"NCHI ITAKUWA YA MASHULE HII" HUYU MBUNGE KISHIMBA NI BALAAA SIKILIZA NONDO ZAKE BUNGENI LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • "NCHI ITAKUWA YA MASHULE HII" HUYU MBUNGE KISHIMBA NI BALAAA SIKILIZA NONDO ZAKE BUNGENI LEO
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 25

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 8 месяцев назад +1

    Ww ni mbunge wangu namba moja duniani kwa kuongea fact mwenyez mungu akulinde ndugu ❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 месяцев назад

    Kishimba nakukubali sanaaaa nondo zako nzuri waeleze waelewe

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 месяцев назад +1

    Barabara ya kupita baiskeli ndani ya ccm hakuna wabunge aiseeee

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 8 месяцев назад +1

    Kishimba is the best, alitakiwa awe na mtu wa kutafsiri kwa vitendo

  • @amoskoyo4597
    @amoskoyo4597 8 месяцев назад

    Nakuelewa sana father

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 8 месяцев назад

    Mzee yupo vizur sanaaa

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 8 месяцев назад

    Mkijenga Barabara msitujengee Barabara za muda mfupi tengenezeni Barabara za muda mrefu acheni kulipua.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 8 месяцев назад

    Very bright, una akili nyingi sana ukweli tz tunatumia mda mwingi kusoma bira sababu ya msingi, miaka 60 tunajenga shule tu aibu kweli, kishima oyee.

  • @williamngochani7008
    @williamngochani7008 8 месяцев назад

    haya mawazo ya huyu mzee ni mazur sana na ya kufanyia kazi, ila wanasubiri siku mzee amelala mauti ndo wanatumia maneno yake wakati huo athali zimeshaharbu nchi.

  • @OpinoNickson-l1p
    @OpinoNickson-l1p 7 месяцев назад

    Huko sawa

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 8 месяцев назад

    Endeleeni kuwapa Wachina ...Tutakuja kulia, hayo marudio ya mchanga wa dhahabu wanatoa madini mengi, tujifunze Zambia kilichowakuta walipowakalibisha Wachina kwenye Marudio ya Copper.

  • @HasaniMawe
    @HasaniMawe 7 месяцев назад +1

    Akili nying

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 8 месяцев назад

    Tatizo la shule kama kuna ongezeko la watu na wanafunzi ni Jambo rahisi tu jengeni shule za ghorofa ongezeni walimu ...

  • @hassansengoba1221
    @hassansengoba1221 7 месяцев назад

    Shule wanajenga nyingi,walimu wanahitimu kila mwaka lakin mashule yenyewe hayana walimu.inasikisha kwa kweli

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 8 месяцев назад

    wakati huo watoto wenu wanasomea International schools full Time

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 8 месяцев назад

    Du hadi ajira za watu maskini zinabinafsishwa,serikali angalieni hoja za huyu jamaa ,ikiwezekana muwakopeshe wavuvi wadogo na wachimbaji wadogo vifaa vya kisasa ili mzunguko wa hela ubakie ndani ya nchi la sivyo Hali itakua ngumu kwa wananchi.tunapoelekea tunarudi utumwani,kweli nimeamini Africa tuko modern slave..

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 8 месяцев назад

    Barabara ya mita 3? Mzee keshaanza kuchoka huyu

    • @zakariasengo8930
      @zakariasengo8930 8 месяцев назад

      Elewa hoja ,,anazungumzia "ONE WAY ROAD"🛣️ kuepusha kubomoa nyumba za watu Ili magari yapishane kwenye barabara za mitaaa, na hiyo inafanya kama ulitaka kujenga 5Km unajenga 10km ,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 месяцев назад

    Hizo ni dili za wateuzi wa mama Samia hawa mijizi mingi

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 8 месяцев назад

    Haya mashule ni dili la wasaidizi wa rais samia

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 месяцев назад

    Muambie waitara hana elimu jimboni kwake

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 месяцев назад

    Kweli Kuna umuhimu wa wabunge wa upinzani

  • @RamadhaniRichardson
    @RamadhaniRichardson 8 месяцев назад

    Mzee logic zako ziko poa Sana tatizo wakoroni walitumaliza akili