KISHIMBA AIBUKA NA JINGINE “WATU WALIOSOMA KULE KIJIJINI NDIO WANAOCHEKWA, HIVI HAWA PANYA ROAD"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 175

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 2 года назад +33

    What a man in this country. I love the way he thinks. This man is genius.

  • @Baron_Kigume
    @Baron_Kigume 2 года назад +27

    Big Brains Kishimba! This Man is a National Treasure

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 года назад +1

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 2 года назад +6

    I real love this guy he's so brilliant,always argue the natural reality
    Very good Mr.Mp Kishimba
    From Kahama State!

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад +2

    Kashimba fact nakupenda sana tena bule mungu awe dereva wako

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +22

    This man is talking in natural base on common and reality sense in daily life...

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia.
      sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 года назад +12

    Mungu akulinde mzee wetu.. 🙏

    • @InfinixTechnology
      @InfinixTechnology 2 года назад

      Mtoto.wangu.kamaliza.chuo.kikuu.lakini.hana.ajira.kweli.tz.tunayo.Nazi.ngum.kwel.kwel

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 2 года назад +3

    Hongera sn Mheshimiwa Kishimba umezungumza Mambo Mazuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hamadtv294
    @hamadtv294 2 года назад +5

    Kishimba the Real intelligent man..💥

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 2 года назад +11

    Hilo ndo darasa la IV la zamani ni zaidi ya PhD ya sasa. Hongera sana mzee kwa mawazo mbadala!

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 2 года назад +5

    Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.

  • @__B.O.B
    @__B.O.B 2 года назад +4

    Big up sana Mh. Kishimba nakukubali sana.

  • @paritsaruni5019
    @paritsaruni5019 2 года назад +12

    He speaks the language of the common man

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 года назад

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @gabbymasota8693
    @gabbymasota8693 2 года назад +5

    Mzee anaongeaga facts sana ila Huwa wanadhani anafanya comedy. One day yes mawazo Yako yatafanyiwa kazi..✊✊

  • @peterpallangyo5744
    @peterpallangyo5744 2 года назад

    Asante sana mh kishimba unatoaga hoja zilizo makini💪

  • @sijasamweli6889
    @sijasamweli6889 2 года назад +2

    Fact sana MP Kishimba! Critical thought, endelea kutupatia madini.

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 2 года назад +7

    Mheshimiwa kishimba mminakuerewa sana Tena nishabikiwako sana mungu akupe maisha marefu🙏

    • @jamesmasanja1963
      @jamesmasanja1963 Год назад

      Hunizidi mimi Yani jamani lakini hawamsikilizi jamani

  • @gibsonsilas6342
    @gibsonsilas6342 2 года назад +2

    Safi sana prof....kwa ufafanuzi Mzuri na wenye Tija kwa Taifa.

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 2 года назад +5

    This man is extra ordinary

  • @godlivingkileo4031
    @godlivingkileo4031 2 года назад +6

    Huyu mzeee anaonaga mbali sanaaa sema Tanzania siasa nyingi

  • @eddyempire9797
    @eddyempire9797 2 года назад +2

    Mungu akulinde Kishimba ...daaa!

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +1

    Very Genius

  • @DM_15
    @DM_15 2 года назад +5

    Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani

  • @lilgicky484
    @lilgicky484 2 года назад +5

    Huyuu jamaa angepewa uwazirii wa elimu angebadilii vityuu vyingi sanaah elimu yetu ni ya hovyoo sanaah kwa kwelii

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 года назад

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @leonardroya6299
    @leonardroya6299 2 года назад

    Sijawai kmsikiriza kishimba na nisimuerewe kweri digrii ni yakuzariwa tu Asante kitco

  • @eliahsamwel6282
    @eliahsamwel6282 2 года назад

    Waoooh mzee nakuelewa sana,hakika uko vizuri sana Mheshiwa

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Год назад

    Kishimba hongera Sana

  • @lichenjeleally6430
    @lichenjeleally6430 Год назад

    Your my role model Mr Kishimba

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +9

    Asiemuelewa huyu mzee kishimba hawezi kuelewa tena

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 года назад

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 2 года назад +1

    Huyu mzee angepelekwa shule za mkoloni angekuwa prof sasa hv..😂😂🙌

  • @barakaswillah635
    @barakaswillah635 Год назад

    Big up Mzee wangu

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад

    Angekuwepo magu ungekuwa mbali sana

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 2 года назад +3

    Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika

  • @athumanimssi297
    @athumanimssi297 2 года назад

    Nakubali sana Kishimba wailimishe

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 года назад +2

    Huyu mzee ni kichwa sana ana mawazo mazuri sana

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 2 года назад +2

    Huyu mzee namkubali sna Akili nyingi sna

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 2 года назад +2

    Baba kishimba na kupenda kwa ajiri ya Mungu na Mungu akuinuwe mawazo yako yanafanya nimuone Magufuri kwa mbaaaaaaaarih

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 2 года назад

    Uko sahih pro

  • @saimonlucas6756
    @saimonlucas6756 2 года назад

    Miaka buku kwake kishimba🙌🙌

  • @johnfabianmahenge.5661
    @johnfabianmahenge.5661 2 года назад

    Kishimba safiiiiii sanaaa

  • @selemaniismail4406
    @selemaniismail4406 2 года назад +3

    Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад +1

      Mbunge wako amesaidia Nini Jimbo na wapiga kura wake? zaidi ya kukimbizana kunyang'anya vi-plot vya watu

    • @selemaniismail4406
      @selemaniismail4406 2 года назад

      @@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад +1

      @@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      @@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.

    • @selemaniismail4406
      @selemaniismail4406 2 года назад

      @@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.

  • @elizabethwilliam6087
    @elizabethwilliam6087 2 года назад +2

    Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175 Год назад

    Nakuelewa sana

  • @mauthamani
    @mauthamani 2 года назад

    Great thinker

  • @rusanzurubigo7791
    @rusanzurubigo7791 2 года назад

    Dah!,Mzee unaongea uhalisia zaidi na kwa fikra zangu sidhani kama bado uhalisia ni kipaumbele,😁😁😁

  • @manyerereomary9266
    @manyerereomary9266 2 года назад

    Bright sir.

  • @geeva99
    @geeva99 2 года назад +2

    Huyu mzee anadensity ya juu sana 😀😀

  • @edimundrevelian1246
    @edimundrevelian1246 2 года назад +1

    Huyu baba ana brain kali sana. Anajua anachokiongea.

  • @janealoyce3866
    @janealoyce3866 2 года назад

    Uko sawa boss wangu

  • @julianandoweka7165
    @julianandoweka7165 2 года назад

    Yaani nimekupenda sana

  • @ediusgabriely615
    @ediusgabriely615 2 года назад +9

    Mbunge mwenye akili kuliko wote...mpaka raisi na mawazili wake..

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 года назад

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

    • @ojcreationtz9838
      @ojcreationtz9838 Год назад

      Kweli mh kishimba yupo vizuri kwa mawazo yako

  • @saidmgoso3076
    @saidmgoso3076 2 года назад

    Baba nakukubali sana unahoja zamsingi sana kilichobaki kupigania kiti cha uraisi

  • @kamanda007
    @kamanda007 2 года назад

    safi sana, aliyoongea mfundishe watoto zenu msisubiri serikali iwafanyie maana haitafanya

  • @stevenkataluka1003
    @stevenkataluka1003 2 года назад

    hongera Sana mh.kishimba umezungumza nondo Sana sema wizara ya elimu wayafanyie kazi hayo mawazo.

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 2 года назад +2

    Mfanyabiashara yoyote n kiongozi wachunguze n watu wa Hesabu

  • @simoninmwangatwa5127
    @simoninmwangatwa5127 2 года назад

    safi sana

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 2 года назад

    Big brain

  • @jackobgalish5742
    @jackobgalish5742 2 года назад +1

    Prof. Kishimba ana hoja za kawaida lakini za msingi na zenye mashiko🤣

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад

    Mzee kishimba Rais alitakiwa akupe wizala ya Elimu maana Una mawazo mazuri sana yakichukuliwa wakafanyia kazi itasadia

  • @mfalmekeffah5049
    @mfalmekeffah5049 2 года назад +5

    Huyu mzee angekuwa Rais na akayaweza anayoyafikiria ingekuwa ni Zaid ya ukombozi

  • @emanuelkaroli2817
    @emanuelkaroli2817 2 года назад

    Very facts.

  • @cascanicolnicol2008
    @cascanicolnicol2008 2 года назад +1

    Huyu mzee ajengewe sanamu lake ,harafu kwanini asipewe hata unaibu waziri anamawazo current sana huyu mzee

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 2 года назад +1

    Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii..
    Ndiyo maana inaitwa msingi..
    Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu.
    Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?

  • @apostlefrankemarema8246
    @apostlefrankemarema8246 2 года назад

    Big Up Kishimba

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Год назад

    Wape mondo mzee mishimba

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 2 года назад +1

    Huyu Mzee anaakili sana

  • @brunohenry5897
    @brunohenry5897 2 года назад +3

    Wanataka mpaka ukasome UK au US ndo wakupe kazi Mzee Wang

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 Год назад

    Yes

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 2 года назад

    Big minds

  • @octaviantega5600
    @octaviantega5600 2 года назад

    Inauma sana hoja anazozitoa hazifanyiwi kazi kilichobakii ni sisi kujikwamua wenyewe

  • @mdmachungu7424
    @mdmachungu7424 2 года назад

    Kishimba nakuelewa Sana

  • @MilioneaTv
    @MilioneaTv 2 года назад +1

    Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!

  • @agusmileofficial2845
    @agusmileofficial2845 2 года назад

    Uyu kweli anasomesha guys

  • @mohamedhamad2374
    @mohamedhamad2374 2 года назад +3

    Kichwa hatar sana lakini maoni yanakwenda kwenye uongozi dhaifu.

    • @yateramadavaathumanmmbaga7776
      @yateramadavaathumanmmbaga7776 2 года назад

      Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.

    • @yateramadavaathumanmmbaga7776
      @yateramadavaathumanmmbaga7776 2 года назад

      Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri

    • @mohamedhamad2374
      @mohamedhamad2374 2 года назад

      Hakika yuko vzur sana Ila tatzo bado lipo kwa hao viongozi wa juu wanaopewa mawazo mazur kama hayo.

  • @fahimunyawi5318
    @fahimunyawi5318 2 года назад

    Uyu mbunge uwabanaongeaga point sana uwaga napendaga kila siku aongee yeye anasema vitu sijui uwaga anafikiriaga wap yan zaid ya phd

  • @georgemalahyageorgemalahya5347
    @georgemalahyageorgemalahya5347 2 года назад +1

    Hi ndyo maana halis ya kuwa professor unakuwa na kitu tofauti na wengne.

  • @fidelismichaelmichaelmpond3387
    @fidelismichaelmichaelmpond3387 2 года назад +3

    Mawazo yako yatakuja siku moja kufanyiwa kazi.

  • @saimonmlay4295
    @saimonmlay4295 2 года назад

    🤝

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Na kingine Tanzania siasa nyingi maendeleo ni machache mnoo

  • @albetoemmanuel93
    @albetoemmanuel93 2 года назад

    Mzee kishimba, jmni agombee uraisi miaka 10 nchi itakuwa imebadilika snaaa maana anaangalia wananchi wa chini. Kma magufuli,

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 года назад

    Ingenius

  • @anwarihassan
    @anwarihassan 2 года назад

    🤝🤝

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 2 года назад +2

    Huyu Baba anakitu cha kuwa saidia watanzania hasa kwenye sekta ya elimu.

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 2 года назад

    Huyu ndio mbunge wangu,,😁naburudika saana..

  • @adrianosimalimoto6485
    @adrianosimalimoto6485 2 года назад

    Hvi haya mawazo yanachukuliwaga kweli?, maana huyu mzee anaongeaga facts sanaaa Ila basi hii nchi bna hta sielewi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 года назад

    Akili kubwa sana

  • @lincnobel7299
    @lincnobel7299 2 года назад

    💯💯💯

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 2 года назад

    nakukubali sana pekee yako unayefikilia

  • @nebatjailos8362
    @nebatjailos8362 2 года назад

    Kishimba una nafasi Yako peponi kwa kweli natamani siku Moja Mungu akipenda nikutane na wewe ana kwa ana!

  • @loveofficial74
    @loveofficial74 2 года назад +1

    Huyu mzee kichwa chake ni madini matupu

  • @stanleyevanda797
    @stanleyevanda797 2 года назад

    👏👏👏👏👏👏

  • @lamlanyava6153
    @lamlanyava6153 2 года назад +2

    Huku kitaa kuna wasomi hawajui kufunga kamba za viatu, wanapiga miayo bila kufunika mdomo

    • @brightluvanda2795
      @brightluvanda2795 2 года назад

      Tena unakuta lingine linakucheulia wala haligeukii pembeni wala kufunga kinywa!,,,chefuuu!

  • @mcgabby
    @mcgabby Год назад

    Huyu jamaaaa Kwanini hicho Chama chake Kisi muweke kama mgombea wa uraisi au hata uwaziri mkuu maana ana kituuuuu huyu mzeeee😂

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 2 года назад +1

    Ndio maana ni tajiri ana akili kupita hadi wasomi anaongeaga critical sana

  • @didacianapeyton5798
    @didacianapeyton5798 2 года назад

    Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 2 года назад

    Kishimba sina neno zaid ya kusema askante

  • @lichstudio2024
    @lichstudio2024 2 года назад

    Ni bora angepewa urais2

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya6815 Год назад

    Hawa ndio wabunge wanaojitambua hata uliempigia kula huumii kwa kupoteA muda wa kupiga kula

  • @fanuellingson
    @fanuellingson 2 года назад +1

    Wasomi inabidi mjipange upya coz tunapata mawazo mazuri kutoka kwa watu wa kawaida sana.wasio na elimu kubwa tutakua tunawapitisha kwa kishindo

  • @prowingrayson9231
    @prowingrayson9231 2 года назад

    Chukua form ya Urais MH. Kishimba

  • @ismailissa4311
    @ismailissa4311 2 года назад +6

    Wasukuma ni watu wenye uelewe,ukarimu,na akili nyingi sana sema tu mnatu underate