Kishimba awavunja MBAVU Wabunge ''Wavivu wa kufikiri..ripoti za uongo, hiaiwezekani''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2023
  • Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/24

Комментарии • 33

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 8 месяцев назад

    Hongera kishimba wanao tutawala. Nasheria zadhambi

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Год назад +2

    Hongereni kahama kwa kupata Mbunge wa aina hii. Huyu anastahili kurudi tena bungeni 2025.

  • @luganosimon4111
    @luganosimon4111 Год назад +9

    Mie kwangu ndie mbunge bora kabisa maana anaongea fact tu mzee na tukimfuatilia mawazo yake lazima utajiri upatikane.Mie naamini kuna wanasiasa kama huyu mzee na wengine wengi wanafanya kazi ya siasa

  • @nurusanga995
    @nurusanga995 Год назад +6

    Apewe nafasi kubwa serikalini huyu bwana mungu amlinde

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 Год назад +3

    Asanteeee sana mzee kishimba

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Год назад +3

    Kahama ina mbunge makini sana hoja na michango yake bungeni zinaeleweka namkubali sana

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Год назад

    Mungu akubakiri umeongea madini xana Hawa ndio viongozi tunaiwahitaji wanatoa mawazo yenye tija kwa taifa kazi nzuri

  • @marcynhumbi3534
    @marcynhumbi3534 Год назад +2

    Nakuelewa Sana mzee kishimba

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 Год назад +1

    Imekaa vizuri mh. Kishimba J.

  • @tresorekini3975
    @tresorekini3975 10 месяцев назад

    Namkubali sana uyu mzee🫡🫡

  • @hasani565
    @hasani565 Год назад +2

    Kuna wabunge Humo ndani hawajawahi changing chochote wao kuchat na kuchukua mshahara ..

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 Год назад +2

    Kimsingi huyu mzee anamaono makubwa sana!
    Hoja yake ni Kweli wataalam wetu bado wana shida kubwa kwenye kushauri na siyo kwa wizara ya kilimo & uvuvi bari ni maeneo yote kama nchi inashida ya watalaam wanao weza fikiria vzr na kuleta mawazo mapya

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 Год назад +2

    Huyu mzee anautulivu sana. Anajenga hoja kitaalam

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Год назад

    Ahsanteh mbunge wangu Sasa twende kaziiih 🤣

  • @user-pb8qk9hn6n
    @user-pb8qk9hn6n 5 месяцев назад

    Hawa ndio wabunge wanaowatumikia Wananchi wao

  • @boniventurevenance53
    @boniventurevenance53 Год назад

    Mbunge huyu ni wa nchi nzima

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад +2

    legend.himself

  • @AyubuTaifa
    @AyubuTaifa Год назад

    Right

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Год назад

    Huyu ndio mbunge wangu maana yeye anakusanya takwimu sahihi mtaani sio wale wanao kusanya takwimu za mtandao.

  • @islamicabasi1709
    @islamicabasi1709 Год назад +1

    Tanzanian bhna noma

  • @alexwailod5589
    @alexwailod5589 Год назад

    Apewe urais kabisa huyo😊

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 Год назад

    Maziwa yafungwe tumpe muwekezaji ili waTanzania wabaki na umasikini? Maana yale maziwa yanatengeneza ajira nyingi sana... tuwe makini jamani viongozi, miligombanishe taifa

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Год назад +2

    Huyu mbunge kishimba..mama mbona humuoniiii? hivi akili nyingi kama hizi zitatumika liniii .mama huyu jamaa mzalendo sana.kama hamna chance mpe hata ile wezara isio maalum

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 Год назад

      Mama hawataki wakweli😂

    • @geey7893
      @geey7893 Год назад

      SAMIA anapenda machawa. Hataki wagonga nyundo

  • @dawoudal-arabiybik3747
    @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

    Kweli elimu yetu sio ile yakukufanya uwe na uwezo wa kufikir bali wasomi wengi uwezi wa kufikir ni mdogo sana ila vyet vyao ni degree nying sana ila health mind hamna kabisa bali endocrination ndio elim yetu mashulen kwetu

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Год назад

    Huyu hata amikipewa wizara anafaa kabisa ana hoja za msingi

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Год назад

    Kwenye bunge hili ambalo wabunge wengi niwa nileteeni jesca wabunge wawili tu angalau unaweza kuwasikiliza ukiwa na akili timam kishimba na tabasam basi baada ya hapo nazima tv

  • @amansimba1429
    @amansimba1429 Год назад

    Hesh kwakwe kwakufungua watu akili waache waendeleè kukaza fuvu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Год назад

    Kama.sio.uroho.wa.madalaka.kishimba.anafaa.kuwa.waziri.mkuu.akili.yake.ipo.vizuri.kwani.hana.njaa.kama.mafisiemu

  • @MansouryVanman
    @MansouryVanman Год назад

    Huyu mzee wamuongeze mshahara na apewe muda wa kutosha Akiwa anashusha nondo.