MAKONDA AWAKA- "LIPENI HIYO Milioni 132 NDANI ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAJADIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 52

  • @AznatJonas
    @AznatJonas 23 дня назад +8

    Makonda ana spirit ya magufl

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 23 дня назад +8

    Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza 22 дня назад +5

    Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 24 дня назад +6

    Waizi tu hao Piga spana Makonda

  • @papayikoyo741
    @papayikoyo741 10 дней назад

    Kazi njema baba ang
    Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo 24 дня назад +4

    Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 24 дня назад

      Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 24 дня назад +6

    Tasaf imejaa wapigaji sana

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga8889 18 дней назад +1

    kazi kaz kazi

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 24 дня назад +2

    Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 24 дня назад +4

    Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 21 день назад

      Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼

  • @Cyb-TideTide
    @Cyb-TideTide 12 дней назад +1

    😊😊

  • @RuthMwakilembe
    @RuthMwakilembe 17 дней назад +1

    Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima

  • @sadikingitu
    @sadikingitu 24 дня назад +5

    Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa?
    Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 24 дня назад +4

    Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 23 дня назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 21 день назад

      Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried 19 дней назад

      Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 25 дней назад +3

    Mwendo wa spana tu😅

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 21 день назад +1

    Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 24 дня назад +2

    Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 22 дня назад +2

    Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮

    • @jumongderick-ub2if
      @jumongderick-ub2if 21 день назад

      then she's laghs

    • @user-qg3nu1kv2n
      @user-qg3nu1kv2n 21 день назад

      Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

    • @user-qg3nu1kv2n
      @user-qg3nu1kv2n 21 день назад +1

      Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried 19 дней назад

      Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 24 дня назад +1

    Tupe.hela.yetu

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 24 дня назад +1

    Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂

  • @SaidiAyubu-of8zt
    @SaidiAyubu-of8zt 24 дня назад +2

    Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee

    • @maryjames7438
      @maryjames7438 16 дней назад

      Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 24 дня назад +1

    Nimecheka san jmn

  • @Arsenal002
    @Arsenal002 24 дня назад +2

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 24 дня назад +3

    Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 24 дня назад +1

      Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe
      Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 22 дня назад +1

    Wasafi mko nyuma sn
    Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r 16 дней назад +1

    😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge

  • @officialhansi4462
    @officialhansi4462 24 дня назад +2

    hapa kuna shido gani kwano 😅

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 24 дня назад +1

    Mwanamke nikilaza huyu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried 19 дней назад

      Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 24 дня назад

    Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried 19 дней назад

      Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa

  • @user-tr9hw2so1u
    @user-tr9hw2so1u 20 дней назад

    Kwelii bwana walipe helaa

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 22 дня назад +1

    Samia analea wajinga

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 22 дня назад

    Hivi huyu mratibu ana akili kweli?
    Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa?
    U cant be serious aiseee!
    Hii nchi ngumu jmn🙌

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried 19 дней назад

      Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother

  • @Arsenal002
    @Arsenal002 24 дня назад

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana