Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mh kishimba unatisha upo vizuri sana ❤
Uko vizuri sana mzee wangu ila wasomi wetu wanakuchukulia kama mchekeshaji badala ya kuzichukua hoja zako na kuzifanyia kazi. Sijawahi kuona hoja mbovu ktk.hoja zako zote ulizowahi kutoa. Kusoma sio kuelimika.
Dah, Sijawahi kuona Mbunge wa aina ya Mzee Kishimba hapa nchini.
Mzee Kishimba mie nakuelewa kama mtu mwenye akili kubwa mno kuliko profesa mbobevu.
Huyu ndiyo mweshimiwa mbuge mwenye PhD
Mh Kishimba umetangulia mbali sana. Wakati wewe unatembea wao wanakimbia Lakini Bado wameshindwa kukufikia,labda usimame uwasubili.
Nakuerewa sanasana
Hahahaha safi sana!
Mh. Kishimba big. Up.
Mzee yuko mbele ya mda sana, hatiwezi muelewa kirahic
Kabisa
Ndiyo muheshimiwa huwa nakuelewa sana shida sisi elim uliyonayo hawaitumii kujifikilia haya maneno yako
Huyu mzee ni tunu ya taifa
Mh kishimba unatisha upo vizuri sana ❤
Uko vizuri sana mzee wangu ila wasomi wetu wanakuchukulia kama mchekeshaji badala ya kuzichukua hoja zako na kuzifanyia kazi. Sijawahi kuona hoja mbovu ktk.hoja zako zote ulizowahi kutoa. Kusoma sio kuelimika.
Dah, Sijawahi kuona Mbunge wa aina ya Mzee Kishimba hapa nchini.
Mzee Kishimba mie nakuelewa kama mtu mwenye akili kubwa mno kuliko profesa mbobevu.
Huyu ndiyo mweshimiwa mbuge mwenye PhD
Mh Kishimba umetangulia mbali sana. Wakati wewe unatembea wao wanakimbia Lakini Bado wameshindwa kukufikia,labda usimame uwasubili.
Nakuerewa sanasana
Hahahaha safi sana!
Mh. Kishimba big. Up.
Mzee yuko mbele ya mda sana, hatiwezi muelewa kirahic
Kabisa
Ndiyo muheshimiwa huwa nakuelewa sana shida sisi elim uliyonayo hawaitumii kujifikilia haya maneno yako
Huyu mzee ni tunu ya taifa
Huyu mzee ni tunu ya taifa