Tofauti yako makonda ww hufanyi kwa uchawa,umedhamiria kumsaidia Rais kweli kweli,baadhi ya watu wanadhani kwa kuwa Rais ni mama hvyo wanaweza kupitia jinsia kumpelekea majungu,nampenda Rais Samia kwa utulivu anaouonesha,hashawishiwi na majungu bali anafanya kinachostahili, PIGENI KAZI VIONGOZI WAZALENDO..❤❤❤❤❤
Kwakweli watu wasijifiche kwenye kivuli cha jinsia. Hapa ni kazi tuu, piga kazi Makonda. Elisha akamwambia Gehazi, walioupande wetu ni wengi kuliko waliokinyume nasi. Halafu kale kalugha alikokatumia kakusema, mnaowateua, siyo kazuli Sana, maana anadharau muhimili wa ...? Wateuzi
Nilisubiri sana haya majibu. Miongoni mwa mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo na kuziba watu midomo ni hizi/hivi vitasisi vinavyojita haki za binadamu au mama na watoto,Yaani kwamba mwanamke asikosolewe au Akikosolewa aeleswe kwa kubembelezwa. Ijulikane umechagua kufanya kazi fanya kazi ukiboronga utasemwa Madamu hakumtusi Kazi iendelee
Wewe ni rais ujae kama vile ulivyo mtabilia mama samia kua makamu wa rais, wakwanza mwamke, hatamie nakutabilia uje uwe rais wetu kijana shupavu,, tunajua ccm imejawa na mafisadi tu
Kweliiii T. M . U Mungu azidi kuwatangulia ktk kila mnachokifanya, hata viongozi wa chini kama ktk kata nk wameanza kupambana na wanyonge tunajipanga kupata haki zetu nk. Niendelee kumsihi kila anayemuelewa Makonda na kundi lake, tuendelee kuwa ktk maombi,k tuwaombee kuanzia raisi, waziri mkuu na wote wenye mapenzi mema kwetu. TEAM MAKONDA UKOMBOZI wananchi tunawaelewa.
Alhamdulillah Piga spana kamanda makonda hakuna kutabasam kaz kaz tuu kutabasam ni kwa mungu huko tena waku vumile wakuvumilieee mollah akupe afya njema sisi kodi zetu ziliwe alafu eti eti eti etinini piga kazi 🤲
Jembe letu piga kazi,, hao wanaosema jinsia hao ni wapigaji na wala rushwa.. hao niwazembe.. rais wetu samia alidhalilishwa. Sana tena sana hakuna mwanamke yeyote . Ali simama kumtetea rais wetu, nyie ni washenzi majizi tu. Maonda chapakazi,, samia oeeeeeee
Endelea kutetea wanyonge baba nawe mtetezi wako yu hai maadui wako ni hao hao wanaccm wenzako walala hoi wananchi wa kawaida maelfu kwa milioni tunakuombea kwa mungu akulinde asiyelala Wala kusinzia habari ndo hiyo
Piga kazi,Piga kazi,sindano inauma sana,sanasana, tuweni kitu kimoja,let us all ccm members talks 1⃣ language,we have good arrangements to solve any problems. Amen
Mh Makonda nakupenda Sana Kwa jinsi unavofany kz najua hata hivyo Kuna wigo wa Kaz unataman ufikie lkn ndo Ivo ila nakutabiria ww ni sawa na yusufu una mambo makubw Sana ndani Yako hakika wkt ukfk utakuw mtu fulan amen
haahaaa! Mr. President wa baadae unafurahisha. una majibu konki na sijui wanajisikiaje tu Hadi aibu kwao. wivu umewatawala kama kwamba wao hawana wajibu wa kuwahudumia wananchi kama unavyofanya Mr. President wa 2030
Ikitokea simu Mungu. Ametufungua macho,Tukabafikisha Katiba Yetu miongoni Mwa Vitu vya kuvifuta/kuvipunguza au Kuviondoa Kabisa ni hivyo Vitasisi Vya haki kwani havina Tija katika jamii yetu Zaidi ya kutuchelewesha Kufikia malengo ya maendeleo kwa Haraka zaidi
Makonda we ndo kiongozi,viongozi wengi saaaana ni mizigo hawana msaada kwa Rais,lakini mbona mama hawatumbui ndo maana wafanye sawa wasifanye sawa kwasababu hawana hofu yoyote
Sisi ndo walipa Kodi tunaumia. Wamezoea wizi. Unachokifanya hawataki wanataka kulindana. ATI jinsia, ndo ule pesa zetu za Kodi na uonevu! Wapige spans Makonda usiogope maneno. Ktk wakuu was mikoa wote we ndo unapiga KAZI.
Tunajua ulivomtetea Mama yetu na Rais wetu. Makonda we ni mtu wa tofauti, mkarim, busara, hupendi mtu aonewe. Na hiyo ndo tabia na sifa ya mama Yetu na Rais wetu mpendwa.
Team makonda oyeeee piga kazi kamanda
Hakuna team hapa, ili tuendelee raia tushangilie magoli.
Nilichukia sana mwanamke mshezi yule aliyetaka kumupunguza makali kijana wetu makonda piga kazi makonda
Tofauti yako makonda ww hufanyi kwa uchawa,umedhamiria kumsaidia Rais kweli kweli,baadhi ya watu wanadhani kwa kuwa Rais ni mama hvyo wanaweza kupitia jinsia kumpelekea majungu,nampenda Rais Samia kwa utulivu anaouonesha,hashawishiwi na majungu bali anafanya kinachostahili, PIGENI KAZI VIONGOZI WAZALENDO..❤❤❤❤❤
Kwakweli watu wasijifiche kwenye kivuli cha jinsia. Hapa ni kazi tuu, piga kazi Makonda. Elisha akamwambia Gehazi, walioupande wetu ni wengi kuliko waliokinyume nasi. Halafu kale kalugha alikokatumia kakusema, mnaowateua, siyo kazuli Sana, maana anadharau muhimili wa ...? Wateuzi
Nilisubiri sana haya majibu. Miongoni mwa mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo na kuziba watu midomo ni hizi/hivi vitasisi vinavyojita haki za binadamu au mama na watoto,Yaani kwamba mwanamke asikosolewe au Akikosolewa aeleswe kwa kubembelezwa. Ijulikane umechagua kufanya kazi fanya kazi ukiboronga utasemwa Madamu hakumtusi Kazi iendelee
Najikuta mnyonge Sana nabadhi ya maswali magumu Sana najiuliza ivi kweli makonda utaishi mda mlefu ila kazi yangu ni kukuombea mungu wakati wote
Stay strong and your strong! Leadership always God fear not human! Nakuunga mkono 100%.
Nimefurahi Sana waambie hakuna Cha jinsia hapa watu wafanye kazi ubarikiwe makonda
Asanteh sana Makonda! Mungu ni mwema siku zote!
Koromije ilitoa namba haisomeki
Wewe ni rais ujae kama vile ulivyo mtabilia mama samia kua makamu wa rais, wakwanza mwamke, hatamie nakutabilia uje uwe rais wetu kijana shupavu,, tunajua ccm imejawa na mafisadi tu
Ccm wakija kuku wekea kiwingu.. wa tz milioni 68 tuko nyumayako tutakuchagua uwe rais wetu tz, tutakuchagua kwacha chochote, ccm wakikuwekea kiwingu..samia oeeee
Makonda mimi nakukubali sana usiogope hao wasema hovvo wezi wanalindana
Asante Baba chapa Kazi nimekuelewa vyema Mkuu piga kazi
All the best kijana mwenzangu ninakwambia Ivi sisi tulio zaliwa kuanzia miaka ya 1980 atuyumbishwagi kizembe kizembe
Kweliiii
T. M . U
Mungu azidi kuwatangulia ktk kila mnachokifanya, hata viongozi wa chini kama ktk kata nk wameanza kupambana na wanyonge tunajipanga kupata haki zetu nk.
Niendelee kumsihi kila anayemuelewa Makonda na kundi lake, tuendelee kuwa ktk maombi,k tuwaombee kuanzia raisi, waziri mkuu na wote wenye mapenzi mema kwetu.
TEAM MAKONDA UKOMBOZI wananchi tunawaelewa.
Rais alibaguliwa! Hawakujitokeza kumsemea! Leo kunani!
Big up Mkuu piga span tuko nawe mbona hawasemi haki ya wananchi
Ulikuwa makonda mbona kama umechelewa ARUSHAAAAAA INANYOOOKAAAA
Na coment kwa furaha sana machozi ya furaha yakinitoka wanyooshe hao wazembe
Kweli baba fanya kazi wazembe wengi nakukubali sana muheshimiwa Mungu amekuleta ututete wanyonge
Kuna nguvu ya ziada ipo ndani yako, nakuombea sana
Makonda unasema kweli Mwanangu ❤❤❤❤ Mtani hoyooooo ❤❤❤
Tunakupenda sana Magufuri wetu....
Uko vizuri MH makonda wote wanaopiga kelele ni wala rush
Big up Mhe. Makonda. Piga kazi.
Makonda. Be blessed.
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....... this is the best one
Makonda haogopi chochote mtajisumbua tu Makonda yupo juuuuuuu❤❤❤
Mwambie achague Moja kama anataka kazi afanye kazi inavyotakiwa kama anataka jinsia awafate hao wamama wenzie
Safi Sana makonda ,wanyooshe sawasawa,
Alhamdulillah Piga spana kamanda makonda hakuna kutabasam kaz kaz tuu kutabasam ni kwa mungu huko tena waku vumile wakuvumilieee mollah akupe afya njema sisi kodi zetu ziliwe alafu eti eti eti etinini piga kazi 🤲
Pigaa kazi mkuu Mwenyezi Mungu akulinde kwa Kila jema
The Best Regional Commissioner ever seen. Big up Makonda
haijawahi tokea
Salam izi ziwafikie Chadema na Waseng* wote.Safi sana Makonda
Uchama mm.
Jembe letu piga kazi,, hao wanaosema jinsia hao ni wapigaji na wala rushwa.. hao niwazembe.. rais wetu samia alidhalilishwa. Sana tena sana hakuna mwanamke yeyote . Ali simama kumtetea rais wetu, nyie ni washenzi majizi tu. Maonda chapakazi,, samia oeeeeeee
Upo sawa mkuu, kazi iendelee
KIONGOZI MAKONDA YUPO KAMA MIMI KABISA 💪
Huyu ndiye kiongozi jisia ndio nini Wala rushwa wengi Sina TZ
Upo sahihi kabisa Mhe Makonda
Safi sana Makonda nakuamini kitambo
Makonda mungu wa mbinguni akutunze na damu ya yesu ikukumbatie adui asikupate, chapa kazi kakaa
Endelea kutetea wanyonge baba nawe mtetezi wako yu hai maadui wako ni hao hao wanaccm wenzako walala hoi wananchi wa kawaida maelfu kwa milioni tunakuombea kwa mungu akulinde asiyelala Wala kusinzia habari ndo hiyo
Piga kazi,Piga kazi,sindano inauma sana,sanasana, tuweni kitu kimoja,let us all ccm members talks 1⃣ language,we have good arrangements to solve any problems. Amen
Shida ya ccm waovu tena waovyo sana niwengi sana wamemvaa shetani kama alivyo niwezi watu makonda Yuko tafauti na Wana ccm wengi
sasa kwasababu ya maofu ndio yaachiliwe Ayo maovu
Safiii wala rushwa wamezidi arusha komaa nao kamanda tunakuombea mungu
Hongera sana makonda chapa kazi mungu akutangulie
Mh Makonda nakupenda Sana Kwa jinsi unavofany kz najua hata hivyo Kuna wigo wa Kaz unataman ufikie lkn ndo Ivo ila nakutabiria ww ni sawa na yusufu una mambo makubw Sana ndani Yako hakika wkt ukfk utakuw mtu fulan amen
Wapelekee mto kamanda mungu Iko nawe na sisi tuko nawe kwahiyo wanyanyasa wanchi Wala rushwa👍🙏
Mungu ukuzidishie nguvu katika utendaji wako, kiongozi kama huyu inapendeza sana
Hongera mhe piga kazi. Kazi za serikali hazina cha jinsia. Kutetea wazembe ni ulimbukeni wa ubinafsi
haahaaa! Mr. President wa baadae unafurahisha. una majibu konki na sijui wanajisikiaje tu Hadi aibu kwao. wivu umewatawala kama kwamba wao hawana wajibu wa kuwahudumia wananchi kama unavyofanya Mr. President wa 2030
Hahahaha safi sana Makonda
Piga kzi kaka.Wasukuma oyeeeee.Utu ukarimu huruma ukweli wako,Kutetea wanyonge ,mungu atakulinda tu kaka.Achana nawasaliti watanzania ytu.
Makonda una maono sana Baba
Ubarikiwe sana Makonda piga kaziiii
Hahahahaha😂😂😂 😂 safi sana mh. Makonda piga kazi songa mbelee Mungu yupo pamoja naww
Nyiye machawa wa huyu jamaa mnamfanya apotee😮ee akiharibu hamtamsaidia akiwa kama Sabaya nae alikuwa hivhivi
Powerful speech 👍
Mtoto yatima hadeki ! Noted .
Halafu yule mama hapaswi kuwepo kwenye Ile nafasi ni wale wale
safi sana mkuu piga kazi tuko nyuma yako.
Piga kazi muheshimiwa Mungu Atakusimamia
Wewe piga KAZI tu broo,ni sawa na tone LA maji ndani ya bahari
Safi Sana makonda piga kazi
Hongela makonda kwa kupigania haki za wanyonge
Ikitokea simu Mungu. Ametufungua macho,Tukabafikisha Katiba Yetu miongoni Mwa Vitu vya kuvifuta/kuvipunguza au Kuviondoa Kabisa ni hivyo Vitasisi Vya haki kwani havina Tija katika jamii yetu Zaidi ya kutuchelewesha Kufikia malengo ya maendeleo kwa Haraka zaidi
Saf sana mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Makonda piga kazi ndio wanazidi kukupa morali
Wanaokuchukia ni 30% na tunaukukubali ni 70% hvo bado hawakuwezi
Hana jipya huyo Mama London kibanzi kwenye UWT ndo aangalie Boriti kwenye jicho la Makonda.
Mungu akulinde kila uendako
I i like your spirit....
Makonda ongela sana yule dada kazi anyo ijuwa nikwampalange tu🤟
Makonda big up sana wa Tz tunakuelewa 100%
Viongozi kama huyu ni wachache saana hongera sana mh makonda umejibu kikomavu
Piga kazi !
HALAFU KWELI.. MAMA ALITUKANWA HAPA,,, WALIKAA KIIMYA..MPAKA HAO HAKI ZA BINADMU WALIKAA KIIMYAAA... AISEEE...piga kazi baba
Makonda we ndo kiongozi,viongozi wengi saaaana ni mizigo hawana msaada kwa Rais,lakini mbona mama hawatumbui ndo maana wafanye sawa wasifanye sawa kwasababu hawana hofu yoyote
Pambana tupo nyuma yako na mungu wako anakulinda
Makonda karibu kwetu mtwara ww unaweza big up
Nausitishike tupo pamoja nawewe paka uwe rais❤
Mhe Makonda hao wanataka wakufanye ufanye kazi kwa hofu . Na hofu ni dhambi.
Uko sawa kabisa mkuu piga kazi, ww ni jpm no 2
Piga kazi kaka na usiogope
We need the man like in Burundi and Africa
Hapo chachacha kaz kaz
Kwa ninavyo amini amna kiongozi ambaye hajawai kula rushwa wote wamekula
Sisi ndo walipa Kodi tunaumia. Wamezoea wizi. Unachokifanya hawataki wanataka kulindana.
ATI jinsia, ndo ule pesa zetu za Kodi na uonevu! Wapige spans Makonda usiogope maneno.
Ktk wakuu was mikoa wote we ndo unapiga KAZI.
Uko vizuri sana mkuu wangu wa mkoa
Makonda ni kiongozi makini sana 🎉🎉🎉
Msemo wa Putin....msamaha wa ni kazi ya Mungu lakini yeye kazi yake ni kukupeleka huko ukaombe msamaha
Piga kazi mtumishi wa mungu wewe nakwelewa mno
Kukosea,Kupo lakini pia unapofanya vizuri,Unapo fanya vibaya ukosolewe.( Hao wanasheria wafanye kwa haki bila upendekeo)
Jembe langu piga kazi kaka
Watumishi wengi wa umma ni wabadhilifu piga kazi Makonda
SAFIII SANAA 💪 KIONGOZI MAKONDA YUPO KAMA MIMI KABISA!! ✍️ TUNALIPWA KUTOKANA na MATOKEO ✍️
Endelea kutetea wanyonge Makonda mtetezi wako yu hai maadui wako kila mahara
Fanya kazi Kaka❤️❤️❤️❤️
Huyu mwamba ni noma aiseee
Napenda viongozi wenye akili na udhubutu kama huu
Ndioo hawa watu utasikia haki sawa ukiwakusa wanalalamika umezalilishwa,kazii uendelee
Wanyoosheee Mzee mwenzangu
Safi sana Makonda piga kazi
Tunajua ulivomtetea Mama yetu na Rais wetu. Makonda we ni mtu wa tofauti, mkarim, busara, hupendi mtu aonewe. Na hiyo ndo tabia na sifa ya mama Yetu na Rais wetu mpendwa.