Kishimba: Wataalamu Wanajuwa Kusoma na Kuandika I Hawana Maarifa I Kwanini Polisi Kwenye Mitihani
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba, amesimama Bungeni na kuchangia mchango wake katika Bajeti ya Waziri Mkuu ,Makadirio ya mapato na matumizi 2022/2023, kwa kusema kwa asilimia 90 Wataalamu hawana maarifa ya kusimamia vitu vya umuhimu kutumika na Jamii, pia kwa maendeleo ya taifa.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Uyu mzee ndo anajua maisha halisi ya mtanzania,hongera sana
Mzee wa hoja za msingi hongera sana
Kishimba musukumaa nyieeee nihataliii San mungu awabarikiii
Uyu mzee mkn sana
Noma sana mzee nakuamini
Always on point sir....respect
Nakukubali kishimba
Wewe nimwakilishi wa Wana nchi sio mlajitu hongela mungu akutunze
Mzee mungu akupe ulinzi
Kanda ya ziwa kuna watu wenye ufahamu mkubwa mnoo, mchango mzuri kanda ya ziwa matofali ya kuchoma ndo yanatumika pia ndo imara hata wakiulizwa engeners.
Huenda hula vichwa vya samaki nisikia vichwa vya samaki ukila unakuwa na akili sana(nsomile)
Elimu ya msingi ni muhimu sana kuliko elimu za madesa na kupoteza muda ..
Safi Sana mbunge
Long life kishimba
Im proud of you kishimba u a the best always
Baba unazidi kuukonga moyo wangu
mzee hao watalaam ni wasomi wa kukariri hakuna wanachojua
Kweli huyu ni Prof
mzee hongera Sana mwenyewe sahvi doctor ila nakumbu cku ya mtihani for 4 unasachiwa na polic Kama gaidi
Hahahahhahahaha
Mbunge hongera sana kwa hoja zr ya Askali kwenda kusimamia mitian Kama kuna ukweli moo
HOJAAA 100%
Safi sana, tungekuwa na watu kama nyie nusu ya nchi tungepiga hatua kubwa sana
Jamaa safi sana
Kishimba yaani maneno yake yanamaana kubwa sana ukiyatafakali kwa umakini
Safi
Hakika!!
Saw kabsa kweny matofali ukosahihi saan
Basi hao polisi wawe wanafika shuleni mara kwa mara ili wale watoto inapofika siku ya mitihani wasiwaogope la sivyo ile siku ya mitihani wasiende kuwazingira kama majambazi fulani vile
Mzee Kishimba ana akili sana.
this man deselve more
Nzuri
Huyu mzee angepewa wizara ya viwanda angefaa sana daah.
Huyu jamaa anachukuliwa poa poa lakin mimi namwelewa sana ana hoja zinazo eleweka sana🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Jamaa anaongea kweli
Wasukuma hawana uzungu uzung
Uzungu wa nn
Jumanne Kishimba hajawahi kukosea hata kidogo kabisa maana hayo mambo ni dhahiri kabisa.. na kuhusu Dini ni kweli kabisa dini zetu za asili zianze kufundishwa pia 😂😂😂
Hapo kwenye dini naunga mkono hoja mheshimiwa
Huyu ndiye Mbunge mwenye akili zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Good
Angekuwepo magufuli ndohiyo lingekuw saw
Aiseeeeee
Ajabu, Mila na desturi zetu zmepuuzwa sana, hata mia nzuri zinapuuzwa pia, Utandawazi!
Huyu Mzee Apewe U Daktari wa Falsafa wa Heshima
Ni kweli
Mzee anaubiga mwingi sana
Spendi mtu kusifiwa siku ya mazishi. Huyu Baba akitambuliwa akiwa mzima,ataongea mpaka ziada,na atasaidia uelewa wa wengi.
Mheshimiwa pongeza kwako
Huyu mzee kichwa
Kweli usichanganye Kati ya ELIMU na AKILI. Kishimba J4 ana akili though Hana elimu
Hapo kwenye usimamizi wa mitihani Mzee umetoa hoja ya msingi
Tuna Wasomi wasio elimika!
Huyu mzee anahitaji kutazamwa kwa makini ni mtu anaidia nzri Sana
👊🏼
Wakati ukifika profesa kachukuwe karatasi
Elimu si kingereza
akili nyingi sana
Nondo za kanda yaziwa
Umeona kanda yaziwa walivyo naakili
Huyu jamaa mpeni uraisi anafaa
😂😂😂
Mbunge kishimba ni wajimbo langu yani huwa ananivuja mbavu hata huwa nashindwa kujibu nangua kicheko hadi chaji inaisha cm inazima
Huyu MTU ni ana akili haswa
Daah mm naangalia leo huyu ni mwamba
Nazani ile Doctor ya msukuma ungepewa wewe
Yeye alipewa uprofesor na Ndugai
Baraaa wasukuma wanajalisaana mila jaman
Hahahah kishimba bwana
🤣🤣🤣🤣🤣
huyu ndo anastahili kuwa rais
We inglikuw sio polisi unglikuwa hpo? We haujielew mzee
Huwezi kujilinganisha na mzee Kishimba hata kwa chochote. Humjui wala nini, nyamaza kabisa. Akili yako ni ya kulia ubwabwa tu.
Hujitambui
Kwani police ndio anafanya mtihan
Wewe ndo ujielewi, hao polic walikusaidia nini wewe kwenye mitihani wakati unajifunza kuandika huko mapolini kwenu?
Sawa kabsa