TURUHUSU WANANCHI WANAWIE GONGO BADALA YA SANITIZER- MBUNGE KISHIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • “Tulikuja hapa na hoja ya spirit ambayo ni gongo, Mkuu wa Mkoa (Mtwara) amechukua gongo ile ameipeleka maabara na imeonekana inafaa kuliko spirit zilizopo.
    Kwa kuwa wananchi wetu hawawezi kununua hizi sanitizers ambazo zina alcohol asilimia 65 basi Waziri wa Afya aruhusu tunawie gongo ambayo ina alcohol asilimia 55” Jumanne Kishimba
    #CloudsDigitalUpdates #RipotiYaCAG2020

Комментарии • 25