MHE. KISHIMBA AJA NA NYINGINE HII KALI INAMUHUSISHA MLOKOLE MMOJA, MIZIMU NA MANDELA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 14

  • @tinginyaingwinalwinga
    @tinginyaingwinalwinga Год назад +2

    Mh kishimba unatisha upo vizuri sana ❤

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 7 месяцев назад

    Uko vizuri sana mzee wangu ila wasomi wetu wanakuchukulia kama mchekeshaji badala ya kuzichukua hoja zako na kuzifanyia kazi. Sijawahi kuona hoja mbovu ktk.hoja zako zote ulizowahi kutoa. Kusoma sio kuelimika.

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Год назад

    Dah, Sijawahi kuona Mbunge wa aina ya Mzee Kishimba hapa nchini.

  • @Shamkumbo-sh7gc
    @Shamkumbo-sh7gc 5 месяцев назад

    Mzee Kishimba mie nakuelewa kama mtu mwenye akili kubwa mno kuliko profesa mbobevu.

  • @StartSmall
    @StartSmall 3 месяца назад

    Huyu ndiyo mweshimiwa mbuge mwenye PhD

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Год назад +1

    Mh Kishimba umetangulia mbali sana. Wakati wewe unatembea wao wanakimbia Lakini Bado wameshindwa kukufikia,labda usimame uwasubili.

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Год назад

    Hahahaha safi sana!

  • @pilisonje8944
    @pilisonje8944 Год назад +2

    Mh. Kishimba big. Up.

  • @atukuzweluhanga7401
    @atukuzweluhanga7401 Год назад

    Mzee yuko mbele ya mda sana, hatiwezi muelewa kirahic

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад

    Ndiyo muheshimiwa huwa nakuelewa sana shida sisi elim uliyonayo hawaitumii kujifikilia haya maneno yako

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Год назад

    Huyu mzee ni tunu ya taifa

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Год назад

    Huyu mzee ni tunu ya taifa