Kishimba: Mwaka Mmoja Madarasa Manne | Mtoto Ambaye Hajasoma Ndiye Mwenye Faida

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu amesema elimu ya Tanzania ni kama kifungo cha maisha.
    Ameeleza kuwa ni vyema mwaka mmoja mwanafunzi asome madarasa matatu ili kuokoa muda wa kuchukua miaka mingi kabla ya kumaliza shule huku akihoji ni utafiti gani unaoeleza ubongo wa binadamu kila mwaka usome darasa moja?
    Tazama hoja mbalimbali za mbunge huyo hapa.
    #CloudsDigitalUpdates #KutokaBungeni

Комментарии • 117

  • @usserusser516
    @usserusser516 3 года назад +26

    Wangapi mmekuja humu baada ya mama kumsema em twende pamoja kwa like basi japo kiduuch....

    • @piusgodfrey8558
      @piusgodfrey8558 3 года назад +1

      Wazo kubwa sana mwaka mmoja piga la kwanza mpka la 3

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 3 года назад +15

    Mzee tumekupata sana, Mm mtoto wangu amegoma kwenda Chuo kikuu kwa ajili ya hayohayo, ameamua kujiajiri.

    • @davisdorian9985
      @davisdorian9985 3 года назад

      sorry to be so off topic but does anybody know of a tool to get back into an instagram account?
      I somehow lost my login password. I would appreciate any tips you can offer me

    • @horacemnyasa5400
      @horacemnyasa5400 2 года назад

      #Davis_Dorian 👇👆

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 3 года назад +6

    Yani Baba ukovizuri Sana hawajakosea kukuchagua Mungu akulinde Sana na mikono ya Adui

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 4 года назад +11

    Bungeni wabunge ni 2 ni king msukuma na kishimba. Point sana.

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 года назад +4

    Mfano Hali ni kwa mm mwenyew na fanya kazi za ndani natumwa natukanwa hadi na watoto lakini yote nitafute Ada shing milin1 kwa mwaka bada ya miak3 mtoto anakuja namakartas tuu anze Tena kuhangaika kutafuta ajira kweli baba umenifungua Macho naumelifungua Macho taifa barikiwa Sana

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 года назад +2

    Asante baba etu hakika upo sawa kabitha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️✔️🇹🇿🇹🇿❤️

  • @denismayunga4594
    @denismayunga4594 4 года назад +3

    Uko sawa kabisa mhe kishimba, kwel watu wanazeekea shuleni muda wakusoma upunguzwe

  • @anordefta2853
    @anordefta2853 4 года назад +5

    Fact.
    Tunapotezewa muda sana hapa TZ.
    Digrii zetu hazina maana kabisa
    Siku hizi; mzee umeongea ukweli mtupu.
    Matumaini ya watoto na wazazi tulioaminishwa Elimu ni ufunguo wa maisha. Elimu imegeuka kifungo cha maisha.
    well done mp.

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад

      Na hela nyingi inapotea huko

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 года назад +16

    Huyu mzee haongeagi pumba kila akisimama lazima aje na kitu kipya ndani ya Bunge, Huyu mzee angepewa angalau uwaziri tuone maono yake huyu mzee anaona mbali sana, huyu mzee Kama professor PHD

  • @bensonmtigo8078
    @bensonmtigo8078 3 года назад +1

    Point sana jumanne kishimba mungu akuwek sana

  • @kamarabagumaerick555
    @kamarabagumaerick555 2 года назад +1

    Anaongea Point sana🙏🏾🙏🏾

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 Год назад

    Mzee nimekubali unauwezo mkubwa sana wa kufikiri,hayupo alie fanya research kila baada ya mwaka darasa moja

  • @SharuBoy
    @SharuBoy 5 лет назад +6

    Nikweli kabisa alicho kisema Mh kishimba

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 2 года назад

    safi sana free minded ideas

  • @thomdan5457
    @thomdan5457 3 года назад +2

    Asante sana mzee mawazo yako ni cake ya taifa

  • @williamnguta5683
    @williamnguta5683 4 года назад +1

    Wewe nizaidi maono safii Sana mh,kishimba

  • @eliasgregory9733
    @eliasgregory9733 3 года назад +1

    Good kishimba

  • @danielbrazius3469
    @danielbrazius3469 3 года назад +1

    Huyu mzee huwa anaongea point sana kwa busara sana atakuwa rafiki yangu nitamtafuta nijifunze mengi kwake

  • @Beststar0944
    @Beststar0944 3 года назад

    Kiukweriii kishimba hongeraa

  • @rosekomu1896
    @rosekomu1896 3 года назад +10

    Huyu baba yuko vizuri,anajaribu kutuvua mambo ya uzungu zungu

  • @InitialMatemu
    @InitialMatemu 3 года назад +5

    Huyu jamaa ana mafile sana🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯 he is not caping

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 5 лет назад +2

    Sema baba

  • @leonardmayunganyamfanka9623
    @leonardmayunganyamfanka9623 3 года назад +1

    Mzee big up xna

  • @julianamasanja8301
    @julianamasanja8301 3 года назад +1

    Kwa mara ya kwanza mh Kishimba kuongea point mwaka 2020 wabunge ni hapa kazi tu

  • @teacherdenniskauga1720
    @teacherdenniskauga1720 Год назад

    Point taken

  • @glorynjau-gf4uo
    @glorynjau-gf4uo Год назад

    😂😂nimemwelewa Sana na nimempenda sana

  • @dottocharles1636
    @dottocharles1636 3 года назад +3

    Yan huyu jamaa huwezi amini darasa la saba. Anatema cheche

  • @kashetomaduhu2306
    @kashetomaduhu2306 4 года назад +2

    Fact

  • @amouryona4219
    @amouryona4219 5 лет назад +1

    Dah kwel

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 2 года назад

    Huyu mbunge anaelewa Life kuhusu elimu ni kweli wizara elimu wafikirie

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 3 года назад +5

    Wakuuu chukueni mawazo ya huyu mzee msione aibu, Watoto wanazeekea shule, napo akimaliza ajira Undugulization unatawala wala hawaangalii ufanisi wa kz.

  • @shukurukinzasa53
    @shukurukinzasa53 2 года назад

    Jamaa ukimckilza vizur utapata maana nzuri

  • @aymanhusseinaslam7266
    @aymanhusseinaslam7266 4 года назад +1

    Kishimba is right.

  • @dazk7861
    @dazk7861 3 года назад

    Mzee kaongea point sana

  • @millarnassibu7070
    @millarnassibu7070 4 года назад +1

    Very true

  • @nickaswasena4997
    @nickaswasena4997 4 года назад +1

    Hatariii

  • @danielichaula7186
    @danielichaula7186 3 года назад

    Sawa mzee

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 4 года назад +2

    Wabeja baba

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад

    Kishimba endelea kutupazia sauti Mama atufikirie keshaanza kukusapoti

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 2 года назад

    big up Prof

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 4 года назад +3

    Siyo TRA TU. MH. NAFASI ZA UALIMU ZILITANGAZWA 4500
    WAKAJITOKEZA 90000. Afya watangaza nafasi 850 wakajitokeza 26000

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Kishimba oyeeeee

  • @nhawalala276
    @nhawalala276 3 года назад

    Nice

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад

    hongela sana mzee

  • @libetvsports4723
    @libetvsports4723 4 года назад +6

    Nikweli muda wa kusoma upunguzwe kwasababu vijana wanazeekea shuleni

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 2 года назад

    Elimu ni kumfundisha mtoto kujitegemea ili isiwe kifungo cha Maisha tutaisha,
    Bila hivyo kila Mbunge aongoze kulingana na anavyo weza ,
    Ili kila mzazi achague Jimbo ambalo linatoa Elimu anayo hitaji kwa mwanae,
    Tume zimeundwa toka nimezaliwa nimechoka kusikia neno tume na Silipendi

  • @joelllemi7849
    @joelllemi7849 2 года назад

    lait Serekali ingetumia busara za Pr kishimba kufanyia kazi mimi nadhani tungefika mbali

  • @faustamarussu5546
    @faustamarussu5546 3 года назад +6

    Waliokuja baada ya Mh rais kwenye kikao cha wakuu wa idara tujuane

  • @andrewwilliam6066
    @andrewwilliam6066 Год назад

    Aisee

  • @jk-or9jq
    @jk-or9jq 3 года назад +1

    Mh Raisi Samia "mama" ameliona hili

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 3 года назад +6

    Ajengewe sanamu kwa mchango huu.

  • @fredrickmathias7242
    @fredrickmathias7242 3 года назад

    Nice xana...2napewa xhahada ya elimu badala ya xhahada ya akil*

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад +1

    Baba umesema kweli nasi tumearhirika sana

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 3 года назад

    Point

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Mpeni uraisi anafaa huyu jamaa

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 3 года назад +1

    Mama,, muongezee ulinzi j4

  • @lightnesschrispine2446
    @lightnesschrispine2446 2 года назад

    Hivi kwa nn mawazo ya huyu mzee yasiwekwe kwenye vitendo?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад

    Kishimba hali ni mbaya sana ajira hakuna kabisa

  • @issarashid1421
    @issarashid1421 4 года назад +6

    Mawazo yako nimapya kabisa mengi upo sahihi

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад

    unamaono mzee safi

  • @derickkahabwa3391
    @derickkahabwa3391 3 года назад +1

    Huyu Mzee Ni Kichwa sana. Anaongea mambo ya msingi sana.

  • @shijasalaganda2226
    @shijasalaganda2226 4 года назад +1

    Kweli ni la kuchekesha

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Kweli umenyonya ziwa la mama miaka miwili 2 yaani unahakiri mpk basi harudiagi maneno pont

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 2 года назад +1

    Aisee huyu akiw raisi mambo yatakuwa sawia nahisi

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 3 года назад +1

    👍👍👍👍👍

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад

    Watu wafundishwe elimu ya ujasiliamali

  • @allexodongo4505
    @allexodongo4505 Год назад

    Mweshimiwa mbunge kishimba mchango yako ni kwanufaa ya taifa

  • @samwelmushi4741
    @samwelmushi4741 Год назад

    Wew ndio mbunge ninae kuelewa san

  • @SelestinLukonde-nx6dx
    @SelestinLukonde-nx6dx Год назад

    Huyu ndoninae mkubalisana

  • @saidimajidi5526
    @saidimajidi5526 3 года назад

    Huyu jamaa namuelewa sana

  • @oswiitvonline6514
    @oswiitvonline6514 2 года назад

    Huyu mbunge namfuatilia sana point anazo ongea ni ngumu kumuelewa kwa sasa lakini anachoongea ni muhimu sana kwa taifa letu kwani elimu ya tz kwa sasa tunatengenezewa mabomu amabayo yatakuja kulipuka baadae.

  • @kenedytigawa3120
    @kenedytigawa3120 3 года назад

    We mzee 25/30 ukagombee urais

  • @ramaally1644
    @ramaally1644 2 года назад

    lakuongeza apo nikupunguza na miaka ya utumishi watumishi ukome kwa miaka 8

  • @diamondmwenga9518
    @diamondmwenga9518 3 года назад +3

    Huyu mzee ndio wale wenye Akili, maana akili ni kile kinchobaki ukitoa yote ya darasani

    • @richardibrahim5609
      @richardibrahim5609 3 года назад

      Siku zote mm nasema walioishia la saba ndo viongoz bora wa nchi hii. 2achane na maprofessa wa makaratasi

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 Год назад

      Hii definition nimeikubali sana 😁

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 года назад

    Akili ya kuzaliwa

  • @giftmandar582
    @giftmandar582 2 года назад

    Huwa na mwelewa huyu mbunge mpaka nataman awe mbunge wetu

  • @rameckrobert9173
    @rameckrobert9173 2 года назад

    Huyu mbunge ana akili Pana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад

    Huyu baba ni balaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Mpaka sasa wengine wamekuwa kama machizi kwa kukosa ajira kishimba usemacho ni sawasawa

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Utakuta mzazi anamdomesha mtoto kwa shida hatimae anakuja mtaani anaokota makopo

  • @mrishomteule637
    @mrishomteule637 3 года назад

    Kweli madalasa meng muno

  • @RashidiKuji
    @RashidiKuji Месяц назад

    Yes vp hapo 😂😂

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад

    Hahaaaa hii balaaa wasome miaka 3 darasa moja

    • @diamondmwenga9518
      @diamondmwenga9518 3 года назад

      Kasema mwaka mmoja madarasa 3, ili wasipoteze Muda mwingi mashulei

  • @zungujohn9355
    @zungujohn9355 3 года назад

    OK

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 3 года назад

    Mzeee unabaraaaaa

  • @faisalyahya7186
    @faisalyahya7186 3 года назад

    anaongea kama mzazi huyu alipaswa kuwa waziri wa elimu

  • @manenocharles3772
    @manenocharles3772 2 года назад

    Bonge la msomi japo halikufika mbali kimasomo

  • @paulmassawe1591
    @paulmassawe1591 2 года назад

    Huyu Kwa nn asipewe uwaziri mnasubiria nn nyie CCM

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Год назад

    Mzee huyu uwezo wake niwaajabu kabisa.

  • @lazaronkukwe7562
    @lazaronkukwe7562 2 года назад

    Nachokisema mbuge kwaswala laelim nisahihi kabisa

  • @monicaemmanuel8459
    @monicaemmanuel8459 4 года назад

    Huyu jamaa ni mkweli

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 2 года назад

    Kiongozi na Pia Mzee wetu mwenye hekima tumekuelewa, isipokuwa wengi kati ya waliokuzunguka hawako tayari kuyafanyia kazi hayo maono. Ndio maana wanakuhisi kama unafanya Comedy vile na kuishia kucheka tu, sio kuwa tayati kwa mageuzi.

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 3 года назад

    Hivi kwa nini wasomi wengi hawana maono.Huyu mbunge amerithishwa maono sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад

      Mfumo wa shule hudumaza akili. Huyu hakusoma sana.

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 11 месяцев назад

      Aliesoma mchango wake mpka , points za advantages ingie google 😂😂😂

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 3 года назад

    pointi tupu

  • @hamicgaga7023
    @hamicgaga7023 3 года назад

    Clip fupi

  • @josephmatanda7028
    @josephmatanda7028 3 года назад

    Nice

  • @bony2883
    @bony2883 5 лет назад +1

    Fact

  • @nickaswasena4997
    @nickaswasena4997 4 года назад

    Hatariii

  • @medystarter
    @medystarter 5 лет назад +1

    Fact

    • @Komborama
      @Komborama 5 лет назад

      Karne ya 21 haiangalii vyeti mtu ana A ngapi au GPA first class. Kubadili sera ya Elimu hakuepukiki ili kizazi cha Tanzania kuweza kuchangamana na dunia ya leo

  • @pashmaiko7722
    @pashmaiko7722 5 лет назад +1

    Fact