Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia. sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.
Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika
Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba
@@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala
@@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.
@@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.
@@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.
Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii.. Ndiyo maana inaitwa msingi.. Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu. Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?
Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!
Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.
Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri
Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri
What a man in this country. I love the way he thinks. This man is genius.
Big Brains Kishimba! This Man is a National Treasure
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
I real love this guy he's so brilliant,always argue the natural reality
Very good Mr.Mp Kishimba
From Kahama State!
Kashimba fact nakupenda sana tena bule mungu awe dereva wako
This man is talking in natural base on common and reality sense in daily life...
yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia.
sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.
Mungu akulinde mzee wetu.. 🙏
Mtoto.wangu.kamaliza.chuo.kikuu.lakini.hana.ajira.kweli.tz.tunayo.Nazi.ngum.kwel.kwel
Hongera sn Mheshimiwa Kishimba umezungumza Mambo Mazuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏
Kishimba the Real intelligent man..💥
Hilo ndo darasa la IV la zamani ni zaidi ya PhD ya sasa. Hongera sana mzee kwa mawazo mbadala!
Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.
Big up sana Mh. Kishimba nakukubali sana.
He speaks the language of the common man
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Mzee anaongeaga facts sana ila Huwa wanadhani anafanya comedy. One day yes mawazo Yako yatafanyiwa kazi..✊✊
Asante sana mh kishimba unatoaga hoja zilizo makini💪
Fact sana MP Kishimba! Critical thought, endelea kutupatia madini.
Mheshimiwa kishimba mminakuerewa sana Tena nishabikiwako sana mungu akupe maisha marefu🙏
Hunizidi mimi Yani jamani lakini hawamsikilizi jamani
Safi sana prof....kwa ufafanuzi Mzuri na wenye Tija kwa Taifa.
This man is extra ordinary
Huyu mzeee anaonaga mbali sanaaa sema Tanzania siasa nyingi
Mungu akulinde Kishimba ...daaa!
Very Genius
Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani
Huyuu jamaa angepewa uwazirii wa elimu angebadilii vityuu vyingi sanaah elimu yetu ni ya hovyoo sanaah kwa kwelii
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Sijawai kmsikiriza kishimba na nisimuerewe kweri digrii ni yakuzariwa tu Asante kitco
Waoooh mzee nakuelewa sana,hakika uko vizuri sana Mheshiwa
Kishimba hongera Sana
Your my role model Mr Kishimba
Asiemuelewa huyu mzee kishimba hawezi kuelewa tena
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Huyu mzee angepelekwa shule za mkoloni angekuwa prof sasa hv..😂😂🙌
Big up Mzee wangu
Angekuwepo magu ungekuwa mbali sana
Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika
Nakubali sana Kishimba wailimishe
Huyu mzee ni kichwa sana ana mawazo mazuri sana
Huyu mzee namkubali sna Akili nyingi sna
Baba kishimba na kupenda kwa ajiri ya Mungu na Mungu akuinuwe mawazo yako yanafanya nimuone Magufuri kwa mbaaaaaaaarih
Uko sahih pro
Miaka buku kwake kishimba🙌🙌
Kishimba safiiiiii sanaaa
Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba
Mbunge wako amesaidia Nini Jimbo na wapiga kura wake? zaidi ya kukimbizana kunyang'anya vi-plot vya watu
@@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala
@@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.
@@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.
@@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.
Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo
Nakuelewa sana
Great thinker
Dah!,Mzee unaongea uhalisia zaidi na kwa fikra zangu sidhani kama bado uhalisia ni kipaumbele,😁😁😁
Bright sir.
Huyu mzee anadensity ya juu sana 😀😀
kabisaa
Huyu baba ana brain kali sana. Anajua anachokiongea.
Uko sawa boss wangu
Yaani nimekupenda sana
Mbunge mwenye akili kuliko wote...mpaka raisi na mawazili wake..
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Kweli mh kishimba yupo vizuri kwa mawazo yako
Baba nakukubali sana unahoja zamsingi sana kilichobaki kupigania kiti cha uraisi
safi sana, aliyoongea mfundishe watoto zenu msisubiri serikali iwafanyie maana haitafanya
hongera Sana mh.kishimba umezungumza nondo Sana sema wizara ya elimu wayafanyie kazi hayo mawazo.
Mfanyabiashara yoyote n kiongozi wachunguze n watu wa Hesabu
safi sana
Big brain
Prof. Kishimba ana hoja za kawaida lakini za msingi na zenye mashiko🤣
Mzee kishimba Rais alitakiwa akupe wizala ya Elimu maana Una mawazo mazuri sana yakichukuliwa wakafanyia kazi itasadia
Huyu mzee angekuwa Rais na akayaweza anayoyafikiria ingekuwa ni Zaid ya ukombozi
Very facts.
Huyu mzee ajengewe sanamu lake ,harafu kwanini asipewe hata unaibu waziri anamawazo current sana huyu mzee
Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii..
Ndiyo maana inaitwa msingi..
Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu.
Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?
Una akili sana wewe
Big Up Kishimba
Wape mondo mzee mishimba
Huyu Mzee anaakili sana
Wanataka mpaka ukasome UK au US ndo wakupe kazi Mzee Wang
Yes
Big minds
Inauma sana hoja anazozitoa hazifanyiwi kazi kilichobakii ni sisi kujikwamua wenyewe
Kishimba nakuelewa Sana
Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!
Uyu kweli anasomesha guys
Kichwa hatar sana lakini maoni yanakwenda kwenye uongozi dhaifu.
Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.
Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri
Hakika yuko vzur sana Ila tatzo bado lipo kwa hao viongozi wa juu wanaopewa mawazo mazur kama hayo.
Uyu mbunge uwabanaongeaga point sana uwaga napendaga kila siku aongee yeye anasema vitu sijui uwaga anafikiriaga wap yan zaid ya phd
Hi ndyo maana halis ya kuwa professor unakuwa na kitu tofauti na wengne.
Mawazo yako yatakuja siku moja kufanyiwa kazi.
🤝
Na kingine Tanzania siasa nyingi maendeleo ni machache mnoo
Mzee kishimba, jmni agombee uraisi miaka 10 nchi itakuwa imebadilika snaaa maana anaangalia wananchi wa chini. Kma magufuli,
Ingenius
🤝🤝
Huyu Baba anakitu cha kuwa saidia watanzania hasa kwenye sekta ya elimu.
Huyu ndio mbunge wangu,,😁naburudika saana..
Hvi haya mawazo yanachukuliwaga kweli?, maana huyu mzee anaongeaga facts sanaaa Ila basi hii nchi bna hta sielewi
Akili kubwa sana
💯💯💯
nakukubali sana pekee yako unayefikilia
Kishimba una nafasi Yako peponi kwa kweli natamani siku Moja Mungu akipenda nikutane na wewe ana kwa ana!
Unagawa pepo
Huyu mzee kichwa chake ni madini matupu
👏👏👏👏👏👏
Huku kitaa kuna wasomi hawajui kufunga kamba za viatu, wanapiga miayo bila kufunika mdomo
Tena unakuta lingine linakucheulia wala haligeukii pembeni wala kufunga kinywa!,,,chefuuu!
Huyu jamaaaa Kwanini hicho Chama chake Kisi muweke kama mgombea wa uraisi au hata uwaziri mkuu maana ana kituuuuu huyu mzeeee😂
Ndio maana ni tajiri ana akili kupita hadi wasomi anaongeaga critical sana
Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri
Kishimba sina neno zaid ya kusema askante
Ni bora angepewa urais2
Hawa ndio wabunge wanaojitambua hata uliempigia kula huumii kwa kupoteA muda wa kupiga kula
Wasomi inabidi mjipange upya coz tunapata mawazo mazuri kutoka kwa watu wa kawaida sana.wasio na elimu kubwa tutakua tunawapitisha kwa kishindo
Chukua form ya Urais MH. Kishimba
Wasukuma ni watu wenye uelewe,ukarimu,na akili nyingi sana sema tu mnatu underate