RC PAUL MAKONDA ASEMA! 'HATISHIKI' AENDELEA KUWAPIGA SPANA NA WALA HAOGOPI KITU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 126

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 месяца назад +19

    Safi sana Mh Makonda. Jeshi la mtu mmoja nguvu kazi 💪💪💪 Piga spana hao

    • @PoulMarwa
      @PoulMarwa 4 месяца назад +2

      Namkubali sana namwona kuwa Rais wa miaka ijayo

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      @@PoulMarwa Naam

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 4 месяца назад +22

    Arusha imepata raisi wake hakika pamoto hatari Arusha

  • @oliashoo4675
    @oliashoo4675 3 месяца назад +6

    Nawaza tu lakini
    Mh Raisi wetu mama Samia angempa nafasi mh, Makonda awape semina, Wakuu wote wa mikoa, wafanye kama afanyavyo yeye, Hakika taifa letu Mungu angeliinua zaidi.
    Eee Mungu Mlinde Raisi wetu, Mlinde Mh Paul Makonda
    Ilinde Tanzania
    Amen

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 3 месяца назад

      Wala hakuna mtu ambaye angeipinga ccm

    • @kilungahamis1270
      @kilungahamis1270 2 месяца назад

      ​@@abidandastanmaliyatabu1373kabisa, kama watumishi wa serikali wote wangekuwa na moyo ka Makonda Tz tungekuwa mbali sana

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 4 месяца назад +4

    Safi sana Mh.Paul Makonda.Wengine wamelala na kupokea mishahara bila kuwahudumia Watanzania ipasavyo.Mh.Makonda achape kazi.

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 4 месяца назад +11

    Arusha rahaaaaaaaaaa na Mh Makonda

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 4 месяца назад +5

    Makonda fanya kazi,Nakupenda na umewapa za uso.Hawana utetezi bali kiki ,Wanawake tunapigwa, tunabakwa,tunauwawa Sijasikia haki za binadamu,wala U WT nk.Wasimpunguzie kasi Makonda.PIGA SPANA Makonda.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 месяца назад +7

    Kitenge umezege mate😅😅😅😅😅 wallah nimecheka sana. Arusha imeanza kunawiri kwa nguvu ya Mh Makonda 🎉🎉🎉.

  • @SongoloMgallah
    @SongoloMgallah 4 месяца назад +7

    Sana na awapige TU hongera sana mhe makonda wewe ni tumaini la watanzania

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 4 месяца назад +6

    Tunajua kitenge umpend makondq,ila najua ipo sku utamkubal tu

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 4 месяца назад +8

    Sio Arusha Tu hata Sisi katavi tunamhitaji makonda

    • @JanethKavishe
      @JanethKavishe 3 месяца назад

      Wee Kilimanjaro tumeshamuwahi ohoo

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 месяца назад +1

    I love makonda ❤ god protect him pls🙏🏿

  • @NeemaJuma-os6uo
    @NeemaJuma-os6uo 4 месяца назад +2

    Safi sana tz tungepata watu kama hao 10 tu tungefika mbali Kwa kweli

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 месяца назад +2

    Kweli waje waongelee arusha waone halooo hakuna atakaewaelewa mama samia asante kutuletea makonda ubarikiwe sana

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 4 месяца назад +3

    Wanyooshe baba hawakufanyi chochote watu wanateseka nchini kwao.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 4 месяца назад +1

      Kwel awanyoshee tu achane na hao wanafikii

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 4 месяца назад +2

    Makonda safi sana mama tunashukulu tunaomba mlinde sana makonda

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 3 месяца назад

    Mmetisha vijana wangu Gerard na kitenge

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 месяца назад +7

    Makonda tunakupenda,

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 3 месяца назад +2

    Kitenge ipo siku utagongwa bila parachute

    • @geey7893
      @geey7893 3 месяца назад

      😂😂anawashea Mikundu saana

  • @octiminja5260
    @octiminja5260 3 месяца назад +1

    Mama SAMIA PLZZZ KUWA NA MSIMAMO THABITI KWA KIJANA WAKO WATENDAJI WAMEKUWA LEGE LEGE SAAAANA KAMA MILENDA WANA KUPIMA IMANI MH RAISI. Aaacha SINDANOOO YA CRISTAPEN IWAINGIE WAVIVU WALA RUSHWA WEZI WOTEE. DADA ZUUU FUMBA MASIKIO NA MACHO KWA WAPIGA KELELE WANAOMPINGA MAKONDA PLZZZZZ

  • @EneaMbogo
    @EneaMbogo 4 месяца назад +7

    Mwamba anapiga kazi,,,,asisikilize polojo ili aendelee kuwatumikia wana Arusha 💪

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 месяца назад +7

    Ila nyie jamaa 😂😂 sema Makonda ni mtu wa maana kbs hana baya baba wa watu apge kazii

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 месяца назад +4

    GO MAKONDA GOOOOO..WAPELEKEE MOTO...WABANE SPANA😂

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 месяца назад +9

    Makonda saaafiii. Kile kibibi cha uwt ndio vilaza wanaoturudisha nyuma kama taifa, mizigo

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 месяца назад +5

    Hii nchi ilipofikia inabidi viongozi wa aina ya makonda waruhusiwe kutumia viboko kucharaza viongozi wapumbavu kama yule dada

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад

      Umenifanya nicheke,mpaka napata wazo wananchi tuungane tuwakamate tuwachape wenye viboko hawa wapuuzi sana

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp 4 месяца назад

      😂😂😂😂kabisa yani tuwapigee mbwaa awaa ​@@DeogratiusAndrew-zi7zv

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 4 месяца назад +1

    Hando anaongea kimzaha lakin anaongea lililo kwel...arusha akiondoka makonda ccm inahamia makumbusho kwa ajir ya watalii

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 4 месяца назад +2

    Yaaaan nchi hii hakuna kuleana aisee kama kuleana ni miaka 60? Kwel? Nchi yenyew bado maskini,,, pesa inatumika vibaya kiongozi asiseme??? Tena makonda watamkoma

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 3 месяца назад

    Tupo wanaharakati mbeya tutawasha moto nakukubali sana

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 4 месяца назад +4

    Mitano tena

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland 4 месяца назад +1

    ❤❤❤ hahaha tuko nae pamoja na makonda

  • @mathiasduduru628
    @mathiasduduru628 4 месяца назад +1

    Wazalendo wapo sema vita dhizi yao ni kubwa.Mungu msimamie Makondawise wadudu saivi mambo shwari na wanapiga doria kumlinda kijana mwenye upeo wa uongozi Makonda ni kiongozi na nusu.
    Mama muongezee nguvu mpe ukuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya hawa vijana wakiungana Arusha na Tanzania kwa ujumla tutaona sura ya uongozi.

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz 4 месяца назад +1

    Habari ipo Arusha dar imelala

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 4 месяца назад

    Yani nafurahia Tu, Nitoshe kusema apo alipo anastaili.....SASA KWA MSAADA MUNGU WETU MAKONDA ANARUKA UKUTA, MUNGU AMESHAINGILIA VITA YAKE, KILA ANAYEINGILIA VITA YAKE, SAA HII KUPIGANA ANAKUFA.🙏🙏🔥🔥💐💐💐

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 4 месяца назад +2

    Sasa hizi taasisi watumishi wakiiba wao huwa wanafanya nn? Na kama Wana wanachama wao basi wanapopoteza au kuiba fedha za serikali ninyi huwa mnaongea nao na kuwapa maonyo hadharani? Yaan mm niko na Makonda Benet Makonda nyoosha Arusha Upinzani Arusha kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya mateso wananchi walio nayo

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 4 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂
    Hawa jamaa wamenichekesha
    Jamani mm nipo Arusha kiukweli watu wa Arusha hauwaambii kitu kuhusu makonda anapendwa na wananchi kuliko mtu yoyote

  • @kingngojea
    @kingngojea 4 месяца назад +1

    Ao wanao pazisha saut kumupinga makonda watetez wa mafisad

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад

    Nadhani Kama viongozi wote wa Tanzania watakuwa hivi hatuna haja ya upinzani haya ndio yanayofanya kuwebna upinzani

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад +1

    Mama anatukanwa mpo wapi 😂😂😂😂😂😂Makonda na wewe una sema naenda Arusha 😂😂😂😂😂

  • @StevenKisanga
    @StevenKisanga 4 месяца назад +1

    Arusha sa hiv Ni Paradise ndogo

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 месяца назад +2

    Mnafki mkubwa na liupara lako hilo shoga maulidi kitengo bwana ako nape kakutuma,Paul CHRISTIAN makonda hamuwezi huna malinda kitenge maulid

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 4 месяца назад +1

    Viva viva makonda

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 4 месяца назад +5

    Mtuache na makonda wetu. Tunampenda na tunamwamin. Achen propaganda zenu

  • @abuilmailma3534
    @abuilmailma3534 4 месяца назад +2

    Kama kuna mtangazaji mchunia tumbo Tanzania nzima ni huu kicha Kitenge.hiv anamchukia Makonda kwa sababu gani? Yaani hili lisenge likipata taarifa la kumshambulia Makonda yaani kwa Kitende ni cku ya furaha kama vile mke wake kajifunguwa

    • @gwakisakaswaga5249
      @gwakisakaswaga5249 4 месяца назад

      Sioni mwandishi hapo Kitenge anachoweza ni fitina na sio habari. Tumbo lake linamtendesha dhambi mara nyingi sana

    • @fadhilidanieli1478
      @fadhilidanieli1478 4 месяца назад

      Kipi alichomponda hapo

    • @silivestatesha9262
      @silivestatesha9262 4 месяца назад

      Mwandishi raru kweli

    • @annemlay11
      @annemlay11 Месяц назад

      Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.Wengi wanamkubali Makonda hivyo hata Mungu anamkubali.Wanaojitahidi kumkwamisha wanashindana na Mungu.

  • @Mariam-c6b3o
    @Mariam-c6b3o 3 месяца назад

    Wewe kitenge ata uongee kwa kukazia muacheni makonda afanye kazi yake tunajuwa kuwa wewe kitenge una bifu na makonda muache achape kazi yake kwa wewe nani yeye yupo kwenye aki na kuwatetea wananchi

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад

    Hii nchi viongozi wengi ni kama Mafgari mabovu nati zimeregea wanapaswa kupigwa spana mpaka wakae sawa.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 месяца назад +1

    Hii media ya kisenge sna

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 3 месяца назад

    KEEP IT UP MAKONDA

  • @SongoloMgallah
    @SongoloMgallah 4 месяца назад +1

    Wote hao wanakuwa wapi watu wanapokosa haki zao miaka nenda Rudi ingekuwa ni ndugu zao wanakosa haki hizo

    • @mrdeniskomba6199
      @mrdeniskomba6199 4 месяца назад

      Kabisa... natamani kutemea mate... watu wanateseka wapo kimya eti leo wanaibuka

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад

    Masajii😂😂😂😂 upepo wa Arusha mkali Sana Masaji😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 месяца назад

    Awa Nao Wanaongea Lakini Wamejaa Chuki Ushusha Kitenge

  • @goodluckminja9101
    @goodluckminja9101 4 месяца назад

    Zembwela wapi?

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 3 месяца назад

    Mama samia ungejuwa huku mitaan ulivokuwavunachambwa kumbe viongo wako ndo walikuwa wanasababisha utukanwe mama wawatu huna baya, ungempa ruhusa makonda awe anawapa semina wakuu wenzie namna yautendaji kaz nahali za wananchi

  • @TWENZETUEDEN
    @TWENZETUEDEN 3 месяца назад

    Huyu kiongozi wa Cwt amekurupuka hiyo nadhani sio kauri ya chama hebu afute kauli yake Ili chama kibaki salama, chama kinataka watu kama Makonda,Chalamila na wengine wanaosukiliza wanaNchi

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 месяца назад

    Ahaaa ahaaa

  • @yunuskizundu4707
    @yunuskizundu4707 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂
    eti wakaongelee Arusha

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 4 месяца назад

    Makonda jembe 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @HemedRajab-v3i
    @HemedRajab-v3i 3 месяца назад

    Mukimgusa mako tuandamana kudai aki

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 4 месяца назад

    Jeladdi leo umenifurahisha

  • @RusanzuRubigo
    @RusanzuRubigo 4 месяца назад

    😂😂😂 waende A town wakaongee hayo wanayo ongea waone moto wa raia wa Arusha😂😂

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 4 месяца назад +1

    Mitano tena 😂

  • @asunigohagi5177
    @asunigohagi5177 3 месяца назад

    Safiii makonda

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад

    Masajii hiyoooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AboubakarRashid
    @AboubakarRashid 4 месяца назад +1

    Makondo jembe tena nchi zma hakuna kama makondo

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 4 месяца назад

    Hahaha Arusha pameanza kuchangamka Gaza makonda usiwasikirize wanawake haoo tupo nyuma yako

  • @NdayishimiyeAbdulkabir-u7c
    @NdayishimiyeAbdulkabir-u7c 4 месяца назад

    Ameanza na wa dudu😭😭😭

  • @MohamedMangongo-n9t
    @MohamedMangongo-n9t 4 месяца назад

    Tena endelea kufukua makabuli mpaka waelewe tu

  • @ErickJuma-e6j
    @ErickJuma-e6j 4 месяца назад +1

    Wewe mtangazaji acha kukuza jambo dogo,,mtuachie makondo wetu ashulike na wazembe,wala rushwa,,,, kwahiyo nyie mnaona hizo milioni 460 ni kidgo???kwanza hyo Eng afukuzwe kazi na kupelekwa mahakamani takukuru ifanye kazi yake,,,dont talk much about makonda

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 4 месяца назад

    SPANA❤

  • @Gehohamis
    @Gehohamis 4 месяца назад

    Acha awapige spana had waelewe umuhimu wa kuhudumia wananchi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 3 месяца назад

    Kitenge unaanza kuboa

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 4 месяца назад

    Mbona mjachambua aliposema mama katukanwa na hawakusema chochote mjaongelea nanyinyi walewale wanafiki tu nyinyi.

    • @Ambwene
      @Ambwene 4 месяца назад

      Kasema broo sikiliza vizuri

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 месяца назад

    Arusha pamoto hapakwepeki piga spana wote mpaka waseme hao wote😂😂😂😂😂😂

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 4 месяца назад

    Wakuu wa Mikoa Wengine Wafanye Vivyo Hivyo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 4 месяца назад

    wale wamama hatuwataki kwenye nchi yetu ya Arusha tena wanyamaze kabisa

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 4 месяца назад

    Tunatia ubani uwe na afya njema kamanda makonda piga spana kodi zetu zinaliwa tuu Arusha kama Dubai sasa watu hoyoooooo

  • @kamuliShija-rb6ju
    @kamuliShija-rb6ju 4 месяца назад

    Nimefurahia na kipd hik

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 4 месяца назад

    Ngoja awanyoshe kwasababu yeye ndoo kabak mwenyetimamu wakuu wamikoa wengine hawajielewi wanajifungia ofisin tu

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 4 месяца назад

    Mmmh mbona hicho chama kisipige vita kikokotooo... mtu wa hovyo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад

    SASA SIO AKAE MKOA MIAKA 5 ACHUKUE NCHI MIAKA 5 ULAYA YOTE UTAZIZIMA WATAJUA MTOTO WA MAKUFULI KACHUKUA URAISI 😂😂😂

  • @Muhammedramadhan-xl6yg
    @Muhammedramadhan-xl6yg 4 месяца назад

    Maulidi wewe ni jamaa yahoo wakuda sana😂😂

  • @ThomasiMichael
    @ThomasiMichael 4 месяца назад

    Ww kitenge nimbeambea

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 4 месяца назад

    😂😂😂😂 NCHI imehamia ARUSHA

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 месяца назад

    Uwt kaeni msifuge waizi hasa wanawake ni aibu

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 3 месяца назад

    Mskonda piga spana tupo pamoja na wewe

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 4 месяца назад

    Mtangazaji acha Fitina.

  • @kingngojea
    @kingngojea 4 месяца назад

    Makonda hakuna kulala ikilala ngonjwa wanyoooooshe mzeee mpaka wakojoe dagaa

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 месяца назад

    We kitenge acha uongo Makanda hajasema hiyo kauli uliyoitoa ww ya kwamba hakuna (hakuna mtu yeyote atakae mfanya chchote)

    • @wangaeliwilfred2919
      @wangaeliwilfred2919 4 месяца назад

      Makonda mwenyewe katamka ataendelea kuwapiga spana😢

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo 4 месяца назад

    Na anawapiga spana kweli wamekalia kutii kavu

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад

    Na nyie mnamambo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад

    Na wewe peponi😂😂😂😂

  • @andreaonesmo4907
    @andreaonesmo4907 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @FelixMiyamini
    @FelixMiyamini 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 4 месяца назад

    Makonda ni jembe😂😂😂

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu 4 месяца назад

    L

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 4 месяца назад

    😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 4 месяца назад +1

    Ni heri kutolipunguza au kutoliongeza jambo! Hawa ndio waandishi wa sasa🙌

  • @PoulMarwa
    @PoulMarwa 4 месяца назад +1

    Hiyo imeenda chezea makonda wewe

  • @JohnMalale-q6m
    @JohnMalale-q6m 4 месяца назад +2

    Kitenge hongera sana

  • @bellaseverua609
    @bellaseverua609 4 месяца назад +1

    Mungu arena makonda .amen.

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 3 месяца назад

    😂😂😂 hawa jamaaa maneno yao bhana hatari sana.
    Makonda wamuache tu Silaha ya kivita ile.