Msikie MBUNGE wa DARASA la SABA ANAVYOTEMA MADINI BUNGENI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • HUYU NDIYE MBUNGE DARASA LA SABA, ILA SIKIA ANAVYOTEMA MADINI, MMILIKI WA IMALASEKO SUPERMARKET!
    #BUNGENIDODOMA
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co...

Комментарии • 62

  • @accountingtaxhome7461
    @accountingtaxhome7461 4 года назад +5

    Only genius can understand dis man.people understands according to their level of thinking

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 3 года назад +1

    nimekuelewa mzee

  • @jafarymbilinyi4673
    @jafarymbilinyi4673 4 года назад +1

    Kweli mzee ametema madini tunaona hali halisi mtaani kulivyo wote waliokuwa wanachekwa wakati wanasoma ndiyo walio fanikiwa huyu mbunge awe anapewa dakika ishilini maana kunawatua wanapona kupitia huyu mzee

  • @saidmasanga8707
    @saidmasanga8707 4 года назад

    Hoja nzuri sana Maana watoto wakipata hawakumbuki wazazi wao. Na mzazi Akitalia pesa mpaka aanze kumsalimia na kuwasifia wajukuu mwisho ndio ana piga mzinga wake duh. Vijana tujiongeze. Inabidi uongezewe muda kwa hoja Hii

    • @johnsonmlau4408
      @johnsonmlau4408 4 года назад

      Hayo ni matirio sema wajinga hawawezi elewa

    • @mbarakurembo4618
      @mbarakurembo4618 4 года назад

      Hyo mzee apimwe sio kawaida mental disorder hio

    • @sittandemek7797
      @sittandemek7797 4 года назад

      Hiiiii hapo sawa ndg mheshimiwa wambie

    • @alfredomary9983
      @alfredomary9983 4 года назад

      Nimekuelewa baba uko vizuri sana.waacha wasomeshe shule za ghalama lakini ajira hakuna wajiajili weye.

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 3 года назад

    Yuko vizuri mimi namkubali.... na kwenye mirathi nayo inaumiza asilimali munazijenga mke na mume ikitokea mume anafariki, eti mali zinagawanywa kwanini asibaki nazo mama? Na mama akifariki mali anaachiwa baba na mali azigawanywi labda madera tu hapa sheria iangalie vizuri,

  • @suedmkulia8463
    @suedmkulia8463 4 года назад

    Saaafi sana sana sheria kandamizi zinatutesa

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 4 года назад +1

    Huyu mzee mnamuona pumba lakini yuko sahihi anasema jinsi gan ya kuwaendeleza watoro nahajazuia wale ambao wapo tayar kusoma tumewaona weng wameacha shule wakawa juu nawale waliosoma nakufaulu wakizunguka mchana kutwa na mabahasha tu bla mafanikio

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 4 года назад

    Ana point nzuri ila anashindwa kueleza vizuri ni kwamba waliofanikiwa Sana wanakuwa na akili za ubunifu na kuwa ni watu wenye kufanya mambo makubwa kuliko waliokuwa darasani kwa hiyo vijana hawo walindwe vipaji vyao ili taifa kuwa na wabunifu wengi walio endelezwa na Serikali

  • @heriamanmwita4820
    @heriamanmwita4820 3 года назад

    Kwelii kabisaa mzee

  • @michaelmusitah5553
    @michaelmusitah5553 4 года назад +1

    Mweshimiwa mwenyekiti!!

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 3 года назад

    Mzee yk sawa

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 4 года назад +2

    Huyu Mzee msimpuuze

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 4 года назад

    Yaaa kaongea full points

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid2718 4 года назад

    kweli kabisa mbunge wangu umesema yotee ni muhimu kwa mzazi kua na haki ya kudai pesa za kujikimu

  • @ambayuusteve6494
    @ambayuusteve6494 3 года назад

    Nakubali

  • @tolutolu2970
    @tolutolu2970 4 года назад +1

    Uyu Mbunge anapointi sana

  • @godiuskahyarara7745
    @godiuskahyarara7745 4 года назад

    Kwa hiyo tufunge shule zote za Sekondari tubaki na msingi tu?? Elimu ni muhimu na haina mbadala..Unaweza kutafuta mifano midogo lakini kikubwa kila kukicha unaona wagonjwa wanafanyiwa operesheni lakini si na watu wa Darasa la Saba..Unaona madege yanaruka lakin i hayarushwi na Darasa la saba
    ..

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Nakukubali mzee kishimba

  • @godfreymwambwalo5282
    @godfreymwambwalo5282 4 года назад +2

    huyu mbunge awe anapewa dakika 20

  • @geherigeheri2846
    @geherigeheri2846 4 года назад

    Hapo sasa kazi kwenu

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 4 года назад

    Huyu mbunge ni pro

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад

    Sasa ukianzisha mitaala ya watoro watoro si watakuwa wengi???

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 4 года назад +1

    Leo mzee umeniangusha sana

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 4 года назад

    Mm ni darasa la saba namuunga mkono

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 3 года назад

    Mbunge Bora kabisa wa CCM

  • @linousjohn2995
    @linousjohn2995 4 года назад

    Naona mchango wako umebezwa lakini ukweli unabaki palepapale mungu azidi kukuwezesha kwa hoja za kuwasaidia watanzania

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 4 года назад

    Daaa huyu babu alikua anawaza km mm

  • @omarijumaa8786
    @omarijumaa8786 4 года назад +1

    Sasa hao watoto hawasomi madrasa ni shule tu

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 3 года назад

    Huyu mbunge kweli niladaba!? anamwaga point kuliko maprofesa

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 3 года назад

    Hiyo haiwezekani,huyo ni mbunge kweli.

  • @sudingolola5446
    @sudingolola5446 4 года назад +1

    Mbunge kichaa

  • @joshuamarwawerema7045
    @joshuamarwawerema7045 4 года назад

    Umeongea kweli inabidi wasomeshaji wadai haki zao baada ya watoto wao kuajiliwa.

  • @samadoushujaa7028
    @samadoushujaa7028 4 года назад

    CCM Kwa style hii lazima tuwang'oe..

  • @allyfaki8773
    @allyfaki8773 4 года назад

    Pumbavu kuimba muziki ndio kufanikiwa

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 4 года назад

    Kwa mwendo huo watoto watakuwa wanakataa kuzaliwa mzee Baba 🤣🤣🤣🤣

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 4 года назад

    Mtaala wa watoro

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 года назад

    mzee kweli sija kuelewa wenzio tuna teseka na jembe LA mikono wewe unataka watoto walime ndio waingie darasani

  • @selemanally126
    @selemanally126 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂 akili yako ndo maisha yako, elimu yako itakusaidia kulingana akili yako

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 4 года назад

    Wabunge wa hovyo hovyo. Wabunge wa CCM hawafai sasa wananchi ndio waone. Analeta comedy yaani

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 года назад

    😂😂😂 sisemi kitu

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 4 года назад

    Huyu mtu kichwa chake ni kizima!

  • @tumainimugini4891
    @tumainimugini4891 4 года назад

    Hawa ndo wabunge wa ccm 😅😅😅

  • @hizim6699
    @hizim6699 4 года назад

    Kuwa mtoro ukawe makenika ustake kudanganyana yani ni kupotoshana tu apa mwanafunz gn anaingia darasani saa 4asb kwa sababu ya mchakamchaka,, ata mawazo yako ni ya kidarasa la nne km elimu yako

    • @kelvinaron4875
      @kelvinaron4875 4 года назад

      Vijijini lipo hilo na hata Mimi nimelishuhudia, mzee yupo sahihi kias chake, ukisikiliza hotuba hta za nyerere alisema tutunge sheria tukizingatia na tabia zinazosababisha watu kuto kutii sheria

    • @nassibunassoro389
      @nassibunassoro389 4 года назад

      Wewe unaweza kujilinganisha na huyo kishimba kwenye aspects ipi ? Mpka uandike statement hii?

    • @hizim6699
      @hizim6699 4 года назад

      Kweny aspect ipi kivip,mim ww unaninifahamu uniulize swali hilo au we ndo kishimba, What the fuck hel' U talkin about? mim nimekuja kujilinganisha apa!?

  • @Anonymous00018
    @Anonymous00018 4 года назад

    Huyu nae darasa la saba kweli manake anaongea pumba tu na akajambe huko

    • @johnsonmlau4408
      @johnsonmlau4408 4 года назад

      Unajua mbunge wawapi huyo na anasifa gani

    • @beatricecharles6483
      @beatricecharles6483 4 года назад +2

      Anahela nyingi huyo mzee balaa ukoo wenu mnakula nawajukuu

    • @johnsonmlau4408
      @johnsonmlau4408 4 года назад

      Nilikuwa namwelesha huyo anaesema huyo la saba kweli yaani huyo mzee ni mwisho na anakijua anacho kiongea siyo bahati mbaya

    • @christophermwanilwa7074
      @christophermwanilwa7074 4 года назад

      Ana akili sana huyu Mzee. Ana hoja nzuri muda wote. Ana akili ya pekee na ndio maaana nahisi ni tajiri

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay2205 4 года назад +1

    Hicho ni kichekesho .hapo mnaongeza utoro.eti wafanye kazi kwanza.mzee tafadhali fikiria sana.hao ndio wabunge wetu.mmm.

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 4 года назад

    Yaaa kaongea full points