MSUKUMA AONGEA KWA HASIRA BUNGENI "Unanisikiliza au unachart, Huu ni utapeli mnataka mtuchonganishe"
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Huyu ndiye kiongozi tunae hitanji Afrika,umepanda bei,,hoja zako ni za kipekee.twakupenda sana
Hongera Sana umeongea vizur mh msukuma
Big up mheshimiwa Msukuma
Hongera sana Mungu asimame na maisha yako yote mh Msukuma
Msukuma is no longer a PHD holder. Now is a professor. Kajamaa kanaakili ya kuzaliwa everything is point anaongea na asomi. He is IQ is very higher.
Safi sana msukuma,uko vizuri Sanaa unatetea kila sekta
Huyu jamaa yuko vizuri katika kutetea wapiga kura wake kwa wengine wasimfanye kuwa mwalimu wao.
Kweli msukuma umechaguliwa kutete sisi wananchi mungu ukubarki sana
Dr.Musukuma piga kazi Ndugu Mweheshimiwa Mbunge mchongo wako ni makini sana. Huja zenye mshiko na ushauri yenye hoja safi ya kizalendo
wasukuma mungu awakirimie neema na baraka tele katika kazi yako ameeen
Kazi ipo kweli kweli . Hii serikari imezidi kunyanyasa wananchi.
Wasukuma kweli niwashamba ila Wana Akili Ile Mbaya alafu ndani yake Kuna Malengo,
Msukuma ubarikiwe sana umesema vzr kuwa nyasiii zinapoota ndooo unakwenda kwer kabsa hujakosea
Huyu miaka ijayo anaweza kutuongoza mungu akuweke🎉
Me mwenyewe nilishangaa hiri swala la hereni/kupiga ng'ombe mihuri ni upigaji tu Asante saana Musukuma👏👏
Ubarikiweee sana mheshimiwa msukuma
'You can buy education but wisdom is earned'
Ahsante msukuma
You can buy education but wisdom is earned ahsante msukuma
@@saitotimollel-8995 p
@@saitotimollel-8995 Xmas
Upo vizuri sana msukuma wa ambie ukweri
Msukuma Akili nyingi sana 👏👏👏👏👏
Unakila sababu kuchukua fomu ya uraisi ❤❤
Safi sana jembe letu msukuma unaongea point tupu, unatetea wafugaji kwa point kuliko wabunge wasomi wapiga dili. VIVA MSUKUMA
Umeongea point Sana msukuma
Wangekuwa kama msukuma nchi basi ingekuwa imara👏👏
Upo vzur sana msukuma wa geita nimeipenda🔥🔥🔥
Minamkubali sana msukuma oyee!!
😢😢😢😢😢sijui kina nani Tena watatutetea kama sio watu walio Toka maisha magumu ya Kijijini 😢
Huyu jamaa nampenda sana mungu amlinde
Mbunge wangu msukuma upo vizuri Mungu akutetee sana tunaimani kubwa na wewe
Waoo mashallah mungu akulinde
Hongera mueshimiwa
Msukuma kauli yako imenyooka baba good blessing you
Msukuma uko sawa,kweli vijana wapo wengi wafanye kz hiyo
Mwenyezi Mungu hampi mtu kila kitu. Wasukuma ni washamba lakini wana IQ ya hatari sana. They're natural gifted na mifano ni mingi, eg. President JPM, MP msukuma, Jenerali Silas Mayunga, Rev. Josephat Gwajima, this is just a few to mention. Much respect to them, I real appreciate this tribe they always think in extra mile.
Mambo yote amesema ni yamsingi, tatizo wizara husika tayari inamamboyake , ukichanganya na Dili Dili, kazi itakua ngumu sana.
Asante Sana mh msukuma ukweli serikali haimthamin huyu mfugaji masikini swala la kuwafunga ng'ombe heleni ni hasara kwa serikali bajeti hiyo bora ipelekwe zahanati au waongeze majosho na dawa
Msukuma nakubari mzee kwa hoja yako ya msingi
Namkubali sana msukuma
Uko sawa msukuma ❤❤
Umeongea poind nzuriiiii
Nakukubali mbunge wangu sera zako kama Magufuli waambie ukweli hao matumbo kushiba na ukisema ukweli wanakutafutia kifo
Mungu akulinde uishi miaka kama yote tuu endelea Kaza mwendo babaa
Kweli kabisa huo nimtego ila kutambua baathi wanaona kama jambo la kwaida sana kumbe jamani mungu atusaidia .
Jamani msukuma hongera
Mungu akuzidishie msukuma uzidi kuwaelimisha
Congraturation king msukuma
Hakika mungu akubariki
Good leader thanks l very happy for your speech
sichoki kukusikiliza mkuu mungu akuobgoze kwa hekima
Asantee baba wasaidie wanyonge wenzio
Respect msukuma 🫡🫡🫡🫡
Hogera Sana mh msukuma kwaushauri yako mungu akuongeze ushujaa
Yanga mbele nyuma mwiko 🎉
Mungu akubarik msukuma
Pambna msukuma mngu akupe maisha marefu
Thanks 🙏 Mr. Msukuma you're responsible leader
Xam
Kuna aina ya watu ambao huongea kwa uchungu sana kwakua tu hapati maslahi pale anapopaongelea.
Msukuma sema kweli acha kuogopa maana viongozi wengi wamekua wanawaza maslai yao wenyewe wakizani wataishi milele hy ni laana
umetisha msukuma endelea ivyoivyo
Bravo msukuma
Unasema ukweli Kaka mung akulinde
Asanteee msukumaa
Abalikiwe mheshimiwa msukuma hakika wange kuwa watano kama msukuma bunge letu lingepata weredi wakutufikisha mbali balikiwa sana msukuma iko siku
Nice I angre your point
safi Sana,msukumu
Muheshimiwa nakubali xan Kauli zako na unatuwakilixha xan xx wasukumu
Pamban mungu aku saidie
Kweli
Dr Msukuma safiiiii
I appreciate you msukuma
saaf saana tunaitaji elimu ya juu
Safi sana Mh.msukuma
Sema
AISEE HAWA JAMAA BUNGENI WANAFANYAGA NINI MBONA WASHENZI
Bravo bravo
Safiiiiiii msukumaaaaaaa
Duh sema baba
Msukuma mungu akubaliki unaongea point sana
Tunazidi kukuombea msukuma tunakupenda
Umetisha mwamba msukuma
Dah msukuma anauchungu na wa2 wa ali ya chini masikini naiona sura ya ayati jpm kwa mbali
I appreciate you Msukuma coz things which you say is true
Nikweli
Hongera sana kusukuma
Uko vzr baba
Hongera sn msukuma 🙏🙏
Ni kweli
Msukuma anakubalika ❤
Sana mkuu
msukuma upo vizur
Uko vizuri msukuma
Hapo kweli kabisa umenena msukuma
Sikiliza chumba iyo by Noah apa
asantesan musukuma
Msukuma ni 🔥🔥
Habari
nakubariii Sana PHD man
Msukuma noma
Kweli msukuma
nakubar msukuma
Vzr jembe msukuma
Ubari kiwe sana msukuma