Kishimba: Wataalamu Wanajuwa Kusoma na Kuandika I Hawana Maarifa I Kwanini Polisi Kwenye Mitihani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba, amesimama Bungeni na kuchangia mchango wake katika Bajeti ya Waziri Mkuu ,Makadirio ya mapato na matumizi 2022/2023, kwa kusema kwa asilimia 90 Wataalamu hawana maarifa ya kusimamia vitu vya umuhimu kutumika na Jamii, pia kwa maendeleo ya taifa.
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates

Комментарии • 78

  • @allenmunzary1557
    @allenmunzary1557 7 месяцев назад

    Uyu mzee ndo anajua maisha halisi ya mtanzania,hongera sana

  • @crissinkala3110
    @crissinkala3110 2 года назад +11

    Mzee wa hoja za msingi hongera sana

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Kishimba musukumaa nyieeee nihataliii San mungu awabarikiii

  • @MunirDaniford
    @MunirDaniford 7 месяцев назад

    Uyu mzee mkn sana

  • @johnbenjamini9804
    @johnbenjamini9804 2 года назад +4

    Noma sana mzee nakuamini

  • @neponova8988
    @neponova8988 2 года назад +5

    Always on point sir....respect

  • @onyangoemanuel4061
    @onyangoemanuel4061 Год назад

    Nakukubali kishimba

  • @festovenas502
    @festovenas502 2 года назад +1

    Wewe nimwakilishi wa Wana nchi sio mlajitu hongela mungu akutunze

  • @ginamasauna8906
    @ginamasauna8906 Год назад

    Mzee mungu akupe ulinzi

  • @norascomulenzi222
    @norascomulenzi222 2 года назад +13

    Kanda ya ziwa kuna watu wenye ufahamu mkubwa mnoo, mchango mzuri kanda ya ziwa matofali ya kuchoma ndo yanatumika pia ndo imara hata wakiulizwa engeners.

    • @yustinasindamwaka8072
      @yustinasindamwaka8072 2 года назад

      Huenda hula vichwa vya samaki nisikia vichwa vya samaki ukila unakuwa na akili sana(nsomile)

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +7

    Elimu ya msingi ni muhimu sana kuliko elimu za madesa na kupoteza muda ..

  • @maniakihengu4941
    @maniakihengu4941 2 года назад

    Safi Sana mbunge

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 года назад

    Long life kishimba

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 года назад

    Im proud of you kishimba u a the best always

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 года назад

    Baba unazidi kuukonga moyo wangu

  • @adrianmuwelelwa1674
    @adrianmuwelelwa1674 2 года назад +12

    mzee hao watalaam ni wasomi wa kukariri hakuna wanachojua

  • @godfreyayo7831
    @godfreyayo7831 Год назад

    Kweli huyu ni Prof

  • @leonishiyo5052
    @leonishiyo5052 2 года назад +3

    mzee hongera Sana mwenyewe sahvi doctor ila nakumbu cku ya mtihani for 4 unasachiwa na polic Kama gaidi

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 2 года назад

    Mbunge hongera sana kwa hoja zr ya Askali kwenda kusimamia mitian Kama kuna ukweli moo

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 Год назад

    HOJAAA 100%

  • @mwendapolejulius4685
    @mwendapolejulius4685 2 года назад +2

    Safi sana, tungekuwa na watu kama nyie nusu ya nchi tungepiga hatua kubwa sana

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Jamaa safi sana

  • @juliaskayanda3578
    @juliaskayanda3578 2 года назад

    Kishimba yaani maneno yake yanamaana kubwa sana ukiyatafakali kwa umakini

  • @mugirejoseph5474
    @mugirejoseph5474 2 года назад

    Safi

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Год назад

    Hakika!!

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 2 года назад +1

    Saw kabsa kweny matofali ukosahihi saan

  • @mathewdamian4735
    @mathewdamian4735 2 года назад +7

    Basi hao polisi wawe wanafika shuleni mara kwa mara ili wale watoto inapofika siku ya mitihani wasiwaogope la sivyo ile siku ya mitihani wasiende kuwazingira kama majambazi fulani vile

  • @lewisjovin
    @lewisjovin Год назад

    Mzee Kishimba ana akili sana.

  • @abdebasalsalum1309
    @abdebasalsalum1309 2 года назад

    this man deselve more

  • @robertabely5794
    @robertabely5794 2 года назад

    Nzuri

  • @husseinnkuna4260
    @husseinnkuna4260 2 года назад +1

    Huyu mzee angepewa wizara ya viwanda angefaa sana daah.

  • @kissizanberi
    @kissizanberi Год назад

    Huyu jamaa anachukuliwa poa poa lakin mimi namwelewa sana ana hoja zinazo eleweka sana🚶🚶🚶🚶🚶🚶

  • @ericklyatuu1301
    @ericklyatuu1301 2 года назад +4

    Jamaa anaongea kweli

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 2 года назад +7

    Jumanne Kishimba hajawahi kukosea hata kidogo kabisa maana hayo mambo ni dhahiri kabisa.. na kuhusu Dini ni kweli kabisa dini zetu za asili zianze kufundishwa pia 😂😂😂

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 2 года назад

      Hapo kwenye dini naunga mkono hoja mheshimiwa

    • @mohamedimazige1585
      @mohamedimazige1585 Год назад

      Huyu ndiye Mbunge mwenye akili zaidi kuwahi kutokea Tanzania

  • @fatimangoma5461
    @fatimangoma5461 2 года назад

    Good

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 2 года назад +4

    Angekuwepo magufuli ndohiyo lingekuw saw

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 2 года назад

    Aiseeeeee

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 2 года назад +1

    Ajabu, Mila na desturi zetu zmepuuzwa sana, hata mia nzuri zinapuuzwa pia, Utandawazi!

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 года назад

    Huyu Mzee Apewe U Daktari wa Falsafa wa Heshima

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 2 года назад

    Ni kweli

  • @samwellema5642
    @samwellema5642 2 года назад

    Mzee anaubiga mwingi sana

  • @godlovekamuntu973
    @godlovekamuntu973 2 года назад +3

    Spendi mtu kusifiwa siku ya mazishi. Huyu Baba akitambuliwa akiwa mzima,ataongea mpaka ziada,na atasaidia uelewa wa wengi.

  • @amonimwaitulo9346
    @amonimwaitulo9346 2 года назад

    Mheshimiwa pongeza kwako

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 2 года назад

    Huyu mzee kichwa

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 2 года назад +1

    Kweli usichanganye Kati ya ELIMU na AKILI. Kishimba J4 ana akili though Hana elimu

  • @perfectmasawe5870
    @perfectmasawe5870 2 года назад

    Hapo kwenye usimamizi wa mitihani Mzee umetoa hoja ya msingi

  • @allypapaa489
    @allypapaa489 2 года назад +2

    Tuna Wasomi wasio elimika!

  • @machiyakulwa1687
    @machiyakulwa1687 2 года назад +1

    Huyu mzee anahitaji kutazamwa kwa makini ni mtu anaidia nzri Sana

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo1851 2 года назад +1

    👊🏼

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 2 года назад

    Wakati ukifika profesa kachukuwe karatasi

  • @lewisjovin
    @lewisjovin Год назад

    Elimu si kingereza

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 2 года назад

    akili nyingi sana

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 2 года назад +2

    Nondo za kanda yaziwa

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Huyu jamaa mpeni uraisi anafaa

  • @osianadavid3062
    @osianadavid3062 Год назад

    😂😂😂

  • @merryluzwilo2866
    @merryluzwilo2866 2 года назад

    Mbunge kishimba ni wajimbo langu yani huwa ananivuja mbavu hata huwa nashindwa kujibu nangua kicheko hadi chaji inaisha cm inazima

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 года назад

    Huyu MTU ni ana akili haswa

    • @abdiabdi5929
      @abdiabdi5929 2 года назад

      Daah mm naangalia leo huyu ni mwamba

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 2 года назад +2

    Nazani ile Doctor ya msukuma ungepewa wewe

  • @immaculatejohn9906
    @immaculatejohn9906 2 года назад

    Hahahah kishimba bwana

  • @jumaabdalah1836
    @jumaabdalah1836 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emanuelmsechu9002
    @emanuelmsechu9002 2 года назад

    huyu ndo anastahili kuwa rais

  • @salimrashid809
    @salimrashid809 2 года назад

    We inglikuw sio polisi unglikuwa hpo? We haujielew mzee

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 года назад +2

      Huwezi kujilinganisha na mzee Kishimba hata kwa chochote. Humjui wala nini, nyamaza kabisa. Akili yako ni ya kulia ubwabwa tu.

    • @lucasseleli2203
      @lucasseleli2203 2 года назад

      Hujitambui

    • @JIWEtv6484
      @JIWEtv6484 2 года назад

      Kwani police ndio anafanya mtihan

    • @juenimusimu6359
      @juenimusimu6359 2 года назад

      Wewe ndo ujielewi, hao polic walikusaidia nini wewe kwenye mitihani wakati unajifunza kuandika huko mapolini kwenu?

  • @thabitikibonajoro1230
    @thabitikibonajoro1230 2 года назад

    Sawa kabsa