Nawaza tu lakini Mh Raisi wetu mama Samia angempa nafasi mh, Makonda awape semina, Wakuu wote wa mikoa, wafanye kama afanyavyo yeye, Hakika taifa letu Mungu angeliinua zaidi. Eee Mungu Mlinde Raisi wetu, Mlinde Mh Paul Makonda Ilinde Tanzania Amen
Makonda fanya kazi,Nakupenda na umewapa za uso.Hawana utetezi bali kiki ,Wanawake tunapigwa, tunabakwa,tunauwawa Sijasikia haki za binadamu,wala U WT nk.Wasimpunguzie kasi Makonda.PIGA SPANA Makonda.
Mama SAMIA PLZZZ KUWA NA MSIMAMO THABITI KWA KIJANA WAKO WATENDAJI WAMEKUWA LEGE LEGE SAAAANA KAMA MILENDA WANA KUPIMA IMANI MH RAISI. Aaacha SINDANOOO YA CRISTAPEN IWAINGIE WAVIVU WALA RUSHWA WEZI WOTEE. DADA ZUUU FUMBA MASIKIO NA MACHO KWA WAPIGA KELELE WANAOMPINGA MAKONDA PLZZZZZ
Yaaaan nchi hii hakuna kuleana aisee kama kuleana ni miaka 60? Kwel? Nchi yenyew bado maskini,,, pesa inatumika vibaya kiongozi asiseme??? Tena makonda watamkoma
Wazalendo wapo sema vita dhizi yao ni kubwa.Mungu msimamie Makondawise wadudu saivi mambo shwari na wanapiga doria kumlinda kijana mwenye upeo wa uongozi Makonda ni kiongozi na nusu. Mama muongezee nguvu mpe ukuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya hawa vijana wakiungana Arusha na Tanzania kwa ujumla tutaona sura ya uongozi.
Yani nafurahia Tu, Nitoshe kusema apo alipo anastaili.....SASA KWA MSAADA MUNGU WETU MAKONDA ANARUKA UKUTA, MUNGU AMESHAINGILIA VITA YAKE, KILA ANAYEINGILIA VITA YAKE, SAA HII KUPIGANA ANAKUFA.🙏🙏🔥🔥💐💐💐
Sasa hizi taasisi watumishi wakiiba wao huwa wanafanya nn? Na kama Wana wanachama wao basi wanapopoteza au kuiba fedha za serikali ninyi huwa mnaongea nao na kuwapa maonyo hadharani? Yaan mm niko na Makonda Benet Makonda nyoosha Arusha Upinzani Arusha kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya mateso wananchi walio nayo
Kama kuna mtangazaji mchunia tumbo Tanzania nzima ni huu kicha Kitenge.hiv anamchukia Makonda kwa sababu gani? Yaani hili lisenge likipata taarifa la kumshambulia Makonda yaani kwa Kitende ni cku ya furaha kama vile mke wake kajifunguwa
Wewe kitenge ata uongee kwa kukazia muacheni makonda afanye kazi yake tunajuwa kuwa wewe kitenge una bifu na makonda muache achape kazi yake kwa wewe nani yeye yupo kwenye aki na kuwatetea wananchi
Huyu kiongozi wa Cwt amekurupuka hiyo nadhani sio kauri ya chama hebu afute kauli yake Ili chama kibaki salama, chama kinataka watu kama Makonda,Chalamila na wengine wanaosukiliza wanaNchi
Wewe mtangazaji acha kukuza jambo dogo,,mtuachie makondo wetu ashulike na wazembe,wala rushwa,,,, kwahiyo nyie mnaona hizo milioni 460 ni kidgo???kwanza hyo Eng afukuzwe kazi na kupelekwa mahakamani takukuru ifanye kazi yake,,,dont talk much about makonda
Safi sana Mh Makonda. Jeshi la mtu mmoja nguvu kazi 💪💪💪 Piga spana hao
Namkubali sana namwona kuwa Rais wa miaka ijayo
@@PoulMarwa Naam
Arusha imepata raisi wake hakika pamoto hatari Arusha
Nawaza tu lakini
Mh Raisi wetu mama Samia angempa nafasi mh, Makonda awape semina, Wakuu wote wa mikoa, wafanye kama afanyavyo yeye, Hakika taifa letu Mungu angeliinua zaidi.
Eee Mungu Mlinde Raisi wetu, Mlinde Mh Paul Makonda
Ilinde Tanzania
Amen
Wala hakuna mtu ambaye angeipinga ccm
@@abidandastanmaliyatabu1373kabisa, kama watumishi wa serikali wote wangekuwa na moyo ka Makonda Tz tungekuwa mbali sana
Safi sana Mh.Paul Makonda.Wengine wamelala na kupokea mishahara bila kuwahudumia Watanzania ipasavyo.Mh.Makonda achape kazi.
Arusha rahaaaaaaaaaa na Mh Makonda
Makonda fanya kazi,Nakupenda na umewapa za uso.Hawana utetezi bali kiki ,Wanawake tunapigwa, tunabakwa,tunauwawa Sijasikia haki za binadamu,wala U WT nk.Wasimpunguzie kasi Makonda.PIGA SPANA Makonda.
Kitenge umezege mate😅😅😅😅😅 wallah nimecheka sana. Arusha imeanza kunawiri kwa nguvu ya Mh Makonda 🎉🎉🎉.
Sana na awapige TU hongera sana mhe makonda wewe ni tumaini la watanzania
Tunajua kitenge umpend makondq,ila najua ipo sku utamkubal tu
Machoko hawa
Sio Arusha Tu hata Sisi katavi tunamhitaji makonda
Wee Kilimanjaro tumeshamuwahi ohoo
I love makonda ❤ god protect him pls🙏🏿
Safi sana tz tungepata watu kama hao 10 tu tungefika mbali Kwa kweli
Kweli waje waongelee arusha waone halooo hakuna atakaewaelewa mama samia asante kutuletea makonda ubarikiwe sana
Wanyooshe baba hawakufanyi chochote watu wanateseka nchini kwao.
Kwel awanyoshee tu achane na hao wanafikii
Makonda safi sana mama tunashukulu tunaomba mlinde sana makonda
Mmetisha vijana wangu Gerard na kitenge
Makonda tunakupenda,
Kitenge ipo siku utagongwa bila parachute
😂😂anawashea Mikundu saana
Mama SAMIA PLZZZ KUWA NA MSIMAMO THABITI KWA KIJANA WAKO WATENDAJI WAMEKUWA LEGE LEGE SAAAANA KAMA MILENDA WANA KUPIMA IMANI MH RAISI. Aaacha SINDANOOO YA CRISTAPEN IWAINGIE WAVIVU WALA RUSHWA WEZI WOTEE. DADA ZUUU FUMBA MASIKIO NA MACHO KWA WAPIGA KELELE WANAOMPINGA MAKONDA PLZZZZZ
Mwamba anapiga kazi,,,,asisikilize polojo ili aendelee kuwatumikia wana Arusha 💪
Ila nyie jamaa 😂😂 sema Makonda ni mtu wa maana kbs hana baya baba wa watu apge kazii
GO MAKONDA GOOOOO..WAPELEKEE MOTO...WABANE SPANA😂
Makonda saaafiii. Kile kibibi cha uwt ndio vilaza wanaoturudisha nyuma kama taifa, mizigo
Hii nchi ilipofikia inabidi viongozi wa aina ya makonda waruhusiwe kutumia viboko kucharaza viongozi wapumbavu kama yule dada
Umenifanya nicheke,mpaka napata wazo wananchi tuungane tuwakamate tuwachape wenye viboko hawa wapuuzi sana
😂😂😂😂kabisa yani tuwapigee mbwaa awaa @@DeogratiusAndrew-zi7zv
Hando anaongea kimzaha lakin anaongea lililo kwel...arusha akiondoka makonda ccm inahamia makumbusho kwa ajir ya watalii
Yaaaan nchi hii hakuna kuleana aisee kama kuleana ni miaka 60? Kwel? Nchi yenyew bado maskini,,, pesa inatumika vibaya kiongozi asiseme??? Tena makonda watamkoma
Tupo wanaharakati mbeya tutawasha moto nakukubali sana
Mitano tena
❤❤❤ hahaha tuko nae pamoja na makonda
Wazalendo wapo sema vita dhizi yao ni kubwa.Mungu msimamie Makondawise wadudu saivi mambo shwari na wanapiga doria kumlinda kijana mwenye upeo wa uongozi Makonda ni kiongozi na nusu.
Mama muongezee nguvu mpe ukuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya hawa vijana wakiungana Arusha na Tanzania kwa ujumla tutaona sura ya uongozi.
Habari ipo Arusha dar imelala
Yani nafurahia Tu, Nitoshe kusema apo alipo anastaili.....SASA KWA MSAADA MUNGU WETU MAKONDA ANARUKA UKUTA, MUNGU AMESHAINGILIA VITA YAKE, KILA ANAYEINGILIA VITA YAKE, SAA HII KUPIGANA ANAKUFA.🙏🙏🔥🔥💐💐💐
Sasa hizi taasisi watumishi wakiiba wao huwa wanafanya nn? Na kama Wana wanachama wao basi wanapopoteza au kuiba fedha za serikali ninyi huwa mnaongea nao na kuwapa maonyo hadharani? Yaan mm niko na Makonda Benet Makonda nyoosha Arusha Upinzani Arusha kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya mateso wananchi walio nayo
😂😂😂😂😂😂
Hawa jamaa wamenichekesha
Jamani mm nipo Arusha kiukweli watu wa Arusha hauwaambii kitu kuhusu makonda anapendwa na wananchi kuliko mtu yoyote
Salamu zimfikie Kitenge
Ao wanao pazisha saut kumupinga makonda watetez wa mafisad
Nadhani Kama viongozi wote wa Tanzania watakuwa hivi hatuna haja ya upinzani haya ndio yanayofanya kuwebna upinzani
Mama anatukanwa mpo wapi 😂😂😂😂😂😂Makonda na wewe una sema naenda Arusha 😂😂😂😂😂
Arusha sa hiv Ni Paradise ndogo
Mnafki mkubwa na liupara lako hilo shoga maulidi kitengo bwana ako nape kakutuma,Paul CHRISTIAN makonda hamuwezi huna malinda kitenge maulid
Viva viva makonda
Mtuache na makonda wetu. Tunampenda na tunamwamin. Achen propaganda zenu
Kama kuna mtangazaji mchunia tumbo Tanzania nzima ni huu kicha Kitenge.hiv anamchukia Makonda kwa sababu gani? Yaani hili lisenge likipata taarifa la kumshambulia Makonda yaani kwa Kitende ni cku ya furaha kama vile mke wake kajifunguwa
Sioni mwandishi hapo Kitenge anachoweza ni fitina na sio habari. Tumbo lake linamtendesha dhambi mara nyingi sana
Kipi alichomponda hapo
Mwandishi raru kweli
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.Wengi wanamkubali Makonda hivyo hata Mungu anamkubali.Wanaojitahidi kumkwamisha wanashindana na Mungu.
Wewe kitenge ata uongee kwa kukazia muacheni makonda afanye kazi yake tunajuwa kuwa wewe kitenge una bifu na makonda muache achape kazi yake kwa wewe nani yeye yupo kwenye aki na kuwatetea wananchi
Hii nchi viongozi wengi ni kama Mafgari mabovu nati zimeregea wanapaswa kupigwa spana mpaka wakae sawa.
Hii media ya kisenge sna
Usenge wake ni nini
KEEP IT UP MAKONDA
Wote hao wanakuwa wapi watu wanapokosa haki zao miaka nenda Rudi ingekuwa ni ndugu zao wanakosa haki hizo
Kabisa... natamani kutemea mate... watu wanateseka wapo kimya eti leo wanaibuka
Masajii😂😂😂😂 upepo wa Arusha mkali Sana Masaji😂😂😂😂
Awa Nao Wanaongea Lakini Wamejaa Chuki Ushusha Kitenge
Zembwela wapi?
Mama samia ungejuwa huku mitaan ulivokuwavunachambwa kumbe viongo wako ndo walikuwa wanasababisha utukanwe mama wawatu huna baya, ungempa ruhusa makonda awe anawapa semina wakuu wenzie namna yautendaji kaz nahali za wananchi
Huyu kiongozi wa Cwt amekurupuka hiyo nadhani sio kauri ya chama hebu afute kauli yake Ili chama kibaki salama, chama kinataka watu kama Makonda,Chalamila na wengine wanaosukiliza wanaNchi
Ahaaa ahaaa
😂😂😂😂😂😂
eti wakaongelee Arusha
Makonda jembe 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Mukimgusa mako tuandamana kudai aki
Jeladdi leo umenifurahisha
😂😂😂 waende A town wakaongee hayo wanayo ongea waone moto wa raia wa Arusha😂😂
Mitano tena 😂
Safiii makonda
Masajii hiyoooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makondo jembe tena nchi zma hakuna kama makondo
Hahaha Arusha pameanza kuchangamka Gaza makonda usiwasikirize wanawake haoo tupo nyuma yako
Ameanza na wa dudu😭😭😭
Tena endelea kufukua makabuli mpaka waelewe tu
Wewe mtangazaji acha kukuza jambo dogo,,mtuachie makondo wetu ashulike na wazembe,wala rushwa,,,, kwahiyo nyie mnaona hizo milioni 460 ni kidgo???kwanza hyo Eng afukuzwe kazi na kupelekwa mahakamani takukuru ifanye kazi yake,,,dont talk much about makonda
SPANA❤
Acha awapige spana had waelewe umuhimu wa kuhudumia wananchi
Kitenge unaanza kuboa
Mbona mjachambua aliposema mama katukanwa na hawakusema chochote mjaongelea nanyinyi walewale wanafiki tu nyinyi.
Kasema broo sikiliza vizuri
Arusha pamoto hapakwepeki piga spana wote mpaka waseme hao wote😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakuu wa Mikoa Wengine Wafanye Vivyo Hivyo
wale wamama hatuwataki kwenye nchi yetu ya Arusha tena wanyamaze kabisa
Tunatia ubani uwe na afya njema kamanda makonda piga spana kodi zetu zinaliwa tuu Arusha kama Dubai sasa watu hoyoooooo
Nimefurahia na kipd hik
Ngoja awanyoshe kwasababu yeye ndoo kabak mwenyetimamu wakuu wamikoa wengine hawajielewi wanajifungia ofisin tu
Mmmh mbona hicho chama kisipige vita kikokotooo... mtu wa hovyo
SASA SIO AKAE MKOA MIAKA 5 ACHUKUE NCHI MIAKA 5 ULAYA YOTE UTAZIZIMA WATAJUA MTOTO WA MAKUFULI KACHUKUA URAISI 😂😂😂
Maulidi wewe ni jamaa yahoo wakuda sana😂😂
Ww kitenge nimbeambea
😂😂😂😂 NCHI imehamia ARUSHA
Uwt kaeni msifuge waizi hasa wanawake ni aibu
Mskonda piga spana tupo pamoja na wewe
Mtangazaji acha Fitina.
Makonda hakuna kulala ikilala ngonjwa wanyoooooshe mzeee mpaka wakojoe dagaa
We kitenge acha uongo Makanda hajasema hiyo kauli uliyoitoa ww ya kwamba hakuna (hakuna mtu yeyote atakae mfanya chchote)
Makonda mwenyewe katamka ataendelea kuwapiga spana😢
Na anawapiga spana kweli wamekalia kutii kavu
Na nyie mnamambo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Na wewe peponi😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Makonda ni jembe😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
L
😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ni heri kutolipunguza au kutoliongeza jambo! Hawa ndio waandishi wa sasa🙌
Hiyo imeenda chezea makonda wewe
Kitenge hongera sana
Mungu arena makonda .amen.
😂😂😂 hawa jamaaa maneno yao bhana hatari sana.
Makonda wamuache tu Silaha ya kivita ile.