulima wanayo sikukuu yao na maonesho yao. Hongera Spika kuwa na Mh kama Prof Kishimba.

  • @patriciacosmas5944
    @patriciacosmas5944 3 года назад +15

    Darasa la Saba tuko vizuri Sana tatizo hatujaa vaa tu Yale majoho yao.mnaona point zetu .👍👍👍

    • @geeva99
      @geeva99 3 года назад +4

      Sometimes yale majoho ni mkosi, ni sawa nukuambiwa wewe ni spiderman alafu unapewa na vazi la spiderman na verification card kumbe hamna kitu sio spider man ilikuwa halloween party tu

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 2 года назад +1

      You what, probably, oh may God, okay, ooh Yes , ok I do haaaaaaaaa

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 3 года назад +3

    Uongozi ni hekima sio elimu hakika mungu azidi kukubaliki. Mzee wangu. Ulicho eleza nikweli kabisa

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 3 года назад +2

    Viongozi wanaotoka kanda ya ziwa so Genius

  • @officialsteeve2384
    @officialsteeve2384 3 года назад +6

    Mh.Kishimba mungu akulinde mbunge wangu na aendelee kukupa maarifa zaidi uweze kututoa apa tulipo mana mawazo yako n yenye nguvu sana kwa ustawi na maendeleo ya taifa letu🙏🙏🙏

  • @getaride-tanzaniacarpoolin7508
    @getaride-tanzaniacarpoolin7508 3 года назад +10

    Very powerful, anaongelea elimu inayohusu dual vacation education and training/duale Ausbildung

  • @adriannkuli2145
    @adriannkuli2145 3 года назад +10

    Anaongea Kama anachekesha lakini ni Mambo ya msingi Sana.🤔🤔🇹🇿🇹🇿

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад +1

      Hivi kwanini rais hampo huyu MH kishimba uwaziri wanelimu? Anafaa Sana ungekuta kuna mabadiliko manzuri mno? Huyu anaona mbele sana

  • @majutoomary4037
    @majutoomary4037 3 года назад +19

    Dah huyu mzee namkubali sana🤣🤣

  • @emmanuelromanus2757
    @emmanuelromanus2757 3 года назад +4

    Mzee uko vizuri...umeongea more than points. Big up mzee.

  • @daharanirashidi4655
    @daharanirashidi4655 3 года назад +2

    Mzee kishimba watachelewa kukuelewa Kwa sababu wabunge wengi ni wa mjinin maisha ya kijijin awayajui nakpongeza sana

  • @sariellameck9134
    @sariellameck9134 3 года назад +9

    Safi sana mbungee.
    Nice comment MH spker

  • @geeva99
    @geeva99 3 года назад +24

    Hata enzi zangu nasoma kama ingekuwa mdaftari mkubwa huo kama muasibu ningeacha shule, kwanini daftari kubwa hivyo primary khaah!!

  • @saidaal1679
    @saidaal1679 3 года назад +10

    Uliosema yote kweli huo uasli ndio unaotakiwa ili tusonge mbele na tukifuata huo utaratibu Tanzania lazima tutafika uchumi wa juu nakupongeza sana endelea kutusemea nakukubali sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 года назад +9

    Safi Sana we mbunge mm nafua mashati ya wanangu kilasiku

  • @casperegreen3034
    @casperegreen3034 3 года назад +19

    Dahhhh akili kubwa sana

  • @georgiamasangu6025
    @georgiamasangu6025 3 года назад +9

    Safi sana mbunge akili kubwa sana sana👏

  • @kiddyadams
    @kiddyadams 3 года назад +3

    Tatizo Uko mbele ya muda ila iko siku watakuelewa tuu siku moja. keep pushing J4

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 3 года назад +11

    Proffesa kaja na vitu vipya, hahaha

  • @pius_kiraka
    @pius_kiraka 3 года назад +13

    Hongera sana, Mhe. Kishimba, kwa kujaribu kudokeza namna elimu yetu inavyotakiwa kuwa. Elimu inayoakisi mazingira yetu. Lakini "wasomi" wanaotakiwa kuleta mabadiliko ya aina hiyo hawatakuelewa. Wataishia kucheka tu, halafu hoja yako itapotezwa. Tuisuke upya elimu yetu. Tuchanganye mawazo ya "wasomi" na sisi wananchi wa kawaida ili kupata mitaala ya elimu inayowafaa watoto wa wananchi wa kawaida wa nchi hii. Tumezama kwenye biashara ya English Medium, taifa linateketea.

  • @nginirasaire5876
    @nginirasaire5876 3 года назад +7

    This man is very creative

  • @ryobabinagwa1281
    @ryobabinagwa1281 3 года назад +7

    Mzee wetu anaongea point sana

  • @jacksonndutu4024
    @jacksonndutu4024 3 года назад +6

    Yan kama Wabunge wote wangekuwa na akili kama huyu nchi ingepiga hatua kwa kasi sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 года назад +15

    tatizo letu,tunaiga kila kitu,hatuendi na hali halisi

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 года назад +10

    Hakika huyu mzee ana madini sana.

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 3 года назад +4

    Mzee kishimba bhana,sijui kwa nn hawakupi hata unaibu Waziri

  • @ousmanjuma3396
    @ousmanjuma3396 3 года назад +5

    My president prof.kishimba

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 3 года назад +2

    anasoma vehicle mechanic, anajua definition ya mechanic,anajua network's rulls zote,anajua mahesabu yote ya mechanic, anasomeshwa hadi what's the meaning of car,, kwa mda wa miaka 4 ili apate degrees na kapata GPA ya kwanza ,,lkn kutia na kutoa tyres hajui, hawezi , aliefeli shule hajui definition ya chochote ila ukimpa miaka 2 tu garages anakufungulia engine na anairudisha ,,, thus why i say dunia inabadilika tena very fasta kuna gari zinakuja zitakua zinajiendesha zenyewe lkn hadi kesho ukienda driving school wanakuambia ni only Manuel car ndo wanasomesha ,yani kama skuli inatoa elimu Basi kwa sasa elim za shule zishapitwa na wakati ,,, UKITAKA SAII UFANIKIWE
    1, SOMA DINI HADI UFIKE CONCLUSION YA KUA IPI DINI SAHIHI
    2,SOMA INTERNATIONAL LANGUAGE
    3,JIAMINI HUNA AMBACHO HUWEZI
    4,INGIA MTANI UJIFUNZE KILA UNACHOKITAKA KWA VITENDO, COS UKIELEWA VITENDO VYA KAZI FLANI UHAKIKA THEORIES UNAWEZA UKAANDIKA MWENYEO,,,,,
    4,ACHA USHAMBA WA KUJIPA UZALENDO WA NCHI ,JIAMBIE DUNIA NZIMA NCHI YAKO ,NENDA UNAPOTAK DUNIANI KMA HUKO UNAISI UTAPATA RIZIKI,,
    I LOVE U ALL, AM #HAPPY TO BE #MUSLIM

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 года назад +5

    Aaah baba angu mwenyewe muheshimiwa profesa yaani huwa napenda nikikusikiliza hoja zako nisiwe na shuhuli yoyote yakunichanganya kwakweli MUNGU akubariki sana zikifanyiwa kazi hoja zako tutafika mbali nshaallah

  • @ALLYIMZEE
    @ALLYIMZEE 3 года назад +10

    Positive Ideas Mr. MP

  • @JAMESMBWILOHACKJEMMYLITE
    @JAMESMBWILOHACKJEMMYLITE 3 года назад +24

    Una akili Sana ww mzee, I wish I could be there to clap for you.

    • @ibraimoissiaca6058
      @ibraimoissiaca6058 3 года назад +2

      Badala ya ku sapot wanacheka cheka tu

    • @JAMESMBWILOHACKJEMMYLITE
      @JAMESMBWILOHACKJEMMYLITE 3 года назад +1

      @@ibraimoissiaca6058 watasapoti vp wakt lugha ngumu kumeza imetumika?? Uwezo wa kuchanganua n mdgo sana

    • @mkwavi
      @mkwavi Год назад

      One day you'll be there Insha'Allah,,,,

  • @japhetheliakimu4678
    @japhetheliakimu4678 3 года назад +4

    Sawa kbs pro...kishimba

  • @tumainimnzava320
    @tumainimnzava320 3 года назад +3

    Mbunge hodari sana kwa hoja nzuri tu kila wakati tunashukuru

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 3 года назад +5

    Hakianani Kishimba na Msukuma huwa mnanivumba Mbavu Aseee!!

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 3 года назад +3

    Safi sana mbunge kishimba na spika wabunge alafu hizi sherehe naona nisikukuu zawafanyakazi waselikalini tu sisi wengine zinakuwa kama hazituhusu vile

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 3 года назад +15

    Huyu mzee ni Critical thinker

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 года назад +2

      sana sana sana huyu mzee anafkikiria beyond kabsa daaaah

    • @amrimwingwa994
      @amrimwingwa994 3 года назад +1

      @@martinmaryogo3676 sanaaaa mawazo kama haya ni Falsafa ...tukisoma kwenye vitabu thnaambiwa huyu ni mwana falsafa kama akina Plato na akina St.Thomas.

  • @agnessndakidemi2775
    @agnessndakidemi2775 3 года назад +2

    big up kishimba, uko vizur

  • @ebenezaestate5045
    @ebenezaestate5045 3 года назад +3

    We mzee upo bomba ukikutana na mm nakupa zawadi

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 3 года назад +10

    Napenda sana.kumsikia Kishimba 👏👏👏

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 3 года назад +3

    Mzee anaongea vizuri Sana Yuko sahihi Kuna mahali nilienda tulikuwa namzee wamakamo Kuna mtoto alifungulia mifugo akawa anapeleka kunywesha maji asubuhi mzee alichekasana ukiangaliya niwengi awajui pia shati nyeupe nikweli licha yasabuni nakuchakaa pia mzee kishimba apewe uwaziri😅😅😅😅

  • @ayubumligi6663
    @ayubumligi6663 3 года назад +16

    Genius sana huyu jamaa

  • @issarashid1421
    @issarashid1421 3 года назад +5

    Siku zote mawazo yako nitofauti kabisa ubongo wako unaushulisha sana Mheshimiwa Kishimba

  • @ligobertwile6590
    @ligobertwile6590 3 года назад +4

    Daah, Mzee kishimba uko vizuri! Asante kwa mawazo yako kwani tukiyafanyia kazi yatatufikisha mbali!!

  • @chumawambura3375
    @chumawambura3375 3 года назад +6

    mzee nimekuerewa tunaitaji watu kama wee wenye kusema ukweli

  • @josephkaitira4735
    @josephkaitira4735 2 года назад

    Wow! Mh. Kishimba uko vzr, unazungumza vtu vyenye uhalisia, lakn kw bahati mbaya tunaokuelewa n wale tulio upande wa makali, wao walio upande wa mpindi ndo Kwanza hawajali lolote Wala chochote, maana ELIMU y sehem kubwa Dunia ipo under control y colonial master, hvy implementation inakuw pasua kichwa!

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад +9

    Akili kubwa sana

  • @Itarusii
    @Itarusii 3 года назад +3

    Siyo lazima watu wafundishwe kizungu! Hatuna budi kuunda vya kwetu!

  • @iddyrashid1009
    @iddyrashid1009 3 года назад +1

    Nampongeza sana mbunge kishimba kwa kuona umuhimu wa elimu kwa watu wa hali za kawaida, ni kweli elimu yetu ya tanzania inavipengele ambavyo ni vigumu, tunamuomba mh waziri wakae chini kuliangalia hili swala kwa kina

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 2 года назад

    Huyu Mzee ni kichwa saaana tena sana yaan!!👌💪💪💪

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 3 года назад

    Uyu mh kishimba he's unstoppable man namuelewa sana.
    Anafaa kuwa wazir. Ana points nzur coz anakaa na wananchi yaan anakuwa anayajua matatzo na asili yake🔥💪💪

  • @johnmaina6081
    @johnmaina6081 3 года назад +1

    Mheshimiwa kishimba kachimba.... Big up Sana kwake

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 2 года назад

    natural creative mind. hongera kishimba

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin2446 3 года назад +4

    Alafu kuna wabunge wengine utawasikia wanasema, mimi nitakuwa chawa wa rais. Wakati wananchi wanamatatizo mengi vijijini taifa linashida kubwa ya elimu. Tunataka watu wengi kama kichimba

  • @hamzamohamed8297
    @hamzamohamed8297 3 года назад +5

    Akili kubwa sana hii

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 3 года назад +2

    Dah mzee yupo sawa sana

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 3 года назад

    Safiiii sanaaaa mh kishimba unatoa darasa bungeni kwa lugha inyoeleweka sana wabunge unganeni na kishimba kuishauri serikali vijijini kuna hali ngumu sana ya maisha . wanakahama hongereni kumchagua MTU huyu ana akiri nyingi sana

  • @dickson6684
    @dickson6684 3 года назад +5

    Mawazo yako yakitendewa kazi your de legend kishimba

  • @Abdulsattar-gb1no
    @Abdulsattar-gb1no Год назад +1

    You are my teacher thank you professor

  • @andreamsemwa7872
    @andreamsemwa7872 2 года назад

    Hongera mh. Kishimba mungu akupe nguvu unaongea point very nice

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +4

    Ameongea maneno mazuri sana

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 3 года назад

    Kumbe spika pia uko vizuri hivyo! Mungu awajalie kusimamia ukweli na uhalisi wa mambo kwa taifa wakati wote.

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 3 года назад +1

    Ukisikia mbunge ndio huyu sasa very smart

  • @mageuzijumanne1894
    @mageuzijumanne1894 3 года назад +3

    Kama umesikia spika kasema shikukuu gonga like hapa

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 3 года назад +4

    Huyu Mzee ni alienda shule na ame Elimika.

  • @tynnahpaul8639
    @tynnahpaul8639 3 года назад +1

    Thanksssss kwa kukumbuka daraja la chin

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 3 года назад +2

    Kuusu yuniform. Napenda rangi ya Njano shati inamuonekano mzuri sana.

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 Год назад

    Da!😂😂😂😂😂😂😂😂, Nakukubali Sana mheshimiwa kishimba

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 3 года назад +6

    Jamaaa anaakili sana

  • @edwardkanchori2665
    @edwardkanchori2665 3 года назад +3

    Infact prf kishimba en speaker

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 3 года назад +1

    Mashaallah, an apt speech is big up

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 3 года назад +5

    Mbunge wangu nakupenda sana Huwa unakuja na vitu halisia

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 3 года назад

    Huyu mbunge anaufahamu wa juu Sanaa hakuna mbunge mwenye ufahamu kama huyu anakumbuka alikotoka

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 года назад +3

    Hawa hawajavulugwa na chochote. Ukisha Soma kwamba Mzungu kavumbua Ziwa Victoria, mlima Kilimanjaro, kwamba Mzungu kavumbua nchi yako. Free your mind

  • @honmaka6200
    @honmaka6200 2 года назад

    Job ukiwaga kwenye usawa wako you are too genius and visionary man but shida yako ilikuwaga tu hasira ila hapo uliongea sana point ukiimarisha hoja ya Kishimba the genius Mp

  • @zawadikassim7621
    @zawadikassim7621 3 года назад

    Great thinker Mr Kishimba.

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 3 года назад +4

    Huyu jamaa anaakili sana ila watu hawamwelewi tu

  • @shamirakasim8648
    @shamirakasim8648 3 года назад +6

    Safi mzeee umeongea uhalisia wa maisha yetu

  • @monicakalinga8258
    @monicakalinga8258 3 года назад

    Huuyu baba nmempenda bure ni bonge la genius