Mie kwangu ndie mbunge bora kabisa maana anaongea fact tu mzee na tukimfuatilia mawazo yake lazima utajiri upatikane.Mie naamini kuna wanasiasa kama huyu mzee na wengine wengi wanafanya kazi ya siasa
Kimsingi huyu mzee anamaono makubwa sana! Hoja yake ni Kweli wataalam wetu bado wana shida kubwa kwenye kushauri na siyo kwa wizara ya kilimo & uvuvi bari ni maeneo yote kama nchi inashida ya watalaam wanao weza fikiria vzr na kuleta mawazo mapya
Maziwa yafungwe tumpe muwekezaji ili waTanzania wabaki na umasikini? Maana yale maziwa yanatengeneza ajira nyingi sana... tuwe makini jamani viongozi, miligombanishe taifa
Huyu mbunge kishimba..mama mbona humuoniiii? hivi akili nyingi kama hizi zitatumika liniii .mama huyu jamaa mzalendo sana.kama hamna chance mpe hata ile wezara isio maalum
Kweli elimu yetu sio ile yakukufanya uwe na uwezo wa kufikir bali wasomi wengi uwezi wa kufikir ni mdogo sana ila vyet vyao ni degree nying sana ila health mind hamna kabisa bali endocrination ndio elim yetu mashulen kwetu
Kwenye bunge hili ambalo wabunge wengi niwa nileteeni jesca wabunge wawili tu angalau unaweza kuwasikiliza ukiwa na akili timam kishimba na tabasam basi baada ya hapo nazima tv
Hongera kishimba wanao tutawala. Nasheria zadhambi
Hongereni kahama kwa kupata Mbunge wa aina hii. Huyu anastahili kurudi tena bungeni 2025.
Mie kwangu ndie mbunge bora kabisa maana anaongea fact tu mzee na tukimfuatilia mawazo yake lazima utajiri upatikane.Mie naamini kuna wanasiasa kama huyu mzee na wengine wengi wanafanya kazi ya siasa
Apewe nafasi kubwa serikalini huyu bwana mungu amlinde
Hawawezi sisiemu inapendaga wajingawajinga
Asanteeee sana mzee kishimba
Kahama ina mbunge makini sana hoja na michango yake bungeni zinaeleweka namkubali sana
Mungu akubakiri umeongea madini xana Hawa ndio viongozi tunaiwahitaji wanatoa mawazo yenye tija kwa taifa kazi nzuri
Nakuelewa Sana mzee kishimba
Imekaa vizuri mh. Kishimba J.
Namkubali sana uyu mzee🫡🫡
Kuna wabunge Humo ndani hawajawahi changing chochote wao kuchat na kuchukua mshahara ..
Kimsingi huyu mzee anamaono makubwa sana!
Hoja yake ni Kweli wataalam wetu bado wana shida kubwa kwenye kushauri na siyo kwa wizara ya kilimo & uvuvi bari ni maeneo yote kama nchi inashida ya watalaam wanao weza fikiria vzr na kuleta mawazo mapya
Huyu mzee anautulivu sana. Anajenga hoja kitaalam
Ahsanteh mbunge wangu Sasa twende kaziiih 🤣
Hawa ndio wabunge wanaowatumikia Wananchi wao
Mbunge huyu ni wa nchi nzima
legend.himself
Right
Huyu ndio mbunge wangu maana yeye anakusanya takwimu sahihi mtaani sio wale wanao kusanya takwimu za mtandao.
Tanzanian bhna noma
Mm huyu jamaa huwa namkbali sana
Apewe urais kabisa huyo😊
Maziwa yafungwe tumpe muwekezaji ili waTanzania wabaki na umasikini? Maana yale maziwa yanatengeneza ajira nyingi sana... tuwe makini jamani viongozi, miligombanishe taifa
Huyu mbunge kishimba..mama mbona humuoniiii? hivi akili nyingi kama hizi zitatumika liniii .mama huyu jamaa mzalendo sana.kama hamna chance mpe hata ile wezara isio maalum
Mama hawataki wakweli😂
SAMIA anapenda machawa. Hataki wagonga nyundo
Kweli elimu yetu sio ile yakukufanya uwe na uwezo wa kufikir bali wasomi wengi uwezi wa kufikir ni mdogo sana ila vyet vyao ni degree nying sana ila health mind hamna kabisa bali endocrination ndio elim yetu mashulen kwetu
Huyu hata amikipewa wizara anafaa kabisa ana hoja za msingi
Kwenye bunge hili ambalo wabunge wengi niwa nileteeni jesca wabunge wawili tu angalau unaweza kuwasikiliza ukiwa na akili timam kishimba na tabasam basi baada ya hapo nazima tv
Hesh kwakwe kwakufungua watu akili waache waendeleè kukaza fuvu
Kama.sio.uroho.wa.madalaka.kishimba.anafaa.kuwa.waziri.mkuu.akili.yake.ipo.vizuri.kwani.hana.njaa.kama.mafisiemu
Huyu mzee wamuongeze mshahara na apewe muda wa kutosha Akiwa anashusha nondo.